BF SUMA Arusha mjini

BF SUMA Arusha mjini

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from BF SUMA Arusha mjini, Health/Beauty, Arusha.

16/09/2024

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE
👇
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:

👉 Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua . Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe .

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
• Ugumba
• Kansa ya shingo ya kizazi

12/08/2024

Tiba hii apa

12/08/2024

Karibu sana

12/08/2024

Tiba kamili

04/07/2024

My God is awesome.

02/07/2024

Vidonge vya Quad-reishi vina aina 4 za uyoga wa reishi unaotoa afya maalum

Faida kwa mwili Kila kiungo kimetolewa mahususi ili kuongeza uokoaji na ulinzi.

Viungo hivi pia hukufanya uwe na afya njema & hai.

Vidonge vya Quad-reishi vina uyoga wa Ganoderma kutoka milima ya Changbai nchini China, uyoga wa Chang kutoka Serbia, Yunzhi kutoka misitu ya Yunnan nchini China, na uyoga wa Antrodia kutoka milima ya Taiwan.

FAIDA ZA QUAD-REISH CAPSULES

✓Huongeza Kinga Yako ya Kinga
✓ Hupambana na Uvimbe
✓Huzuia na Kupambana na Saratani
✓Hupunguza Sukari kwenye Damu
✓Hupunguza Cholesterol
✓Huimarisha afya ya ini.
✓huimarisha afya ya moyo
✓Hulinda dhidi ya maambukizo ya virusi
✓Punguza kuwasha/kuwasha ngozi
✓Huzuia kisukari aina ya pili
✓Inaboresha umakini na kiwango cha nishati. ✓Huimarisha na kuboresha utendaji kazi wa ini na mapafu.
✓Husaidia kupona kutokana na kikohozi na kupunguza kupumua.
✓Husaidia kuondoa sumu kwenye ini na mapafu

Kipimo:
Chukua vidonge 2 kwa siku (2x1)
Baada ya chakula.

25/06/2024

Punguza uzito kwa njia rahis sana

Wanyakyusa Team Wachaga Wote Waishio Facebook(W.W.W.F) WAPARE GROUP, Simba SC Tanzania Young Africans Sports Club

20/06/2024

Suluhisho lipo apa
WAIMBAJI WETU GOSPEL TZ Mapishi Aina zote . ". MALEZI YA WATOTO NA WAJAWAZITO.

19/06/2024

Karibu nikuudumie

19/06/2024

umia Reishi coffee ☕ BFSUMA
*_REISHI_COFFEE_BFSUMA_*🧠🫁🫀🧬🧠🧠🧠🫀🫀🫁🇺🇸🇹🇿
Ni Kahawa isiyokuwa na Caffein wala Nicotin.
Kahawa hii ina faida zifwatazo;
✅Inasaidia wenye matatizo ya moyo na pressure kushuka
✅Inaondoa allergy zote mwilini
✅Inaongeza kinga za mwili
✅Inaondoa sumu mwilini
✅Inaondoa mafuta mwilini
✅Inaweka sawa kiwango cha sukari mwilini
✅Inasaidia ubongo kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia figo na ini kufanya kazi vizuri
✅Inasaidia mtu kulala usingizi mzuri
✅Inasaidia watu wenye vidonda vya tumbo
✅Inasaidia msongo wa mawazo na wasiwasi
Share Kwa watu na Ma GROUP MBALI MBALI KUWASAIDIA WAHITAJI 🙏🙏

19/06/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Arusha