AFYA TIPS
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA TIPS, Health/Beauty, Dar es salaam, Arusha.
🎯 Mtaalam wa matatizo ya mmeng’enyo.
🔥 Acid Reflux | Gesi Tumboni | Koo | Vidonda Tumbo | Bawasili*
🥗 Lishe bora kwa afya njema*
*📲 WhatsApp kwa ushauri: +255742211518*
Kiungulia cha mara kwa mara si jambo la kupuuza. Dalili ndogo leo zinaweza kugeuka kuwa tatizo kubwa kesho. Chukua hatua mapema, linda afya ya koo na mfumo wako wa chakula.
Ni chakula gani unakitumia zaidi!?
Muda wote unakuwa umechoka
Hii hali mara nyingi kwa watu wenye Acid huwa inawakuta sana
Changamoto huanzia kwenye misuli
Je hali hii inakukuta!?
HATA UKITUMIA MAJI KWAKO NI SHIDA
SASA TUNAJIULIZA KWA UPANDE WAKO MAJI NI UHAI KWELI??
LOWER ESOPHAGEAL SPHINCTER (LES) ndiyo mlango wa ulinzi kati ya tumbo na umio. LES inapokuwa dhaifu au haifungi vizuri, asidi ya tumbo hupanda juu na kusababisha Acid Reflux.
Kwa hiyo, ukitatua tatizo la LES kwa kuifanya ifanye kazi yake ipasavyo, unakuwa umetatua chanzo kikuu cha Acid Reflux badala ya kupunguza dalili pekee.
🎯 Tibu LES, dhibiti Acid Reflux.
🎯 Rekebisha chanzo, sio dalili.
🎯 LES imara = maisha bila kiungulia na reflux za mara kwa mara.
Afya ya umio inaanza na LES yenye nguvu!
ONYO,HII NI KWA MTAZAMO WANGU MM HASSAN MANSOOR
Hii ndio tafsiri ya reflux
Kwa mfano:
Kula mafuta mengi, vyakula vya kukaanga na soda kila siku kunaweza kuanza kuharibu tumbo, ini, moyo au kuongeza uzito polepole.
Kuruka milo, kula usiku sana au kula ovyo kunaweza kusababisha matatizo k**a acid reflux, vidonda vya tumbo, sukari au presha baadae.
Kutokula matunda, mboga na kunywa maji ya kutosha huathiri kinga ya mwili na mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
Vivyo hivyo, ukila vizuri leo:
Mwili hujijenga taratibu,
Kinga huimarika,
Ngozi, nguvu na afya ya ndani huboreka baada ya muda.
Kwa kifupi: “Matokeo ya ulaji si ya siku moja — mwili hukumbuka unavyoula kila siku, na baada ya miaka ndipo athari kubwa huonekana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |