Afya life
Karibu kwa huduma nzuri ya afya kupitia virutubisho vya asili kutoka America
08/01/2025
Sasa inapatikana kwa bei ya ofa 45000/= tu popote ulipoo WhatsApp 0692359266
Calls/sms 0692359266
Ukinitafuta sema moja kwa moja nahitaji femicare kwa bei ya 45000 niko mkoa huu nakuelekeza mpaka nyumbani 🔥🔥🙏karibuniiii😊
08/01/2025
Benign Prostate Hypertrophy (BPH) KUVIMBA KWA TEZI DUME.
TEZI dume ipo chini ya kibofu cha mkojo hufanya kazi katika mifumo miwili tofauti (Mfumo wa uzazi wa mwanaume na mfumo wa mkojo kwa mwanaume)
Kuvimba Kwa Tezi Dume Hupelekea SHIDA/MATATIZO Kwenye Mifumo Yote Miwili. Kwa UZAZI Nguvu Za Kiume Kuisha Au Kupungua Na Kwa MKOJO Njia Ya Mkojo Kuziba Na Kushindwa Kupitisha Mkojo, Kwani Tayari Uvimbe Unakuwa Ndio Kikwazo Kikubwa.
𝑫𝑨𝑳𝑰𝑳𝑰 𝒁𝑨 𝑲𝑼𝑽𝑰𝑴𝑩𝑨 𝑲𝑾𝑨 𝑻𝑬𝒁𝑰 𝑫𝑼𝑴𝑬
Kuna dalili mbali mbali ambazo zinaweza kuwa kiashiria cha kuwepo kwa changamoto hiyo ya kuvimba kwa tezi dume nazo ni:
💡Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
💡Matone ya mkojo unaobaki baada ya kumaliza kukojoa
💡Kushindwa kuzuia mkojo pale unapohisi kukojoa
💡Maumivu makali unapotaka kukojoa
💡Kukosa hamu ya tendo la ndoa
💡Kiwango kidogo cha mbegu za kiume
💡Mkojo kutoka kwa udhaifu na wakati mwingine unaweza ukajikojolea.
💡Maumivu ya nyonga hasa wakati wa tendo la ndoa
💡Mkojo wenye damu(Hematuria)
💡Tumbo kujaa mara kwa mara
𝑴𝑨𝑫𝑯𝑨𝑹𝑨 𝒀𝑨 𝑲𝑼𝑽𝑰𝑴𝑩𝑨 𝑲𝑾𝑨 𝑻𝑬𝒁𝑰 𝑫𝑼𝑴𝑬 (COMPLICATIONS )
Kuvimba kwa tezi dume, huweza kuadhiri mwili kwani mkojo unakuwa umezuiliwa katika njia yake lakini pia tezi hiyo huhusika na mfumo wa uzazi, hivyo basi madhara yake ni:
⭕️Kushindwa kumudu tendo la ndoa
⭕️Magonjwa ya Figo na kibofu cha mkojo
⭕️Saratani ya tezi dume
⭕️Kudhoofika kunakotokana na tatizo la saratani ya tezi dume
⭕️Kushindwa kujiamini kunakotokana na kushindwa kudhibiti mkojo
⭕️Msongo wa mawazo (stress)
⭕️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
𝑺𝑼𝑳𝑼𝑯𝑰𝑺𝑯𝑶
TEZI DUME INATIBIKA BILA UPASUAJI, PROSTATE RELAX imeweza kuwasaidia wengi ambao tayari walikuwa na mpango wa kufanyiwa upasuaji.
MATOKEO NI SIKU 5 BAADA YA KUANZA TIBA.
KARIBU TUKUHUDUMIE, UTAIPATA PROSTATE KWA BEI NAFUU KABISA, BEI YA OFA YA TSH. 95,0000= TU! OFA YA SIKU TATU!
PIGA SIMU: 0692359266 (Whatsapp Au Kawaida) UJIPATIE OFA YAKO!!!
Au Fika OFISINI
MIKOANI TUNATUMA KWA BASI:
TUCHEKI INSTAGRAM👇
11/06/2024
FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO
VYANZO, DALILI NA TIBA YAKE.
KWA DAWA ZA MITI SHAMBA 💯
Vidonda vya tumbo;
Ni ugonjwa ambao humpata mtu ambapo
kutatokea vijitundu au michubuko katika
kuta za ndan za viungo vya mfumo wa
umeng'enyaji au uyeyushaji chakula.
AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
-Oesophagael ulcers; ni vidonda amvavyo
hutokea kwenye koo
-Doudenum ulcers; ni vidonda ambayo
hutokea kwenye utumbo mdogo
-Gastric ulcers; ni vidonda ambavyo
hutokea kwenye mfuko wa chakula
(tumbo)
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
-bacteria (helicobacteria)
-H PLYORI Hutengeneza enzyme(urease)a
mbayo hupunguza makali ya tindikali
-Matumiz ya dawa kwa muda mrefu
mfano ASPIRIN
-pombe na tumbaku
-msongo wa mawazo (stress)
-kushinda muda mrefu bila kula
-matumiz ya vyakula au viungo vya
chakula vyenye uchachu
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
-maumivu ya tumbo
-tumbo kuja gesi
-kupungua uzito
-kushindwa kula sababu ya maumivu
-kichefu chefu na kutapika
-kushiba kwa muda mfupi
-kucheua uchachu
-kupatwa na kiungulia
-kupata choo cheusi
-kutapika damu au k**a mabaki ya
kahawa
-upungufu wa damu ambao hupata nafuu
baada ya kunywa dawa za anti acid.
# # TIBA # #
Tunayo dawa ya miti shamba inayoitwa "
KWEMBE " haijachanganywa wala
kuongezewa chochote,
Pia haina kemikali za viwandani hata
chembe.
Dawa ina nguvu na uwezo mkubwa sana
wa kutibu na kuondoa kabisa tatizo la
ugonjwa wa vidonda vya tumbo pia
utapewa na dawa ya kukinga hilo tatizo
lisijirudie tena baada ya kupona.
Dawa ni mchanganyiko wa mizizi ya miti
dawa ipatayo 7
Ipo mfumo wa unga unga na mizizi.
Matumizi;- unachanga dawa kwenye, uji,
supu, chai, mtori.
Dozi kamili siku 14 utaanza kupata
matokeo baada ya siku 5 .
GHARAMA YA DAWA DOZI KAMILI 375,000/=
Tupigie;
+255692359266, call, sms, Whatsap
+255692359266, call, sms only
Afya life international
Tupo; Chumbageni Tanga Tanzania
Tembelea kurasa wetu ufahamu huduma
zetu zaidi.
SHARE & LIKE.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |