Maisha ni Afya
Tunasaidia watu wenye changamoto ya mfumo wa uzazi, nguvu za kiume, na mengine mengi tuma ujumbe nen
14/03/2021
JUICE YENYE VIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWAAJILI YA AFYA BORA YA KILA MTU
ALOE VERA GEL:
Husaidia:
1. KUBORESHA MMENG'ENYO WA CHAKULA TUMBONI NA KUONDOA TATIZO LA KUKOSA CHOO (CONSTIPATION)
2. KUSAFISHA NA KUONDOA TAKA MWILI/TOXINS MWILINI.
3. INASAIDIA KUONGEZA KINGA YA MWILI.
4. HUUPA MWILI VIRUTUBISHO VINGI ASILIA , MFANO: VITAMIN NA MADINI TOFAUTI, NA AMINO ACIDS
5. NZURI KWAAJILI YA NGOZI, HUSAIDIA KULETA UNYEVUNYEVU, KUREPAIR NA KUIKINGA NGOZI.
6. HUSAIDIA KUONDOA HALI YA UCHOVU NA KUUPA MWILI NGUVU.
7. HUSAIDIA AFYA YA KINYWA (Mdomo kutoa Harufu)
Ni Juice Iliyotengenezwa Kwa Mmea wa ALOE VERA aina ya (Barbadensis Miller) Kutoka Marekani, yenye 96.2% Ya Aloe Vera, Huupa Mwili Virutubisho vingi kuifanya Afya Yako iwe imara na kukuepusha na magonjwa:
Tuma ujumbe neno ALOEVERA JUICE kwenda whatsapp namba 0764953286 au piga simu usaidiwe mapema ndugu.
14/03/2021
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO 👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. 👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza. 👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea. 👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza 👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi. 👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri. 👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena. 👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo. 👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0764953286 au piga simu usaidiwe mapema
13/03/2021
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
NA CHANGAMOTO YA UZAZI KWA MWANAUME
Familia nyingi kwasasa zina changamoto ya mfumo wa uzazi. Leo hii tunaenda kuzungumzia mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume hususani:
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Takwimu za afya zinaonesha kati ya wanaume 10 miongoni mwao 7 wana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Tatizo hili linazidi kuongezeka kwa kasi kubwa, na lilikuwa linawakumba sana watu wazima kuanzia umri wa miaka 35 – 75+
Lakini kwa sasa Tatizo hili linajitokeza kuanzia umri wa Miaka 25+
Tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume
Limegawanyika katika makundi Matatu ambayo huhusiana kwa ukaribu sana
Makundi haya ni k**a yafuatayo:,
- Shahawa hazina uwezo wa kutunga mimba.Pia kuwa na shahawa nyepesi sana k**a maji.
- Ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa. Ikitokea umepata hamu hata kidogo shahawa zinawahi kutoka.Yaani kuwahi kufika kileleni.
Hapa pia tunapata aina mbili.
KUWAHI KUFIKA KILELENI KABLA YA TENDO LA NDOA
Hili hutokea pale mwanaume anafika kileleni hata kabla ya kuanza tendo na hushindwa kusimamisha tena uume.
KUWAHI KUFIKA KILELENI WAKATI WA TENDO LA NDOA
Hii hutokea pale mwanaume anapowahi kufika kileleni wakati wa tendo na hushindwa kumridhisha mwenzi wake na pia hushindwa kurudia tendo.
Wengine wanapata hamu ya tendo la ndoa lakini hawatoi shahawa.
- Uume kutosimama.
Hutokana na mwanaume kushindwa kabisa kusimamisha uume wake, Tatizo hili huambatana na changamoto ya uume kusinyaa au kuwa mdogo,
Mishipa ya uume kulegea na uume kutokuwa strong ukisimama.
II. CHANZO CHA MATATIZO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
Upungufu wa nguvu za kiume sio ugonjwa, ila ni k**a indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo ndani ya mwili wa binadamu ambavyo vinahusika na suala zima la nguvu za kiume havifanyi kazi vizuri.
Baadhi ya hivyo viungo vinavyo husika na nguvu za kiume ni: Moyo, Ini, Figo, Ubongo, Mishipa ya Damu, Korodani, Tezi dume, Misuli, .. … … n.k.
Kunapo kuwa na hitilafu kwenye viungo hivi ndiyo vinapelekea moja kwa moja mtu kupata changamoto ya nguvu za kiume.
Hivi ni baadhi ya vitu vinavyo sababisha viungo tulivyo taja hapo juu kutofanya kazi vizuri na baadae kusababisha matatizo mbali mbali ikiwemo vifo.
Kuwa makini na vitu vifuatavyo:
- Uvutaji wa sigara, na utumiaji wa dawa za kulevya
- Pombe (aina yeyote).
- Kujichua, au kupiga punyeto
- Kula vyakula venye kuharibu mfumo wetu wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System).
Huu mfumo ukiharibika unasababisha damu kutosafirishwa vizuri mwilini.
- Uzito mkubwa au kitambi
- Tatizo la Kutokupata choo vizuri (Constipation)
- Tatizo la Tezi dume
- Matatizo ya moyo
- Kisukari (Diabetes)
- Stress, Pressure, Chorestrol
- Mvurugiko wa Homoni
- Kukaa kwa muda mrefu
- Kutumia sana madawa yenye kemikali k**a dose za mda mrefu k**a kisukari na pressure,
Hapa unatakiwa kuwa makini na kukumbuka kwamba mili yetu haijaumbwa kwajili ya madawa ya kikemikali. Mili yetu iliumbwa ili iweze kujitengenezea kinga kupitia vyakula tunavyo kula vyenye lishe na virutubisho; siyo madawa ya kikemikali au mitishamba.
Tunaenda hospitalini kwasababu hakuna njia mbadala lakini unaweza kupatiwa msaada kuondokana na addiction hiyo. K**a wewe unahitaji kuwa na afya bora na ujiepushe na magonjwa mbali mbali, unashauriwa kujenga utaratibu wa kupatia mwili wako lishe kamili na virutubisho muhimu.
III. DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Na tunapo ongelea suala la upungufu wa nguvu za kiume tunamaanisha:
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- Kukosa pumzi wakati wa tendo yaani ufanyapo tendo lenyewe
- Uwezo wa kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu (Kulegea kwa mushipa ya uume)
- Kuwahi kufika kileleni yaani Kabla ya tendo na wakati wa Tendo pia
- Kuchelewa sana kufika kileleni na hii hutokea sana kwa mwanaume mwenye upungufu wa Shahawa.Mwanaume mwenye tatizo hili huweza kutumia mpaka Saa moja na nusu kwa mzunguko mmoja na hata afikapo kileleni hutoa shahawa kidogo sana na pia hukosa hamu ya tendo la ndoa pia. Kuchelewa huko kumwaga shahawa humpa ukavu mwanamke na maumivu makali wakati wa tendo hali ambayo humfanya mwanamke kutorudia tendo.
Hali hii ikitokea mara kwa mara kwa mwanamke humkosesha hamu ya tendo kabisa. Mara nyingi wanawake hupata tatizo hili lakini huwa ni vigumu kumweleza mwanaume wake kwa kulinda tuu mahusiano yake na kuanza kujuta japo hatakwambia kwa sababu ni aibu kwake; na wewe pia hutofurahiya tendo la ndoa kwa kukosa ushirikiano na Utaathirika kisaikolojia kwa njia moja au nyingine
- Kuchoka sana baada ya tendo au kujisikia kichefuchefu, wakati mwingine wengi hua wanajihiisi kutapika.
IV. MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Kabla hatujaenda kutiririka baadhi ya madhara yanayotokana na upungufu wa nguvu za kiume, kuna kitu muhimu sana kwa wanandoa au wapenzi wanastahili kukijua.
Mwanamke ni kiumbe cha ajabu sana na aliumbwa na uwezo wakuweza kukojoa zaidi ya mara 5, endapo wewe utaweka sawa afya yako na kujuwa ni vitu gani unastahili kufahamu. Ili mwanamke akojoe kwa mshindo wa kwanza ni lazima uume wako uweze kusimama angalau dakika 5 – 10 ukiwa unachezesha uume wako kwenye mashavu ya uke.
Wanawake wanapenda sana kuchezewa kwenye mashavu ya uke kwa kutumia uume, siyo vinginevyo. Wanaume wengi wanashindwa kuwaridhisha wenzao kwasababu ya upungufu wa nguvu zao za kiume huwapelekea kutumia baadhi ya madawa au Vi**ra ili angalau waweze kuwaridhisha wenzao jambo ambalo si sahihi kwani wengi wao hujikuta kuwa ni wahanga wa matumizi ya hivyo vitu pekee na ndo huweza kuhimili tendo.
Ukweli thabiti ni huu: endapo unakuwa na afya nzuri ya mfumo wa uzazi, utaweza kusimamisha uume wako na kumridhisha kiurahisi bila kutumia nguvu nyingi kwa kila mshindo.
Hivyo basi usihangaike kwenda kwa waganga (kalumanzira), kwasababu suala zima ni kwamba unajali vipi afya yako?
Mfumo wako wa uzazi ukiwa haufanyi kazi vizuri, utapata madhara yafuatayo:
- Dharau kwa mwenzi wako na inaweza kuwa ya moja kwa moja au si moja kwa moja.
- Kushindwa kumridhisha mwanamke. Hili tatizo linampelekea kutoka nje ya ndoa na baadae kuachika
- Kushindwa kupata mtoto
- Kushindwa kupata ladha kamili ya tendo la ndoa
- Kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu
- Fujo kila kukicha. Shida hamzitatuwi k**a watu wazima, na maranyingi hamuelewani hata kidogo. Wengine wanaenda kwa waganga, makanisani na kwa mashekhe ili wapate suluhisho la ndoa zao (Heshima ya ndoa hushuka)
- Kutoka nje ya ndoa (jinsia zote). Vitu unavyoenda kutafuta havieleweki, havina msingi; bali unakaribisha matatizo juu ya mengine na kukaribisha maradhi katika ndoa.
- Ndoa kusambaratika, na kurandaranda kila sehemu.
Unajishushia heshima mwenyewe bila kujitambuwa.
Ipo dhana potofu ambayo wanaume na wanawake huamini kukosa hamu ya tendo la ndoa hutokana na mtu kuwa kwenye mahusiano na mtu mmoja kwa mda mrefu zaidi.
Dhana hii ni potofu na haina ukweli.
- Madhara mengine ni Uume kusinyaa na kupoteza ubora na ukak**avu
V. SULUHISHO THABITI NA LA KUDUMU
Mili yetu ni sawa na kiwanda. Kiwandani kuna vitu vingi sana: kuna mashine, wafanyakazi, umeme, maji, ... … n.k; kinapokosekana kimoja kati ya hivyo kiwanda hakiwezi kufanya kazi vizuri. Ndivyo vivyo kwenye mili yetu tukija kwenye upande wa nguvu za kiume. Nguvu za kiume ni k**a kiwanda.
Kwa watu wenye changamoto hii ya upungufu wa nguvu za kiume, kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba.
Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika mili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afya bora na nadhifu.
Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyo: Proteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.
Ambavyo huenda kufanya kazi ya kuboresha afya yako ya uzazi na kuimarisha mfumo wako mzima wa uzazi na kukufanya kuwa imara.
Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kuboresha na kuimarisha afya yake ya mfumo mzima wa uzazi, awasiliane nasi tutampa Utaratibu wa upataji wa Programu hii muhimu.
Mawasiliano:Whatsap piga
+255764953286
12/03/2021
BORESHA AFYA YA UZAZI NA HAM YA TENDO LA NDOA KWA KIRUTUBISHO HIKI.
ARG+ SUPPLEMENT:
Hiki ni kirutubisho lishe asili kilichotengenezwa kwa matunda ya Zabibu, komamanga na berries ambacho kina Amino acids, Vitamins na madini mbalimbali ambayo ni muhimu sana katika kuboresha afya ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke.
Kirutubisho hiki kina faida mbalimbali kwa mtumiaji k**a vile:
1: Huongeza hamu ya mapenzi kwa kina mama na kina baba, stamina na nguvu.
2: Inasaidia kuondoa depression - (msongo wa Mawazo)
3: Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi k**a mvurugiko wa homoni na kusikia joto kali endapo itatumiwa na mwanamke.
4: Inarutubisha mayai na kuweka sawa kiwango cha chuma kwenye damu.
5: Inaongeza idadi ya mbegu za kiume ,na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri.
6 Ni bidhaa bora ambayo husaidia katika kuondoa changamoto ya mwanaume kusinyaa kwa uume, kuwahi kufika kileleni mapema na kutorudia tendo.
7: Huboresha mfumo wa mzunguko wa damu na kuondoa mafuta mabaya katika mishipa ya damu.(Cholesterol)
Hivyo ni bidhaa bora kwa matumizi na afya ya uzazi. 👉Bidhaa bora hii waweza kuipata popote Tanzania na nje ya Tanzania
Clink CONTACT US Itakuleta Direct WhatsApp Andika Neno "ARGI+" NI BIDHAA ASILI NA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, HAZINA MADHARA YOYOTE NA ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.
KWA MSAADA ZAIDI Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0764953286 usaidiwe.
28/02/2021
---
JE, UNATUMIA DEODORANT GANI?? 👉Je unajua kuwa Deodorant nyingi zimeandikwa antipesipirant(ikiwa na maana ya hupumui ) zingine zimeandikwa 48hrs au 24 hrs antiperspirant. 👉Kwa nini hupumui(Antiperspirants)? Hii ni Kwa sababu zina aluminium salt(madini chumvi) ambayo inaziba vinyweleo na kuzuia jasho kutokutoka ndo mana utasikia MTU anasema hii inanifanya nakuwa mkavu kabisa jasho halitoki kumbe ni kwa sababu ya chumvi chumvi za aluminium salt ambazo kazi yake ni kuziba vinyweleo visitoe jasho. 👉Kumbuka ngozi ya MTU inatakiwa kupumua kwa kupitia vinyweleo kwa kutoa jasho k**a vinyweleo havito jasho madhara yake ni k**a cancer ya matiti kwa wanawake, kwapa kuwa jeusi sana au mapele mengi kutokana na uchafu kutafuta jinsi ya kutokea.
TUMIA :
ALOE EVER-SHIELD DEODORANT kwani ni deodorant ya asili, ambayo haina chumvi chumvi za aluminium hivyo ni bora na salama sana kwa afya ya Yako. Inaondoa weusi kwenye makwapa. Pia inakaa muda mrefu saaana hivyo kukuepushia gharama za Mara kwa Mara.
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0764953286 au piga simu usaidiwe mapema kuipata.
26/02/2021
---
JE UNASUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO?
Vidonda vya tumbo ni michubuko au vidonda vinavyoweza kutokea sehemu yoyote katika mfumo wa usagaji wa chakula ( digestive system) ambapo kitaaalam vinaweza kugawanyika katika aina NNE
1. Throat ulcers,( kwenye koromeo)
2. Gastric ulcers( tumboni))
3.Doudenal ulcers ( utumbo mwembamba
4.colon ulcers (utumbo mpana)
SABABU ZA VIDONDA VYA TUMBO
1. Helicobacter phlory huyu ni bacteria ambae kwa asilimia kubwa husababisha vidonda vya tumbo kwa kuharibu kuta za tumbo( layers) na kusababisha vidonda .
Lakini pia kuna mazingira ambayo yanaweza kufanya mtu akaugua vidonda vya tumbo k**a
▪️stress's
▪️kutozingatia mda wa kula
▪️kula vyakula vyenye Acid
▪️uvutaji wa sigara
▪️unywaji wa pombe
▪️madawa ya hospitalin (Antibiotics)
Na wengi huwa wnapata maumivu makali sana baada ya kuungua vidonda vya tumbo
Suluhisho sahihi la vidonda vya tumbo Ni virutubisho asilia vyenye uwezo wa kuboresha Mfumo mzima wa tumbo, kuongeza Kinga ya mwili na kuondoa mazingira ya kuzaliana bakteria wabaya.
Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp namba 0764953286 au piga sim usaidiwe Mapema.
21/02/2021
PUNGUZA UZITO KWA SIKU 9 TU BILA KUHARIBU AFYA YAKO YA SASA NA BAADAE.
TUNA UZA PROGRAM INAYOWEZA KUKUSAIDIA:
•√KUTOA TAKA MWILI (DETOXIFYING, CLEANING).SIKU 9
•√KUPUNGUZA UZITO NDANI YA SIKU 9 TU. .
•√KUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA (CONSTIPATION)N.K
•√KUKUPA TABIA NZURI ZA KULA VIZURI. .
•√NGOZI KUNG'AA (KWASABABU YA CLEANS MWILI) .
•√KUKUPA TABIA NA ENERGY NZURI YA MAZOEZI.
Kwa Mawadiliano tucheck DM au tuma neno AFYA BORA kwenda whatsapp namba 0764953286 au piga simu usaidiwe.
21/02/2021
MADHARA YA KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA NA ONGEZEKO LA VIFO VINAVYOTOKANA NA CHANGAMOTO HIZO.
Zamani ilikuwa ukiwa na kitambi au mnene unaonekana tajiri wa pesa, lakini siku hizi ukiwa na kitambi unaonekana kuwa tajiri wa Magonjwa anayeiandaa safari ya kwenda kujenga urafiki na hospitali kubwa kubwa kwa kutumia gharama kubwa mno ambazo zitamtia umaskini wa kudumu. Matatizo ya Cholesterol, presha BP, kisukari, vidonda vya tumbo, ini, figo, kansa, matatizo ya uzazi, upungufu nguvu za Kiume na stroke hapo kwenye watu wenye uzito mkubwa na vitambi ni mahali pake.
Magonjwa mengi yanayoshambulia waafrika yanatokana na lifestyle mbaya ya ulaji wa vyakula tunavyotumia. wengi wanafikiri kufanya mazoezi na kushinda njaa kutawafanya wapungue kumbe sio kweli. Hauwezi kupungua k**a haujaziondoa kemikalli mwilini ambazo zinaulazimisha mwili wako kuhifadhi mafuta.
Wanawake wengi nao sku hizi wanavitambi ambavyo vinaleta shepu mbaya na kupoteza mvuto wote hata k**a wakivaa nguo mpya bado wanaonekana wazee. Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke mwenye Tumbo kubwa, pia hawavutiwi na mwanamke mnene sababu hawana shepu nzuri. Wanawake wengi hupata vitambi baada ya kujifua mtoto, mafuta huifadhiwa kwenye leya ya maeneo ya tumbo. Pia vitambi vingine hutokana na ulaji wa chips, vyakula vya wanga kwa wingi na unywaji wa bia. Wengi wao Hawajui gharama inayowanyemelea ya kupoteza pesa nyingi kwenye mahospitali.
Fikiria umefanya kazi na umepata pesa nyingi ambazo zitaishia kuhangaikia kuyatibu magonjwa sugu uliyoyatafuta kwa starehe zako za sasa.
Hepuka matatizo hayo yote kwa kupata ushauri wa bure na kupata virutubisho natural Maalum ili kuondoa kemikali mwilini na kupunguza uzito na Kitambi ndani ya siku 9.
Kumbuka ukitumia program hii sasa hivi ndani ya mwezi huu utakuwa umeokoa gharama nyingi mno za kuyatibu magonjwa makubwa niliyoyataja hapo juu pamoja na gharama za kuhangaikia tiba.
Tuma Ujumbe neno PUNGUA UZITO kwenda wassap 0764953286 au piga simu usaidiwe haraka
21/02/2021
---
UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO 👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo. 👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza. 👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea. 👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza 👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi. 👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri. 👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena. 👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo. 👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.
K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,
Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0764953286 au piga simu usaidiwe mapema
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha