AFYA TIPS

AFYA TIPS

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA TIPS, Health/Beauty, Dar es salaam, Arusha.

🎯 Mtaalam wa matatizo ya mmeng’enyo.
🔥 Acid Reflux | Gesi Tumboni | Koo | Vidonda Tumbo | Bawasili*
🥗 Lishe bora kwa afya njema*
*📲 WhatsApp kwa ushauri: +255742211518*

11/06/2026

11/06/2026

Kiungulia cha mara kwa mara si jambo la kupuuza. Dalili ndogo leo zinaweza kugeuka kuwa tatizo kubwa kesho. Chukua hatua mapema, linda afya ya koo na mfumo wako wa chakula.

10/06/2026

Ni chakula gani unakitumia zaidi!?

08/06/2026

Muda wote unakuwa umechoka
Hii hali mara nyingi kwa watu wenye Acid huwa inawakuta sana
Changamoto huanzia kwenye misuli
Je hali hii inakukuta!?

08/06/2026

HATA UKITUMIA MAJI KWAKO NI SHIDA
SASA TUNAJIULIZA KWA UPANDE WAKO MAJI NI UHAI KWELI??

06/06/2026

LOWER ESOPHAGEAL SPHINCTER (LES) ndiyo mlango wa ulinzi kati ya tumbo na umio. LES inapokuwa dhaifu au haifungi vizuri, asidi ya tumbo hupanda juu na kusababisha Acid Reflux.

Kwa hiyo, ukitatua tatizo la LES kwa kuifanya ifanye kazi yake ipasavyo, unakuwa umetatua chanzo kikuu cha Acid Reflux badala ya kupunguza dalili pekee.

🎯 Tibu LES, dhibiti Acid Reflux.
🎯 Rekebisha chanzo, sio dalili.
🎯 LES imara = maisha bila kiungulia na reflux za mara kwa mara.

Afya ya umio inaanza na LES yenye nguvu!

05/06/2026

04/06/2026

ONYO,HII NI KWA MTAZAMO WANGU MM HASSAN MANSOOR

02/06/2026

Hii ndio tafsiri ya reflux

29/05/2026

Kwa mfano:
Kula mafuta mengi, vyakula vya kukaanga na soda kila siku kunaweza kuanza kuharibu tumbo, ini, moyo au kuongeza uzito polepole.
Kuruka milo, kula usiku sana au kula ovyo kunaweza kusababisha matatizo k**a acid reflux, vidonda vya tumbo, sukari au presha baadae.
Kutokula matunda, mboga na kunywa maji ya kutosha huathiri kinga ya mwili na mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
Vivyo hivyo, ukila vizuri leo:
Mwili hujijenga taratibu,
Kinga huimarika,
Ngozi, nguvu na afya ya ndani huboreka baada ya muda.
Kwa kifupi: “Matokeo ya ulaji si ya siku moja — mwili hukumbuka unavyoula kila siku, na baada ya miaka ndipo athari kubwa huonekana.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00