Afya ni uhai

Afya ni uhai

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya ni uhai, Health/Beauty, KALOLENI, Arusha.

Tunatoa huduma bora ya afya kwa njia ya vitubibisho lishe vya asili visivyo na kemikali kwa wenye matatizo k**a UTI,PID, FANGUS, BAWASIRI, PRESHA, TEZI DUME nk KARIBU SANA TUKUHUDUMIE.

02/09/2022

FAHAMU LEO KUHUSU UGONJWA UITWAO OSTEPOROSIS NA TIBA YAKE.

Nini maana ya ugonjwa huu? Ni ugonjwa unaompata mtu baada ya mifupa kupungua uzito,ikiwa ni pamoja na kupoteza madin muhimu mfano wa calcium.

VISABABISHI VYA OSTEPOROSIS
1.kupungua kwa madin ya calcium
2.Historia ya familia
3.Matumizi makubwa ya dawa za maumivu
4.Uzito mkubwa kupitiliza
5.Matumiz ya vilevi (Pombe)

WATU WALIO HATARI KUPATA OSTEPOROSIS
1.Mwanamke mwenye umri mkubwa
👉Wanawake ambao hawaon hedhi kuanzia miezi 6 na kuendelela
👉Mwanamke ambaye ametolewa kizazi
2.Mwanaume pia ana uwezekano wa kupata osteoporosis
👉kushuka kwa kiwango cha testosterone hormone
3.Watu wanaonyanyua vitu vizito(Body bulder's)
DALILI ZA OSTEPOROSIS
1.Maumivu ya mwili(wakati wa baridi)
2.Maumivu ya mifupa kwa ndani( unakuw unahis k**a mifupa inachoma choma)
3.Kupungua kwa uzito
4.Kusagana kwa meno
5.Maumivu makali ya mgongo na kiuno

MADHARA YA OSTEPOROSIS
1.Kuvunjika kirahisi
2.Kusagika kwa pingil za mgongo
3.Kupishana kwa pingil za mgongo
4.Matatizo ya mfumo wa fahamu(Nerve system)
5.Magonjwa ya kusahau.

KWANINI UNATUMIA DAWA BILA MATOKEO ?

Sababu kuuu ni dawa zinachangia mifupa kupungua uzito Dawa za maumivu zinasaidia kuendeleza tatizo la mifupa

Suluhisho la uhakika lipo
Kwa maelezo na zaidi wasiliana namba 0764434025 Ili uweze kupata Tiba asilia isiyo na kemikali.

02/09/2022

WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU KWA MWANAMKE

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE

1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D atumie na yunzi
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni,..
Jipatie Jipatie FemiCare yaki leo.

02/09/2022

WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU KWA MWANAMKE

ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE

1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo

2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D atumie na yunzi
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika

5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni,..
Jipatie Jipatie FemiCare yako leo
Wasiliana nami kupitia Simu no 0764 434025

12/08/2022

Suluhisho la Tiba linepatikana wahi mapema uhudumiwe

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


KALOLENI
Arusha