Drk_Hmatiliga with bf suma

Drk_Hmatiliga with bf suma

Share

BF SUMA ni kampun la kimataifa linalohusu uuzaji wa dawa zilizo katika mfumo wa vyakula (tiba lishe

14/09/2021

*UVIMBE KWENYE KIZAZI (fibroids)*

Tatizo la uvimbe kwenye kizazi (fibroids) ni kubwa na linawatokea wanawake wengi sana. Inakadiriwa kwamba 75% ya wanawake hupata tatizo hili la fibroids katika kipindi flani cha maisha yao. Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili la fibroids.

Fibroids ni nini?

Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimbauitwao uterusi. Uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya. Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids . Ni jambo la msingi zaidi kwa wanawake wote kuchukua hatua katika kuzuia kutokea kwa fibroids.

Tafiti mbalimbali zinaonesha kwamba kuzuia au kutibu tatizo la kupanda kwa presha ya damu husaidia kupunguza hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi (fibroids). Utafiti uliofanyika katika chuo kikuu cha Havard unasema kuna uhusiano mkubwa kati ya presha ya damu na hatari ya kupata uvimbe kwenye kizazi(fibroids) kwa wanawake wanaokaribia kukoma hedhi.

Unajuaje k**a tayari una uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

Je fibroids inaweza kusababisha kuvuja damu, maumivu ya mgongo na dalili zingine mbaya? Inawezekana kabisa lakini siyo kila mwanamke mwenye fibroids hupata dalili hizi, lakini pia uwepo wa dalili hizi siyo lazima kwamba una fibroids.

Unaweza kuwa na tatizo lingine la kiafya, ushauri mzuri ni kuonana na dactari haraka ili kupata vipimo. Zifuatazo ni dalili zinazojitokeza kwa wanawake wengi zaidi wenye uvimbe kwenye kizazi

Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidiHedhi nzitoKujiskia umeshiba mda mwingiMaumivu ya nyongaKupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumuKupata maumivu wakati watendo la ndoaMaumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.Madhara mbalimbali ya u

07/09/2021

*PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA BAWASIRI YA {NDANI NA NJE}*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE)*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ Uume kusinyaa (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la
kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Kwa msaada na ushauri piga
*0766831949*
*0676831949*

26/08/2021
06/04/2021

fursa bado zipo kwa waliopo mikoa ya Dar, Arusha, Dom, mwanza fika ofisini haraka ili ujiunge na bf suma
piga:0766831949
0676831949

Drk_Hmatiliga with bf suma Send a message to learn more

Photos from Drk_Hmatiliga with bf suma's post 14/09/2020

BF_SUMA

Photos from Drk_Hmatiliga with bf suma's post 14/09/2020
07/09/2020

K**a upo arusha njoo inbox nikuelekeze ufike ofisin na tuweze kuanza kazi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Arusha