Enock: hakisawa kwa kilamtu.

Enock: hakisawa kwa kilamtu.

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Enock: hakisawa kwa kilamtu., Health/Beauty, Enockmihila19@gmail. com, Arusha.

07/12/2019

kawaida kila kiumbe kilicho hai hususani binadam kinamatakwa yake,lakini binadamu wa sasa wamebadilika unakuta anataka ufuate matakwa yake,mfano mwana dada kapenda mwanakaka fulani lakn wazazi waleta pingamiz na kudai tuna mchumba tulie kuandalia,huyo hatumtaki,je hiyo ni haki kwa binadam mwenye matakwa yake!!?

22/11/2019

Katika maisha binadam huwa tunakasumba yakuzalau watu au shughuli anayoifanya au mwonekano wa mtu huyo,na huweza kumfanyia unyama au manyanyaso kwa kumuona kuwa labda hana faida kwako.na huweza kumfukuza kwako hatabilakosa imladitu akutoke,HIZO SIHAKI ZA BINADAM.,lakini mtuhuyo akianza kutambatamba hana mbele wala nyuma imladi apatetonge au mahali pakulala mwishoni anafanikiwa kuwa na maisha mazuri na wewe ulie mfukuza,kumtendea unyama,kumnyanyasa ndo wakwanza kwenda kumuomba msaada na kumpa sifa ety umemlea vizuri huwo siungwana tubadilike.

14/11/2019

Hakika mawazo yako ndo mafanikio yako ukiwaza mema na mafanikio huja mema lakini ukiwaza mabaya na maisha yako huwa mabaya .ivo bac usitende mabaya kwa mwezako ukadhani ndo njia ya mafanikio yako? Follow me my whatsapp no 0763509311;for fuul stotories%.

31/10/2019

Binadam wote Tupo sawa uwemasikini au tajili wote ni sawa hakuna alie mkubwa zaidi ya mwingine kwani mahitaji yetu nisawa k**a vile maladhi,mavazi na chakula.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Enockmihila19@gmail. Com
Arusha