Ruben Afya bora

Ruben Afya bora

Share

AFYA ELIMU NA MATIBABU

Photos from Ruben Afya bora's post 10/06/2022
10/06/2022
1.uk may be for sale - PerfectDomain.com 10/06/2022

DALILI ZA hormone IMBALANCE

1.ukavu uken

2.Maumivu wakat wa tendo

3.Maumivu chini ya kitovu

4.Mabadiliko ya siku za hedhi

5.kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku sab au kujaza pedi moja kwa saa moja)

6.Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi

7.Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea

8.Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)

Usipuuuze sio lazima uwe na dalili zote wai mapema kuepuka madhara makubwa na gharama ya matibabu

MADHARA YA HORMONE IMBALANCE

1.•Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu

2•Mimba kuharibika mara kwa mara;

3•Kukosa mtoto au Ugumba

4•Maumivu wakati wa tendo la ndoa

5•Kuwa na tabia na maumbile ya kiume

6•UTI na PID za mara kwa mara au rudizi

7•Kuzeeka mapema

8•Kuziba kwa mirija ya uzazi

9•Saratani

10•Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)

SULUISHO LA HORMONE IMBALANCE

Tume wasaidia wengi sana wenye changamoto k**a hiyo na wamepona kabisa kwa kutumia Virutubisho lishe

Uliza Sawali lolote au ukitaka kufahamu zaidi wasiliana nasi

1.uk may be for sale - PerfectDomain.com Checkout the full domain details of 1.uk. Click Buy Now to instantly start the transaction or Make an offer to the seller!

26/04/2022

IJUE PID NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE

PID inatibika bila shida

P I D (Pelvic Inflammatory Diseases)Ni Maambukizi katika via Vya uzazi ambayo husabishwa na Magonjwa k**a Uti rudizi ,fangasi ,Gonorea,Kisonono ,Kutoa Mimba ,Matumizi Ya madawa ,Uzazi wa mpango na nk

Dalili za PID zinatofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Kwa baadhi ya wanawake dalili huwa mbaya na kwa wengine dalili huwa za kawaida, wakati mwingine wanawake hukaa na ugonjwa kwa muda mrefu bila kujua kutokana na kuchanganya dalili na magonjwa mengine.

DALILI ZA PID

1.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto

2.Sehemu za uke kuwa na ulaini sana

3.Kupata maumivu wakati watendo la ndoa wakati mwingine kupeleekea kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ndoa na hivo kukosa tena hamu ya tendo la ndoa

4.Kuvurugika kwa hedhi

5.Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani

6.Maumivu wakati wa kukojoa
Kupata maumivu wakati wa choo

7.Kupata damu Mara baada ye tendon au wakati wa tendo

8.Homa kichefu chefu na nk

MADAHRA YA PID

Maambukizi kwenye njia ya uzazi husababisha athari kubwa sana kwa mwanamke,

1.k**a tulivoona pale juu PID inaweza kusababisha ugumba na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi(ectopic pregnancy) tofauti na mfuko wa mimba.

Kadiri unavoumwa zaidi PID ndivyo hatari ya kupata ugumba inavoongezeka.

Mimba kutokea nje ya mfuko wa mimba ni ishu kubwa ya kiafya na inahitaji uangalizi mkubwa wa kidactari ili kuzuia kuvuja kwa damu na hatimae kupelekea kifo kwa mama. Madhara mengine ya PID ni

2.Kupata majeraha kwenye mirija ya uzazi, majeraha yanaweza kutokea nje ama ndani,

tatizo hili linaweza kuwa gumu kutibika na hutokea tu pale ambapo maambukizi hayakutibiwa kwa muda mrefu zaidi

3.Kuziba na kujaa maji kwa mrija ya uzazi(hydrosalpinx kutokana na majeraha ya tishu zake

4.Maumivu ya tumbo ya muda mrefu husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa na mwanamke kutofurahisa unyumba.

5.Kuon

16/04/2022

FAHAMU KUHUSU TEZI DUME NA NJIA SAHIHI YA KUEPUKANA NAYO.

Kila mwanaume anazaliwa na Tezi ya kiume.
Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.

Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani; na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mnoo. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi.

Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

UKUAJI WA TEZI DUME.

Ukuwaji wa Tezi dume ni ile hali ya chembe chembe hai katika tezi ya kiume kukua bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili katika eneo linalo zunguka mirija ya kupitisha mkojo na mbegu za kiume.

Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50.

Takwimu zinaonesha kwamba kati ya wanaume 10, wa 5 na kuendelea wana dalili za kutanuka kwa Tezi dume.

VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA

Tatizo la kutanuka kwa tezi dume limekuwa kwa kasi sana hii ni kutokana na mitindo ya maisha wanaume wengi wanayoishi. Pia na elimu ndogo iliyoko kwenye jami kuhusu afya bora na Virutubisho.

Vifuatavyo ni vyanzo vya kutanuka kwa tezi dume:

✍️Ukosefu wa lishe kamili na upungufu wa Virutubisho muhimu mwilini

✍️Uwepo wa sumu nyingi na mafuta mengi mwilini hasa katika mishipa na ogani za uzazi

✍️Kutokufanya mazoezi

✍️Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara

✍️Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi

✍️Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)

✍️Msongo wa mawazo (Stress )

✍️Magonjwa ya zinaa

✍️Umri mkubwa

✍️Upasuwaji wa korodani,matatizo ya kimaumbile

✍️Historia ya Familia (Kurithi)

✍️Mazingira (Ethnicity)n.k

Dalili za tezi dum

16/04/2022

3. DALILI ZA HORMONE IMBALANCE

Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele.
Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:

- Ukavu ukeni

- Maumivu wakati wa tendo la ndoa

- Kutoa jasho usiku

- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi

- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa

- Mabadiliko ya siku za hedhi

- kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)

- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi

- Uchovu wa mara kwa mara

- Hasira za mara kwa mara

- Kukosa usingizi

- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara

- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula

- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe

- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)

- Maumivu ya viungo

- Upungufu wa nywele kichwani

- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)

- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)

- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea

- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi

- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini

- Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango

- Maumivu ya kichwa mara kwa mara

- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)

- Kutokupata choo kwa wakati

- Misuli hudondoka

4. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONl

Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango.

Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua,

huathiri mtoto atakayezaliwa,

huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria),

kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.

Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo

16/04/2022

NI NINI.

•Ni mchanganyiko wa virutubisho vyenye Antioxidant na Anti-aging

Mchanganyiko huo huo unaondoa mikunjo ya Ngozi (Makunyanzi)⁸
na kurudisha Ngozi katika hali ya ujana yenye mvuto zaidi.

↪️Antioxidant inaondoa sumu mwilini na kukuupatia mwili nguvu upya
na kinga dhidi ya magonjwa ya uzeeni.

Mchanganyiko wa resverantrol na NMN unarudisha umri nyuma kwa kuunda
upya speed ya NAD+ ambayo inazuia magonjwa yanaoletwa na uzee;

➡️ Sukari

➡️ Pressure

➡️ Kusahau

➡️ kuangamiza cells za saratani

➡️ Kuboresha afya ya moyo



1️⃣ Husaidia kukinzana na uzee

2️⃣ Husaidia kukinzana na Saratani yoyote ile

3️⃣ Husaidia kutengeneza DNA mpya

4️⃣ Ni nzuri sana katika kupambana na matatizo ya wanawake, Ngozi, Matatizo ya uzazi

5️⃣ Husaidia kuboresha mishipa ya damu na misuri

6️⃣ Kumbuka hii Bidhaa Inatumika Na Jinsia Yoyote

Karibu sana

06/04/2022

● *FAIDA ZA VIDONGE VYA PROSTATRELAX*


○ Inalinda tezi na kuzui kuongezeka kwa tezi dume
○ Inadumisha Afya ya Mkojo
○ Inaboresha ufanisi wa tendo la ndoa
○ Inaondoa maumivu ya kiuno na wakati wa kukojoa
○ Husaidia kufika kileleni vizuri bila maumivu.

● *VIUNGO*
○ Prostaep-I (USA Patent)

● *NANI ANATUMI*
○ Wanaume wenye shida ya tezi dume haswa wenye umri zaidi ya miaka 40.
○ Wanaume wenye shida ya kukojoa vizuri
○ Wenye shida za nguvu ya kiume.
°> Na Wanaume Wenye Shida Ya Mbegu. ( S***m ).

● *MATUMIZI*
○ Vidonge 2 mala 3 kwa siku.
○ Ukitumia kwa muda mrefu ( miezi 3 ) bila kuacha zinamatokeo mazuri zaidi - Ikiwemo Kuponya Tezi Dume Iliyovimba Bila Kufanya Upasuaji.

*PROSTATE RELAX* *Furaha Ya Mwanaume*.
Whatsapp/ Share kwenye Magroup Ndugu jamaa na MARAFIKI kuweza kuwasaidia wahanga wenye changamoto k**a hizi

25/03/2022

Chanzo cha vipele ukeni na vinundu

Vipele kwenye uke na mashavu ya uke inaweza kuwa ni jambo la kawaida katika mazingira fulani. Ama yaweza kuwa ni kiashiria cha ugonjwa mbaya unaohitaji tiba ya haraka. Hapa chini ni sababu kuu 7 zinazopelekea vimbe na vipele ukeni.

1.Vimbe zenye maji kwenye mashavu ya uke (Vulvar cysts)

Mashavu yako ya uke yameundwa kwa tezi mbalimbali k**a tezi za mafuta na tezi za kuzalisha ute ute(Batholin’s glands). Vimbe zinaweza kufanyika kutokana na kuvimba kwa tezi hizi. Na tezi zinaweza kuvimba kutokana na kuathiriwa na vimelea k**a bakteria. Vimbe nyingi za namna hii huisha zenyewe baada ya siku kadhaa.

2.Vimbe maji kwenye uke

Kuna aina nyingi za vimbe kwenye uke. Vimbe hizi zinakuwa ngumu na zinakaa kwenye kuta za uke. Vimbe mara nyingi zinakuwa na ukubwa wa mbegu ya harage na mara nyingi hufanyika baada ya kutoka kujifungua ama majereha kwenye uke.

Uvimbe kwenye kuta za uke kwa kiasi kikubwa huwa haziumi labda tu wakati wa tendo la ndoa. Vimbe hizi hutakiwa kupasuliwa hospitali na maji yake kukaushwa.

3.Chunusi ni chanzo cha vipele ukeni

Chunusi hizi za ukeni hufanana kabisa na zile za usoni. Zinakuwa na usaha kwa ndani, na mara nyingi haziumi wala kuleta shida kubwa. Chunusi za ukeni hutokea sanasana nyakati za kubalehe.

4.Kuvimba kwa mishipa ya damu (varicosities)

Asilimia 10 ya wanawake wajawazito hupata tatizo hili. Uvimbe huonekana kwa rangi k**a ya bluu kwenye mashavu ya uke. Uvimbe wa mshipa wa damu unaweza usilete maumivu yoyote ila unaweza kuwasha na kutoa damu.

Vimbe nyingi za namna hii mara nyingi huisha baada ya wiki 6 mama akishajifungua. Na zinaweza kujitokeza katika mimba ijayo.

5.Unywele kuota kuelekea ndani (ingrown hair)

Baada ya kunyoa au kuuvuta unywele wa mavuzi, inaweza kutokea unywele mpya kuota kuelekea ndani ya ngozi na siyo kutoka nje ya ngozi. Kitendo hichi husababisha uvimbe na kinundu kilichojaa usaha eneo la ngozi.

Usijaribu kuchokonoa unywele ulioota kuelekea ndani kwani yaweza kuleta maambuk

08/03/2022

Kwa afya yako

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kaloleni
Arusha
0764343222