Hongwe Ward support

Hongwe Ward support

Share

I wanted to support the poor people welcome here together with you my Hongwe Ward people welcome here anytime my name is Samuel Kevin from Lamu county

16/10/2021

Xx people tusemesane salimia wakenya wote xx hapa Lamu

Hongwe Ward support Send a message to learn more

21/09/2021

Swali la Leo ni kuhusu kitengo cha asikari 1)Q Nini kinacho changia asikari kujiua kwa risasi au kujindunga kwa kisu? Ndugu zangu tusaidieni hawa watu wetu kwa maoni ya kila moja wetu.

20/09/2021

Parents help Us your son's boys and girls in this group Answered the Question 1)wazazi ni njia ngani salama yakuepuka kuzongwa na mawazo potovu? Mf K**a kunywa sumu ili kujitoa huai , kujinyonga. Toeni maoni yenu kwa huu ukulaza wazazi twaomba mchangie maoni yenu

17/09/2021

Our president Uhuru Kenyatta tunaomba utusaidie ulitoa njia mpya ya kutatua haki zetu za mashamba na title deed zetu zilienda Ofisini kule Nairobi kupekebishwa makoza mbali Hali ya kizungumkuti ya zidi hapa Ofisini mkowe hatuwaelewi wanatupa title deed za hekali mbili na nusu kivipi na title deed za hekali mbili na nusu zilirudiswa Nairobi hii sasa imekuwa hali tatanishi kwetu lamu huku sisi wenye shinda hizi tutahandamana hili kutetea haki zetu K**a Hakuna kiongozi hata fanya suluhu kupatikana kwa haraka twataka kujua zilienda wapi tangu ziludiswe Nairobi title deed zetu Ni Mimi wako mwaminifu Samuel Kevin from Lamu county Ward Hongwe Mpeketoni suluhu ipatikane my

17/09/2021

Wacheni tu jue title deed zetu zilienda wapi tangu ziludiswe kwa ofisi ya mashamba Nairobi Na kusema title deed hizo zilikuwa namakoza ya kuwa hekali mbili na nusu na ofisini kule Nairobi wanatabua kila mtu ni hekali Tano tano kulingana title deed sinavyo sema pia zilipokuja ndio ziludiswe Nairobi wengine wetu walipokea zao title deed hapo hapo lakini sisi tulionyeshwa mkoza ya title deed zetu natukaambiwa tuzubili ziludiswe Nairobi ofisini zilekebishwe kwa kuwa hawajui hekali mbili na nusu Sasa imepita takilibani miaka 9 tunaomba president wetu Uhuru uigililie Kati ili hutuzaidie kwa maana Hakuna kiongozi hata mmoja wa Lamu county hanatufahamisha kutokana na title deed zetu Our President Wala viongozi wenyewe hatuwaoni kamwe twamuona tu Honorable janko member of county Assembly Our President tusaidie kabla ya kipindi chako Cha Urais kuisha jameni hii shinda ya kandamishwa na mambwenyenye ndio hiishe

17/09/2021

Welcome here anytime my

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mombasa