Punguza Uzito na C9 Program
Punguza uzito ndani ya siku 9 kwa virutubisho asilia vyenye uwezo mkubwa Sana wa kuusafisha mwili wa
18/12/2025
FAHAMU JINSI YA KUPUNGUZA UZITO VIZURI NA KUMAINTAIN MWILI WAKO:- .
Ni kuondoa Mafuta yaliyozidi na sumu mwilini. Mazoezi pekee haitoshi kupunguza mwili wako, chakula pekee haitoshi, kunywa maji kwa wingi pekee haitoshi. BALI NI KUFANYA DETOXIFICATION. (KUONDOA TAKAMWILINI/SUMU, NDIO MUHIMU).
Mwili unapokuwa na UCHAFU (takamili) nyingi, hufanya Defence mechanism ya kutengeneza mafuta ya kuzunguka baadhi ya Organ's (Viungo) kwenye mwili na pia kutokana na vyakula tunavyokula ndio maana hata k**a ukipungua kwa mazoezi bila kuondoa TAKAMWILI/UCHAFU baada ya muda fulani unajikuta tena umeongezeka uzito kupita kiasi. Lakini usiwe na hofu, maana ntakutambulisha kwenye program iitwayo "FIT", ambayo ndani INA "C9 & F15" zipo kwenye mfumo wa lishe na virutubisho vya vyakula vya kutusaidia kuondoa Uchafu uliozidi mwilini na pia zitusaidia kupunguza uzito. Zikiambatana na MAZOEZI, UNYWAJI WA MAJI YA KUTOSHA, LISHE (KULA VYAKULA VINAVYOENDANA NA KUNDI LAKO LA DAMU/BLOOD GROUPS. .
Ni njia salama kwa kiafya na ni rahisi kuitumia k**a unapenda kuwa na muonekano mzuri na kujiepusha na maradhi ambayo hujui lini yatakufika tafadhali mimi nakushauri utumie hizi program. .
Kwa maelezo zaidi na ushauri tafadhali, wasiliana nasi kwa Whatsapp/Calls/messages ➕ 255712120284
Karibu upate ushauri, HUDUMA HII ITAKUFIKIA POPOTE PALE ULIPO TANZANIA.
18/12/2025
Hivi naww ni mmoja kati ya watu wanaohangaika kuhusu uzito ulionao na manyama uzembe ?........🙈
Inbox me now.....0712120284
WhatsApp........+255712120284
Nipigie ......+255712120284
03/10/2023
Hellow Habari yako ni Mr Afya kwanza Napenda Kukupa na nafasi Hii OCTOBER Hakikisha Unatoboa kwenye Lengo lako kiafya kupungua uzito ni Sayansi inayohitaji mtu sahihi wa kukupa mwongozo mzuri unaoweza kukusaidia kupungua bila kurejesha kilo zilizopungua ....
karibu sana TUKUHUDUMIE wasiliana 0712120284 whatsapp +255712120284
19/03/2023
Nimekuwa nikiwasaidia watu wengi kwenye suala la kupunguza uzito wanaume kwa wanawake wenye changamoto uzito uliopitiliza kitambi na manyama uzembe
Kwa njia Salma sana bila kufanya upasuaji natoa Elimu ya vyakula na mazoezi na kujua mbinu nyepesi za kupungua uzito bila ya madhara yoyote na bila kurejesha kilo au kitambi baada ya kupungua uzito.......
👉 Hata wewe unaweza kupata Elimu hii ni Bure kabisa karibu sana whatsap /Call /Text..... +255712120284 .... Tuma neno
👉 NIPIGIE 0712120284 Nitakusaidia kwa haraka zaidi...
Karibu sana 🙏
13/03/2023
Unene Unasababishwa Na Mambo Mengi, Lakini Kubwa Zaidi Ni Lifestyle Ambayo Tunaishi. (Vyakula & Vinywaji) N.k
Kumbuka Sumu Tunaziingiza Kupitia Vyakula,Hewa Chafu, Mafuta/lotion, Perfume Zisizo salama.
NOTE: sukari au Mafuta Yakiwa Mengi Mwilini, hubadilika na kuwa sumu, na mtu hunenepa kutokana na taka mwili(Sumu) hizo. hivyo hata k**a haujanenepa nione nikupatie Program ya siku 9 ili usafishe mwili pia utaweza kupunguza na kgs kadhaa k**a utahitaji.
Follow
WhatsApp/Call +255712120284
25/12/2022
Nimekuwa nikipata maswali mengi kuhusu Namna gani ❓mtu mwenye tatizo la uzito kitambi manyama uzembe anaweza kupungua kiwepesi na bila kurudi kwenye changamoto uzito ❓❓❓
👉 Kwanza kabisa napenda utambue kuwa kupungua ni Sayansi inayohitaji mtu sahihi wa kukupa mwongozo mzuri unaoweza kukusaidia kumaliza changamoto ya uzito.
Kitu pekee kinawafanya wengi kupata uzito ni kutokuwa na mpangilio mzuri wa chakula hivyo kupelekea mwili kubeba sumu nyingi kwenye vyakula tunavyokula na vinywaji vyenye kemikali na kuvuta hewa chafu.
Kipi kitakuwezesha kupungua kwa wepesi tumekuwa tukitoa elimu ya Namna bora zaidi kupungua na kurahisisha mtu kupata matokeo mazuri zaidi.
👉 Tunaprogram ya kusafisha mwili na kukufanya uweze kupunguza uzito kiwepesi zaiidi.
👉 Faida za program hiii ni-
-kwanza ni bidhaa asilia kabisa iliyotokana na mimeo asili yenye vitamin, Madini yakutosha kukuwezesha kusafisha vizuri mwili wako.
1. Kusaidia kusafisha mwili wako kikamilifu
2. Kutoa sumu mwilini mwako na kutoa taka mwili zote zilizotokana na vyakula, vinywaji ulivyotumia.
3. Kuyeyusha mafuta mabaya yaliyo kwenye mwili (Especially kwenye tumbo) ambapo changamoto kubwa inaanzia hapo.
4. Kuuzuia mwili usitengeneze mafuta mabaya mwilini.
5. Kupunguza control appetite ya kula hovyo hovyo.
6. Kuusaidia mwili usibaki na manyama uzembe baada ya kupungua.
7. Kuimarisha mwili usikonde na kudhoofika.
Parkaga hii ni ya muda mfupi sana imagine siku tisa tu umeshapata matokeo ya changamoto yako kuanzia kilo 9 na 10 na zaiid zinaweza kupunguza.
Nitumie ujumbe (FIT PROGRAM)
👉 kwenye whtsap 👉+255712120284
👉 Ama nipigie 0712120284 nikupe msaada kwa haraka zaidi.
Karibu sana kupata elimu zaiid ya afya.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Buza, Kwakidagaaa
Dar Es Salaam