Aziza health care

Aziza health care

Share

Natoa Ushauri na matibabu kwa magonjwa ya afya ya uzazi wa mwanamke
. FUNGUS SUGU
. UTI SUGU
. UVIMBE
. PID
.HEDHI
. MIMBA KUHARIBIKA
. KUKOSA UJAUZITO

23/02/2022

JE ?wewe ni mwanamke ambae unasumbuka, unateseka sana na tatizo hili la P.I.D?

🤷‍♂️Umeshatumia madawa Mengi haujapata matokeo mazuri

🤷‍♂️Pengine umeshaenda Hospitali ushachoma masindano na bado hujapata matokeo mazuri .

🤷‍♂️Hupati ujauzito kutokana na P.I.d ?

🤷‍♂️MIMBA zinaharibika kila wakati kutokana na P.I.D

🤷‍♂️Mahusiano yako yameharibika kutokana na kutokwa na uchafu pamoja na harufu mbaya sehemu za siri ?

🤷‍♂️Hufurahii tendo kutokana na maumivu yatokanayo na P.I.D ?

SASA leo nataka nikupe suluhisho la kudumu ,

Tumewasaidia wanawake zaidi ya 400 kuondokana na changamoto hii ya P.I.D na wamerejesha Furaha zao kwa kupata watoto na kuwa na familia

Utaenda kupona kabisa ,

Tunapatikana
, ARUSHA-Kaloleni..

Wasiliana nasi kwa namba
0673423943,

19/02/2022

0757423949

Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus

Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..

VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI

👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu

👉kuwashwa ukeni

👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri

👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee

👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa

Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni

👉kushindwa kupata ujauzito

👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi

👉mirija ya uzazi kuziba

👉mirija ya uzazi kujaa maji

👉mirija yako kuharibika kabisa

👉kupata tatizo la hormone inbalance..

👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d

0757423949

Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungus

Ukweli ni kwamba ni P.I.D - Ni maaambukizi ya bacteria katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..

VIASHIRIA VYA UGONJWA HUU NI

👉Kutokwa na Uchafu sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu

👉kuwashwa ukeni

👉kutoa harufu mbaya sehemu za siri

👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee

👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa

Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni

👉kushindwa kupata ujauzito

👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi

👉mirija ya uzazi kuziba

👉mirija ya uzazi kujaa maji

👉mirija yako kuharibika kabisa

👉kupata tatizo la hormone inbalance..

👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa

👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

©Ili kusaidika na tatizo hili la p.i.d

https://tinyurl.com/2p95nh2h

26/01/2022

JUA ZAIDI KUHUSU KUVIMBA KWA TEZI DUME NA TIBA YAKE.

TEZI DUME NI kiungo cha kawaida katika mfumo wa Uzazi kwa mwanaume, kiungo hichi kipo chini kidogo ya KIBOFU cha mkojo na mbele kidogo ya PURU au njia ya haja kubwa

TEZI DUME ni kiungo kinachozalisha maji maji ya kurutubisha mbegu ya kiume husaidia pia kupunguza makali ya tindikali katika UKE na hivyo huwezesha mbegu ya kiume kusafiri salama kabla ya kukutana na yai katika mirija ya uzazi wa mwanamke

TEZI DUME huongezeka ukubwa Kadri umri unavyozidi kusonga kwa mwanaume kutokana na sababu mbalimbali

Kuvimba kwa tezi dume husababisha mfumo wa mkojo kwa kubana mrija unatoa mkojo

Hali hiii unaweza kuona Dalili hizo
:kuhisi mkojo kubaki katika kipofu mara tuu kumaliza kukojoa

:kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku

:maumbikizo ya UTI ya mara kwa mara

:nguvu za kiume kushuka

:KIBOFU cha mkojo Kuanza kujaaa na maumivu makali

Kutopata tiba mapema kinaweza kusababisha matatizo ya fiko na shinikizo kubwa la damu

PIGA Simu
0757423949
KUPATA TIBA

26/01/2022

SULUHISHO LA KUVIMBA KWA TEZI DUME

TEZI DUME NI kiungo cha kawaida katika mfumo wa Uzazi kwa mwanaume, kiungo hichi kipo chini kidogo ya KIBOFU cha mkojo na mbele kidogo ya PURU au njia ya haja kubwa

TEZI DUME ni kiungo kinachozalisha maji maji ya kurutubisha mbegu ya kiume husaidia pia kupunguza makali ya tindikali katika UKE na hivyo huwezesha mbegu ya kiume kusafiri salama kabla ya kukutana na yai katika mirija ya uzazi wa mwanamke

TEZI DUME huongezeka ukubwa Kadri umri unavyozidi kusonga kwa mwanaume kutokana na sababu mbalimbali

Kuvimba kwa tezi dume husababisha mfumo wa mkojo kwa kubana mrija unatoa mkojo

Hali hiii unaweza kuona Dalili hizo
:kuhisi mkojo kubaki katika kipofu mara tuu kumaliza kukojoa

:kukojoa mara kwa mara nyakati za usiku

:maumbikizo ya UTI ya mara kwa mara

:nguvu za kiume kushuka

:KIBOFU cha mkojo Kuanza kujaaa na maumivu makali

Kutopata tiba mapema kinaweza kusababisha matatizo ya fiko na shinikizo kubwa la damu

MATIBABU
1) Njia ya dawa

PIGA Simu
0757423949

06/06/2021

Sababu za UTI sugu na tiba yake

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kaloleni
Arusha