Afya,Lishe na Tiba bora

Afya,Lishe na Tiba bora

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya,Lishe na Tiba bora, Health/Beauty, Arusha.

28/04/2020

UJUE MZUNGUKO WAKO WA HEDHI NA UFAHAMU SIKU ZA KUSHIKA MIMBA
Habari za leo rafiki yangu, ni matumaini yangu unaendelea vizuri na kufurahia elimu uipatayo hapa pia napenda kuwapongeza wote wachukuayo hatua kwa kutumia virutubisho na pads zetu za neplily sanitary pads, kutokana na maoni yenu juu ya kufunzwa jinsi ya kuweza kuhesabu mzunguko wa wenu wa hedhi kupanga na kuepuka mimba leo nipo hapa kuwajuza haya
Kutokana na wanawake wengi kutokujua mizunguko yao ya hedhi hivyo huwawia vigumu kujua ni siku gani akutane na mumewe au aepuke ili kubeba mimba au kutoshika mimba
Ni muhimu sana mwanamke kujua mzunguko wake wa hedhi, hii pia itakusaidia kujua siku hatari za kushika mimba na vile vile kukusaidia kuepuka mimba usiyoitarajia kwa kutumia kalenda yako kupanga tarehe yako.
NAMNA YA KUHESABU MZUNGUKO WAKO WA HEDHI
ili kujua siku nzuri ya kupata mimba au kuepuka ni lazima kwanza ujue siku ya KILELE (productive/fetal day) kwa maana kwamba ujue siku ambayo huitwa SIKU YA KUMI NA NNE
 Rafiki napenda mtambue kuwa wanawake mnatofautiana katika swala la urefu wa mzunguko wa hedhi (menstrual periods) yani idadi ya siku ya kwanza ya period mpaka hedhi ya pili
 wanawake wengi huwa mnafall Kwenye tarehe 22-35 ingawa wapo walio kawaida wanachukua siku 28 vilevile wengine Wana mizunguko miwili yani mfupi na mrefu hivyo walio na mzunguko mfupi mathalani wale wenye siku 22 huwa Wana kipindi kifupi cha utokaji damu yan damu inaweza kukatika ndani ya siku mbili huwa ni tofaut na mtu mwenye mzunguko wa siku 31_35 kwani wao huwa na kipindi kirefu cha utokaji damu
JE, UNAIJUA SIKU YA MIMBA???
watu wengi huwa hatujui na kuishia kuchemka katika swala hili la mzunguko wa hedhi na kutambua siku ya mimba ni ipi wao hufikiri siku ya mimba ni Ile siku ya kumi na nne baada ya Dalili za kwanza za damu, wao huhesabu kuanzia Ile siku damu ilipoanza kutoka hadi siku ya kumi na nne, kwa utaratbu huu wengi wanafall hii ni kwasababu wanawake Wana mizunguko tofauti kwa urefu hivyo basi nakuelekeza ili ujue siku ya mimba ni ipi
 Kwanza inabid ujue mzunguko wako ni upi??? Yan mfupi /mrefu /wa kawaida
 Baada ya kujua urefu wa mzunguko wako chagua (pin_ point) yani siku Ile ya mwisho halafu uhesabu kurudi nyuma (backwards) siku kumi na tano kuanzia siku Ile ya mwisho yani siku kumi na tano kuanzia mwisho ndio siku ya mimba, hapa namaansha ukishafahamu siku ya kumi na tano kutoka mwisho hukuwezesha kufaham siku ya kupata ujauzito
 kwa utaraitbu huu mdogo msomaji utagundua karibia wanawake wote au wew mwenyew unatumia njia za Zaman ambazo huwafaa watu wenye mzunguko wa siku 28 tu hivyo nakupa mifano Hai jinsi ya kutumia kalenda kwa mizunguko yote
MZUNGUKO WA SIKU 28
tengeneneza kalenda yako ya siku 28 yani hivi 1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28
Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 28 mpaka siku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (14th) day sasa hiyo ndio siku ya kubeba mimba kwa mwanamke yoyote mwenye mzunguko wa siku 28 Lakin kwakua kipindi cha ovulation kinaanza siku ya 4_5 kabla ya ovulation na humalizika masaa 24_48 hivyo unapaswa kujikinga kuanzia tareh 12_16 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa masaa 24_48 baada ya kujamiiana,
kumbuka :siku ya kwanza ndio siku unayoanza kubreed
MZUNGUKO WA SIKU 22
tengeneneza kalenda yako ya siku 22 yani hivi
1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 22 kurudi nyuma mpaka siku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (8th)hivyo siku hiyo ni siku ya hatar kubeba mimba ila kwa kuangalia ovulation inabid ujikinge kuanzia tarehe 6_10 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa muda wa masaa 24_48 kumbuka tareh moja ndio siku unayoanza kubreed
MZUNGUKO WA SIKU 35
Tengeneneza kalenda yako ya siku 35 yani k**a hivi
1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35.Baada ya kuandaa hesabu kuanzia 35 kurudi nyuma mpaka sku ya kumi na tano ambayo itaangukia Kwenye (21th)hivyo hiyo siku ni ya hatar kubeba mimba ila kutokana na ovulation inabid uanze kujizuia kuanzia tareh,19_23 kuepuka mimba hii ni kwasababu mbegu za mwanaume Zina uwezo wa kudumu kwa masaa 24_48 baada ya kujamiiana
MZUNGUKO USIO WA KAWAIDA WA SIKU KUMI NA TANO
Mara nyingi Watu Hawa huwa na mzunguko wa siku 15-18 Hawa huwa na wa kutokushika mimba hivyo kwanza tengeneneza mzunguko wa siku zako
1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12,13,14,15 Kisha Anza kuhesabu kuanzia 15 kurud nyuma mpaka ufike siku kumi na tano Bila Shaka itaangukia Kwenye (1st) hivyo siku ya kwanza ya mzunguko wa mwanamke yoyote mwenye mzunguko wa siku 15 ndio siku hyo mimba inaingia (hata wa siku kumi na nane follow above) kumbuka siku ya kwanza ndio siku unayoanza kubreed pia ndio siku hyo unaweza kupata mimba hii inamaanisha kwamba siku ambayo linaharibika lile yai la kwanza ndio siku hyo hiyo yai la upande wa pili linapevuka n kuwa tayar kurutubishwa, Mara nyingi mwanamke wa kundi hili anaweza kupata mimba k**a atakutana na mwanaume wake siku Ile anayoanza hedhi kwani n siku ambayo yai linaharibika na ndio siku hyo yai moja linapevuka na kuwa tayar kurutubishwa
 Mara nyingi wanawake wa kundi hili huwa hawapati ute wa Uzazi ambao wenzao huwa wanapata siku Ile yai linapevuka wao hupata ute uliochanganyikana na damu kwakua ndio siku hyo ya kuanza breed
 Rafiki yangu ni matumaini yangu umejifunza na kuelewa jinsi ya kupanga kupata mimba au kuepuka nimeamua kuandaa somo hili ili kupunguza utoaji wa mimba na madhara wanayoyapata wanawake wanaotumia vidonge vya Uzazi wa mpango hivyo ni vizuri KUTUMIA KALENDA ILI KUEPUKANA NA MADHARA YA SINDANO NA VIDONGE VYA UZAZ WA MPANGO AMBAYO NI MAKUBWA K**A VILE KUPATA SARATAN YA MATITI, KUWA MGUMBA, KUPATA UVIMBE KATIKA KIZAZI, HUSABABISHA KUBLEED SANA NK,
Asante kwa kusoma kupata elimu hii na wewe unaweza kuwafundisha wenzako kwa kushare hii post na kuwatag marafiki zako
Jipatie neplily sanitary pads ,pads salama kwa hedhi yako, na virutubisho vya kutibu magonjwa tabia na sugu k**a presha,asthma,joint maumivu ya viungo,kuongeza kinga yako,vidonda vya tumbo ,alleji na kadhalika usisite kunitafuta .
NOTED :NDUGU MSOMAJI K**A UNA MAONI USHAUR NIANDIKIE UJUMBE KUPITIA NAMBA YANGU HAPO CHINI 0658 2832 50
PLEASE USISAHAU KUSHARE /KULIKE NA KUWAALIKA WENZAKO KATIKA PAGE HII

25/04/2020

SULUHISHO LA BAWASIR(MGOLO) HEMORHOIDS.,BILA UPASUAJI,

KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

# # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞
NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)
INAONDOA PRESHA KUBWA KWNYMISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA. KWA MWENYE CHOO KIGUMU LAZIMA ATUMIE CONSTRELAX AU PROBIO 3,VIRUTUBISHONVYA ASILI VINAVYOPANDIKIZA NA KUKUZA BACTERIA WAZURI KWENYE MMENG'ENYO WA CHAKULA HIVYONKUONDOA CHOO KIGUMU.
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA. *PIA JITAHIDI KUREKEBISHA MFUMO WAKO WA MAISHA K**A KULA MBOGA MBOGA ZA KUTOSHA, KULA MATUNDA YA KUTOSHA ,KULA UGALI USIOKOBOLEWA(KULA DONA SIO SEMBE),KUNYWA MAJI MENGI,KUPATA MUDA WA KUPUMZIKA,KUPATA USINGIZI MZURI,EPUKA KUKAA SEHEMU MOJA KWA MUDA MREFU SANA.* K**A UNAMJUA YEYEOTE MWENYE TATIZO HILO PLEASE NJOO TUMSAIDIE,,AU K**A WEWE UNA TATIZO HILO NJOO TUKUSAIDIE,,UTAPONA. 0657 7679 62/ 0658 2832 50

17/04/2020

Tumeweza kuwasaidia wengi na bado tunaendelea kuwasaidia wenye matazto ya TEZI DUME pamoja na watu wengne wenye matazto mbali ya kiafya,

Huduma zetu huwa siyo za sku moja,huwa tunahakikisha tunakupa muongozo na usimamizi mpaka pale tatzo lako litakapo kwisha kabisa.

TUPIGIE SIMU LEO AU TUMA MSG KUPITIA WATSAPP KISHA TUELEZE TATZO LAKO ILI TUWEZE KUKUSAIDIA
0658283250

21/03/2020

Kwa tiba ya vidonda vya tumbo nitumie msg watsApp
0658283250

Photos from Afya,Lishe na Tiba bora's post 21/03/2020
17/03/2020
17/03/2020

VIGEZO MUHIMU KATIKA KUCHAGUA VYAKULA SALAMA KIAFYA
🍏Ili binadamu awe mwenye afya njema ni lazima apate chakula cha kutosha na salama kwa afya yake ili aweze kuupa mwili virutubisho vyote muhimu katika,kujenga,kuulinda, pamoja kazi zingine za mwili.

🥑Vyakula hivi vimegawanyika katika makundi matano kulingana na umuhimu wake mwilini. Makundi haya ya vyakula ni k**a yafuatayo:
👉🏽Wanga(Carbohydrate).Vyakula hivi ni k**a vile Nafaka(Mahindi,mtama,ulezi,ngano,mchele,n.k), viazi ,ndizi,mihogo,n.k.Vyakula hivi huupa mwili nguvu.

👉🏽Vyakula vya protini.vyakula hivi ni k**a vile ,nyama,samaki,maharage,kunde,njegere,mayai,maziwa,soya,dagaa,n.k.Vyakula hivi hujenga mwili na kuulinda mwili usishambuliwe na magonjwa .Hivyo ni muhimu sana mwilini.

👉🏽Vyakula vya mafuta.Vyakula hivi ni k**a vile :Maziwa,Nazi,siagi,mayai,nyama,chikichi,karanga,zeituni(olive),Alizeti,mbegu za maboga ,n.k.

👉🏽Vyakula vya vitamini na Madini.Vyakula hivi ni k**a vile mboga za majani za aina zote na matunda ya aina zote.

Sasa jambo la kujiuliza utatumia vigezo gani kutambua vyakula ambavyo ni salama kwa afya ya mwili wako?

🐭Vigezo muhimu na sahihi ambavyo k**a ukivitumia katika kuchagua vyakula vyakula salama katika maisha yako .Hakika utakuwa umeweza kuyaepuka magonjwa mengi sana yanayousumbua ulimwengu na kufanya watu kuhangaika kila siku wakitafuta suruhisho ya matatizo hayo ya kiafya.

Vigezo hivyo ni k**a vile:
👉🏽Glycemic index na Glycemic load.
👉🏽Insulin index na insulin load.
👉🏽Uwepo wa mafuta mazuri yenye uwiano ulio sawa wa Omega 6 na Omega 3
👉🏽Kemikali za uhifadhi wa vyakula au uwepo wa viambata visivyo harisi k**a rangi,flavour na ladha.
👉🏽Uzalishwaji wa msongo wa sumu(Oxidative stress) kutokana na uwepo wa free radicals.

🍓NB:Hivi ndio vigezo muhimu ambavyo k**a jamii itavitambua na kuvitumia katika uchaguzi wa vyakula sahihi na salama kwa afya ya miili yao .Na hakika tungefanikiwa kuyaepuka haya magonjwa yanayotutesa. Jamii inaugua kila siku na kiwango cha wagonjwa kinazidi kuongezeka kwasababu tuna tumia vyakula vyovyote vilivyopo mbele yetu bila kuangalia vina madhara gani katika miili yetu. Tukishaugua ndio tunaanza kuhangaika kutafuta tiba badala ya kuangalia wap tulikosea mpka tukapelekea tatizo hilo.

🍓Kuanzia kesho nitaanza kuchambua kigezo kimoja baada ya kingine kiundani zaidi ili kila mtu ajue anakosea wapi na afanye nini ili kuyaepuka haya maradhi yanayoisumbua dunia.

Endelea kufatilia makala zangu ili uelimike zaidi ,pia share na wenzako nao wajifunze.

Whatsap/Sms 0657767962

17/03/2020

AFYA KWANZA.

Unakifahamu vizuri chakula unachokula?

Unafahamu chakula hicho kimeandaliwa vipi?

Unakifahamu chakula hicho kimetokana na mkusanyiko wa malighafi zipi. Na je malighafi hizo zinahitajika mwilini mwako?

Haya ni baadhi ya maswali ambayo tunapaswa kujiuliza kabla hatujaweka chakula mdomoni au hatujatoa pesa na kununua chakula popote pale.

Je ulishawahi kujiuliza maswali haya? Au ndio unakula kila kitu ilimradi ni chakula.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Arusha