Aswad

Aswad

Share

dealer's with herbal remedies

18/10/2023

MAMA PLUS

mujarab kwa wanawake wanao tafuta watoto au wenye matatizo ya kizazi

matatizo Yafuatayo :

1-matatizo ya kizazi kuwa na joto jingi

2-inaleta uwiano wa hormones

3 - Hutibu tatizo la mimba kutoka

4-huzibua mirija ya uzazi na kusafisha

5-Husaidia tatizo la kupungua damu kwa waja wazito

6-husaidia mtoto kukua vizuri ikiwa awapo tumboni

7-huwezesha kizazi kuwa imara na kuhimili uja uzito

8-hutoa madini yanayo saidia upevushaji wa mayai

9-husaidia upevushaji wa mayai kwa wasio sasio Shika ujazo uzito

10-matatizo ya uvimbe kwenye kizazi na PID

18/10/2023

JIPATIE JEMBE PLUS

DAWA YA ASILI YA KUTIBU NA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME

MATATIZO K**A; ⤵️

☑️ KUWAHI KUFIKA KILELENI WAKATI MKE HAJAFIKA

☑️ KOKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA

☑️ KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA

☑️ UUME KUSIMAMA LEGELEGE

☑️ MATATIZO YA KUJICHUA /PUNYENTO

☑️ UCHACHE WA MBEGU ZA KIUME (LOW S***M COUNT)

☑️ MATATIZO YA HORMONE IMBALANCE

☑️ UPUNGUFU WA MADINI YA ZINC NA MENGINEYO ...

➡️ ONANA NASI TUKUPATIE ( JEMBE PLUS ) UWE FITI NA UONDOKANE NA MATATIZO HAYO BIIDHINILLAH.

🥄-DAWA HII NI YA UNGA UNA CHANGANYA KIJIKO KIDOGO CHA DAWA HII KWA

✅-MAJI YA MOTO, UJI MWEPESI, MAZIWA YA MOTO, CHAI AU MAZIWA YA MOTO

🌳-DAWA HII NI HERBAL NA HAINA MADHARA YEYOTE

📚-MATUMIZI
ASUBUHI KIKOMBE KIMOJA NA JIONI
KWA SIKU 30

📲 WASILIANA NASI KWA NAMBA HII: CALL AU WHATSAPP: +254721836774 DR ISMAIL

🤝🏾 NJOO SASA TUKUPATIE JEMBE PLUS SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME 💪🏾

💊-HII NI DAWA SIO VI**RA YATUMIWA NA WATU WOTE HATA UWE NA SUKARI AMA PRESHA

😅-UTAFURAHI

18/10/2023

*JE UNAFAHAMU MADHARA YA KUWA NA SUMU MWILINI*


Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.


*VYANZO VYA SUMU*

Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe na mlo kamili.
5. Matumizi ya madawa makali.
6. Uzito mkubwa
7. Mitindo ya maisha
8. Njia za uzazi wa mpango za kisasa
9.Matumizi ya vyakula,nyama na mboga mboga ambazo zimekuzwa kwa madawa.👉hili ndilo kubwa sana na watu wengi hupata madhara haya bila kujijua mwisho wasiku mtu huanza kuugua magonjwa ambayo hayaeleweki n.k
10.Matumizi ya vitu vya kusindikwa na vitu vya processed kutoka viwandani.

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*

1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho 👉mzio/allergy
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi na matatizo ya tumbo
10.Kuwa na upungufu wa damu mara kwa mara nk


*MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU*

1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
9.Saratani au kansa mbali mbali
10.Matatizo ya moyo,kongosho na mfumo mzima wa damu ikiwemo kuganda ovyo kwa damu(arteriosclerosis, atherosclerosis,thromboembolisim) n.k

TIBA YA UHAKIKA
Baada ya utafiti wa mda mrefu SHIFAA CLINIC tumeweza kuandaa na kutengeneza mchanganyiko wa dawa Moja nzuri sana yenye nguvu ya ajabu ya kuondoa na kumaliza kabisa sumu Mwilini Kwa siku 30 pekee dawa kwa jina la
(MAXY DETOX )

kwa anaye hitaji dawa HII WASILIANA NA DR ISMAIL KWA+254721836774

18/10/2023

📚-DAWA YA SONATA

✴️-MANUFAA NA FAIDA ZAKE:

1️⃣-Huleta na kuboresha usingizi

2️⃣-hurekebisha matatizo ya usingizi k**a vile kukosa usingizi,ndoto zisumbuazo usingizini

3️⃣-Hutuliza mfumo wa neva

✅-HUWAFAA:

1-Watu wenye matatizo ya usingizi

2-Watu wenye usingizi dhaifu,

3-Watu wenye hofu,msongo,uchovu endelevu na mfadhaiko

❎-Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote

✅-INA FAA KUTUMIKA KWA WATU WOTE

18/10/2023

DAWA YA KUPUNGUZA UNENE,UZITO NA KITAMBI


Description
JE UNAHITAJI KUPUNGUA TUMBO NA UZITO BILA KUHARISHA???
YANI UNATUMIA DOZl YAKO UKIENDELEA NA SHUGHULI ZAKO ZA KAWAIDA BILA KUHARISHA UKIPUNGUA UZITO.
PIA INAKATA APPETITE/HAMU YA KULA MARA KWA MARA.
???
Suluhisho limepatikana?? HERBS ni virutubisho asilia viondoavyo mafuta mwilini, kupunguza mwili bila kusumbua mwili kwa mazoezi makali na pasipo kusababisha madhara ya kiafya mwilini, hivyo hukufanya mwenye umbo zuri na mwenye furaha? katika ndoa na jamii nzima.

Ni bidhaa bora kabisa iliyopitishwa na daktari bingwa wa virutubisho ulimwengu mzima kwa bei nafuu. Furahia maisha na HERBS

HERBS #
?Product hii ni asilia Kabisa, kwa Siku unatumia kikombe viwili yaani kimoja asubui na kimoja jioni(nusu saa hadi Dakika 45 Kabla ya kula) Tunashauri upunguze Kula vyakula vya mafuta sana na wanga sana, k**a ukila vyakula vya aina hio basi tumia kiasi

Product haikusababishii kuharisha, unaitumia na unakua katika hali ya kawaida tu.

BEI NI POA KABISA
???
Kwa chupa moja kwa mwezi mmoja, ambapo hupunguza uzito kuanzia kilo 5?.
DELIVERY HADI ULIPO(Utachangia delivery)

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NA DR ISMAIL KWA +254721836774

18/10/2023

AFYA TOTO

Dawa hii inatibu na kukabiliana na changa moto za watoto k**a :

1-humpa mtoto hamu ya kula

2-huupa mwili nguvu ili kupambana na maradhi

3-huimarisha mifupa ya watoto na ukuaji

4-huchangamsha ubongo wa mtoto

5-huwasaidia sana watoto wenye tatizo la kutotembea haraka, au kuketi

6-husaidia katika kuongeza damu kwa watoto wenye sickle cell

Dawa hii ni asilia na haina madhara yeyote

18/10/2023

🎡-MIGUU KUWAKA MOTO AU (FOOT NEUROPATHY)

🦶-Ni kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili hivyo kupoteza uwezo wa utendaji kazi wa neva miguuni

🔥-DALILI
Kuhisi ganzi, kuhisi kuchomwa na kitu chenye ncha Kali miguuni,kuhisi miguu kuwa na majimaji kwa ndani,joto Kali miguuni,kuhisi k**a unaungua miguuni,kushindwa kushika au kubeba vitu na maumivu makali.

✍️-SABABU
1️⃣-Uzito mkubwa
2️⃣-Matumizi ya baadhi za Dawa zenye chemikali kwa muda mrefu au Mara kwa Mara mfano Dawa za TB, HIV n.k
3️⃣-Upungufu wa virutubisho mwilini
4️⃣-Mgonjwa ya kisukari na Shinikizo la Damu, Magoti ,Mzio na Fangasi
5️⃣-matatizo ya moyo
6️⃣-matatizo katika mishipa ya damu

♒-MATIBABU
kwa wenye tatizo hili wasijali kwani kuna dawa nzuri sana ambayo inatibu na kumaliza kabisa tatizo hili kwa siku 30 pekee

♦️-DAWA KWA JINA LA GHARA

❇️-dawa hii inaimarisha neves za mwili

📌-Huimarisha misuli

📌-Hujenga kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbali mbali

📌-Himarisha mizunguko ya damu

🌳-Dawa hii ni asilia na haina madhara yeyote

18/10/2023

MAUMIVU YA KICHWA NI NINI?

Maumivu ya kichwa huhusisha maumivu madogo hadi makali katika sehemu moja au zaidi ya kichwa pamoja na shingo.

MVUTANO WA KICHWA
Kawaida hutokea kutokana na contraction ya misuli ya kichwa na shingo. Ni aina ya kawaida ya maumivu ya kichwa. Inaweza kutokea katika jinsia yoyote na katika umri wowote.

Maumivu ya kichwa ya mvutano kwa kawaida ni matukio ya pekee lakini yanaweza kuwa sugu kwa baadhi ya watu.

SABABU ZINAZOWEZEKANA NI PAMOJA NA:
1-Stress
2-Uchovu
3-Hali mbaya
4-Macho ya jicho
5-Tumbaku / pombe
6-(Kwa wanawake) mabadiliko ya homoni yanayotokea kabla na baada ya hedhi.

DALILI -
maumivu ya jumla, k**a mkanda wa kubana nyuma ya kichwa au shingo.

KICHWA CHA MIGRAINE
Migraine hutokea wakati mishipa ya damu kwenye kichwa inapojibana na kusababisha kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye kichwa.

MIGRAINES KAWAIDA HUPATA UZOEFU K**A VILE:
A-Kuumiza maumivu upande mmoja wa kichwa
B-Kichefuchefu (ugonjwa)
C-Photophobia (uelewa wa nuru)

SABABU FULANI ZIMETAMBULIWA AMBAZO HUONGEZA HATARI YA MIGRAINE:

@-Historia ya familia
@-Mvutano wa misuli / mkazo
@-Matumizi ya pombe
sigara
@-Ukosefu wa usingizi
@-(Kwa wanawake) kipindi cha hedhi, matumizi ya uzazi wa mpango mdomo.
@-Baadhi ya vyakula, kwa mfano, chokoleti, jibini, divai nyekundu, na vyakula vyenye vitamu bandia na vihifadhi.

DALILI ZA HATARI
X-Maumivu ya kichwa yanayoendelea, ya mara kwa mara yanayoambatana na matatizo ya kumbukumbu, ugumu wa kuzingatia na uchovu.
X-Homa kubwa na ugumu wa shingo.
X-Degedege (inafaa).
X-Usumbufu unaoendelea wa kuona.
X-Tatizo la kudhibiti mikono na miguu.
X-Kupoteza hisia katika mikono au miguu.

NB
kwa wenye matatizo ya maumivu ya kichwa ya mara kwa mara basi wasihofu kwani shifaa clinic tunayo dawa nzuri sana ambayo inatibu na kumaliza kabisa maumivu ya kichwa kwa siku 30 pekee.

#- Njoo tukuhudumie ili uepukane na matatizo haya

KWA TIBA NASAHA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

18/10/2023

KIBOKO YA VITAMBI "

DAWA ASILI YA KUPUNGUZA UZITO,KITAMBI,MWILI KWA UJUMLA

"KIBOKO YA VITAMBI "

Ni dawa inayotakana na mimea tiba maalumu kwa ajili ya kuyeyusha mafuta mwilini na kuondoa sumu katika mwili.

Zifuatazo ni katika faida za dawa hii ya KIBOKO YA VITAMBI :

1-inaondoa kitambi kwa siku 30 pekee

1. Inayeyusha mafuta mwilini kwa haraka zaidi

2. Inaondoa chorestrol

NB
Dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote 100% herbal

KWA TIBA WASILIANA NASI KWA +254721836774 DR ISMAIL

18/10/2023

SIHA

✍️Hii ni bidhaa bora zaidi ya mitishamba iliofanyiwa utafiti wa hali ya juu kwa ajili ya kupunguza na kumaliza kabisa Goiter, Ugonjwa wa Tezi,Hypothyroidism, bila upasuaji

✅-Imejaribiwa kimataifa na imethibitishwa kimatibabu

❎ Hakuna upasuaji
❎ Hakuna haja ya kwenda hospitalini
❎ Hakuna kutumia gharama kubwa

❇️-SIHA
Bidhaa bora na ya kushangaza zaidi ya ugonjwa wa GOITA

☢️-SIHA
Dawa hii ni salama kwa wenye matatizo ya vidonda vya tumbo (Alcers)

18/10/2023

UGUMBA (INFERTILITY)

Ugumba ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanapokutana kimwili (au kujamiana) bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi kwa muda wa miezi 12 na kutoweza kushika mimba au kupata ujauzito.

AINA ZA UGUMBA
Ugumba wa asili (Primary infertility) - Hii ni pale ambapo mwanaume na mwanamke hawajawahi kutunguisha mimba kabisa maishani mwao hata baada ya kujamiana au kukutana kimwili kwa muda wa mwaka mmoja bila kutumia njia yoyote ile ya kuzuia kupata mimba.

Ugumba unaotokea baadaye maishani (Secondary infertility) - Hii ni pale ambapo wote wawili, mwanamke na mwanaume wameshawahi kupata ujauzito au kutungisha mimba angalau mara moja maishani mwao na baada ya hapo hawajafanikiwa kupata au kutungisha mimba tena.

JE MIMBA HUTUNGWA VIPI?
Mimba hutungwa baada ya mwanamke kutoa yai kutoka katika moja ya viwanda vyake vya mayai ya k**e yaani ovaries, kitendo hiki hujulikana k**a ovulation. Yai husafiri hadi kwenye mfuko wa uzazi ujulikanao k**a uterus (womb) kupitia kwenye mirija ya uzazi inayojulikana k**a mirija ya fallopian.

Mbegu moja ya kiume (s***m) ni lazima itungishe au iungane (fertilize) na yai au mayai ya k**e (o**m au ova) wakati yai likielekea kwenye uterus. Baada ya mbegu ya kiume na yai la k**e kuungana, muunganiko uliotengenezwa yaani kiinitete (embryo) hushuka mpaka kwenye mfuko wa uzazi na kujiwekeza hapo ili kiendelee kuwa kiumbe.

Tatizo la ugumba linaweza likawa ni la nwanaume au mwanamke pekee ingawa wakati mwingine wote wawili wanaweza kuwa na tatizo hili.

KWA LEO TUTAZUNGUMZIA KUHUSU UGUMBA KWA WANAWAKE

NI SABABU ZIPI ZINAZOLETA TATIZO LA UGUMBA (INFERTILITY) KWAWANAWAKE?

1-Yai au kiumbe kilicho ndani ya mfuko (uterus) wa uzazi kushindwa kukua hadi kufikia kuwa mtoto.

2-Mayai yaliyo ndani ya mfuko wa uzazi kushindwa kujishikiza kwenye ukuta wa mfuko wa uzazi (uterus lining)

3-Matatizo kwenye njia ya kupita yai au mayai wakati yanakwenda kwenye mfuko wa uzazi (uterus).

4-Matatizo ya mayai ya uzazi (ovaries) kushindwa kutoa mayai (eggs).

TATIZO LA UGUMBA KWA WANAWAKE HUSABABISHWA NA;

A-Matatizo katika uterus na shingo ya kizazi (cervix) k**a uvimbe (fibroids or myomas) na birth defects
B-Tatizo la kukosekana kwa usawa wa mfumo wa vichocheo mwilini (hormonal imbalance)
C-Unywaji pombe kupindukia sigara, bangi na madawa ya kulevya
D-Magonjwa ya kina mama (Pelvic inflammatory infection, PID)
E-Ovarian cysts and polycytic ovarian syndrome
F-Magonjwa ya zinaa (sexually transmitted disease, STD) au endometriosis
G-Matatizo ya hedhi - wanawake wanaopata hedhi bila kutoa mayai (anovulatory menstrual cycle)

TIBA YA TATIZO LA UGUMBA
(INFERTILITY)
kwa walio jaribu kutafuta mtoto kwa mda mrefu bila kufanikiwa basi wasiwe na hofu tena kwani shifaa clinic tunayo dawa nzuri sana ambayo inatibu na kumaliza kabisa matatizo ya kizazi dawa hii inaimarisha kizazi na kuwezesha mwanamke kupata ujauzito kwa siku 30 pekee dawa hii ni herbal na haina madhara yeyote

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA NAMBA +254721836774

18/10/2023

MAUMIVU YA MATITI NA TIBA YAKE

Mat**i hubadilika wakati wa kubalehe kwa sababu ya ongezeko la estrojeni. Wakati wa mzunguko wa hedhi, homoni mbalimbali husababisha mabadiliko katika tishu ya mat**i ambayo inaweza kusababisha maumivu au usumbufu kwa baadhi ya wanawake. Wakati mat**i hayana maumivu, maumivu ya mat**i ya mara kwa mara ni ya kawaida. Maumivu, uvimbe, uzito, kuumwa au kuungua, kukazwa, chochote hisia, maumivu ya mat**i huumiza.

MAUMIVU YA MATITI NI NINI?
X-Maumivu ya mat**i ni hali ya kawaida kati ya wanawake, pia inajulikana k**a mastalgia. Maumivu kwa ujumla huainishwa k**a ya mzunguko au yasiyo ya mzunguko.

×-Wakati mwingine maumivu yasiyo ya mzunguko yanaweza kutoka kwa misuli au tishu zinazozunguka badala ya mat**i yenyewe.

X-Wanawake wengine wanaweza kupata uchungu wa mat**i au mat**i yao yanaweza kuhisi kujaa kuliko kawaida.

SABABU
Mabadiliko ya Hormonal
Homoni k**a vile estrojeni na progesterone zinaweza kubadilika-badilika wakati wa mzunguko wa hedhi na kusababisha uvimbe wa mat**i na maumivu. Estrojeni huathiri mirija, wakati progesterone huathiri tezi zilizopo kwenye mat**i. Aina hii ya maumivu ni mbaya zaidi siku mbili hadi tatu kabla ya mzunguko wa hedhi au huendelea katika mzunguko. Aina hii ya maumivu inaweza kupungua au kwenda baada ya ujauzito au wanakuwa wamemaliza.

UTAMBUZI
utambuzi wa maumivu ya mat**i huanza na mtihani wa kimwili. Mtoa huduma ya afya huchunguza mat**i kwa uvimbe au mabadiliko yasiyo ya kawaida. Kifua na tumbo pia huchunguzwa ili kuondokana na maumivu yasiyo ya mzunguko. Mitihani mingine iliyofanywa ni:

Mammogram
Mammogram ni mtihani wa picha. Mhudumu wa afya anashauri upimaji wa mammografia ikiwa kuna uvimbe kwenye t**i.

ZINGATIA
1-epuka kulala na braa
2-zingatia usafi wa hali ya juu kwa mat**i
3-epuka kuweka pesa,simu kwenye mat**i
4-usivae braa zenye kubana
5-epuka kuchezea chuchu

TIBA
Matibabu ya maumivu yasiyo ya mzunguko itategemea sababu ya maumivu ya mat**i. Baada ya kutambua sababu, daktari ataagiza matibabu maalum yanayohusiana.

WAKATI WA KUTEMBELEA DAKTARI?
Ikiwa maumivu ya mat**i yako ni ya ghafla na yanaambatana na maumivu ya kifua, kutetemeka, na kufa ganzi kwenye viungo vyako, tafuta matibabu ya haraka.

KINGA:
@-Kula chakula chenye nyuzinyuzi nyingi, kwani hupunguza uzalishwaji wa estrojeni na hivyo kupunguza uvimbe na maumivu kwenye mat**i.

@-Epuka kafeini na kunywa chai yenye viungo vya asili

@-Punguza matumizi ya pombe na kuacha sigara.

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA +254721836774

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Bondeni
Mombasa