Sakina herbal
we deal with herbal medicine we also do cupping therapy
Feeling blessed what about u unafeel aje hii good Friend
01/08/2022
✅-JE WEWE UNATOA HARUFU MBAYA SANA MDOMONI MWAKO?
✴️-AU UNAMFAHAMU MTU MWENYE MATATIZO YA HARUFU MBAYA KINYWANI
‼️-USISUBIRI MPAKA TATIZO LIWE KUBWA.
🔰 - "SWAFIH"
the best product Kwa ajili ya meno na kuondoa harufu mbaya Ina mchanganyiko wa dawa asili zinazosaidia kuua bacteria na vijidudu vyote vya mdomoni
FAIDA ZA SWAFIH
1️⃣-inatibu na kumaliza kabisa harufu mbaya mdomoni
2️⃣-Huzuiya meno yasitoe damu
3️⃣-Husaidia kusafisha fizi na kuzifanya tishuzake ziwe na afya
4️⃣- Husaidia sana wenye mafindofindo
5️⃣-Husaidia sana kuondoa gesi tumboni Ni bidhaa ya pekee isiyokuwa na kemikali
📞-Wasiliana na Dr Ismail kwa maelezo zaidi +254721836774
12/05/2022
JE UNATAMANI KUITWA MAMA?
JE UMEJARIBU KUPATA UJA UZITO BILA MAFANIKIO?
"MAMA PLUS" ndiyo suluhisho Kamili
Suluhisho kamili kwa matatizo ya uzazi kwa wanawake
1-HUZIBUA MIRIJA YA UZAZI
2-HUPEVUSHA MAYAI
3-HUWASAIDIA WENYE MATATIZO YA MIMBA KUTOKA
4-HUIMARISHA KIZAZI ILI KIWEZE KUHIMILI UJA UZITO
NA MENGINE MENGI
Usikose dawa hii ambayo imewasaidia wanawake wengi
WASILIANA NASI KWA NAMBA +254721836774 DR ISMAIL NA UTAFURAHI
01/05/2022
UGONJWA WA BAWASIRI (hemorrhoids) NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI
BAWASIRI NI NINI?
-Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama/Uvimbe ambao ndio huitwa Bawasiri.
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa kinyama,miwasho,maumivu makali na kutoa damu
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6.Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
AINA ZA BAWASIRI⤵️
-Kuna aina 2 za Bawasiri k**a ifuatavyo⤵⤵⤵⤵:
1⃣. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2️⃣.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Bawasiri ya ndan ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵:
1. HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekan wakati wa kujisaidia.
2. HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
3.HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurud yenyewe baada ya muda
4. HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
VISABABISHI/MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1. Uzito kupita kiasi(Overweight)
2. Ujauzito
3. Unywaji pombe
4. Kukaa sana sehemu ngumu
5. Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa.
6.Kujisaidia Choo Kigumu.
SABABU ZA KUJISAIDIA CHOO KIGUMU NI :
A-Vidonda vya TUMBO
B-Ngiri/Hernia
C-Ulaji duni
D-Kuwa na acid mwingi tumboni
E. Kula sana nyama nyekundu
F. Presha ya kupanda
G. Kula sana pilipili
H. Kula udongo(Wajawazito na watoto wadogo)
I. Kujisaidia kwenye vyoo vya kukaa
J.Kuharisha kupita kiasi.
K. Kufanyakazi ngumu/kunyanyua vitu vizito
MADHARA/ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
7.Kutopata ujauzito
8.Mimba kuharibika
10. Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
11.Mwili kudhoofika
NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI
1.Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
2.kunywa maji mengi lita 3 au zaidi kwa siku
3.Epuka kufanya mapenzi kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawiti)
4.Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
5. Acha kunywa pombe
6.Punguza kula nyama nyekundu
7.Punguza matumizi ya pili pili.
8.Jitibie vidonda vya tumbo
9. Jitibie Ngiri
10. Dhibiti uzito wako
11.Jiepushe/punguza kunyanyua vitu vizito mara kwa mara
KWA WENYE TATIZO HILI LA BAWASIRI SHIFAA CLINIC TUNAZO DAWA ZA KUTIBU NA KUMALIZA KABISA BAWASIRI BILA UPASUAJI
KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
002
Mombasa