Afya na Blessing

Afya na Blessing

Share

Tunabadilisha Maisha ya watu ulimwenguni kupitia utoaji wa bidhaa za afya

11/07/2022

22/06/2022

14/06/2022

*TIBA YA BAWASIRI YA NDANI NA NJE BILA UPASUAJI KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA UGCAREPLUS (STEMCELL) BILA MADHARA YOYOTE*

*IJUE BAWASIRI NA TIBA YAKE*

_Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo. *AINA ZA BAWASIRI*
1_Bawasiri ya ndani
2_Bawasiri ya nje.

_Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
_Bawasiri ya ndan hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI

_Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
_miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
_kinyesi kuvuja
_kinyesi kutoka kuchanganyika na damu chenye harufu mbaya. CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI
_kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
_kufanya mazoez magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
_Uzito kupitiliza
_Mapenz kinyume na maumbile
_tatizo la kutokupata choo

TIBA YAKE_Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi ilirudi baada ya kufanyiwa upasuaji.
_Sasa unaweza kutibu tatizo hili kwa kutumia virutubisho vilivyotengenezwa 100% asili bila madhara ya kemikali yoyote ndani yake. KAZI YAKE.

_Huondoa miwasho na maumivu
_huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomon hadi sehemu ya haja kubwa
_huondoa Bawasiri bila upasuaji.
_kulainisha choo.

NI VYEMA KUWAHI KUPATA TIBA MAPEMA KABLA YA KUBADILIKA NA KUWA CANCER.
Wasiliana nasi WhatsApp +254700365750

09/06/2022

*TATIZO LA KUKOSA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION*)

*UKOSEFU* wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kujua kuwa ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka, watu wengi hupuuzia na kuona siyo tatizo kubwa na ni hali ya kawaida. Ukosefu wa choo wa muda mrefu, huwa ndiyo chanzo cha magonjwa mengine hatari.
Mtu anapokosa choo kikubwa kwa siku kadhaa, uchafu hujikusanya tumboni na unapokosa sehemu ya kutokea hukimbilia kwenye damu na kuingia kwenye mfumo mzima wa damu. Uchafu huo unapoingia kwenye mfumo wa damu huwa sumu na chanzo cha maradhi mengine ambayo hujitokeza baadae na kuanza kumuathiri mtu, bila kujua chanzo chake.
Kwa kawaida mtu unapaswa kupata choo cha uhakika japo mara moja kwa siku, kutegemeana na mlo wake wa kila siku, unapokosa choo kwa siku nzima ili hali una kula milo yote kwa siku, elewa una tatizo katika mfumo wako wa kusaga chakula hivyo unapaswa kuchukua hatua haraka.
K**a Unakosa Choo Zaidi Ya Masaa 72 (Siku 3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:-
~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasiri(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno,Mgongo,Mabega,Kichwa,Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula(Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo(Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa.
~Kupasuka kwa utumbo.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
Kati ya changamoto kubwa ya kiafya ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na watu wengi wanadhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha 90% ya magonjwa yasiyoambukizwa na hatimae KIFO
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata tiba.

*CHANZO CHA TATIZO* 💫💫
Tatizo la kutopata choo linasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula.Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika,kuna Villars, hivi ni k

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mombasa
254254