eliza healthy
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from eliza healthy, Health/Beauty, kaloleni, Arusha.
03/04/2023
UGONJWA WA UTI
Ugonjwa wa UTI ni kifupisho cha Urinary Track infections. Haya ni maambukizi yanayoshambulia mfumo wa mkojo. Mashambulizi haya kwa kiasi kikubwa husababishwa na bakteria aina ya E.Coil. Bakteria hawa huishi kwenye utumbo (gastrointestinal track). Pia UTI inaweza kusababishwa na fangasi na virusi kwa kiasi kidogo sana. UTI inasumbuwa sana watu, inakadiriwa kuwa kati ya kila watu watano mmoja ana UTI. Wanawake wapo hatarini zaidi kupata UTI kuiko wanaume
UTI inaambukizwa vipi?
Maambukizi mengi ya UTI yana tokea choon wakati wa kujisafisha. Bakteria hawa wanatoka kwenye utumbo kuja nje kupitia haja kubwa. Sasa ikitokea mtu amejisafisha vibaya anaweza kuwachukuwa bakteria hawa na kuwapa njia kuingia kwenye njia ya mkojo na kusababisha mashambulizi. Pia wakati wa kushiriki tendo la ndoa (ngono). hii inaweza kusababisha UTI kuhama kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine. Pia kushirikiana vifaa vya ngono, kutumia vifaa vya uzazi wa mpango na njia nyinginezo.
Dalili za UTI
1.Kukojoa mara kwa mara
2.Kuhisi kuunguwa ama umoto wakati wa kukojoa
3.Kutoa mikojo kwa uchache
4.Mkojo kuwa mchafu, k**a mawingu ama mwekundu uliopauka
5.Harufu kali ya mkojo
6.Maumivu ya kwenye njonga kwa wanawake
7.Maumivu ya mkundu na puru kwa wanaume.
Dalili za UTI zinaweza pia kuwa tofauti na hizo hapo juu. Dalili hizi hutofautiana kwa kulingana na aina ya UTI. K**a unataka kuzijuwa dalili zaidi za UTI endelea kusoma makala hii mpaka mwisho.
Aina za UTI na dalili zake.
Ugonjwa wa UTI umegawanyika katika makundi mbalimbali. Makundi hayo ni k**a:-
1.UTI ya kwenye figo (acute pyelonephritis). UTI hii huathiri figo, na kusababisha dalili k**a:-
1.Maumivu ya mgongo kwa juu
2.Homa kali
3.Kuhisi baridi na kutetemeka
4.Kichefuchefu
5.Kutapika.
2.UTI ya kwenye kibofu (cystitis). hii ni aina ya UTI ambayo huathiri kibofu cha mkojo. Dalili zake ni:-
1.Maumivu ya nyonga
2.Maumivu ya tumbo kwa chini ya kitovu ama mvurugiko wa tumbo kwa chini
3.Kukojoa mara kwa mara huku ukiwa na maumivu.
4.Kukojoa damu, ama mkojo wenye rangi nyekundu ya kupauka.
3.UTI ya kwenye mrija wa mkojo (urethritis). mrija wa mkojo kitaalamu unaitwa urethra. Huu ndio mrija unaotoa mkojo kutoka kwenye kibofu na kuuleta nje. Dalili za UTI hii ni kuhisi kuunguwa wakati wa kukojoa.
Dalili za UTI kwa upande wa wanawake.
Kwa upande wa wanawake dalili za UTI zinaweza kuwa zaidi ya tulizotaja hapo juu. Kwa wanawake UTI inaweza kuathiri mfumo mzima wa uzazi kwa mwanmke. Kwa mfano mwanamke anaweza kupata dalili za mimba kumbe ni UTI. Kuvimba kwa matiti, kuuma kwa tumbo, kubadilika hedhi, kukojoa mara kwa mara. Kwa ufupi kwa wanawake uti inaweza kusumbuwa sana kwani inadhaniwa ni maradhi mengine.
Dalili za UTI kwa wanaume.
Kwa wanaume dalili za UTI ni k**a ambazo tumetangulia kuzitaja hapo juu. Kwa wanaume hawana dalili maalumu k**a wanawake. Hata hivyo maumivu ya kwenye puru na mkundu hutokea kwa wanaume na si kwa wanawake.
Watu hawa wapo hatarini kupatwa na UTI.
1.Kuwa mwanamke. Wanawake wapo hatarini kwa sababu ya maumbile yao. Njia yao ya mkojo ipo karibu sana na njia ya hajakubwa. Hata hivyo njia yao ya mkojo ni fupi kukifikia kibofu kuliko wanaume.
2.Kuwa ni mwenye kushiriki ngoni.
3.K**a unatumia baadhi ya njia za uzazi wa mpango k**a spermicidal agent
4.K**a mwanamke hapati tena hedhi, yaani amefikia kikomo cha kupata hedhi
5.K**a una matatizo kwenye mfumo wa mkojo.
6.K**a njia ya mkojo imeziba kwa mfano k**a unavijiwe kwenye figo na vikaziba njia ya mkojo.
7.K**a unatumia matibabu ya kuongezea kinga ya mwili nguvu k**a vile wenye kisukari
8.K**a unatumia mpira wa kukojolea.
NJIA ZA KUJILINDA NA KUIJIKINGA NA UTI
1.Kunjwa maji mengi sana
2.Nenda ukakojoe punde baada ya kufanya ngono
3.Kwa mwanamke jisafishe kuelekea nyuima na si kutokea nyuma kuelekea mbele
4.Safisha vyema choo baada ya kujisaidia
5.Nenda ukakojpoa punde tu unapohisi unataka kukojoa
6.Vaa nguo za ndani zilizo kavu na zisizo bana.
7.Jisafishe vyema sehemu za siri kabla na baada ya kufanya ngono
03/04/2023
🔴 MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA
👉🏻Usumbufu wa hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizunguzungu
👉🏻Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)
🔴 MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA
👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefuchefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
*🔴MADHARA YA KIJITI*
👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa
🔴MADHARA YA KITANZI
👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.
K**a umeshaathirika na moja Kati ya njia hizi karibu nikusaidie,.
tupigie kwa Ushari na tiba
03/04/2023
Ni bidhaa inayotatua tezi dume kwa wanaume.
Kwa maelezo zaidi piga/sms/whtspp 0656162110.
03/04/2023
K**A MTOTO WAKO UKUAJI WAKE NI MBOVU BILA HII BADO AJAPONA IPATE LEO ANDOKANA NA CHANGAMOTO
03/04/2023
Magonjwa ya mifupa na maungio yana sababishwa na vitu vingi sana ikiwemo
Ajali
Aina za ukaaji hasa ofisin
Kuumia kwa namna moja ama nyingine na mda mwingine unaweza usijue
Mazoezi mazito
Ulaji mbaya wenye kuleta mkusanyiko wa uric acid na kupunguza uzalishaji wa ute ute kwenye joints
Kuendesha gari masafa marefu mara kw maara
Zipo athari nyingi mtu anapata akiwa na matatizo ya mifupa na maungio k**a
Ganzi
Misuli kuwaka moto
Uchovu
Kudhoofika kw mifumo mingine km upungufu wa nguvu za kiume na hormone imbalance, macho, nk
Sasa basi acha kuendelea kuteseka matatizo yote ya mifupa na maungio yanatibika na virutubisho lishe bora kutoka marekani
Wasiliana nami mr moh mriri mtalamu wa afya na tiba lishe
Whatsapp/call 0656162110
03/04/2023
NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?., USHAURI NA HATUA ZA KUCHUKUA.! Uke mkavu;ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi. Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo. Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo. VISABABISHI VYA UKE MKAVU.
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi DALILI ZA UKE MKAVU
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu. MADHARA YA UKE MKAVU -Upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi(HORMONES IMBALANCE )
-Kuto shika mimba -Siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum -Ni rahisi kushambuliwa na maambukizi katka mfumo wa uzazi k**a PID,PCOS n.k
FUATA USHAURI UFUATAO K**A UNA TATIZO ILI.
Zingatia ulaji Wa vyakula vifuatavyo katika mlo wako.
-maziwa ya mtindi.
-viazi utamu vina vitamin A na C.
-kitungu saumu.
-mboga mboga za majani.
-matunda k**a maparachichi na mengineyo
-kunywa maji mengi.
-mapera machungwa na pilipili hoho Vina vitamin C.
-mbegu za mabonga.
-uyoga.
-penda kula bamia pia k**a itakuwa bichi basi kula nusu tu. MATIBABU YA TATIZO LA UKE MKAVU.
Ipo program maalumu ya virutubisho na tiba lishe ambayo tunayofuraha kuweza kuwasaidia wanawake wengi wenye shida hii na kuweza kufurahia tendo la ndoa.kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi whatsapp au piga/0656162110
03/04/2023
▶️Sababu zinazoweza kusababisha ugumba kwa mwanamke:
Karibu asilimia 10 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya mji wa uzazi usio wa kawaida (abnormal uterus).
➡️Hali zingine ni pamoja na uvimbe katika kizazi, kugandana au kunatana kwa mji wa uzazi na mirija ya uzazi.
Karibu asilimia 3 ya ugumba kwa wanawake ni matokeo ya matatizo ya ute usio wa kawaida katika mlango wa kizazi (femaleís cervical mucus).
Ute ute huu unahitaji kuwa na hali fulani maalumu kwa mbegu za kiume kuweza kuogelea kirahisi katikati yake.
✔️Chanzo kikubwa cha tatizo hili ni usawa usio sawa wa homoni za k**e ambapo homoni ya uzazi ya k**e iitwayo ‘estrogen’ yaweza kuwa ni chache sana au homoni nyingine iitwayo ‘progesterone’ yaweza kuwa ni nyingi sana tofauti na inavyohitajika.
madini na vitamini zote mhimu kwa ajili ya kutungisha mimba k**a ifuatavyo;
1️⃣Vitamini B6
Kazi kubwa ya vitamini B6 ni kusaidia mimba kukaa sawa na salama wiki mbili za mwanzo tangu ujauzito utungwe (Luteal phase).
Hiki ni kipindi cha maandalizi cha kipindi kingine kijacho katika safari ya ujauzito na ni lazima mazingira yawe ya afya katika mji wa uzazi wa mwanamke ili kweli ujauzito uendelee kukua.
Hivyo siku hizi 14 za mwanzo vitamini B6 ni ya mhimu ili ujauzito ubaki na afya.
K**a huna hii vitamini vya kutosha basi hizi siku 14 hazitafika na ndani ya siku 7 au 10 ujauzito utakutoka.
2️⃣ Vitamini B12
Vitamini B12 ni vitamini mhimu sababu husaidia kuweka sawa homoni. K**a matokeo yake inakusaidia kupata siku zako vizuri na k**a siku zako zinaenda vizuri basi ni rahisi pia kwako kupata ujauzito wenye utulivu na afya bora ya mtoto.
Vitamini hii ni mhimu pia kwa baba kwani husaidia kumpa mwanaume mbegu nyingi na zenye ubora wa kutungisha mimba.
3️⃣ Vitamini C
Vitamini C imekuwa ikihusishwa na uzazi kwakuwa inasaidia kuweka sawa homoni na kukupa mzunguko mzuri wa hedhi vitu ambavyo ni mhimu ili uwe na afya ya kuweza kupata ujauzito.
Hii ni vitamini mhimu kwa kinamama ambao wamekuwa wakitumia dawa za uzazi wa mpango kwa kipindi kirefu. Husaidia mji wa uzazi uwe tayari na sawa kwa ajili ya kutunga ujauzito.
Vitamini hii inaisapoti homoni ya ujazi ijulikanayo k**a ‘progesterone’ katika mwili na kuimarisha kuta za mji wa uzazi baada ya mimba kutungwa.
4️⃣ Vitamini D
Upungufu wa Vitamini D umekuwa ukihusishwa na ugumba moja kwa moja.
Tafiti zinaonyesha upungufu wa vitamini D unaathiri tishu au ogani za uzazi za mwanamke kwamba ogani hizo haziwezi kufanya kazi kwa ufanisi na kuleta matokeo chanya.
Vitamini D pia ina umhimu mkubwa katika kukua kwa seli na ufanyaji kazi wake. Tafiti zinaonyesha wanawake wenye vitamini D ya kutosha wanakuwa na mji wa uzazi mzuri na wenye afya.
5️⃣Vitamini E
Bila Vitamini E ni vigumu kupata ujauzito. Hii ni vitamini mhimu katika kulinda afya ya seli zetu na hufanya kazi ya kuondoa sumu mwilini na hivyo kuzilinda seli zisidhurike kirahisi.
Hii inajumuisha seli za mayai ya uzazi, kuta zinazozunguka yai zimetengenezwa kwa vitamini E.
Vitamini E pia husaidia kuweka sawa mbegu za mwanaume kwa kuongeza wingi na ubora wake kwa ajili ya uzazi.
6️⃣ Madini ya Folate
Kuwa na kiasi cha kutosha cha madini haya ni jambo la mhimu ikiwa unahangaika kupata ujauzito. Madini haya ni mhimu ili kuzuia ujauzito usitoke.
Ni mhimu mwili uwe na madini haya mapema wakati wowote unapojiandaa kushika ujauzito.
Ukisubiri mpaka upate ujauzito ndiyo uanze kutafuta haya madini tayari utakuwa umeshachelewa.
7️⃣ Madini ya chuma
Madini ya chuma yana uhusiano wa moja kwa moja na uzazi. Yanahitajika ili kuzizalisha homoni mbili mhimu za uzazi ambazo ni estrogen na progesterone, ambazo ni homoni mhimu kwa utungaji wa kawaida wa ujauzito.
Tafiti zinaonyesha wanawake wenye kiasi kidogo cha madini haya mwilini mwao wanapata wakati mgumu katika kushika ujauzito.
Mara tu upatapo ujauzito madini ya chuma ni ya mhimu sana ili kuwa na ujauzito wenye afya kipindi chote cha miezi 9.
8️⃣ Omega-3 na Omega-6
Haya hujulikana k**a mafuta mazuri (good fats). Kumbuka siyo kila mafuta ni mabaya kwa mwili wako, yapo mafuta mazuri na ambayo yanahitajika na mwili wako ili kuwa na afya bora.
Omega-3 na Omega-6 husaidia kuweka sawa homoni zako na kuzifanya zifanye kazi kwa usahihi jambo linalohamasisha uhakika wa kuwa na uwezo wa kutunga kwa mimba na kuwezesha damu kusambaa vizuri kwenye ogani za uzazi.
9️⃣Madini ya Selenium
Selenium ni madini madogo ambayo hufanya kazi k**a kiondoa sumu mwilini na hivyo kuimarisha ubora wa seli zetu.
Pia ni madini mhimu kwa ajili ya uundwaji wa mayai na hudhibiti kazi za tezi ya thyroid, tezi ambayo ni mhimu kwa uzalishwaji na uwekaji sawa wa homoni.
1️⃣0️⃣ Madini ya Zinki
Madini ya zinki ni mhimu kwa pande zote mbili kwa mwanamke na mwanaume. Kwa wanawake zinki husaidia uzalishwaji wa mayai na kuyaweka mayai yenye afya na kuweka sawa homoni.
Upungufu wa madini ya zinki pia unahusishwa na mimba kuharibika katika wiki za mwanzo mwanzo tangu kutungwa kwake.
Hivyo k**a umekuwa na bahati ya kupata ujauzito halafu haichukuwi muda zinatoka kuna uwezekano mkubwa una kiasi kidogo cha madini ya zinki kwenye mwili wako.
❌Vitu vya kuepuka kwa mtu mwenye tatizo la ugumba:
*Chipsi
*Vinywaji baridi
*Kaffeina
*Nyama nyekundu
*Vilevi
healthy
Wasiliana na me kwa melezo zaidi
0656162110
03/04/2023
MAMBO AMBAYO MWANAMKE ATAKIWI KUYAPUUZIA ANAPO ONA DALILI HIZI
1.Unahisi miwasho ukeni lakini unapuuzia
2.Ukivua nguo yako ya ndani unakuta uchafu ambao si wa kawaida lakini unaona ni jambo la kawaida
3.Uchafu unatoka k**a maziwa na muda mwingine rangi zingine,unaoambatana na harufu mbaya lakini unachukulia poa
4.UTI zinakurudia mara kwa mara unaona ni kawaida tu
5.ukikutana na mwenzi wako unapata maumivu unatoka damu, hauna_hisia zozote wakati wa tendo na wala hauchukui hatua yoyote
USIENDELEE KUFANYA HAYO MAKOSA,TAFITI ZINAONESHA KATI YA WANAWAKE 10 WALIOFANYA KOSA 1 KATI YA HAYO,WAMEKUMBWA NA MADHARA YAFUATAYO;
🍂Kupata Kansa ya kizazi hapo badae
🍂kushindwa kupata ujauzito pindi wanapokuwa wanahitaji na hata wakipata unatoka mara kwa mara
🍂Kushindwa kufurahia tendo la ndoa na kuvuruga mahusiano
🍂Msongo wa mawazo ambao hupelekea kuvuruga homoni na kusababisha kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kunakoambatana na maumivu
🍂Tatizo la harufu mbaya na ukavu uliopitiliza.
KWAUSHAURI wasiliana na me 0656162110
03/04/2023
TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.
DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO
Tuna dawa ya kutibu Vidonda vya tumbo ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na mda wa tatizo, tatizo halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza maumivu, ukianza kutumia ndani ya mwezi moja mgonjwa huanza kupona na huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa autumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendelea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa. Wasiliana na me 0656162110
Bonyeza
03/04/2023
Hii ni dawa ya asili uliyo tengenezwa kwa miti shamba yenye uwezo mkubwa wakuboresha mfumo mzima wa uzazi kwa mwanaume. Dawa hii huongeza hamu nauwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa wanaume. Pia hufungua mushipa ya midogo midogo kwenye uume hvyo humfanya mwanaume kukaa mda mrefu wakati wa tendo La ndoa. Pia huongeza uzalishaji wa mbegu za kiume. Vile vile huondoa uchovu maumivu ya mwili hivyo kumfanya mwanaume kuwa sawa mda wote. Pia huondoa stress hivyo huboresha mfume mzima wa uzazi kwa mwanaume
WhatsApp/call 0656162110
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Kaloleni
Arusha
2021