Kungwi wa kinyakyusa

Kungwi wa kinyakyusa

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Kungwi wa kinyakyusa, Health/Beauty, Arusha.

Photos from Kungwi wa kinyakyusa's post 28/06/2021

12000 tuuu call 0685111708

28/04/2021

Today's offer 📢📢📢📢 viks 20000 tuuu haijawahi kutokea Tanzania na Africa mashariki wa mikoan sijawasahau mzigo inafika kwa gharama za mteja 😍😍😍

16/04/2021

Miski pia zinapatikana kuna nyeupe nyekundu na broun wengine husena nyeusi only for 10000 tu

Photos from Kungwi wa kinyakyusa's post 01/03/2021

Mjuba nikashindwa kupost zote post umekua ndefu na kucrop shule ilipita kushoto

01/03/2021

NYOTA YAKO LEO JUMATATU MARCH1
☣️SAMAKI– (February 20– March 20)
K**a una nyota ya samaki jumatatu hii ni nzuri kwako ila usipoteze ufanisi wako wa kufanya kazi kwa maana umekua mtu mvivu ingawa mambo yanaenda isikufanye uwe mtu wa kubweteka na kujisahau jitume fanya kazi kwa bidii pia inaonyesha lengo lako au jambo lako unalo lifanya litafanikiwa kwa kiasi kikubwa.
🩺Mapenzi kwako hakuna shida yoyote ingawa umekua mtu mwenye mahusiano ya wapenzi wengi jitahidi sana kumuondoa ibilisi aliekutawala kwasababu umekua na moyo wa kutamani kila unacho kiona mbele yako wapenzi wa zamani wamekukumbuka wapenzi wapya wameongezeka jitahidi kutulia kwasababu kipindi hichi kimekua ni kipindi cha mahaba kwako na umekua mtu mwenye mvuto mkali wa kimapenzi.

☣️PUNDA– (March 21– April 20)
K**a nyota yako ni punda jumatatu hii ni nzuri kwako jitahidi kufanya bajeti juu ya fedha unayo ipata kwasababu mbele yako kuna ukame unao kunyemelea utaliliwa shida na watu wengi watu wa karibu yako hawatajali unacho au huna jitahidi kukizuia ulicho nacho kwasababu utashindwa kukamilisha malengo yako.
🩺 MAPENZI
Mapenzi kwako si tatizo tatizo ni hujui unaependa mpaka sasa kwasababu umekua na tamaa ya mapenzi kwasababu pia umekua na bahati ya kupendwa na wengi jiitahidi uwe mwenye msimamo kwasababu itafika hatua hutajua nani mwenye mapenzi ya kweli kwako.

☣️NG'OMBE– (April 21– May 20)
K**a nyota yako ni ng'ombe jumatatu hii ni nzuri kwako ingawa umekua mtu uliekosa matumani lakini usijali zidi kuomba mungu leo hii utaona mwanga mzuri.
🩺 MAPENZI
ingawa kumekua na mivutano mingi katika mahusiano yako ya kimapenzi lakini usijali juu ya jambo hilo misimamo yako itakusaidia sana kua mtu mwenye kuvumilia hakika uvumilivu wako utazaa matunda.

☣️MAPACHA– (May 21– Juni 20)
K**a nyota yako ni mapacha jumatatu hii ni nzuri wako ingawa kuna mambo yako hayatakaa sawa lakini utapata ahadi nyingi zinye faida kwako hakikisha ukifanya jambo unafanya kwa nia moja ingawa umekua na uwadui mkubwa katika maisha yako lakini usiwe na mashaka utacho kipigania kitakua.
🩺MAPENZI
Sio lazima sana upendwe na wengi hakikisha ulie nae unamuenzi ingawa ni wengi wanao kuhitaji lakini kwasababu sio mtu wa tamaa shikilia misi

01/03/2021

MAFUSHO MAFUSHO
neno Ili ni bora kwa kila nyota utafaidika na nyota yako K**a umetumia mafusho Yako halisi ya nyota Yako

Maaana yake ni dawa ya kujifukuzia kujisafisha na kuondoa nuksi,mikosi,nyota kungaa na kuwa na mvuto
Pia mwili ulio pata mafusho HUWA imara na nguvu za giza ni KAZI kuingia

Kupata mfusho calll 0685111708 only for 35000

25/02/2021

TUNAENDELEA NA SOMO KWANINI UTUMIE DAWA ZA MVUTO WA MAPENZI AU BIASHARA NA ZISIFANYE KAZI?
3.NUKSI,ukiwa na nuksi hata utumiaje dawa za mvuto haziwezi fanya kazi maana mwili wako unagiza nuksi pia husababishwa na majini wabaya,uchawi,na kuna nuksi zingne humkumba mtu bila yeye kujijua labda kazichukulia njia panda,jalalani nk pia nuksi zingne husababishwa na mizimu ya ukoo na hapo ndipo mambo yako yanapoanza kuharibika zaidi
4.LAANA,k**a unalaana iwe ya wazazi au laana ya mizimu hata utumiaje dawa za mvuto hazitafanya kazi
USHAURI:usipende kulaumu waganga eti wamekupatia dawa feki za mvuto kwakuwa hujafanikisha mambo yako ukiona hvyo hebu jalibu kupata uhakika uko kwenye kundi lipi kati ya hayo niliyotaja kisha chukuwa uamzi na msipende kuwaita waganga kuwa ni matapeli kumbe mwili wako ndio unakasoro yoyote na yote yanatibika isipokuwa LAANA YA WAZAZI,hiyo haina dawa labda kuwaombe msamaha tu ila k**a walishafariki ndugu yangu pole sana kwa matibabu zaidi
Call 0685111708

25/02/2021

KWANINI UTUMIE DAWA ZA MVUTO WA MAPENZI NA MVUTO WA BIASHARA LAKINI ZISILETE MATOKEO MAZURI?
kuna watu wametumia dawa nying sana za mvuto katika biashara zao na katika mapenzi lakini hazijafanya kazi kuna sababu zinazosababisha nazo ni VIFUNGO,MIKOSI,NUKSI,LAANA ntaelezea kimoja baada ya kingine
1.VIFUNGO,k**a unavifungo katika mwili wako hata utumiaje dawa za mvuto haziwezi kufanya kazi kwakuwa mwili wako na njia zako zimefungwa na vifungo navyo vimegawanyika k**a VIFUNGO VYA KICHAWI,VIFUNGO VYA KIJINI,VIFUNGO VYA MIZIMU vitu hivi vikikuandama huwezi fanikiwa katika jambo lolote tofauti na kuludi nyuma kimaendelo na kuharibikia mambo yako 2.MIKOSI,ikikuandama jambo lolote na mipangango yako yote itakuwa haitimii na unakuwa mtu wa kuahidiwa tu lakini hutekelezewi mambo yako na hata ukipata pesa zinaisha bila kujua zimefanya kazi gani ya maana pia hata vifungo navyo viko hvyo kabla hujak**ata pesa unakua na mipango mizuri sana ukipata tu pesa ile mipango yako yote uliokuwa unapanga inafifia kabisa
Call 0685111708

25/02/2021

Jikinge pamoja na uwapendao Kwa saa hii yenye kuwekwa sanitizer epuka kugusa sehemu inayoguswa na wengi (inafaa Kwa watt pia wawapo shuleni ni wanashika vitu vingi na hawawezi kufata sanitizer kila saa🙄)

24/02/2021

🍆🥒🍆🥒VIKSI Libido 🍆🥒
Viks ni mafuta ambayo unapaka kwenye kichwa cha uume kidogo tu ndani ya dakika 15 unaenda kufanya tendo, Na kwa mpako mmoja unaopak unaweza tumia siku 7 ndio nguvu inaisha, Kwa pakti moja ya viks unaweza tumia hata miezi miwili hadi mitatu, call 0685111708 na follow me on Instagram kwa maelezo zaidi proudnndenga

🚫🚫🚫ONYO isitumie viskingo au viksi ya mafua kupaka uume 🚫🚫🚫🚫🚫🚫. Wahi ofaa yako kuanzia Leo mpaka ijumaa follow Wa_ Kinyakyusa kwa maelelezo zaidi
Call 0685111708

Photos from Kungwi wa kinyakyusa's post 24/02/2021

Kujua kazi mjahidulu view pic inayofuata

23/02/2021

Unajua shuhuli ya mjahidulu?🖋️hii ni zaidi ya urimbo tena ukimpakia bwana hakuachi (usimpakie Mume wa mtu wala mtu usie na malengo nae)
🖋️Kwanza ni mafuta yenye kuleta nuru yanaondoa giza uchawi nuksi katika biashara na mapenzi
🖋️ Kuleta mvuto katika biashara na mapenzi
🖋️ Kung'arisha nyota
🖋️Kufungua vifungo vya kishirikina

Utayapata Kwa bei nzuri sana

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Arusha