Shufaa herbal

Shufaa herbal

Share

dr abdul

17/05/2023
13/09/2022

TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO (KIDNEY STONES)

Figo ni kiungo muhimu katika mwili wa binadamu, hufanya kazi ya kuchuja damu huku ikiondoa sumu zote za mwili ,figo hufanya kazi ya kurekebisha kiasi cha maji mwilini (electrolyte level).

Kabla damu haijapita katika figo, huwa imebeba maji na taka taka nyingi sana (urea) ,lakini inapopita katika figo huchujwa na vitu muhimu hurudishwa katika mzunguko wa damu lakini,masalia mengine ambayo hayafai tena katika mwili ikiwani pamoja na kiwango cha maji kilichozidi hupitishwa kwenye mirija miwili (ureters)kuelekea kwenye kibofu ( urinary bladder) nakisha kutolewa nje ya mwili kupitia njia ya mkojo (urethra)

Mkusanyiko wa kemikali hizi (chemical crystals), wakati mwingine hugandamana na kutengeneza chembechembe ya vitu k**a mchanga,kadri siku zinavyozidi kuendelea ndivyo vinavyozidi kukua hadiwengine hufikia hatua ya kuziba njia ya mkojo katika figo yenyewe (neprone) au kwenye mirija yakupeleka mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu (ureteter), hapo ndipo mtu anaanza kupata shida ya kukojoa na kusikia maumivu makali.

DALILI ZA UWEPO WA MAWE KWENYE FIGO
Mtu mwenye mawe kwenye figo huonyesha dalili zifuatazo;

1-Maumivu ya mgongo na kiuno
2 - Mkojo kutoka ukiwa na rangi ya damu
3 - Kutokwa na jasho wakati wa usiku
4-Kupatwa na homa kali kwa wakati flani ikiambatana na kutetemeka mwili
5-Kuhisi kichefuchefu na kutapika
6-Mkojo kuwa na harufu kali
7-Maumivu makali sehemu za mbavu
8-Miguu kujaa maji/kuvimba.
9-Maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kushoto au kulia kutegemea ni figo ya upande gani iliyoathirika.
10-Maumivu makali unapogusa upande wa figo iliyoathirika.

KISABABISHI CHA MAWE KATIKA FIGO (KIDNEY STONES);
1.Matumizi ya baadhi ya dawa husababisha mtu kupata mawe katika figo pindi anapozitumia kila mara.
2.Utumiaji wa vyakula vyenye kuongeza vitamin A na D, ambavyo huongeza kwa kiasi kikubwa madini joto mwilini
3.Kuishi kwenye mazingira ya joto sana bilakupata maji ya kutosha husababisha kiasi cha chemical kuongezeka katika figo na kusababisha zigandamane na kutengenezamawe ndani ya figo.
4.Maambukizi ya magonjwa ya figo k**a renal tubulaacidocisctc, huongeza hatari ya kupata tatizo hilo.
5.Kurithi kutoka KWA wazazi (wanakuwa na homoni ziitwazo antiduretic hormone)zisizoweza kufanya kazi yakuchuja damu kikamilifu na mwishowe hutengeneza mawekatika figo.
6.Utumiaji wa vyakula vyenye protinkwa wingi zinazotokana na wanyama na chumvi nyingi (huongeza hatari ya kupata tatizo hili)
7.Unene kupita kiasi

VIPIMO VYA KUGUNDUA UWEPO WA MAWE KWENYE FIGO
1.Mgonjwa kufanyiwa X-Ray au scan
2.Vipimo vya damu (blood test)
3.Vipimo vya mkojo (urenarlulisis)

NB
Tiba za tatizo hili la figo huwa ni gharama sana kiasi kwamba watu wengi wanshindwa kuzimudu.

Dawa zilizotengenezwa na mimea na zenye ubora mkubwa basi zina uwezo wa kutibu tatizo hili vizuri endapo utaliwahi mapema.
Baadhi ya dawa hizi ambazo hupatikana ofisini kwetu ni
a. MAXY DETOX
B.KIDNEY SOLUTION
c. COLON CLEANSER

Dawa hizi mbali na kutibu matatizo ya mawe katika figo zinauwezo wa;
1. kutibu saratani ya kizazi stage ya kwanza ,kusafisha mirija ya uzazi na kutoa maji katika mirija hiyo
2.Uvimbe ndani ya mwili
3.Kurekebisha hedhi iliyovurugika kwa akina mama (hasa waliowahi kutumia dawa za uzazi wa mpango)
4.Saratani ya ini na kibofu cha mkojo
5.Kusafisha mfumo mzima wa njia ya mkojo
6.Huwasaidia akina mama wenye kasoro mbalimbali katika via vyauzazi.

MAXY DETOX NA KIDNEY SOLUTION
@-Kuimarisha uwezo wa figo katika kuchuja
@-Kuondoa sumu na mawe vilivyojikusanya kwenye figo
@-Kuongeza ubora na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa mwanamke na mwanaume na
@-Kutibu magonjwa mbalimbali ya figo.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

12/09/2022

DERMATITIS ( UGONJWA WA NGOZI )

Hili no tatizo linawalowakumba watu wa rika zote.
ni ugonjwa unaoharibu ngozi. Waweza kusababishwa na mambo mbali mbali na hivyo kuwa na aina mbalimbali kulingana na chanzo cha athari hiyo. Sehemu ya ngozi iliyoathirika huota vijipele vyenye majimaji, kuwasha au magamba na kubadilika rangi yake...

1. ATOPIC DERMATITIS (ECZEMATOID ) UKURUTU .

Hutokea zaidi kwa watoto ambapo ngozi huwa na vipele vyekundu vyenye muwasho mkali. Hujionesha zaidi kwenye maeneo yenye mikunjo k**a vile nyuma ya magoti, mbele ya kiwiko na shingo. Vipele hivi vikikunwa hutoa majimaji na vigamba vidogo vidogo huku vikisambaa.

2. CONTACT DERMATITIS . UKURUTU MGUSANO .

Hii hutokea kwenye maeneo ambayo mwili umeguswa na vitu viletavyo mzio k**a vile baadhi ya sabuni, vipodozi, na vumbi. Huota vipele vyekundu kwenye ngozi nyeupe ambapo huwasha, ama kuhisi k**a unaungua moto vile ambapo malengelenge hujitokeza na kuanza kupasuka kufanya vidonda.

3. SEBORRHEIC DERMATITIS ..

Hii hutokea pale ambapo vitezi vidogo sebascious gland vinavyozalisha mafuta sebum kwaajili ya kulainisha ngozi vinaziba na hivyo kutengeneza mazingira ya wadudu yaani bacteria ama fungus kuishi hapo. Huathiri sana maeneo yenye mafuta mengi mwilini k**a usoni, kifuani na mgongoni. Laweza kuwa tatizo la muda mrefu ambalo muda mwingine hupona lenyewe na kuanza tena. Kwa Watoto huitwa cradle cap yaani magamba ya utotoni.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

12/09/2022

" MAXY BOOSTER "

DAWA YA KUONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA.

-Ni dawa pekee ambayo imetengenezwa kutokana na virutubisho muhimu mbalimbali kwa ajili ya kuongeza unene na kujenga afya nzuri ya mwili.

@-UMUHIMU WA HII DAWA.
-Dawa hii inaumuhimu mkubwa sana k**a ifuatavyo:-

1.Hufanya kazi ya kuongeza unene wa mwili kwa saizi ya unene utakao hitaji kwa haraka.

2.Huongeza virutubisho asilia mwilini kwa ajili ya kujenga afya nzuri kwa mtumiaji wa rika lolote.

3.Husaidia kuupa mwili nguvu na stamina nzuri na kufanya kuwa na muonekano mzuri wenye afya tele.

4.Husaidia kurudisha mwili haraka kwa wagonjwa ambao wanakosa hamu ya kula.

5.Hufanya kazi ya kuzalisha virutubisho vya protini kwa wingi mwilini ili kujenga mwili kwa haraka zaidi.

@-MATOKEO.
-Dawa hii ni dawa pekee ambayo hutumiwa na watu wa rika lolote yani Watoto na watu wazima na kukupa uhakika wa matokeo kwa 100% kwa kila mtumiaji.
-Ni dawa pekee ambayo haina masharti ya matumizi.

@-UPATIKANAJI WA DAWA.

@-PIA TUNATUMA KWENDA COUNTY ZINGINE KUPITIA MABASI YA ABILIA KWA HARAKA NA USALAMA WA HALI YA JUU.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

08/09/2022

UTOSI WA MTOTO NI NINI?
HATARI ZINAZO HUSIKA NA SEHEMU HII NI ZIPI?

Utosi wa mtoto ni sehemu nyeti zaidi ya mwili wake na unapaswa kuwa makini unapo mshika.

@-Kwa sasa k**a una mtoto mdogo, huenda ukashangaa kuhusu sehemu laini kwenye kichwa cha mtoto wako; na kwa nini unapaswa kuwa makini na sehemu hii. Huenda ukawa umesikia kuwa sehemu laini ni muhimu sana na kuishika ovyo huenda ikasababisha matatizo kwa mtoto. Kwa hivyo, tuna angazia utosi wa mtoto na hatari zake.

@-Kabla tuangazie hatari zinazo husika na sehemu hi laini ya mtoto, kuna haja ya kuelewa kwa nini kichwa cha mtoto huwa laini anapo zaliwa na majukumu ya upande huu wa mwili.

@-Sehemu laini inayo fahamika k**a utosi wa mtoto unaonyesha mahali ambapo skull haija fungana kabisa baada ya kujifungua. Sehemu hizi zinajulikana k**a fontanels. Huenda ikakufurahisha kujua kuwa mtoto wako ana sehemu moja laini juu ya kichwa chake na nyingine nyuma ya kichwa chake na kufanya sehemu mbili laini kwenye kichwa chake kidogo.

KAZI YA SEHEMU LAINI KWENYE KICHWA CHA MTOTO WAKO

Ubongo wa mtoto wako utaendelea kukua baada ya kuzaliwa, kwa hivyo sehemu hizi laini zitakubalisha ubongo kukua kwa kasi hata baada ya mtoto kuzaliwa.

Kichwa cha mtoto kinaweza kupita kwa kizazi cha mama mtoto anapo zaliwa kwa sababu sehemu laini inaifanya skull iweze kubadili muundo na kupita.

MAMBO YA KUSISIMUA KUHUSU FONTANEL YA MTOTO

1-Wataalum wanasema kuwa sehemu iliyo na muundo wa almasi iliyoko kwenye sehemu ya juu ya kichwa inaweza kuwa na upana wa inchi

2. Utaratibu wa kufungana huanza mtoto anapo fikisha umri wa miezi sita na kumaliza kufungana anapokuwa miezi 18.

3-Fontanel ya mtoto wako mara kwa mara itapiga wakati sawa na mpigo wake wa roho, kwa hivyo haupaswi kuwa na shaka unapo ona hili likifanyika.

4 - Sehemu hii laini ina vitu vya kipekee vya kuifunika. Na zina linda ubongo wa mtoto wako unao endelea kukua.

KULINDA SEHEMU NYETI YA MTOTO WAKO KUTOKANA NA HATARI

Sehemu laini ya mtoto wako ina pande ya ulinzi; ila hata safu hii ikiwa, ni vyema kwa mzazi na mlezi wa mtoto kuepuka kutingisha mtoto sana. Hakikisha kuwa hakuna anaye igonga fontanel ya mtoto, hata watoto wengine.

UTOSI NI NINI? JINSI YA KUJUA WAKATI AMBAPO KUNA KASORO

A-Iwapo sehemu hii imerudi upande wa ndani, huenda hii ikawa ishara kuwa mtoto wako anakosa maji tosha mwilini, hakikisha kuwa umempeleka mtoto hospitalini apate matibabu.

B-Ukigundua kuwa fontanel ya mtoto wako ime vimba, huenda kukawa na shinikizo nyingi kwenye ubongo wa mtoto wako. Hali hii huenda ikawa hatari sana kwenye maisha yake, bila kukawia, hakikisha kuwa umemwona daktari.

C-Baadhi ya watoto huenda wakainamisha kichwa chao upande mmoja mara kwa mara, na hii huenda ikasababishwa na tatizo walio nayo. Ili kuhakikisha kuwa mtoto wako hana hali ya torticollis, unapaswa kumpeleka hospitalini apimwe na mtaalum wa watoto.

D- Katika visa vingi, madaktari hutibu hali hii kwa kutumia tiba ya kifizikia; kunyoosha misuli yake na kusaidia mtoto kubadili wanvyo weka kichwa.

E-Katika mojawapo ya visa visivyo kawaida, mtoto huenda akapata hali ya craniosynostosis. Hali hii ndipo safu moja ama zaidi kwenye kichwa cha mtoto zinashikana. Ni hatari na huenda ikabadili shepu ya kichwa cha mtoto; kwa sababu ubongo unakua na huenda ukaharibika shepu kwa kukosa nafasi tosha. Wataalum wa matibabu wana shauri upasuaji kutenganisha safu hizi zilizo shikana.

F-Kichwa ni sehemu nyeti ya mwili wa mtoto, na kwa hivyo unapaswa kuwa makini sana unapo ishika. Sehemu hii laini itajifunga yenyewe bila tatizo lolote; ila ni muhimu kuhakikisha kuwa hakuna kitu kinacho isumbua. Ukigundua kuwa kuna kitu kisicho cha kawaida kuhusu fontanel ya mtoto wako, tafadhali mjulishe daktari wako bila kukawia.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

07/09/2022

"AFYA TOTO"

JE UNA MTOTO AMBAYE :-

πŸ•³ Anasumbua na Kukosa Hamu Ya Kula ??

πŸ•³Ana nywele nyepesi k**a mgonjwa ??

πŸ•³ Ana matatizo ya meno kuota ??

πŸ•³ Ana mifupa laini ambayo rahisi kuvunjika ??

πŸ•³ Anakosa Nguvu za Miguu ??

πŸ•³ Ni Dhaifu Kiafya na Goigoi ( Hana Nguvu ) ??

πŸ•³ Mtoto ambaye hakui kwa haraka k**a inavyotakiwa ???

πŸ•³ Anaumwa mara kwa mara kikohozi na mafua ???

πŸ•³ Ana matege??

πŸ•³ Hafurahii na Kucheza K**a Wengine ??

πŸ•³ Jibu ni kwamba mtoto huyo ana upungufu wa madini mwilini

πŸ•³ Sasa kwa kuwa tunajua watoto hawapendi vyakula, , Wakati vyakula hivyo Wanavyokataa au Kula Kwa Kuchagua vina virutubisho vizuri ikiwemo madini ya calcium ambayo ni muhimu sana katika suala zima la ukuaji wao.

πŸ•³ kwa kujua hilo tunakuletea bidhaa inayoitwa "AFYA TOTO" maalum kwa watoto

πŸ•³ "AFYA TOTO" ipo kwenye mfumo wa unga ambao unaweza kuchanganya na maziwa ama uji mwepesi watoto wengi sana wanapenda kunywa maziwa kwa hio watazidi kunywa na kupenda dawa hii

πŸ•³ "AFYA TOTO" Ina Madini Yote Muhimu na Vitamin Kwa Ukuaji na Afya Ya Mtoto HII NDIO FURAHA YA WATOTO

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

07/09/2022

πŸ“š"MEMORY BOOSTER "

πŸ”°-Dawa hii kwa jina la memory booster ni dawa ambayo ina tibu matatizo Yafuatayo :

1️⃣-tatizo la kusau sahau

2️⃣-kisunzi cha mara kwa mara

3️⃣- ina imarisha mishipa ya ufahamu

4️⃣-inawasaidia katika ukuaji wa ubongo kwa mtoto

5️⃣-huupa mwili nguvu za kupambana na maradhi

6️⃣-hutibu matatizo ya kichwa kuuma kwa watoto

✳️-Dawa hii inaweza kutumiwa na watoto na watu wazima

🌳-Dawa hii ni herbal na
haina madhara yeyote

πŸ“ž-KWA ANAYEHITAJI HITAJI DAWA HII WASILIANA NA Dr ISMAIL KWA +254721836774

06/09/2022

DAWA YA KUTIBU TONSILS (VIDONGE VYA SEPTILINE).

TONSILS ni Tezi kwenye pande za koo ambazo ni moja ya tezi katika mfumo wa kinga ya mwili wako na inafanya kazi k**a njia ya ulinzi na husaidia kuzuia mwili wako kupata maambukizi.Wakati TONSILS zinaambukizwa, hali hiyo huitwa (TONSILLITIS).

TONSILLITIS inaweza kutokea katika umri wowote na ni ugonjwa wa kawaida wa utoto.Mara nyingi hutambuliwa kwa watoto kutoka umri wa mapema hadi vijana wa kati.Dalili ni pamoja na koo,vidonda vya kuvimba,na homa.

Hali hii inaambukiza na inaweza kusababishwa na aina ya virusi vya kawaida na bakteria k**a vile bacteria wa (Streptococcal) ambao husababisha (streps throat) koo la koo.

Tonsillitis inaayo sababishwa na koo ya koo streps throat inaweza sababisha shida kubwa ikiwa utaachwa bila kutibiwa.

AINA ZA TONSILLITIS:
kuna aina 3 za Tonsillitis;
(I) Papo kwa papo ( acute).
(ii) Sugu (chronic).
(iii) na ya kawaida (recurrent).

DALILI ZA TONSILLITIS:
Dalili zinazoweza onekana za tonsillitis ni pamoja na ;
< Koo Kali, ugumu au maumivu wa kati wa kumeza .
< Sauti ya kupiga kelele (scratch- sounding voice).
< Pumzi mbaya
< homa
< Barid

05/09/2022

VIDONDA VYA TUMBO -AINA, CHANZO , DALILI NA TIBA

VIDONDA VYA TUMBO
@-Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus.

@-Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

@-Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)

Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa

2-. Vidonda vya utumbo mdogo (Duodenal ulcers) – Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)

CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo
ni;

1-Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
2-Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
3 - Kuwa na mawazo mengi
4-Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
5-Kunywa pombe na vinywaji vikali
6-Uvutaji wa sigara
7-Kuto kula mlo kwa mpangilio

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

A-Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
B-Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
C-Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
D-Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
E-Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja F-yaweza kuchanganyikana na damu
G-Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
H-Kushindwa kupumua vizuri

JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO
@-Kunywa maji mengi
@-Punguza mawazo, fanya mazoezi @-yatakupunguza na mawazo
@-Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)
@-Usivute sigara
@-Punguza au acha kunywa pombe
@-Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
@-Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakidharau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tuna dawa ya kutibu Vidonda vya tumbo ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa.

Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia baada ya wiki moja mgonjwa huanza kupona na huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwa sababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.

KWA TIBA NASAHA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

03/09/2022

TATIZO LA KIUNGULIA HUSABABISHWA NA NINI? NA JE LINA TIBA? PATA KUFAHAMU HAPA.

Kiungulia ni tatizo katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambalo husababishwa na kucheuliwa kwa mchanganyiko wa tindikali na chakula kutoka tumboni kuelekea katika koo la chakula(eneo kati ya umio na tumbo) mchanganyiko huu wenye tindikali huunguza maeneo haya na kusababisha maumivu makali katika koo la chakula.

KIUNGULIA HUSABABISHWA
NA NINI ?
Tatizo la kiungulia huwapata watu aina zote bila kujali jinsia, rangi au umri kwa kuwa yapo mambo mengi ambayo hupelekea mtu kupata kiungulia. kujiweka katika mazingira haya mara kwa mara kunaweza kupelekea kiungulia kuwa ugonjwa ambao huweza kukushambulia mara kwa mara.

Kuna sababu nyingi zinazoweza kusababisha kiungulia lakini kubwa ni kutumia vitu ambavyo hupelekea kutengenezwa kwa tindikali nyingi zaidi mwilini, vitu hivyo ni pamoja na;

1-Vyakula ambavyo husababishwa kutengenezwa kwa tindikali nyigi kupita kiwango. mfano maharage, viazi na mihogo.
2-Matumizi makubwa ya chumvi
3 - ukosefu wa vyakula vyenye ufumwele.
4-Matumizi ya pombe na kafeini
5-Kitambi
6-Kutojihusisha na mazoezi.
7-Matumizi ya baadhi ya madawa k**a vile dawa za pumu na usingizi.

NINI DALILI KUU ZA KIUNGULIA!
Zifuatazo ni dalili za kiungulia;
A-Maumivu wakati wa kumeza chakula.
B-Kutapika
C-Kichefuchefu
D-Maumivu ya kifua na tumbo
E-Muwasho katika koo la chakula
F-Harufu mbaya ya kinywa.
G-Kushikwa na nimonia.

JE KIUNGULIA KINA TIBA?
Ndio, kiungulia kinaweza kutibiwa

NAMNA YA KUJIEPUSHA
@-Epuka vyakula ambavyo husababisha kiungulia k**a chocolate, soda na juice zenye tindikali
@-Usile chakula kingi kupita kiasi.
@-Epuka kuvaa vitu vinavyobana tumbo baada ya kula mfano mshipi(mkanda wa suruali au sketi)
@-Usilale kwa muda wa masaa 2-3 mara tu baada ya kula.

NINI HATARI YA KUTOKUTIBU KIUNGULIA CHA MARA KWA MARA ?

#-Kutokutibu kiungulia ambacho hukushambulia mara kwa mara ni hatari kwa afya yako kwa vile huweza kusababisha magonjwa k**a vile;

#-Uvimbejoto sehemu za koo la chakula. uvimbe huu huharibu koo la chakula kwa vile huweza kusababisha vidonda na koo kupoteza uwezo wa kufanya kazi.

#-Kutengenezwa kwa kovu katika koo la chakula ambako kunapelekea koo la chakula kupoteza uwezo wa kufanya kazi.

#-Kubadilika kwa seli za koo la chakula kunakopelekea koo la chakula kupoteza asili yake. tatizo hili kitaalamu huitwa Barrett's esophagus.

#-Magonjwa yote hapo juu ndio sababu kubwa ambayo hupelekea mataizo ya saratani ya koo la chakula na mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa ujumla

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

03/09/2022

UTANDU MWEUPE KINYWANI MWA MTOTO(THRUSH IN BABIES

Utandu mweupe(oral thrush) unakuwa k**a maziwa kwenye kinywa cha mtoto ni infection inasababishwa na fungus wanaoitwa candida albicans.

Utandu(thrush) huo unamwadhiri mtoto sehemu ya ulimi ,kuta za mashavu kwa ndani na ufizi linawapata haswa watoto wachanga waliotoka kuzaliwa mpaka miezi 2-4,pia inawapata watoto wakubwa na watu wazima pia.

SABABU YA MTOTO KUPATA UTANDU KINYWANI

@-Candida fungus wanapo kuwa wengi mwilini ndio wanasababisha mtoto kupata utandu kinywaji.candida fungus nao wanasababisha na haya matatizo ndio wanakuja kuzalishwa wengi kwenye mwili wa mtoto
Hana kinga ya kutosha mwilini na bado inajitengeneza ndio hapo inakuwa rahisi kwake kupata infection.

@-Mama alivyokuwa mjamzito au mtoto anapotumia dawa za antibiotic anapunguza kinga ya mwili ndio mana inakuwa rahisi kushambuliwa.

@-Mtoto akitumia antibiotic inasababisha kupunguza kinga wa bacteria
Mama anaenyonyesha nae akitumia antibiotic inachangia mtoto kupata utandu

@-Mtoto anaweza pata hili tatizo kipindi anapozaliwa kupitia uke wa mama

DALILI ZA UTANDU (thrush)
1-Mtoto atalia wakati wa kunyonya au kula

2 - Mtoto atapata vipele vidogo vidogo sehemu ya matako,mapajani (diaper rash)

3 - Utandu mweupe usio futika hata ukifutwa sehemu za ufizi juu,kuta za mashavu na juu ya ulimi

4.Utando unaweza ambatana na rangi nyekundu k**a damu kwa mbali

5.Kunuka mdomo wa mtoto

UTAJUAJE K**A NI UTANDU WA MAZIWA AU INFECTION ?

1-,safisha mikono yako vizuri kwa maji safi na sabuni,jaribu kuifuta na kidole uone k**a inaweza toka ,iwapo ikatoa ujue hayo ni maziwa tu ndio yametengeneza utandu,isipo toka ujue ni infection.

2-Utandu huo unaweza mletea mtoto vidonda pia mdomo ,utajua wakati wa kunyonyesha au kumpa kuchupa ya chuchu kunyoa anashindwa na kulia kutokana na maumivu

3 - anayopata,mpeleke hospitali watamwandikia dawa ya maji au gel atakayo tumia baada ya wiki 1 hapo utaona mabadiliko.Madhara ya utando wa kinywa unaweza mletea mtoto nappy rash

USHAURI
Usafi ni muhimu sana kwa mtoto,mama hakikisha matiti yako unasafisha vizuri sehemu ya chuchu kabla ujamnyonyesha ili tatizo lisijirudie sababu infection inaweza hamia kwenye chuchu,hakikisha unaosha vizuri chupa zake au pacifier (chuchu ya plastik) k**a mnampa kuinyonya.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

03/09/2022

TATIZO LA KUSINYAA /KUZIBA KWA MRIJA WA MKOJO (URETHRAL STRUCTURE )

Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia urethral stricture.

Visababishi na vihatarishi vya tatizo hili
Kusinyaa kwa mrija wa mkojo husababishwa na kovu linalotokea katika sehemu ya mrija baada ya mtu kuumia, kufanyiwa upasuaji au kupona magonjwa ya zinaa. Inaweza pia kusababishwa na uvimbe karibu na eneo la kinena unaokandamiza mrija.

VIHATARISHI VYA TATIZO HILI NI PAMOJA NA :
1-Kuwa na historia ya kuugua magonjwa ya zinaa
2-kuwahi kuwekewa mipira ya mkojo au vifaa vya namna hiyo (catheter au cystoscope)
3-Kuvimba tezi dume (BPH) kwa wanaume
4-kuwa na historia ya kuumia au kupata majeraha maeneo ya kinena. Hii hutokea sana kwa wale wanaopata ajali wakiendesha baiskeli
5-Kupata maambukizi ya mara kwa mara ya mrija wa mkojo (urethritis)

NB
Ni nadra sana kwa tatizo hili kutokea kwa wanawake. Aidha ni nadra pia kwa mtoto kuzaliwa akiwa na tatizo hili (congenital urethral stricture).

DALILI
Mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo,

A-Kutoa shahawa zilizochanganyika na damu
B-Kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu
C-Kupungua kwa kiasi cha mkojo kinachotolewa
D-Kukojoa kwa shida
E-kutoa uchafu katika mrija wa mkojo
F-kukojoa mara kwa mara
G-Kushindwa kumaliza mkojo wote
H-Kushindwa kuhimili kutoka kwa mkojo (mkojo kujitokea wenyewe/kujikojolea)
I-Maumivu wakati wa kukojoa
J-Maumivu chini ya tumbo
K-Maumivu ya kinena
L-Mtiririko dhaifu wa mkojo (hutokea taratibu au ghafla)
M-Mkojo kutawanyika ovyo wakati wa kukojoa
Kuvimba uume

UCHUNGUZI
Daktari atakufanyia uchunguzi wa mwili na namna unavyokojoa. Uchunguzi wa mwili unaweza kuonesha:

@-Kupungua kwa mkondo wa mkojo
@-Uchafu kutoka katika mrija wa mkojo
@-Kibofu kilichojaa/kuvimba
@-Kuvimba kwa mitoki ya maeneo ya kinena
@-Tezi dume iliyovimba au yenye maumivu
@-Kuhisi kitu kigumu chini ya uume
@-Uume kuvimba au kuwa mwekundu

#- hivyo, wakati mwingine uchunguzi unaweza usioneshe tatizo lolote lile.


MADHARA YA TATIZO HILI
Tatizo hili halina budi kutibiwa haraka maana k**a likiachwa linaweza kusababisha kuziba kabisa kwa njia ya mkojo na kusababisha mkojo kujaa katika kibofu, hali ambayo, pamoja na kuleta maumivu makali kwa mgonjwa inaweza pia kusababisha figo kushindwa kufanya kazi (ARF).

KINGA
Ni muhimu kujikinga dhidi ya magonjwa ya zinaa kwa kufanya ngono salama au kuacha kabisa kufanya ngono. Aidha kuwa makini na kazi au mambo ambayo yanaweza kukusababishia kuumia maeneo ya kinena.

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mombasa