Our health/afya yetu

Our health/afya yetu

Share

TUNATIBU MAGONJWA YAFUATAYO KWA KUTUMIA TIBA LISHE KUTOKA BFSUMA
#TEZI DUME #P.I.D #U.I.T #SUKAR

K**A UMEPATA CHANGAMOTO YEYOTE YA KIAFYA NA UJAPATA SULUISHO TAFADHALI WASILIANA NASI KWA MSAADA ZAIDI KWA USHAURI NA TIBA

PIGA NAMBA 0710 163943

20/12/2024

IJUE TEZI DUME NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI

Tezi dume ni moja ya tezi ya uzazi ya kiume ambayo kila mwanaume anayo, tezi hii lipo chini ya kibofu cha mkojo na inazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.

*NOTE:Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nayo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au Saratani.*

Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume.
•Maambukizi ya Bakteria (Prostat**is).

•Kukua kwa tezi dume ambayo sio Saratani (Benign Prostatic
Hypertrophy-BPH).

•Saratani ya tezi dume.

KAZI YA TEZI DUME

•Kutoa majimaji anayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) kutengeneza manii (semen).

SARATANI YA TEZI DUME

Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vitokanavyo na saratani kwa wanaume duniani.

Pia ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 40 na kuendelea.

VISABABISHI VYA SARATANI YA TEZI DUME

Chanzo hasa cha saratani ya tezi dume hakijulikani, saratani hii ina uhusiano mkubwa na;

1.Umri, Wanaume wenye umri kuanzia
miaka 40 na kuendelea wanapata zaidi saratani ya tezi dume.

2.Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha mafuta, hasa ya wanyama.

3.Historia ya tatizo hili kwenye familia (Genetic).

4.Kuwa na uzito uliokithiri.

DALILI ZA SARATANI YA TEZI DUME

Katika hatua za awali, dalili hazitofautiani sana na zile za kuvimba kwa tezi dume Isiyokuwa Saratani (BPH).
Dalili hizo ni pamoja na;

1.Kusikia kupata haja ndogo mara kwa mara hasa nyakati za usiku.

2.Haja ndogo kuchelewa kutoka unapoanza kukojoa.

3.Kutoa mkojo wenye mtiririko dhaifu na kuchuruzika kidogo kidogo baada ya kumaliza kukojoa.

4.Kujikakamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote.

5.Kutoa mkojo au manii
yaliyochanganyika na damu.

6.Maumivu makali sehemu mbalimbali za mwili k**a Saratani imesambaa.

7.Kupungua uzito, kuhisi kichefuchefu, uchovu na kizunguzungu.

*TIBA YA UVIMBE TEZI DUME IPO KWA NJIA YA ASILI BILA UPASUAJI :

TUWASILIANE kwa msaada zaid ushaur ni bure kabisa wa.me/255765163943








wa.me/255765163943

20/12/2024

DALILI ZA KUVIMBA KWA VIFUKO VYA MAYAI YA UZAZI (OVARIAN CYST)

Uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya mwanamke (o***y), hutokana na mkusanyiko wa majimaji yanayozungukwa na kuta nyembamba ndani ya vifuko vya mayai ya mwanamke. Uvimbe huu hutokea kwa wanawake wa umri wowote ule na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofikia kikomo cha umri wa kupata ujauzito.

Sababu/ Mambo hatarishi yanayopelekea vimbe katika vifuko vya mayai: .
➢ Matatizo ya homoni hali hii hutokana na matumizi ya vidonge vinavyotumiwa kwa ajili ya kupevusha mayai bila ushauri wa daktari. .
➢ Ujauzito wakati mwingine uvimbe unaojitokeza huweza kukaa kwa kipindi cha ujauzito. .
➢ Endometriosis hii huwa ni hali inayosababisha seli za ukuta wa tumbo la kizazi kuota nje ya kifuko chako cha kizazi. Baadhi ya tishu zinaweza kushik**ana na vifuko vyako vya mayai na kutengeneza uvimbe. .
➢ Kutotibu maambukizi katika mfumo wa uzazi na mkojo k**a maambukizi ya bakteria k**a vile UTI, fangasi, magonjwa ya zinaa k**a pangusa(Chlamydia) au kisonono,

DALILI ZAKE;
➢ Maumivu kwenye nyonga hasa maeneo ulipo uvimbe. .
➢ Tumbo kujaa au kuwa zito. .➢ Tumbo kuunguruma. .
➢ Maumivu na kuhisi homa au kutapika. .
➢ Hali ya homa na uchovu kichefu chefu na kutapika .➢ Maumivu makali chini ya kitovu pembeni kushoto au kulia au pande zote. .
➢ Hedhi kuvurugika.
. ➢ Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

Mwanamke asipotibu tatizo hili mapema anaweza kupoteza uwezo wake wa kubeba ujauzito/UGUMBA.

K**a umeshakumbana na madhara haya tuna virutubisho lishe kutoka Marekani/ tiba lishe mzuri sana ya kukusaidia na kuondoa madhara haya.

Ni dawa zinazotokana na mimea tiba na matunda pamoja na ushauri wa kitaalamu.


0765 163 943

04/12/2024

UJUE UGONJWA WA BAWASILI (HEMORRHOID) DALILI MADHARA NA TIBA YAKE NA TIBA YAKE BILA UPASUAJI

Hii ni hali inayotokea baada ya kuvimba kwa mishipa midogo (vena) inayozunguka sehemu au tishu za tundu la haja kubwa. Ambapo mishipa hii huvimba na kusababisha. Vimbe au vinyama kuota katk eneo la kutolea haja kubwa.
Pia mishipa hyo hupasuka na kusababisha damu kuvilia na kufanya tundu la hajakubwa kuwa bluu au mwekundu uliovimba na sometimes kuziba sehemu ya kutolea kinyesi.

Bawasili zipo za aina mbili kulingana na sehemu inapotokea... Inaweza kuwa ndani au kwa nje.

VYANZO VYA BAWASILI

1.Kukaa kwa mda mrefu k**a maderva watu wa maofisini na baadhi ya kazi za kukaa maala pamoja mda mrefu hupata Bawasili

2.kutumia nguvu kupush wakati wa kujifungua pia hupelekea mishipa ya haja kubwa ku bust hivyo kupelekea Bawasili

3.kufanya ngono kinyume na maumbile

4.kupata choo ngumu( constipation)mara kwa mara hupelekea kupata Bawasili

6.kutumia vyoo vya kukaa mara nyingi vyoo vya kukaa mtu hua hamalizi choo chote

7.kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali hupelekea kupasuka kwa mishipa ya haja kubwa na kupelekea kupata Bawasili

DALILI ZA BAWASILI

1.Kuwashwa seemu ya haja kubwa mara kwa mara

2.Kujisaidia choo chenye damu

3.Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia

4.Kuota kinya seemu ya haja kubwa kinaweza kua nje au ndani ya tundu la haja kubwa

5.Na dalili nyingine kma kushindwa kukaa ,kupungukiwa na nguvu za tendo , kukosa hamu ya tendo na nk

MADHARA YA BAWASILI

1.Upungufu wa damu

2.kutokwa na kinyesi bila kujitambua

3.kukosa hamu ya tendo la ndoa

4.upungufu wa nguvu za kiume

5.kuathirika kisaikolojia

6.kupata cancer ya utumbo

7.mwili kudhoofika

SULUHISHO

Mara Nyingi Uvimbe huu wa Bawasili hufanyiwa Upasuajii hospital ila wengi tatizo hili hujirudia tena

Tuna bidhaa Nzuri zenye uwezo wa kuondoa Uvimbe wa Bawasili bila Upasuajii

wasiliana nasi kwa
0765 163 943 upate Ushauri na Tiba

20/11/2024

PRESHA YA KUPANDA MADHARA YAKE
Ni hali ya uwepo wa ukinzani wa damu kupita kwenye mishipa ya damu yaani moyo unasukuma damu Lakin mishipa ya damu hairuhusu damu kupita vizuri.

DALILI ZA PRESHA YA KUPANDA
➡️Kifua kuuma upande wa kushoto na maumivu kupanda hadi kwenye kidevu
➡️Kuchoka hata mtu akifanya kazi ndogo au kupandisha ngazi
➡️Miguu kuvimba
➡️Wakati mwingine kichwa kuuma sana
➡️kupata kizunguzungu na kuishiwa nguvu
➡️Kuzimia
🔔Presha inapopanda maana yake damu haipiti vizuri. Moyo hupata tabu na sehemu zingine za mwili hazipati damu vizuri
_________________________
*MADHARA YA PRESHA YA KUPANDA
_________________________
➡️kiharusi (stroke )
➡️Shambulio la moyo( heart attack)
➡️Moyo mpana
➡️Figo kufeli
➡️Upungufu wa nguvu za kiume
➡️Miguu kuwaka moto na kuvimba
➡️Ganzi

Tunazo Tiba kumaliza PRESHA na MADHARA yake 0765 163 943

25/06/2024

CHANZO CHA CHUCHU KUTOA MAJI

Unapokuwa mjamzito au kunyonyesha, kiasi kidogo cha maziwa kinaweza kuvuja. Kuvuja kunaweza kuanza mapema katika kipindi cha ujauzito wako, na unaweza kuendelea kuona maziwa hadi miaka 2 au 3 baada ya kuacha kunyonyesha.

Walakini, unaweza kutokwa na Maji hata k**a wewe si mjamzito au kunyonyesha. Sababu zingine za kutokwa na maji kwenye chuchu ni pamoja na:

1. Matumizi ya baadhi ya njia za uzazi wa mpango,Mfano; Vidonge vya Uzazi wa mpango(birth control pills)

2. Maambukizi kwenye t**i au T**i kuwa na jipu

3. Kuwa na tatizo la duct papilloma, ukuaji usio na madhara k**a wart katika mirija ya mat**i yako

4. Matumizi ya baadhi ya Dawa, Mfano dawa zinazoongeza kiwango cha vichocheo vinavyozalisha maziwa k**a vile Prolactin,

Mfano ni dawa jamii ya antidepressants pamoja na ranquilizers

5. Kusisimua mat**i au chuchu kupita kiasi

6. Kuwa na tatizo la fibrocystic breasts

7. Mabadiliko ya Vichocheo mwilini, ikiwemo kipindi cha Hedhi au Ukomo wa Hedhi(menopause)

8. Kuumia au kupata Majeraha kwenye mat**i

9. Kuwa na tatizo la kuziba kwa mirija ya maziwa yaani kwa kitaalam
mammary duct ectasia,

10. Kuwa na Uvimbe usio Saratani kwenye tezi la pituitary(prolactinoma)

11. Tatizo la Tezi la Thyroid kutokufanya kazi vizuri yaani underactive thyroid gland

12. Kuwa na Saratani ya mat**i(breast cancer) n.k

Hakikisha unaongea na Wataalam wa afya mapema ikiwa una tatizo hili la Chuchu Kutoa Maji au;

Kwa changamoto Binafsi, nitumie Ujumbe kupitia Whatsapp no:- 0765 163 943

17/02/2024

kwa Kifafa

Kwa mtu mwenye kifafa, ni muhimu kufuata hatua kadhaa za kimsingi ili kumsaidia wakati wa kifafa:

1. **Tulia:**

Epuka kumshika au kumzuia mtu huyo wakati anapopata kifafa. Weka mazingira salama kwa kuondoa vitu vyenye hatari karibu naye.

2. **Mlaze Chini:**

Mweke mtu huyo kwa upande wake ili kuzuia kumumiza kwa kujigonga.

3. **Mpe Nafasi:**

Hakikisha hakuna watu wengine wanaomzunguka kwa karibu ili kumruhusu kupumua kwa uhuru.

4. **Usiweke Kitu kinywani:**

Usijaribu kumwekea kitu kinywani. Kuna hatari ya kusababisha majeraha au kuziba njia yake ya hewa.

5. **Tunza Wakati:**

Kumbuka muda wa kifafa. Ikiwa kifafa chake kinadumu zaidi ya dakika tano, au ikiwa ana kifafa cha aina ya kushtukia (status epilepticus), tafuta msaada wa dharura mara moja.

6. **Msaada wa Matibabu:**

Baada ya kifafa kumalizika, mpe faraja na uwe tayari kumsaidia kupata matibabu ikiwa ni lazima.

Ni muhimu pia kuwa na uelewa wa hali ya kifafa ya mtu huyo na kuwasiliana naye kwa kuheshimu mahitaji yake.

Kwa Ushauri na Maelezo Zaidi
+255(0)710 163 943
(0)765 163 943

17/02/2024

kwa kifafa

Kwa mtu mwenye kifafa, ni muhimu kuzingatia lishe yenye afya na yenye kusaidia kudhibiti hali yao. Chakula kinachofaa kwa mtu mwenye kifafa ni pamoja na:

1. Lishe yenye afya na inayofaa kwa moyo: Kula vyakula vyenye protini nzuri k**a vile samaki, kuku, nyama ya nguruwe, na maharage. Pia, kula matunda na mboga mboga mbalimbali.

2. Kudhibiti sukari ya damu: Epuka vyakula vyenye kiwango kikubwa cha sukari, na badala yake chagua vyakula vyenye kiwango cha chini cha index ya glycemic (GI) k**a vile nafaka nzima, mboga za majani, na matunda yenye kiwango cha chini cha sukari.

3. Epuka vichocheo vya kifafa: Kwa baadhi ya watu wenye kifafa, baadhi ya vyakula vinaweza kuchochea mashambulizi ya kifafa. Kwa mfano, baadhi ya watu wanaweza kufaidika kwa kupunguza au kuondoa kabisa matumizi ya kafeini na pombe.

4. Lishe yenye kiwango sahihi cha sodiamu: Epuka vyakula vyenye kiwango kikubwa cha sodiamu, kwani sodiamu nyingi inaweza kuathiri vibaya shinikizo la damu, ambalo linaweza kuwa na athari mbaya kwa watu wenye kifafa.

Ni muhimu pia kushauriana na daktari au mtaalamu wa lishe ili kupata mwongozo wa kibinafsi na ushauri kulingana na mahitaji ya mtu mwenye kifafa.

Maelezo Zaid Wasiliana Nasi
+255(0)710 163 943
(0)765 163 943

17/02/2024

Chanzo cha kifafa kinaweza kutofautiana kulingana na mtu binafsi, na mara nyingi sababu haijulikani.

Hata hivyo, kuna sababu kadhaa zinazoweza kuchangia au kusababisha kifafa, zikiwemo:

1. **Majeraha ya Kichwa**:

Kuumia kichwa kutokana na ajali au jeraha linaweza kusababisha kifafa.

2. **Magonjwa ya Ubongo**:

Magonjwa k**a vile uvimbe wa ubongo, uvimbe wa kichwa, au kuzaliwa na kasoro za ubongo zinaweza kusababisha kifafa.

3. **Mabadiliko ya Kijenetiki**:

Baadhi ya aina za kifafa zinaweza kurithiwa kwenye familia.

4. **Matumizi ya Dawa au Madawa ya Kulevya**:

Baadhi ya dawa au madawa ya kulevya yanaweza kusababisha kifafa.

5. **Matatizo ya Maendeleo ya Ubongo**:

Matatizo ya maendeleo ya ubongo yanaweza kusababisha kifafa kwa watoto na watu wazima.

6. **Magonjwa ya Kuambukiza**:

Baadhi ya magonjwa ya kuambukiza k**a vile meningitis au encephalitis yanaweza kusababisha kifafa.

7. **Matatizo ya Kimaumbile ya Ubongo**:

Kasoro za maumbile katika muundo wa ubongo zinaweza kusababisha kifafa.

8. **Kutokukua vizuri kwa ubongo**:

Kuna hali ambazo ubongo haukui vizuri, na hii inaweza kusababisha kifafa.

Kwa kuongezea, kuna mambo mengine yanayoongeza hatari ya kifafa k**a vile msongo wa mawazo, matumizi mabaya ya pombe au dawa za kulevya, na upungufu wa usingizi. Katika baadhi ya visa, chanzo cha kifafa kinaweza kuwa dhahiri wakati mwingine ni vigumu kutambua sababu hasa. Ni muhimu kwa watu wenye kifafa kupata utambuzi na matibabu sahihi kutoka kwa wataalamu wa afya.

Maelezo Zaidi Wasiliana Nasi
+255(0)765 163 943
(0)710 163 943

17/02/2024

Kifafa ni hali ya kiafya inayosababishwa na shughuli za umeme zisizo za kawaida katika ubongo, ambazo husababisha mashambulizi ya ghafla ya kifafa.

Mashambulizi hayo yanaweza kujumuisha kuzimia, kutetemeka kwa mwili, mabadiliko ya fahamu au tabia, au hali zingine za kiafya zinazohusiana na shughuli za umeme za ubongo zilizopotoshwa. Kifafa kinaweza kusababishwa na sababu mbalimbali k**a vile majeraha ya kichwa, maambukizi, kasoro ya maumbile ya ubongo, au hali zingine za kiafya. Watu wenye kifafa wanaweza kudhibiti hali yao kwa dawa au matibabu mengine chini ya usimamizi wa daktari.

Kwa Ushauri Zaidi
+255(0)765 163 943
(0)710 163 943

17/02/2024

TANGAZO LA NASI ZA KUWAKALA hii sio Ya kukosa

K**a Wewe Ni kijana na Huna Ajira au Una ajira lakin haitoshelezi ni naFasi kwako

25/11/2023

BF SUMA FAHAMU FAIDA ZA FEMICARE KWA WEWE MWANAMKE

Femicare ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoa changamoto mbalimbali Ukeni. Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE.
1. Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2. Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3. Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.

4. Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5. Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6. Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.

7. Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8. Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).

9. Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.
-
Tunapatikana
Arusha
Dodoma
Morogoro
Mwanza
Dar es es salaam
Mbeya
Lindi
Kilimanjaro na nk

0765 163943
0710 163943

25/11/2023

UGONJWA WA KISUKARI

👉Ugonjwa kisukari au kitaalamu tunaita (diabete mellitus) ni tatizo linalosababishwa na ukosefu wa insulin ambayo hutoka katika kongosho

💫Kuna aina mbili za ugonjwa wa sukari
1️⃣ Kisukari type 1
2️⃣Kisukari type 2

📌 KISUKARI TYPE 1
👉 hii ni aina ya kisukari ambayo kitaalamu tunaiita JUVENILE DIABETES ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo mara nyingi ugonjwa huu huwa wa inheritance yani ni moja ya Magonjwa ya kurithi ugonjwa huu husababishwa pia na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha

💫
DALILI ZA KISUKARI TYPE1
👉 Kuhisi kiu sana
👉 Mdomo kuwa mkavu sana
👉 Matatizo ya ngozi na njia za mkojo
👉 Kiungulia na kichefu chefu kikali
👉 Kukojoa mara kwa mara
👉 Kuhisi njaa kila wakati
👉 Mwili kukosa nguvu
👉 Jasho sana hasa nyakati za usiku
👉 Kushindwa kujiamini

2️⃣ DIABETES TYPE 2

💫hii ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima umri kuanzia miaka 45 plus hapa inaeeezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kabisaa au hufanya kazi kwa kiasi kidog sana hivyo kushindwa kupambana na sukari

💫SABABU MBADALA ZINAZOSABABISHA UGONJWA WA SUKARI

↘️Ulevi hasa wa pombe kali
↘️Uvutaji wa sigara
↘️Matumizi ya madawa makali hasa antibiotic
↘️Ulaji mbovu hasa mafuta mengi na vyakula vya kiwandani vyenye kemikali

⚠️ MATATIZO MENGINE YANAYOSABABISHWA NA SUKARI

💫Magonjwa ya moyo
💫Kiharusi
💫Mishipa ya fahamu kushindwa kufanya kazi vzr
💫Figo kufeli n.k.



Unaweza kutupigia Kwa ushauri zaidi
0710 163 943 /0765 163 943

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Arusha
KALOLEN