Beatrice Anaijali AFYA YAKO
Tunatoa tibalishe bora zinazotibu magonjwa yote sugu ya binadamu
05/10/2022
*JE, KWA NINI DAMU IGANDE NA ITOKE K**A MABONGE WAKATI WA HEDHI?*
⚠️Baada ya Haya mafunzo, utaweza kujua ni nini husababisha tatizo, madhara na jinsi gani kuepukana nalo. Ni miongoni mwa mafunzo muhimu ambayo unatakiwa kuyathamini, maana sio rahisi kuyapata bure.
✍🏻Mwanamke huingia kwenye hedhi kwa wastani wa muda wa siku 3 mpaka 7. Katika kipindi hiki hutoa damu kwa wastani wa mililita 30–80 kwa siku, damu ikiwa nyekundu bila mabonge yoyote. kiasi hiki cha damu ni sawa na kutumia pedi 2 mpaka 3 kwa siku bila kulowa damu chepechepe.
✍🏻Kuna wakati mwanamke anaweza kupata damu yenye mabonge, yaani iliyoganda na nyeusi. Hali hii huashiria kiasi cha damu anachopoteza ni kingi zaidi ya kawaida. Inaweza kuambatana na hedhi kuwa ndefu zaidi ya kawaida au damu kutoka nyingi zaidi ya kawaida.
✍🏻Kuganda kwa damu wakati wa hedhi huonekana k**a jambo la kawaida kwa kuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe yakiambatana kwa pamoja katika mzunguko wa hedhi wa muda mrefu, yaani siku 8-14. Hali hii inaweza kujitokeza baada ya kuporomoka kwa mimba, lakini je, ni hali ya kawaida kwa mwanamke?
✍🏻Mabonge ya damu hayakupaswa kumtokea mwanamke wakati wa hedhi. Hapo chini utaona mambo gani yanayosababisha damu kuganda wakati wa hedhi, na dalili gani zinazojitokeza, na je, unaweza kuzuiaje damu isigande wakati wa hedhi?
*JE, NI KAWAIDA KUWA NA MABONGE YA DAMU WAKATI WA HEDHI?*
✍🏻Kwa asili, wanawake wengi huwa wanapatwa na hali hii ya mabonge wanapokuwa hedhini. Lakini hata hivyo, kuna mambo ambayo kwa kawaida huonyesha kuwa unaweza kuwa na mabonge wakati wa hedhi au la. Mambo yanayoweza kusaidia kubaini tatizo hili ni k**a yafuatayo:
➡Uvimbe aina ya Fibroids
➡Kizazi kuongezeka na kuwa kikubwa
➡Uwezo wa misuli ya kizazi chako kusinyaa
➡Uvimbe katika mlango wa kizazi
➡Sindano za kuzuia mimba
➡Mimba
05/10/2022
*~ SABABU ZA MVURUGIKO WA HOMONI:-*
1. Utoaji wa mimba
2. Uwepo wa sumu mwilini
3. Kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha
4. Family history (Upungufu au ongezeko ya homoni ya progesterone na Estrogen)
5. Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
6. Uzito mkubwa au kitambi
7. Msongo wa mawazo
7. Kutofanya mazoezi
8. Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango
9. Kukoma kwa hedhi
*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*
1. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2. Kutoshika mimba
3. Mzunguko wa hedhi kubadilika
4. Kuongezeka uzito au kitambi
5. Kupungua hamu ya tendo la ndoa
6. Kupoteza kumbukumbu
7. Hasira za Mara kwa Mara
8. Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabonge mabonge
9. Uke kuwa mkavu
10. Kutoka jasho jingi usiku
11. Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
12. Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
*MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONI*
1. Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2. Mimba kuharibika mara kwa mara
3. Kukosa mtoto au Ugumba
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5. Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
6. UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
7. Kuzeeka mapema
8. Kuziba kwa mirija ya uzazi
9. Saratani
10. Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)
*SULUHISHO*
Tumia dose zetu zenye ANTIOXIDANTS ndani yake ni suluhisho pekee kwa tatizo hili, husaidia kuweka sawa homoni za mwanamke, kuboresha mfumo mzima wa uzazi, kuondoa sumu mwilini na kupunguza kasi ya uzee. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya.
*Maelezo zaidi tafadhali nitumie ujumbe DM/ whatsapp no. *0744977844*
15/08/2022
(P.I.D)
Maambukizi katika via vya uzazi kwa kawaida hujulikana k**a PID.
Kitaalamu kirefu chake ni Pelvic Inflammatory Disease, kwa Kiswahili maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi.
PID, ni maambuki yanayoathiri viungo vya uzazi vya mwanamke.
Ugonjwa wa PID unapokaa muda mrefu bila kutibiwa, unaweza kusababisha uharibifu mkubwa usiobadilika katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, hasa katika mfuko wa kizazi (uterus), vifuko vya mayai (Ovaries) na mirija ya mayai (fallopian tubes).
Ugonjwa huu unapokaa muda mrefu mwilini bila kutibiwa humfanya mwanamke kupatwa na ugumba.
Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuka na ugonjwa huu.
Mwili wa mawanamke unapokuwa na afya kamili, mlango wa kizazi huwa na nguvu ya kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi.
Mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake, hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.
zinazoonyesha kuwa una maambukizi kwenye mfumo wa uzazi ni pamoja na zifuatazo:
1. Maumivu makali ya nyonga, tumbo au chini ya kitovu.
2. Kutoka majimaji yasiyo ya kawaida yenye harufu mbaya
3. Kutokwa na majimaji yasiyo ya kawaida baada ya kufanya tendo la ndoa au baada ya kuingia hedhi.
4. Maumivu makali wakati wa kufanya wa kufanya tendo la ndoa.
5. Maumivu kipindi cha kukojoa, kukojoa mara kwa mara na kukojoa kwa shida.
Tatizo hili linaweza sababisha upate madhara yafutayo ambayo ni hatari:-
1. Kupata ugumba au utasa
2. Mimba kutoka
3. Kuharibu mfumo wa uzazi
4. Kuhurugika kwa homoni na ndo hapo huanza kupata hedhi isiyo na mpangilio.
5. Kutofurahia tendo la ndoa.
Mpendwa k**a una ndugu au mtu unayejua anatatizo la PID, tafadhali wasiliana nasi tukupatie njia tatu ambazo kwazo utamaliza kabisa tatizo hili.
Piga simu namba. +255 744 977 844
OFA OFA OFA! OFA YA SIKU (5)
Nufaika na punguzo la bei kwa siku 5 kuanzia Jumanne hadi Jumapili ya wiki hii. Ewe mwanamke mwenzangu usikubali kupitwa na ofa hii maalum.
11/08/2022
*UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA MATIBABU YAKE 0744977844
*Nini maana ya shinikizo la damu*?
👉 Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.
*Shinikizo la damu husababishwa na nini?*
*Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu*
- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin
*Uanishaji wa shinikizo la damu
- Presha ya kawaida
10/08/2022
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
-mmeng'enyo wa chakula
_bacteria waitwao helico bacter pylor
_ MATUMIZI ya dawa za kupunguza maumivu K**a aspirin, nsaids, Advil, Aleve na zingine nyingi
_msongo wa mawazo
_vyakula vinavyo zalisha acid kwa kwa wing
_uvutaji sigara
_ kuto kula mlo kwa mpangilio
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
Kupata maumivu ya TUMBO yanayo kua k**a Moto(kuingia) baada au KABLA ya kula
Kupatwa na kiungulia karibu na chemba ya moyo
TUMBO kujaa gesi na kuvimbiwa
Kichefuchefu na kutapika ikiwemo kutapika damu
Kupoteza hamu ya chakula kupungua Uzito
Kushindwa kupumua vizuri
Kupata choo kigumu
Kupata choo kilicho changanyikana na damu
MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO
saratani ya utumbo
Kupungua kwa Kinga ya mwili
Kupungua Uzito
Kupoteza viini LISHE mhimu mwilini
Kupugukiwa NGUVU ZA KIUME kwa mwana mme
Na haya ndio madhara ya VIDONDA VYA TUMBO .
Krbuni kwa tiba na msaada zaidi
0744977844calls/whatsup🙏
10/08/2022
*MVURUGIKO WA HOMONI, (HORMONE IMBALANCE)
✍️
➡️Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%
*VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI*
⏺️Uwepo wa sumu mwilini
⏺️mfumo mbovu wa maisha
⏺️Umri ukienda sana Kukoma kwa hedhi
⏺️Uzito mkubwa.
⏺️Mabadiliko ya mazingira
⏺️Msongo wa mawazo
⏺️Upungufu wa lishe mwilini.
⏺️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.mfn njiti,p2 ,sindano
⏺️Ongezeko la homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
👇
*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI*
Uke kuwa mkavu
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7.
Kukosa hedhi kwa muda mrefu na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
Uchovu wa mara kwa mara.
Kuhisi dalili za ujauzito lakini ukipima huna
Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
Ongezeko la tumbo na nyama uzembe.
Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k).
Kupata hedhi wakati wa ujauzito
Kukosa ute wa uzazi
*MADHARA YA MVURUGIKO W HOMONI*
➡️Kupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara eg fangasi,pid n.k
➡️Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu(ugumba)
➡️Mimba kuharibika mara kwa mara especially katika miezi ya nwanzo
➡️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
➡️UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
➡️Kuziba kwa mirija ya uzazi.
➡️kupatwa na saratani ya kizazi
➡️Uvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).
*SULUHISHO*
✍️
➡️Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
➡️Tiba hii huandaliwa kwajl y kuzifanya hormn zifanye kaz vizur lkn mazara huw makubwa km kuishiwa damu/saratan n mengine meng kwa MSAADA Zaid 0744977844 calls/whtsp
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mjini Kati
Arusha
0020