Jifunze mambo ya msingi katika ndoa.
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jifunze mambo ya msingi katika ndoa., Health/Beauty, Arusha.
katika eneo hili la ndoa Ni nyeti Sana kwa mtu yeyote ambaye anandoto za kuwa na familia, watu wengi wamekosea katika eneo hili ndomana unakuta ndoa zao au mahusiano yao, ungana nami kwenye masomo haya naamini utapata kitu Cha kukusaidia, karibu Sana.
Napenda kuwakaribisha watu wote katika kujadili masuala yanayohusiana na hatua za ndoa mpaka ndoa, sehemu hii ni nyeti sana katika hatua ya pili katika maisha ya kila MTU aliyekua timamu kiakili na kiumbo yaani physically.
Masomo ya wiki hii kwanzia jumatatu mapaka ijumaa ni Haya:
1.ndoa ni nini?
2.je ? Ni nani anapaswa kuitwa mwana ndoa?
3.chanzo cha ndoa ni nini? Kwenye vitabu vitakatifu.
4. Je? Sheria za mungu na za nchi zinasemaje kuhusu ndoa?
5. Je? Ni wakati gani natakiwa niwe mwanandoa kulingana na umri?
6. Sifa gani anatakiwa MTU kuwa nazo ili awe mwanandoa?
7. Je? Swala LA kufunga ndoa limetoka kwa mungu au kwawanadamu?
8. Je? Ni halali MTU kukaa na mwanamke au mwanaume bila kualalishwa na watumishi wa mungu?
9. Je? Ni kweli kwamba kuna mke/mume mwema?
10. Je? K**a kuna mke au mume mwema, utamtambuaje?
11. Na je? Ni vibaya au dhambi MTU kukaa bila kuwa mwanandoa maisha yake yote?
12. Je? Uzuri wa mwanamke unaleta chachu gani katika ndoa?
13. Ubaya wa mwanaume katika ndoa unaleta chachu gani?
14. Je? Wewe ulitumia, umetumia, unatumia, utatumia kigezo gani kumpata mke au mume wa ndoa?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha