Boresha Afya 2023

Boresha Afya 2023

Share

✔𝚄𝚜𝚑𝚊𝚞𝚛𝚒 𝚗𝚊 𝙼𝚊𝚝𝚒𝚋𝚊𝚋𝚞 ʏᴀ ᴋɪᴀꜰʏᴀ.ᴛɪʙᴀ ʟɪꜱʜᴇ(ᴄᴇʀᴛɪꜰɪᴇᴅ ᴛᴍᴅᴀ-ᴛʙꜱɪꜱᴏ ᴀɴᴅ ʜᴀʟᴀʟ)0754363911

19/10/2024

MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI (DETOXIFICATION PROGRAM)
Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi. VYANZO VYA SUMU Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara

2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara

3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia

4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri

5.Matumizi ya madawa makali

6.Uzito mkubwa 7.Mitindo ya maisha 8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI
1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele

2.kuwa na uzito wa kupindukia

3.kutokupata choo au choo kigumu

4.kukosa usingizi Na kujihisi kuchokachoka

5.Kiichwa kuuma

6.Kupata miwasho

7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti

8.kuwa na hasira mara kwa mara.

9.Tumbo kujaa gesi
MADHARA YAKE

1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa

2.maumbikizi ya figo

3.Maumbikizi ya Ini

4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)

5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke

6.Hupelekea matatizo ya pressure

7.Mvurugiko wa homoni
☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911

19/10/2024

🍏Madini ya zinc na magnesium ni muhimu sana kwa afya ya mwili kwa sababu yanafanya kazi nyingi za kimsingi katika mwili wa binadamu. Hapa kuna umuhimu wa kila moja:

Umuhimu wa Zinc:

1. Kuimarisha Kinga ya Mwili: Zinc inachangia katika kudumisha na kuimarisha mfumo wa kinga, kusaidia mwili kupambana na maambukizi.

2. Uponyaji wa Vidonda: Madini ya zinc husaidia katika mchakato wa uponyaji wa majeraha na vidonda kwa sababu inasaidia kutengeneza seli mpya za ngozi.

3. Kukua na Ukuaji wa Seli: Zinc ni muhimu kwa ukuaji na mgawanyiko wa seli, jambo muhimu kwa watoto na vijana wanapokua.

4. Afya ya Ngozi na Nywele: Zinc husaidia kudumisha afya bora ya ngozi, nywele, na kucha.

5. Uzazi: Madini ya zinc yanahitajika kwa uzalishaji wa homoni, hasa kwa wanaume, kwani yanahusiana na uzalishaji wa manii.

6. Hisia na Harufu: Zinc inahusika katika kuimarisha hisia za ladha na harufu.

Umuhimu wa Magnesium :

1. Kazi ya Misuli na Mishipa: Magnesium inahusika katika kusaidia misuli kutanuka na kujikaza ipasavyo, na hivyo kusaidia kuzuia misuli kukak**aa au kupata mikazo.

2. Afya ya Mifupa: Inasaidia katika kudumisha nguvu na uimara wa mifupa, pamoja na madini ya kalsiamu.

3. Kusaidia Mfumo wa Neva: Magnesium husaidia kuimarisha mfumo wa neva kwa kudhibiti ishara za neva na kupunguza mfadhaiko wa neva.

4. Usawazishaji wa Shinikizo la Damu: Husaidia kudhibiti shinikizo la damu, hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

5. Utulivu wa Usingizi: Magnesium inajulikana kwa kuimarisha ubora wa usingizi kwa kupunguza mafadhaiko na kusaidia misuli kupumzika.
6. Usagaji wa Chakula: Madini haya yanahusika katika kumeng’enya na kutumia wanga, mafuta, na protini katika chakula.

🍇Ukosefu wa madini haya mwilini unaweza kupelekea matatizo ya kiafya k**a vile kudhoofika kwa kinga ya mwili, uchovu, matatizo ya usingizi, na magonjwa ya mifupa. Hivyo, ni muhimu kuyapata kupitia chakula au virutubisho maalum.
☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911
💦KUMBUKA WEWE NI WA THAMANI SANA AFYA ZAIDI, THAMANI ZAIDI, UPENDO DAIMA 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

19/10/2024

Magonjwa ya moyo ni pamoja na:

1. Ugonjwa wa moyo usiyokuwa wa ischemic.

2. lschemic

3. Ugonjwa wa valve za moyo

4. Ugonjwa wa moyo wa rhythm arrhythmia

5. Ugonjwa wa moyo wa congenital

6. Shinikizo la damu

Ugonjwa wa valve za moyo unahusisha matatizo katika valves zinazodhibiti mtiririko wa damu ndani ya moyo. Kuna aina kadhaa za ugonjwa huu, ikiwa ni pamoja na:

1. Stenosis
Hapa valve inakuwa ngumu na haifunguki vizuri, ikizuia mtiririko wa damu.

2. Regurgitation
Katika hali hii, valve haina kufunga vizuri, na damu inarudi nyuma badala ya kusonga mbele.

3. Prolapse ya valve Hapa, valve inakua dhaifu na inajikunja kuelekea nyuma wakati moyo unapoamua, ikizuia mtiririko wa damu
Sababu
- Ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa
Matatizo ya valve yanayozaliwa nayo.
- Uambukizo
K**a vile endocarditis.
- Magonjwa mengine K**a vile shinikizo la damu au ugonjwa wa rheumatic.

Dalili
- Kutokwa na pumzi
- Uchovu
- Kichwa kuuma na kuhisi kizunguzungu
- Maumivu ya kifua

Matibabu
🌹Dawa
Kurekebisha dalili au kudhibiti shinikizo la damu.
🌹Upasuaji
Katika hali mbaya, kurekebisha au kubadilisha valve.

☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911

19/10/2024

TUMBO KUJAA GESI
Tumbo kujaa gesi ni tatizo ambalo limekuwa sugu na kusababisha madhara makubwa kiafya kwa watu wengi. Na hii ni kutokana na wahanga kutokutumia tiba sahihi.

VITU VINAVYOSABABISHA TUMBO KUJAA GESI
1). Aina ya vyakula, hii hujumuisha hasa vyakula vyenye mafuta ambavyo hupelekea kuta za tumbo/utumbo kujaa mafuta.
2). Matumizi ya vilevi na vinywaji vingine vyenye kemikali ambayo huweza kuathiri tumbo.
3). Maambukizi ya mfumo wa chakula
4). Mtindo wa maisha n.k

ATHARI/MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI
▪Hupelekea tatizo la vidonda vya tumbo
▪Maumivu ya mgongo
▪Kukosa hamu ya kula
▪Kupungua kwa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume. Na wanawake pia hupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa
▪Kiungulia kikali
▪Figo kushindwa kufanya kazi kwa ufasaha ambayo hupelekea maumivu makali ya kiuno na figo kuharibika
▪Choo kusumbua/ kupata shida wakati wa kujisaidia
▪Maumivu makali chini ya tumbo

☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911

19/10/2024

CHANGO la uzazi ni miongoni mwa magonjwa yanayoshambulia viungo vya uzazi vya mwanamke ambapo humsababishia maumivu makali ya tumbo na kushindwa kupata ujauzito, au mimba kuharibika kila zinapoingia.
🌹Zipo aina nyingi za chango ambazo zinaweza kujitokeza kila moja peke yake au zikajikusanya na kujitokeza kwa pamoja, mkusanyiko huu ndiyo unaitwa Ovulation Disorder (O.D).

CHANZO CHA TATIZO

🌹Matatizo ya chango la uzazi, yanatokana na vifuko vya mayai ya uzazi (ovaries) kutokuwa na uwezo wa kuzalisha mayai na kufanya yakue na kukomaa kwa wakati mwafaka.
🌹 Mwanamke mwenye matatizo haya hushindwa kuwa na siku za hatari za kunasa ujauzito na k**a zipo basi huwa hazina mpangilio unaoeleweka.

🌹Yawezekana mwanamke mwenye tatizo hili akawa na uwezo wa kuzalisha mayai lakini yakashindwa kukomaa au hata yakikomaa yakashindwa kusafiri kwenye mirija ya uzazi kwenda kukutana na mbegu za uzazi za kiume kwa ajili ya kurutubishwa.

🌹Tatizo hili huanzia kwenye ubongo, ambapo sehemu inayohusika na uzalishaji wa homoni hushindwa kufanya kazi yake vizuri na hivyo kushindwa kudhibiti uzalishaji wa homoni za Follicle Stimulating Hormone (FSH) na Lutenizing Hormone (LH) ambazo ndizo zinazohusika na uzalishaji na uchavushwaji wa mayai ya mwanamke katika viungo vyake vya uzazi.

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI
Dalili za chango la uzazi kwa mwanamke ni pamoja na
✅kupata maumivu makali wakati anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi
✅kuhisi maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
✅kujisikia homa kali anapokaribia siku zake za hedhi pamoja na
✅ kujisikia uchovu mkubwa anapokaribia siku zake za hedhi.

🌹✅Pia kurugika kwa mzunguko wa hedhi ni dalili nyingine ambapo mwanamke anaweza kuwa na mzunguko mrefu wa hedhi wa takriban siku 35, kubadilikabadilika kwa siku za hedhi au kuwa na mzunguko mfupi wa hedhi chini ya siku 21.
✅✅Dalili nyingine ni mwanamke kuwa na hasira kali anapokaribia kuingia katika siku zake za hedhi
✅✅ kupata michubuko kwenye sehemu zake za uke
✅✅kuchukia kushiriki tendo la ndoa
✅✅ kupata uvimbe kwenye kizazi na mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi.

MADHARA YA CHANGO LA UZAZI KWA MWANAMKE
✅Yapo madhara mengi kwa mwanamke mwenye tatizo hili lakini kubwa, huwa ni vigumu kupata ujauzito na hata pale anaponasa ujauzito, huharibika na kutoka kwa rahisi na kushindwa kufurahia tendo la ndoa ambapo huwa vigumu sana kwa mwanamke mwenye tatizo hili kufika kileleni wakati wa tendo
☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911

19/10/2024

SABABU 6 ZINAZOCHANGIA WANAWAKE KUSHINDWA KUONA SKU ZAO.

Tatizo la kukosa hedhi ni jambo ambalo linaweza kumkumba mwanamke yoyote katika maisha yake ilimradi awe tayari alivunja ungo.
Pia tatizo hili limekuwa likiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia wanawake wengi waliowahi kukumbwa na tatizo hilo.

Kitaalam tatizo la kukosa hedhi huitwa 'amenorrhea' na visababishi vya tatizo hili ni pamoja na matatizo katika mfumo wa homoni: Matatizo katika mfumo wa homoni yanaweza kuwa chanzo cha tatizo hili.

Zipo hapa chini sababu nyingine ambazo nazo huweza kuchangia mwanamke kutoona mzunguko wake,

Orodha ya mambo 6 yanayochangia mwanamke kutoona siku zake

1. Kufanya mazoezi kupita kiasi

2. Kuwa na uzito mkubwa au uzito mdogo

3. Lishe duni

4. Msongo mkubwa wa mawazo

5. Matumizi holela ya madawa zenye kuathiri mfumo wa homoni

6. Matumizi fulani fulani ya njia za uzazi wa mpango
☎Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu wasiliana nasi 0754363911

19/10/2024

BAWASIRI, au HEMORRHOIDS,
🔆Ni uvimbe wa mishipa ya damu kwenye eneo la puru (re**um) au kwenye njia ya haja kubwa.
🔆Uvimbe huu unaweza kuwa wa ndani (hemorrhoids za ndani) au wa nje (hemorrhoids za nje), kutegemea na mahali ambapo mishipa imevimba.

Je utajuaje k**a una TATIZO hili la Bawasiri? Mtu mwenye bawasiri anakua na dalili zifuatazo:-
-👉Maumivu au kuungua katika eneo la puru/haja kubwa.
-👉Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia.
-👉 Kuwashwa au kuwaka moto eneo la puru.
-👉Kuvimba au kujisikia uvimbe karibu na eneo la haja kubwa.
-👉Kutokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa.
-👉Kupata choo kigumu.
-👉Kupungukiwa NGUVU ZA KIUME😪.

*NB: Bawasiri ikikaaa muda mrefu inapelekea kufanyiwa upasuaji, jambo ambalo linaweza likawa hatari zaidi kwa afya yako. Sh*tuka Sasa!🙅‍♂+255754363911

27/07/2024

Magonjwa ya moyo ni matatizo yanayoathiri utendaji wa moyo na mfumo wa mzunguko wa damu. Zipo changamoto nyingi zinazohusiana na moyo
👉Shinikizo la damu la juu
👉Ugonjwa wa mishipa ya moyo
👉Mshtuko wa moyo
KUepukana na changamoto tajwa apo juu vipimo ni muhimu ilikutambua changamoto zaidi
---------wasiliana nasi 0754363911

27/07/2024

"MADHARA YA HORMONAL IMBALANCE KWA MWANAMKE-

•Kwa Kawaida Homoni hii Inapoongezeka kwenye damu (oestrogen) katika mwili wa mwanamke husababisha changamoto nyingi ktk mwili hasa ktk Via vya uzazi wa mwanamke na mwishowe kupelekea UGUMBA iwapo hatapata tiba mapema na ya uhakika.

MADHARA HAYO NI

✓ uvimbe kwenye kizazi ( FIBROIDS)

✓Uvimbe kwenye mayai(OVARIAN CYSTS)

✓mvurugiko wa hedhi

✓uvimbe kwenye tezi ya shingo,

✓mimba kutoka/ kuharibika

✓ uvimbe kwenye ukuta wa mji wa mimba

✓Mirija ya uzazi kuziba

✓Ugumba

Hormone imbalance inaweza kujitokeza kwa dalili tofautitofauti katika mwili wa mwanamke. Mojawapo ni

©mvurugiko wa hedhi kwa mwanamke ambayo inaweza kujionesha katika makundi matatu ya watu:

♦Kupishana kwa tarehe za hedhi (period) anozoingia mwanamke kila mwezi

♦Mwanamke kuingia hedhi zaidi ya mara moja katika mwezi moja.

♦kutopata hedhi/ period zaidi ya mwezi mmoja ama zaidi

Ili kusaidika na matatizo haya ya hormon imbalance na HEDHI , pigs simu 0754363911

27/07/2024

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE
1️⃣Kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
2️⃣Kutokushika mimba (infertility)
3️⃣Kutokua na uwezo wa kusimamisha uume
4️⃣Mbegu za uzazi kuwa chache (low s***m count)
5️⃣Uke kua mkavu (vaginal dryness)
6️⃣Kubadilika badilika kwa mzunguko wa hedhi au maumivu makali
7️⃣Kutokupata usingizi vizuri
8️⃣Kuongezeka uzito
9️⃣Kupata choo kwa shida au kuharisha
1️⃣0️⃣Kutokua sawa kwa mapigo ya moyo
1️⃣1️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
1️⃣2️⃣Kichwa kuuma mara kwa mara
1️⃣3️⃣Kuumwa mafua mara kwa mara
1️⃣4️⃣Kupoteza kumbukumbu
1️⃣5️⃣Uchovu wa mara kwa mara
1️⃣6️⃣Ngozi kua kavu sana
1️⃣7️⃣Maumivu ya mifupa na viungo
1️⃣8️⃣Kujisikia joto ghafla wakati wa usiku
1️⃣9️⃣Kuvimba kwa kinena (cl****al enlargement)
2️⃣0️⃣Chunusi wakati wa hedhi au kabla ya hedhi
KWA USHAURI NA MSAADA KARIBU
+255 754 363 911
#𝙛𝙮𝙥シ

27/07/2024

Je, unachangamoto ya hedhi?
Je, mzunguko wa hedhi haupo saw a?
Wasiliana nasi 0754363911

27/07/2024

Je, unachangamoto ya mifupa?
Je, viungo vya mwili vinapata maumivu yasio ya kawaida?
Je, unapatangazi kwenye mifupa ?
Tiba jnapatikana......wasiliana nasi 0754363911

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Makao Mapya
Arusha