Afya Yetu
Tunahusika na elimu ya afya na tiba za asili kwa magonjwa sugu k**a presha sukari vidonda tumbo. Pia bidhaa za afya k**a sabuni za kuogea na ped kwa jumla
*PEARL BEAUTFYING SOAP....TIBA YA KWELI KABISA.*
Hii ni sabuni iliyotengezwa kutokana na magamba ya viumbe wa baharini km simbi, konokono na viumbe wengine wa baharini.
Magamba hayo yanasagwa na kutolewa Mali ghafi ya kutengeneza sabuni bora pearl soap...!
Sabuni hii ina aina18 za amino acid..zaid ya aina 30 za trace element.na vitamins ambazo zinasafirisha material za virutubisho ndani ya ngozi na kuondoa *vitu vigeni* katika ngozi.
*KAZI ZAKE...*
1.kutengeneza uzuri wa ngozi iwe na ubora wake..
2.inaimarisha uasili wa ngozi..
3.inaondoa mafuta na jasho na kuifanya ngozi kubaki kavu na safi..
4.inasafisha na inaondoa sumu ndani ya ngozi..
5.inaondoa mabaka na upele..
6.kuponya muendelezo wa tishu zilizoharibika ndani ya ngozi..
7.kuondoa mafuta yaliyoganda na kuziba vinyweleo na kuifanya ipumue vzr...
8.inaondoa chunusi na kuifanya sura ing'ae.
9.inang'arisha ngozi
10.inazuia uharibifu wa ngozi unaotokana na miali ya jua na miali na kemikali nyingine kupitia ngozi...!!
11,Inaondoa mba wa shingoni, mwilini na hata kichwani,
12,Inaondoa Fungus za aina zote hata kwa wanaonuka miguu wameliwa vidole wakivua viatu, .
13.Inaondoa harara kwa wanaokaa maeneo ya joto kali
*Utaalamu huu wa kutumia viumbe wa bahari katika usafi na uimara wa ngozi ulianza karne nyingi nchini china na unaendelea hadi leo na hata wazee wakichina hawachoki ngozi na akili
*MATUMIZI*
1.loweka ngozi kwa maji..
2.paka sabuni juu ya ngozi..
3.sugu kwa dakika 1-3.....
4.suuza kwa maji safi.
5.tumia mara 2 kwa siku kupata matokeo mazuri
*Enjoy harufu nzuri na isiyoumiza pua* zako yenye kukufanya upende kuendelea kuoga tu, harufu salama ya maua na zabibu..!
*ANGALIZO*
sabuni hii haijatengenezwa kwa kemikali za viwandani ni Tiba mbadala, hivyo unashauriwa kuitumia na kutokupaka vipodozi vya kemikali, hasa Lotion zenye *hydroquinone* ina maana unatibu Kisha unajeruhi tena, Tumia Lotion zisizo na hizo kemikali.
Kuzipata
Sabuni hizi wasiliana nasi
Mawakala tupo popote ulipo
FAHAMU PED AMBAZO NI MKOMBOZI WA AFYA YA MAMA NA MTOTO
Neplily Ped
Asili ya Jina la Neplily imetokana na muunganiko wa majina mawili ambayo ni
“Nep” kutoka kwa neno Nepstar
“Lily” kutoka kwa maua yaitwayo Lily
Maua ya Lily ni kivutio kikubwa hasa kwa wanawake.
Mara nyingi maua haya hutumiwa kuonyesha ishara ya urembo, uzazi, upendo, huruma, usafi….n.k. yaani mambo yote wanawake
wanayohusika nayo na kupenda.
MATATIZO YAWAPATAO WANAWAKE WAKATI WA HEDHI
♧Kichwa kuuma
♧Maumivu ya tumbo
♧Kukosa hamu ya kula
♧kusikia kichefuchefu
♧kuingia hedhi zaidi ya siku 7
Pads za Neplily zimetengezwa na cotton material iliyo laini na ina uwezo wa hali ya juu kufyonza hedhi kwa haraka . Hii inamfanya mwanamke kuwa na faraja na uhuru.
Imewekwa anion plate: ambayo imewekwa katikati ya pamba nyepesi,na hii anion plate ikilowa damu tu inafyonza damu yote na kuruhusu upepo upenye ili kuondia joto na unyevu unyevu na kusababisha bakteria kukosa sehemu ya kuotea.Baada ya pedi hii ya Neplily kupata unyevu unyevu inaanza kusambaza anions kupanda na kuingia kwenye kizazi,mirija ya uzazi hadi kwenye damu pia.
ANIONS hizi hutokana na natural forces yaani nguvu asili k**a maporomoko ya maji makali,upepo mkali,mionzi mikali inapokuwa inapiga molekyuli za hewa husababisha kuzalishwa kwa chembechembe hasi ambazo huitwa Anion ambazo ni tiba tosha katika mwili wa binadamu.
Kazi kubwa ya anions hizi ni;
♧inazuia Urinary Tract Infections (UTIs)
♧Inarudisha mzunguko wa hedhi kwa mwanamke.
♧Inaondoa maumivu ya tumbo wakati wa hedhi.
♧Inatibu fungus na miwasho katika sehemu za siri.
Ina uwezo wa kunata chupi vizuri ili kuzuia kuteleza. Hivyo kumfanya mwanamke kuwa huru bila ya kuwa na wasi wasi.
Pembeni yake kuna vishikio vinavyosaidia kushika chupi vizuri na kuzuia kuvuja kwa pembeni (side leakage).
UBORA WA NEPLILY
Ni Super absorbent. Ina uwezo wa kufyoza hedhi kwa kiwango kikubwa. Zaidi ya ml 250
No leaks. Haipitishi hedhi.
Protection from UTIs. Kinga dhidi ya ugonjwa sugu wa UTIs.
Karibu sana
Mawakala pia wanahitajika
Wasiliana nasi
Text/Whatsapp 0754229149
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha