Afya Imara

Afya Imara

Share

FAHARI YA AFYA YAKO: Ni Mkombozi Wa Magonjwa ya Wanawake ya Uzazi. Karibu tukuhudumie..

07/08/2023

Maana ya aina mbalimbali za uchafu unaotoka uken
sababu za uke kutoa uchafu mweupe.

Aidha, nafahamu kuwa unayo hamu pia ya kufahamu maana ya uchafu huu. Twende pamoja.

Uke ni miongoni mwa viungo vyenye sifa ya kipekee sana.

Kimetunukiwa uwezo wa kujisafisha kuanzia ndani, kisha kuutoa uchafu wote nje kila siku.

Ni viungo vichache sana vyenye uwezo k**a huu. Mfano wa kiungo kingine ni sikio

Mbali na kutoa uchafu, uke hutoa pia ute mzuri, pamoja na majimaji ambayo mengine huwa mazuri kwa afya, huku mengine yakiwa na maana mbaya kwa afya.

1. Uchafu mweupe
K**a maziwa, mzito
Uchafu wa aina hii huwa na maana tatu.

Ujauzito
Siku zenye uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ujauzito
Magonjwa
Mwanamke anapokuwa na ujauzito, mwili wake huanza kutengeneza namna mbalimbali za kujilinda.

Mojawapo ya njia hizo ni kutengeneza ute mzito wa aina hii ili kuhakikisha usalama wa mtoto. Hauna maana mbaya kwa afya, pia mara nyingi huwa hauna harufu kali au mbaya. Ni kawaida. (1)

Hivyo ute huu ukitoka huku unatoa harufu kali, au ukiwa na rangi za manjano, kijani au brown unapaswa kwenda hospitalini haraka. Hii ni hatari.

Baadhi ya wanawake huuona uchafu wa aina hii pia wawapo kwenye siku zenye uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ujauzito kila mwezi. Wanapaswa kufahamu kuwa hali hii ni kawaida kwao, ikiwa haiambatani na miwasho, rangi au harufu mbaya.

Maana ya tatu ya uwepo wa aina hii ya uchafu ni uwepo wa maambukizi hasa ya bakteria. (2, 3)

Huambatana na harufu kali na miwasho. Hali hii haipaswi kupuuzwa, siyo kiashiria kizuri kwa afya.

K**a unga, unapukutika au umeganda
Uke siyo ghala la mahindi au nafaka za aina yoyote ile. Uchafu wa aina hii haupaswi kutoka kabisa wakati wowote ule.

Ni ishara ya uwepo wa maambukizi ambayo mara nyingi husababishwa na fangasi jamii ya Candida albicans.

Kwa lugha maarufu zaidi mtaani hujulikana k**a yeast infection.

Mara nyingi uchafu wa aina hii huambatana na miwasho ukeni, kuvimba kwa mashavu ya uke, maumivu wakati wa kukojoa pamoja na maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa.

Uchafu huu unaweza kuwa mkavu sana k**a unga, unaweza pia kubadilika rangi kuwa wa kijani au manjano baada ya muda fulani. (4, 5)

Ni muhimu kufanya vipimo ili dawa sahihi ziweze kutolewa. Magonjwa mengine pia hasa PID huwa na dalili hii.

2. Aina nyingine za uchafu
K**a yai, unavutika
Ute wa aina hii huwa hauna maana mbaya. Ni ishara ya uimara wa afya ya uke, pamoja na mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke.

Unaweza kuonekana kwenye siku zenye uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ujauzito, au siku chache kabla ya hedhi.

Husaidia pia kusafisha mfumo wa uzazi kwa kutoa bakteria na vimelea vingine vya magonjwa ambavyo ni hatari kwa afya.

K**a maji, mwepesi
Ni kawaida. Unaweza kutokea muda wowote kwenye mzunguko wa hedhi.

Kwa baadhi ya wanawake huonekana kwa kiasi kikubwa baada ya kazi ngumu, au pale wanapokuwa wanafanya mazoezi.

Brown au damu
K**a uchafu huu unatokea baada ya hedhi ni sawa. Ni mabaki ya damu na uchafu.

Ikiwa itatokea katikati ya mzunguko wa hedhi inaweza kuwa ni ishara ya uwepo wa ujauzito au kuharibika kwa ujauzito ambao pengine ulitungwa pasipo uelewa wa mwanamke mwenyewe.

Katika mazingira machache kabisa, inaweza kuwa ni ishara ya uwepo wa saratani ya mji wa uzazi au mlango wa uzazi, pia uvimbe wa aina yoyote kwenye mfumo wa uzazi.

Manjano au kijani
Siyo ishara nzuri. Inaweza kuwa ni dalili ya kisonono, kaswende, klamidia, trichomoniasis pamoja na magonjwa mengine ya zinaa.

Huambatana na harufu kali ambazo humfanya hata mgonjwa mwenyewe apate wakati mgumu kuzivumilia.

Ute au uchafu wa aina hii unaweza kuwa unavutika k**a k**asi, mwepesi kiasi k**a maji au unaweza kuwa mzito.

Siyo sawa.

Muhtasari
Mwili wa binadamu huwa na namna nyingi za kuzungumza ili kuonesha kuwa baadhi ya mambo hayapo sawa.

Mojawapo ya njia hizo ni kutoa uchafu, au ute wenye rangi mbalimbali pamoja na harufu kali.

Mazingira yoyote yanayojengwa na uchafu au ute huu yanayokufanya upoteze uhuru wako lazima yatiliwe mashaka.

Huo ni wakati sahihi wa kupima na kupata tiba sahihi.

07/08/2023

Mambo 6 Muhimu Usiyo yajua Kuhusu Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi Kwa Wanawake.

1 Comment 0754989952
Kuziba kwa mirija ya uzazi ni hali ya kujaa maji kwenye mirija ya uzazi (fallopian tubes) ambako kunazuia yai kusafiri kutoka kwenye mifuko ya mayai (ovaries) kwenda kwenye mji wa mimba (uterus), maji haya kwenye mirija ya uzazi hulizuia yai lisiweze kupata mbegu za kiume za kulirutubisha na hivyo kumfanya mwanamke asipate ujauzito. Kuziba kwa mirija ya uzazi hujulikana kwa kitaalamu k**a “Hydrosalpinx”.

Asilimia 20% mpaka 30% ya kesi za ugumba kwa wanawake (infertility cases) zinahusiana na mirija ya uzazi (tubal factor infertility). Tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi linachangia asilimia 10% mpaka 20% kwenye changamoto za ugumba kwa wanawake.

fallopian tubes
Sababu Za Mirija Ya Uzazi Kuziba:
Kisababishi kikubwa cha kuziba kwa mirija ya uzazi ni tatizo la maambukizi kwenye via vya uzazi ambalo hujulikana kwa kitaalamu k**a Pelvic inflammatory Disease (PID). PID mara nyingi husababishwa na maambukizi ya magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia).

Sababu zingine zinazoweza kupelekea kuziba kwa mirija ya uzazi ni pamoja na; Magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa (chlamydia), kisonono (gonorrhea), michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na upasuaji, mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy) na kusababisha upasuaji hali ambayo hupelekea michubuko, hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroid ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi, mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija ya uzazi.

Soma pia hizi makala:

Ujue Ugonjwa Wa PID(Pelvic Inflammatory Disease).
Haya Ndiyo Mambo 7 Muhimu Usiyo yajua Kuhusu Ugonjwa Wa Kisonono.
Dalili Za Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi:
Kuziba kwa mirija ya uzazi ni hali ambayo huonyesha dalili zake kwa nadra sana. Wanawake wengi hushindwa hata kutambua kuwa wana tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi mpaka pale wanapokuwa wakijaribu kutafuta ujauzito bila mafanikio. Hata hivyo kwa baadhi ya wanawake hali hii inaweza kuonyesha dalili zifuatazo;

1) Maumivu makali wakati wa hedhi.

2) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.

3) Maumivu wakati wa kukojoa.

4) Kutokwa na uchafu ukeni.

5) Mirija ya uzazi kuvimba na kujaa maji.

6) Maumivu makali chini ya kitovu.

7) Maumivu ya nyonga.

Kumbuka: Hali ya kuziba kwa mirija ya uzazi kwa kawaida huwa haiathiri vipindi vya hedhi wala mzunguko wa hedhi zaidi ya kujitokeza baadhi ya maumivu au kukosa furaha. Hata k**a mirija yote miwili ikiwa imeziba haiwezi kuathiri vipindi vya hedhi. Hata hivyo, magonjwa ambayo husababisha mirija ya uzazi kuziba yanaweza kuathiri vifuko vya mayai pamoja na ukuta wa mfuko wa kizazi, na kwa hali hii, vipindi vya hedhi lazima vibadirike badirike au kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi.

Uchunguzi Na Vipimo Vya Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi:
Ikiwa unasumbuliwa na tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi unashauriwa uende hospitali ambako utafanyiwa uchunguzi na vipimo vifuatavyo;

1) Ultrasound.
Ikiwa mirija ya uzazi imevimba kutokana na kujaa maji, kipimo hiki kitaonyesha ukubwa wa mirija ya uzazi kuliko kawaida na kuna muda mwingine mirija ya uzazi itaonekana kufanana na umbo la soseji (shaped like sausage) ambapo mtaalam wa afya itambidi afanye vipimo vingine ili kubaini kisababishi cha kujaa maji kwenye mirija ya uzazi.

2) Hysterosalpingogram (HSG).
Hiki ndio kipimo kinachotumika kubaini (diagnose) tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi ambacho hutumia dai ya mionzi (x-ray dye) ambapo mtaalam wa afya ataingiza dai kwenye mji wako wa mimba (uterus) na kuangalia mzunguko wa dai kupitia mionzi (x-rays). K**a dai itatoka nje ya mirija yako ya uzazi na kuingia kwenye uwazi wa pelivisi (pelvic cavity) ni dhahiri kuwa mirija yako ya uzazi iko wazi, lakini k**a dai itaacha kuzunguka basi ni dhahiri kuwa mirija yako ya uzazi imeziba.

05/08/2023

Habari Njema Kwa watu wanaotokwa na uchafu sehemu za siri

Watu wengi wamekuwa wakihangaika na Changamoto ya kutokwa na uchafu

Wamejatibu Kutumia Njia Mbali mbali k**a kumeza Madawa bila Mafanikio.

Bila Kujua Siri ipo kwenye Lishe watakayotumia ndo Tiba ya Kudumu kwenye Changamoto Yao.

Kwa jina naitwa Maria Alute

Ninawasaidia wanawake kutatua changamoto ya kutokwa na uchafu sehem za siri kupitia Program Ya Malkia Maria

Nataka kuandaa Darasa La Bure kwa ajili yako la namna ya [kutatua changamoto ya kutokwa na uchafu

K**a utapenda kuhudhuria darasa hilo naomba ucomment namba yako ya simu ya watsapp hapa chini au nitumie ujumbe wa watsapp kwenda namba [ 0754989952

Ikisha nitawasiliana na wewe ili kuelewa vizuri kuhusu changamoto uliyokuwa nayo nipate kukuandalia (wewe pamoja na wenzako) Darasa Bure kabisa kupitia group la watsapp.

Comment namba yako hapa chini mara moja kabla ya group letu kujaa.

Ni mimi mwenye kujali mafanikio yako,

MARIA ALUTE

Mkurugenzi, [AFYA IMARA]

28/07/2023

FURSA KWA VIJAWA NA CHUO NA WAJASIRIA MALI
💥K**a wewe ni mmoja wa vijana, wanaotumia mitandao ya kijamii kukuingizia kipato Nakupa hongera sana👏🏿🔥👆🏾
Ila k**a Bado unatumia hii mitandao bila faida basi pole sana 🤔😌
*NA*
Toka huko haraka🏃🏿‍♂️, Njoo nkufunze jinsi ya kutumia hiyo simu yako vizuri nahitaji vijana 10 tu hiii ni ofa kwa walioko arusha nafasi ni chache wahi mapema nafasi ni chache
https://chat.whatsapp.com/Cewez5fzSkyIqkK75ShHjE
255754989952

28/07/2023

*PATA ELIMU NA USHAURI BURE
JINSI YA KUTIBU MATATIZO SUGU YA UZAZI*

k**a wewe ni mwaamke na unasumpuliwa na matatzo ya mfumo wa uzazi k**a
👉P. I. D
👉fangasi
👉Matatizo ya hedhi
👉 uvimbe
👉U.T. I & hamu ya tendo la ndoa

basi suluhisho lako limepatikana
Tumekuandalia darasa la buree kufahamu sababu na dalili pia na namna ya kuondokana na matatzo haya bureee

Jiunge nas kwenye group zetu tuma neno uzazi kwenda namba

0754989952

Watsup link

https://tinyurl.com/krueby9h

24/07/2023

Chanzo Cha mimba Kuharibika
Mimba kuharibika mara kwa mara
mjamzito
Mimba kuharibika au miscarriage ni kitendo cha kupoteza kichanga kwa mama mjamzito kabla ya muda wa kujifungua kuwadia. Mara nyingi hutokea ndani ya miezi mitatu ya mwanzo baada ya kushika ujauzito. sababu za mimba kutoka zinatofautiana kwa kila mwanamke. Zifuatazo ni dalili kwamba mimba yako imeharibika

Dalili za Mimba Kuharibika.
Kwa kutegemea na hatua ya ujauzito wako, dalili hutofautiana . Wakati mwingine hujitokeza haraka pengine kabla hujajua k**a una ujauzito tayari mimba inakuwa imeharibika. Dalili hizi ni pamoja na

maumivu ya mgongo
kuvuja damu ukeni
kutoka kwa tishu za mabongemabonge katika uke
misuli kukaza na
maumivu makali ya tumbo
Hakikisha unaongea na daktari haraka iwezekanavyo unapoanza kuona dalili k**a hizi. Kumbuka inawezekana kabisa kupata dalili hizi lakini mimba yako ikawa salama. Lakini ni muhimu kwa dactari kujiridhisha k**a uko salama.

Namna 5 za Mimba Kuharibika na Kutoka.
Kuna aina namna nyingi za mimba kuharibika. Kwa Kutegemeana na sababu ya mimba yako kutoka mapema pamoja na hatua ya ukuaji wa mimba aina hizi zinaweza kuainishwa k**a ifuatavyo

Blighted o**m: ni pale yai lililorutubishwa linajipandikiza kwenye ukuta wa uterus lakini mimba haikui na kupelekea kuharibika.
Complete miscarriage: ni pale kiumbe kilichotungwa kinatolewa nje ya mfuko wa mimba. Inaweza kusababisha damu kuvuja
Missed miscarriage: Ni pale kiumbe kidogo kufariki tumboni pasipo kupata viashiria vyovyote
Reccurent miscarriage: ni pale mimba zako zinapotoka mfululizo mara 3 au zaidi ndani ya miei mitatu ya kwanza
Ectopic miscarriage: Mimba kujishikiza mahali pengine hasa kwenye mirija ya uzazi badala ya mji wa mimba na kupelekea kutoka kwa mimba
Threatened miscarriage: Ni pale mjamzito anaanza kupata dalili za kutokwa na damu ukeni na maumivu yanayoashiria kuharibika kwa mimba.
Nini hasa Kinasababisha Mimba Kuharibika Na Kutoka Kabla ya Wakati?
Wakati wa ujauzito mwili hupeleka virutubisho na homoni kwenye kiumbe kinachokua. Hivi vyote husaidia kiumbe kuwa na afya njema na kukua vizuri. Mimba nyingi zinazoharibika ndani ya miezi mitatu ya kwanza ni kutokana na kiumbe kudumaa. Kuna sababu nyingi zinapelekea Mimba kuharibika mapema k**a ifuatavyo.

Vinasaba
Karibu 50% ya mimba zinazotoka kabla ya wakati ni kutokana na makosa kwenye vinasaba. Makosa yanaweza kufanyika pale seli za kiumbe zinapogawanyika. au inaweza kutokana na majeraha kwenye mbegu ya kiume au yai la mwanamke.

Matatizo ya Kiafya
Matatizo ya kiafya pamoja na mtindo wa maisha unaweza kuletekeza mimba kutoka, hasa kwenye kipindi cha miezi mitatu ya pili (second trimester). Kumbuka mazoezi ya mwili na kushiriki ngono haiwezi kusababisha mimba kutoka. Mazingira yafuatayo yanaweza kuhataraisha mimba yako

lishe mbaya inayokosa virutubisho vingi
matumizi ya pombe, madawa na sigara
matatizo kwenye tezi ya thairodi ambayo hayajatibiwa
maambukizi kwenye njia ya uzazi
msongo wa mawazo
uzito mkubwa na kitambi
matatizo kwenye mlango wa kizazi (cervical incompetence)
kulegea kwa mfuko wa mimba
shinikizo la damu kuwa juu zaidi
kutumia chakula chenye sumu na
matumizi ya dawa pasipo ushauri wa Dactari
Jinsi ya Kuzuia Mimba Kuharibika
Kwa kiasi kikubwa mimba kuharibika inaweza kuepushwa japo siyo kila mazingira mfano k**a tatizo limetokana na vinasaba. Zifuatazo ni sheria za kiafya za kuzuingatia ili kupunguza hatari ya mimba kutoka.

Usitumie pombe, madawa, na kuvuta sigara wakati wa ujauzito
Fanya mazoezi mepesi mara kwa mara ili kuimarisha ukuaji wa kichanga tumboni
Jikinge na maambukizi kwenye njia ya uzazi kwa kunawa mikono kwa maji safi na kutoambatana na watu wanaoumwa
Usitumie vyakula na vinywaji vyenye caffeine k**a kahawa wakati wa ujauzito
Kula mlo mzuri wa vitamin ili kuimarisha ukuaji wa kichanga
Nini cha kufanya pale Ujauzito Unapoharibika na Kutoka.
Baaada ya mimba kutoka mwili huanza kurudi katika hali ya kawaida taratibu taratibu. Kuimarika haraka kwa mwili kunategemea mimba yako ilikuwa na umri gani kabla haijatoka. Baada ya mimba kutoka unaweza kupata dalili hizi

Kutokwa na damu ukeni k**a damu ya hedhi
Maumivu ya tumbo na
Kuvimba kwa matiti
Mwili utaanza kupata tena hedhi baada ya week 3 mpaka 6 baada ya mimba kutoka. Ni vizuri kujipa mda wa kupumzisha mwili na ukapata usaidizi wa kifikra na hisia ili kuondokana na msongo wa mawazo.

Kushika Mimba tena Baada ya Mimba ya Awali Kuharibika.
Kabla hujaamua kushika ujauzito mwingine ni vizuri kuhakikisha mwili uko sawa na afya yako ni njema. Ukiwa na afya njema inapukupunguzia hatari ya mimba nyingine kuharibika
Kwa ushauri zaidi 0754989952
NATURAL CANCER CARE PACKAGE
afyahttps://tinyurl.com/krueby9h

17/07/2023

*FAHAMU LEO KUHUSU TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO*

Vidonda vya tumbo ni vidonda vinavyotokea kwenye ukuta wa tumbo. Vidonda vya tumbo vinajulikana kwa kitaalamu k**a peptic ulcers.
Vidonda hivi hutokea kutokana na mashambulizi ya bakteria wanaoitwa Helicobacter pylori (H.pylori) au kulika kwa ukuta wa tumbo kunakotokana na athari za tindikali zilizopo tumboni (Hydrochloric Acid).
Soma pia hizi makala:

Yafuatayo ni mambo yanayomuweka mtu katika hatari ya kupata vidonda vya tumbo ambayo ni pamoja na;
1) Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori).
2) Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine).
3) Msongo wa mawazo.
4) Kula vyakula vinavyozalisha asidi kwa wingi.
5) Kunywa pombe na vinywaji vikali kupitiliza.
6) Uvutaji wa sigara.
7) Kutokula mlo kwa mpangilio.
8) Kansa ya tumbo.

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*

1) Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula.

2) Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo.

3) Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa.

4) Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu.

5) Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu.

6) Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito.

7) Kushindwa kupumua vizuri.

*YAFUATAYO NI MADHARA YA VIDONDA VYA TUMBO*

1) Kansa ya tumbo (Gastric cancer).

2) Kutoboka kwa kuta za tumbo (Gastro-intestinal perforation).

3) Kuvuja damu kwa kuta za tumbo (Gastro-intestinal bleeding).

4) Kutapika damu (hematemesis).

5) Upungufu wa damu (anaemia).

6) Kujisaidia kinyesi cheusi k**a cha mbuzi (black orTarry stool).

7) Kuvurugika kwa mfumo wa mmeng’enyo wa chakula (obstructed digestion).

*JINSI YA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO*

1) Jijengee tabia ya kunywa maji mengi kila siku.

2) Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguzia na mawazo.

3) Punguza (balansi) kiwango cha halemu (cholesterol).

4) Usivute sigara.

5) Punguza au acha kunywa pombe.

6) Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali.

7) Tenga muda wa kutosha wa kupumzika–unashauriwa kulala masaa 7 hadi 9 kila siku

*Kwa ushauri & matibabu moja kwa moja kutatua changamoto ya vidonda vya tumbo wasiliana nasi kwa namba*

0754989952

Watsup link
https://tinyurl.com/krueby9h

09/06/2022

JE ?wewe ni mwanamke ambae unasumbuka, unateseka sana na tatizo hili la P.I.D?

🤷‍♂️Umeshatumia madawa Mengi haujapata matokeo mazuri

🤷‍♂️Pengine umeshaenda Hospitali ushachoma masindano na bado hujapata matokeo mazuri .

🤷‍♂️Hupati ujauzito kutokana na P.I.d ?

🤷‍♂️MIMBA zinaharibika kila wakati kutokana na P.I.D

🤷‍♂️Mahusiano yako yameharibika kutokana na kutokwa na uchafu pamoja na harufu mbaya sehemu za siri ?

🤷‍♂️Hufurahii tendo kutokana na maumivu yatokanayo na P.I.D ?

SASA leo nataka nikupe suluhisho la kudumu ,

Tumewasaidia wanawake zaidi ya 400 kuondokana na changamoto hii ya P.I.D na wamerejesha Furaha zao kwa kupata watoto na kuwa na familia

Utaenda kupona kabisa ,

Tunapatikana Dar Es Salaam-Kijitonyama, ARUSHA-Kaloleni..

Wasiliana nasi kwa namba
0657295618

watsup

https://tinyurl.com/kenym9h9

09/06/2022

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO YA MIFUPA.

Watu wengi wenye umri wa miaka 30 na kuendelea hupata matatizo ya maungio ya mifupa. Hii husababishwa na jinsi tunavyoishi,
▪️ kutopata lishe bora,
▪️ kufanya mazoezi bila kuzingatia namna ya kulinda maungio,
▪️ kufanya kazi nzito,
▪️ kuwa na uzito mkubwa wa mwili,
▪️mwilli kupoteza uwezo wake wa kutengeneza ute kwenye maungio ambayo inatokana na umri na sababu zingine za kiafya.

Hii hupelekea kuwa na maumivu makali mpaka kushindwa kutembea au kusogeza baadhi ya viungo.

Inawezekana hata wewe umeshaanza kuzisikia athari za haya matatizo ila wengi hua wanagundua kwa kuchelewa sana sababu hatuna desturi ya kukagua afya zetu mara kwa mara. Ila pia inawezekana kuna mtu unamfahamu ambaye tayari ameanza kupata athari zake.

Usikae kimya suluhisho lipo,Tuna tiba asili kabisa na maalumu kwa ajili ya kuondoa maumivu ya viungo na mifupa, kuzuia kulika kwa mifupa na viungo.
1.Huongeza ute ute kwenye maungio.
2.Huondoa changamoto ya Arthritis.
3.Huzuia kulika na kusagana kwa maungio kwa kuzalisha gegedu mpya.
4.Huondoa maumivu ya magoti, nyonga na mgongo.
5.Husaidia mifupa kuwa imara pamoja na vidonda kupona haraka.
6.Huongeza Glucose Amine na Chrondroitin kwenye maungio.

Tiba hii ni izuri kwa wenye umri mkubwa na wenye matatizo ya Mifupa na viungo, Kwa wale wanaofanya mazoezi ya viungo hii tiba inawafaa sana kuwasaidia viungo kukaa sawa na kutopata matatizo yoyote..

Tupo mikoa yote nchini na gharama za dozi inategemea na changamoto uliyonayo hvyo basi kupata suluhisho na namna ya matibabu kwa changamoto yako...
Wasiliana nasi kwa namba.

+255 757063806

Watsup
https://tinyurl.com/4cfk66bt

13/05/2022

VAGINAL DRYNESS, ukavu wakati wa S*x. ni TATIZO COMMON SANA, wanawake Wengi wanasumbuliwa.
VISABABISHI VIKUBWA NI PAMOJA NA;
1. Hormonal imbalance,ukiwa na hormone aina ya oestrogen kidogo, hii shida itakusumbua.

2. Kutofanya s*x mara kwa mara.

3. Kutokuandaana vizuri (inadeaquate foreplay).

4. Msongo wa mawazo,depression (sonona), stess pia huchangia sana.

NINI TIBA YAKE?
1. Kwa shida ya hormones pata tiba, dawa za kuweka hormones sawa, lakin pia kuna za kuufanya uke kuwa na uteute mwingi ukiihitaji hii (watsup, 0678807053

2.Mapenzi yenyewe ni tiba pia, fanya tendo la ndoa mara kwa mara, kiafya itakusaidia sana.

3. GREAT foreplay, hakikisha mnachukua muda kuandaana, na kuandaana hapa sio kitandani tu, chumbani tu au eneo la tukio tu, ni lazima muandaane mapema, oneshaneni mapenzi, kujaliana, mfanye mwenzi afurahi/akufurahie....husaidia kumwandaa mwanamke kisaikolojia, kuilainisha na kumpunguzia uoga na stress

4. Tumia virutubisho kubalance hormone ambapo tatizo hilo litaisha moja kwa moja, vipo virutubisho aina mbali mbali vichache vinauwezo huo. Ongea na mtaalam wa lishe na tiba.
5. Matumizi ya vilainishi muhimu kwa wenye matatizo sana na wanaumia sanaa wakat wa s*x

Kwa msaada zaidi DM/ Inbox 0678807053

05/04/2022

FANGASI SEHEMU ZA SIRI NA TIBA YA UHAKIKA ASILIMIA 💯..

fungus wa UKENI (VAGINAL CANDIDIASIS).
Wanasababishwa na mdudu anaitwa Candida albicans.

Dalili kubwa ni KUTOA UCHAFU (DISCHARGE) k**a maziwa mtindi, kuwashwa ukeni na kuumia wakati wa tendo la ndoa lakin pia , usafi muhimu sanaaaaa, maana wadada wengi mno wanakuwa wanapona na kujirudia kwa ajili ya kutozingatia USAFI(wenye shida ya uchafu maziwa ziwa kutokuacha)

Lakini kwa FUNGUS SUGU, UNATUMIA DAWA, ZINARUDI TENA NA TENA, kuna SUPPLIMENTS, hazina kemikali kabisaaa(maana ukeni kemikali kali hazitakiwi zinaua Wadudu walinzi na ukiua wadudu walinzi, huwezi kauka fungus, maana wanakuwa ndio wametawala), inasafisha uke na kufanya PH iwe nzuri na kuruhusu wadudu walinzi kurudi na fungus wanakufa na kushindwa kurudi tena.
Ni nzuri sana, wengi wametumia, wamekauka, hakuna tena kuona aibu muda wa Tendo.

Call/Whatsap
+255678807053
kwa maelezo
UPATE NATURAL CARE ITAKAYOTATUA CHANGAMOTO YAKO. USISITE KUELEZA CHANGAMOTO YAKO YA UZAZI INAYOKUSUMBUA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kaloleni
Arusha