Ms lizzy na Afya yako

Ms lizzy na Afya yako

Share

Tunasaidia watu kuondokana magonjwa sugu yanayosababishwa na vyakula vyakileo .

27/03/2023

*C24/7 NATURA-CEUTICALS*
Hii ni moja wapo ya bidhaa ya Alliance In Motion Global

*KIRUTUBISHO CHA C24/7*

Hii ni moja ya Vyakula Tiba vyenye virutubisho vingi na vya kutosha katika Soko la Dunia kwa sasa, C247 inajumuisha viua sumu na Virutubisho mbalimbali vilivyochanganywa pamoja Kutengeneza tembe zenye umbo la Vidonge. Mchanganyiko unaounda C247 unafanya kazi kwa Kiwango Kikubwa kuzalisha nishati na nguvu katika mwili wa binadamu hali inayoifanya C 24/7 kuwa moja ya virutubisho vinavyopambana kuimarisha Seli na tishu za mwili hali inayoimarisha mwili dhidi ya uzee. C247 inatumika kuuimarisha mwili dhidi ya mashambulizi ya magonjwa na kuongeza utimamu wa mwili muda wote na kuondoa vimelea vya sumu mwilini. Pia C 24 inajumuisha virutubisho mbalimbali vitokanavyo na mimea asilia kuliko bidhaa yoyote.
C247 inajumuisha virutubisho vifuatavyo:
• Phyto-nutrients and Anti-oxidants
• Vitamins/Minerals/ Trace Minerals
• Whole Fruit Juice Blend
• Whole Vegetable Juice Blend
• Amino Acids
• Super Green foods/ Spirulina blend
• Mushrooms
• Digestive Enzymes
• Herbs & Specialty Nutrients
• Essential Fatty Acids
• Anti-Aging/Anti-Oxidant Enhancer
• Longevity Polyphenols/Mega-Resveratrol Blends
Majukumu makubwa ya C24/7 katika mwili wa binadamu:
🖊️Kuondosha sumu mwilini.
🖊️Inasaidia kuondoa ngazi viungo vya mwili.
🖊️Inasaidia kupambana maumivu ya kiuno,Uti wa Mgongo,magoti na kifua.
🖊️Inasaidia kupambana na uzio au allegi.
🖊️ Kuulinda Moyo na kupunguza matatizo ya Moyo.
🖊️ Inasaidia kupambana na Presha.
🖊️ Ina kinga, kuboresha na Kuimarisha Mfumo wa Kinga .
🖊️ Inakinga DNA and RNA
Inazuia Ukuaji usio na wa Afya.
🖊️Inasaidia Kupata hamu ya Kula.
🖊️Inasaidia kuboresha mfumo wa mzunguko wa damu .
🖊️Inasaidia Kulinda na Kuzalisha seli Mpya
🖊️Inasaidia Kuongeza Nguvu mwilini
🖊️Ina virutubisho vya kulinda ngozi.
🖊️Inaongeza hamu na nguvu ya kufanya mapenzi
Inasaidia kuimarisha uwezo wa Kufikiri.
🖊️Inaondoa makunyazi kupunguza kasi ya uzee
🖊️Inaboresha mzunguko wa hedhi
🖊️Inasaidia Kuimarisha mifupa.
🖊️Inasaidia kupambana na Kisukari na Kansas
🖊️Inasaidia Kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanamke .

Ilikujifunza zaidi kujiunga kwenye darasa let la kila siku jiunge wewe na uwapendao tujifunze kuhusu afya zetu Afy ni mtaji bofya link hapo chini👇
https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

Tupigie tukuhudumie 🙏
📲0673110380

14/03/2022

_*C24/7 Natura Ceuticals Therapy...*_

Ni Kirutubisho ambacho kina Kila aina ya virutubisho mhimu vinavohitajika na Mwili.

C24/7 Imetengenezwa Kwa;
~Vitamini Vyote na madini 29 mhimu mwilini
~Aina 12 tofauti tofauti Za matunda mazima mazima
~Aina 12 ya mbogamboga
~Aina 12 za Uyoga
~Aina 14 ya Vyakula vya kijani vipatikanavo mwambao wa bahari

~Aina 12 za mitishamba maalum
~Aina 12 za Vimeng'enya Chakula
~Aina 10 ya mafuta mhimu mwilini
~Aina 18 ya Vijenzi protini
~Aina 5 ya Vipunguza kasi ya uzee na Virefusha maisha ya Seli.

Vitu Vyote hivyo, Vimeandaliwa, Vimechanganywa pamoja na kuunda Kirutubisho cha C24/7 na kufungwa mithili ya Kidonge cha rangi mbili.

Kirutubisho hichi cha C24/7 kina uwezo wa kukinga na kudhibiti maradhi zaidi ya 100

Hapa ni baadhi ya Magonjwa Ambayo C24/7 inaweza kukinga na kutatua/Kudhibiti shida ya maradhi .

1.Upungufu wa nguvu za kiume
2. Pumu
3.Kukosekana Kwa hedhi
4.Maumivu ya maungio
5.Uvimbe wa Aina Yeyote
6.Upungufu wa damu
7.Kukosa Choo Kwa mda mrefu
8.Shida ya kupata Choo kigumu
9. Ugumba
10. Maumivu makali ya hedhi na kukata Kwa hedhi kabla ya mda
11.Uvimbe kwenye kizazi
12.Kuvimba Kwa utumbo
13. Presha
14. Matatizo ya Moyo
15. Kansa ya damu
16. Magonjwa ya figo
17. Magonjwa ya Ini
18. Uchovu wa Akili/ubongo
19. Kipanda uso
20. Kukosa usingizi na msongo wa mawazo
21. Misuli kuuma/kukosa nguvu
22. Uchache wa mbegu za kiume
23. Saratani/Kuvimba kwa tezi dume
24. Magonjwa ya uzazi
25. Magonjwa ya zinaa

26. Viungo kufa ganzi.
27. Upungufu wa uroto kwenye mifupa
28. Upungufu wa uteute/rojorojo kwenye maungio
29. Kupararaizi/ Kiharusi
30. Ukavu macho
31. Bawasili
32. Magonjwa ya ngozi
33. Maumizi ya uti wa mgongo
34.Vidonda vya tumbo
35. Kuvimba Kwa mishipa ya damu
36. Ukosefu wa nguvu za Misuli
37. Kizunguzungu
38. Uchafu wa damu
39. Kutoa sumu mwilini
40. Viliba tumbo
41. Unyafuzi
42. Rovu (Goiter)
43. Kutoa mafuta mengi mwilini
44. Kifafa
45. Kikohozi sugu
46. Vidonda sugu
47. Mzio(Allergy)
48. Uziwi wa uzeeni
49. Harufu mbaya ukeni
50. Ukosefu wa kinga mwilini (Magonjwa nyemelezi).

Haya ni baadhi tu!

Kwa sababu Kirutubisho hichi kina Vipunguza kasi ya uzee hakishauriwi kutumiwa na Mama mjamzito, Mama anayenyonyesha na Mtoto chini ya miaka 15. Badala take makundi haya yanashauriwa kutumia Kirutubisho ambacho kinafanya kazi na Kina Kila kitu kilichomo kwenye C24/7 Isipokuwa hakina Vipunguza kasi ya Uzee tu!

C24/7 siyo DAWA, Mtu yeyote anaweza tumia Kwa kujikinga na kudhibiti maradhi mbalimbali.

Tutumie Chakula (tiba lishe) K**a dawa ili tusije tumia dawa K**a chakula!

Tupigie tukuhudumie

📲0673110380
Tiba zetu zinapatikana kwa Bei ya ofa badala 80,000 unapata 60,000 wahi Sasa delivery bure kabisaa watu wa mkoan ofa siku tatu tu (3)

Karibu kwenye jukwaa letu la afya bofya habari zaidi 👇
https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

03/02/2022

Faida Kuu Na Kipekee Za C24/7

Tiba na kinga ya Kisukari

Upungufu wa nguvu za kiume

Pumu (Asthma)

Kukosekana Kwa hedhi

Maumivu ya maungio

Uvimbe wa Aina Yeyote

Upungufu wa damu

Kukosa Choo Kwa mda mrefu

Choo kigumu

Ugumba

Maumivu makali ya hedhi na kukata Kwa hedhi kabla ya mda

Uvimbe kwenye kizazi/Kweny mfuko wa mayai

Kuvimba Kwa utumbo/Saratani ya utumbo

Presha/Shinikizo la juu la damu/la chini (Hypertension/Hypotension)

Matatizo ya Moyo (Cardiovascular Disease)

Kansa ya damu (Leukemia)

Magonjwa ya figo

Magonjwa ya Ini

Uchovu wa Akili/ubongo

Kipanda uso

Kukosa usingizi na msongo wa mawazo

Misuli kuuma/kukosa nguvu

Uchache wa mbegu za kiume

Saratani/Kuvimba kwa tezi dume

Magonjwa ya uzazi

Magonjwa ya zinaa

Viungo kufa ganzi

Upungufu wa uroto kwenye mifupa

Upungufu wa uteute/rojorojo kwenye maungio

Kupararaizi/ Kiharusi (Stroke)

Ukavu macho

Bawasili (Haemorhoids)

Magonjwa ya ngozi

Maumivu ya uti wa mgongo

Vidonda vya tumbo

Kuvimba Kwa mishipa ya damu

Ukosefu wa nguvu za Misuli

Kizunguzungu

Uchafu wa damu

Kutoa sumu mwilini

Viliba tumbo

Unyafuzi

Rovu (Goiter)

Kutoa mafuta mengi mwilini

Kifafa

Kikohozi sugu

Vidonda sugu

Mzio (Allergy)

Uziwi wa uzeeni

Harufu mbaya ukeni

Ukosefu wa kinga mwilini (Magonjwa nyemelezi)

Sickle Cell

Upungufu wa damu (Anaemia)

Magonjwa ya neva

Homa ya Ini

Matatizo ya akili/ubongo

Magonjwa ya mifupa

Baridi Yabisi

Gauti

Maonjwa ya kuhara

Uvimbe kwenye ubongo/Brain Tumor

Edema

Haya ni baadhi tu!

Kwa sababu Kirutubisho hichi kina Vipunguza kasi ya uzee hakishauriwi kutumiwa na Mama mjamzito, Mama anayenyonyesha na Mtoto chini ya miaka 18, we. Badala yake makundi haya yanashauriwa kutumia Kirutubisho ambacho kinafanya kazi na Kina Kila kitu kwa wenye magonjwa ya moyo/Pressure (Wanaotumia dawa za kufanya damu kuwa nyepesi), magonjwa ya ini, figo, vidonda vya tumbo, hawaruhusiwi kuanza na C24/7 Isipokuwa kirutubisho kisischokuwa na Vipunguza kasi ya Uzee tu! Gharama ya dozi ya mwezi sh 160,000/= kwa bei ya offer unapata kwa 140,000/=

Tupigie tukuhudumie kwa haraka na popote ulipo

📲0673110380/ 0737181642

Karibu group letu ya afya bofya link kujiunga👇👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

25/01/2022

UJUE UGONJWA WA BAWASILI, MADHARA YAKE
Bawasiri ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.

A.NINI KINASABABISHA BAWASIR ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B.DALILI ZA BAWASIR
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C.ATHARI ZA BAWASIR
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)

-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka misuli ya A**s

Tupigie tukuhudimie bawasiri bila oparetion inawezekana

0673110380/ 0737181642 whattapp

Bofya link tujiunga na group letu la afya kwa habari zaidi👇👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

21/01/2022

Mwanaume; aibu za kwahi kufika kileleni zinaepukika. Anza Tiba Leo.

Cheza Dakika 90 Wakati wa Tendo La Ndoa

ITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mkojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa

Follow us fb
ms lizy na afya yako

USIHANGAIKE TENA MWANAUME, WASILIANA NASI. PIGA/WHATSAPP 0673110380

Karibu darasa letu la afya bure upate elimu bure kabisa join link👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

20/01/2022

Usikubali kuteseka na haya maradhi mwanamke jipatie tiba na ushauri
Kwa maelezo zaidi tupigie kwa

067311080 au WhatApps anindika neno TIBA
Karibu kwenye darasa letu la afya kila siku ujifunze maradha mbalimbali chanzo na suluhisho lake ili ujikinge wewe na familia yako wanamke bila PID, UTI, fungas inawezekana

Bofya link kupata huduma zetu 👇👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

07/01/2022

Sahau Fangus, UTI, PID na Miwasho Kuisha Kwako K**a Hutotambua Madhara ya Kitanzi!

Matumizi ya Njia za Kupanga Uzazi Husababisha Kukosa na Kuvurugika kwa Hedhi

✍🏻Baadhi ya wanawake hukosa hedhi kwa muda mrefu baada ya kuacha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango. Japo Madactari hushauri kwamba hali itakaa sawa baada ya kuacha kumeza vidonge lakini bado hali huwa mbaya kwa wanawake wengine kwani tayari vidonge vimevuruga vichocheo.

✍🏻Kikawaida mpangilio wa hedhi unakuwa na kipindi cha kupanda na kushuka kwa homoni za estrogeni na progestene kwa kupishana, lakini vidonge vya uzazi wa mpango hufanya estrogeni kuwa juu muda wote na kuudanganya mwili kwamba una ujauzito wakati huna na hivyo kukosa hedhi kabisa.

✍🏻Inachukua miezi ama miaka mingi mpaka mwili kurudi kwenye hali yake ya kawaida k**a usipotumia Tiba Asilia na za uhakika.

MADHARA MENGINE YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizungu zungu na Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili
👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉🏻Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda

K**A TAYARI UMESHAPATA MADHARA KUTOKANA NA DAWA ZA UZAZI; au unahitaji ushauri, tiba piga/WhatsApp 0673110380

Pata darasa la bure kuhusu afya yako bofya link👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

27/11/2021

SABABU ZA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA NA TIBA YAKE



Ni kwa mara nyingi watoto huingiwa na tatizo la kukosa hamu ya kula huku wazazi wao hasa mama akiwa analalama kuhusu swala hili la mtoto wake kukosa hamu ya kula.

Aidha wakati mwingine hali ya hiyo hutokana na ugonjwa na ugonjwa wa kukosa hamu ya chakula ujulikanao kitaalamu k**a (Anorexia Nervosa). Watoto wenye ugonjwa huo huwa naweza kukaa muda mrefu bila kula. Pia huwa hawana tatizo lingine zaidi ya hilo pia wakipewa chakula huwa na tabia yakuchagua vyakula vya aina fulani

wazazi hufikiria hii ni tabia na sio tatizo tuangalie visababishi vya mtoto kukosa hamu ya kula na kula kwa shida sana

SABABU ZINAZOWEZA SABABISHA MTOTO KUKOSA HAMU YA KULA

✍🏻Udumavu katika ukuaji, yaaniukuaji mdogo wa mtoto kutokana either na vichocheo kuwa vidogo au la inaweza kuathiri moja kwa moja hamu ya kula
✍🏻Ugonjwa wa minyoo ya tumbo, hii husababishwa na mtoto kujiona amejaa tumbo na haitaji kabisa kula chakula
✍🏻 Dawa, baadhi ya dawa wanazotumia watoto hupelekea huondoa hamu ya kula

✍🏻Haja ngumu (constipation) hii sababu ya chakula kutokumeng'enywa vizuri hupelekea choo kigumu na tumbo kuja gesi hivyo kunyima mtoto raha ya kula kujihisi ameshiba

✍🏻Anemia ( upungungufu wa damu) husababisha mtoto kuwa na hamu ndogo ya kula. kwa maana ya kwamba mtoto huwa dhaifu sana.

✍🏻Msongo wa mawazo
mfadhaiko. Pia watoto huwa nawazo kutokana mazingira wanaoishi kufokewa muda wa kula, familia kuwa na migogoro au majukumu ya shule kumzidia hii upekea msongo wa mawazo na kumfanya mtoto kukosa hamu ya kula.

JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO ALIYEKOSA
HAMU

✅kumpatia dozi ya minyoo mtoto kila baaada ya miezi mitatu.

✅kutengenea mtoto mazingira salama ambayo hayataweza kuathiri yeye kimawazo kuwa karibu na watoto ili iwe rahisi kwa kusema matatizo yao

✅pia kumpima anaemia mtoto na kumuanzishia dozi mapema iwezekanavyo

✅kumpa chakula cha kulainisha mmeng'enyo wa chakula k**a vile papai, tikiti na parachi hii husaidia sana kulainisha choo pia mtoto apewe maji ya kutosha nusu saa baada ya kula

TIBA

Kutumia tiba lishe iliyobora kwa mtoto mychoco ni kinywaji bora sana kwa mtoto anayekosa hamu ya kula ndani inazaidi ya virutubisho 16,000 na pia mchanganyiko wa DHA chakula cha ubongo, pia imetengenezwa unga cocoa kazi kubwa kuongeza hamu yakula , kuongeza damu, kuchangamsha akili na mwili, pia inasadia kurahisisha mmeng'e nyo wa chakula hii ndyo kiboko ya watoto wasio penda kula huwafanya kusikia hamu ya kula kila wakati muulinde mwanao na mychoco

Mpende mwanao kwa kupatia tiba bora kabisa ya mychoco

Tupigie tukuhudumie 073718642 / 0673110380

Tuna tuma na mikoani pia

22/11/2021

Tezi dume ni nini?

Tezi dume kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

Saratani ya tezi dume ni nini?

Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume

✍🏻Umri Mkubwa kuanzia miaka 50

✍🏻Vinasaba (ukoo wenye historia a saratani hii

✍🏻Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu

✍🏻Unene uliokithiri

✍🏻Ukosefu wa mazoezi

✍🏻Upungufu wa virutubisho,mfano vitamin D.

✍🏻Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

DALILI ZA TEZI DUME

✍🏻Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.

✍🏻Kwenda kukojoa mara kwa mara.

✍🏻Damu ndani ya mkojo.
✍🏻Kushindwa kukojoa.

✍🏻Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.

Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
UCHUNGUZI

Wanaume wote wanapaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.

Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo

_Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).

_Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)
Biopsy.
_Ultrasound.
_X-ray.
_Bone scan.

Jinsi ya kutibu saratani ya tezi dume

_Upasuaji.

_Mionzi

_Dawa ya saratani
Homoni.

Matibabu hutegemea

Ngazi na ukali wa ugonjwa.

Je, ugonjwa upo ndani ya tezi dume tu au umesambaa.
Umri na afya ya mgonjwa.
Magonjwa ambatanishi na saratani hiyo ni

✍🏻shinikizo la damu,

✍🏻matatizo ya moyo n

✍🏻kisukari.

TIBA UPASUAJI

Kuondoa tezi dume yote peke yake inaweza ikatosha.
Kuondoa tezi dume na tezi jirani.
Kuondoa tezi dume na kuhasi
Kuondoa tezi dume kidogo kupitia njia ya mkojo na kumpa mgonjwa tiba shufa.

MIONZI.

Sawa na upasuaji inaweza kuondoa ugonjwa iwapo haujasambaa.
Mionzi pia hutolewa k**a tiba shufaa.

DAWA YA SARATANI

Baadhi ya wagonjwa hufaidika na tiba hii, dawa hutolewa kwa muda mfupi na kufuatilia maendeleo ya mgomjwa kwa kufanya PSA,dawa inaweza kuwa moja au mchanganyiko.

HOMONI

Hutolewa mfululizo kwa njia ya vidonge au sindano.

Ufuatiliaji wa karibu

Ni muhimu kufuatilia hali ya tezi isirejee baada ya ugonjwa kutibiwa kwa kufanya kipimo cha PSA mara kwa mara angalau miezi mitatu mara moja.

TIBA YA LISHE

PIA tezi dume inatibika bila kufanyiwa upusuaji kwa wale wenye dalili za mwanzo

Tiba lishe ni muhimu kwa mgonjwa wa saratani ya tezi dume hii inasaidia kuzibua mishida iliyoziba na kuondoa kabisa chanzo cha tatizo . Tiba lishe inasaidia tatizo lisijirudie kabisa

Tiba ni miezi mitatu unaweza kuanza pia kuchukua ya mwezi

Tiba ya mwezi 270,000 lakin ukiwahi kutupigia tupata tiba ya mwezi kwa 240,000 tu.

Tupigie tukuhudumie 0737181642/ 0673110380


Pia tunapage yetu facebook tunafollow kwa jina la Ms lizzy na afya yako

Pata elimu bure ya afya yako kupitia jukwaa letu. Uwakinge uwapendao 👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

12/11/2021

Hii ww mwanamke complete nikiboko ya magonjwa sugu UTI,PID,FUngas,miwasho na homoni inabalance , mvurugiko wa hedhi na hushiki mimba suluhisho limepatikana kwako wewe mwanamke ukiona hii post na share wenzio Mwanamu pia mlinde mwenza wako na complete phyto_energizer.

Tupigie tukuhudumie 0737181642.


Karibu kwenye jukwaa letu la afya upate elimu ni bure kabisa bofya lini 👇

https://chat.whatsapp.com/Jo7aI5oIsoXEjhN3kE07Iz

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Arusha