MPePo Natural Health Care and cancelling
Natural health care and treatment
10/01/2022
10/01/2022
Kwa wanawake wanao sumbuliwa na U.T.I sugu , muwasho , fangasi karibu upate Femi care kutoka Bf suma uboreshe na uondokane na tatizo sugu maamuz sahihi ni kuwa na imani na unacho kifanya au kukitumia pia kwa wenye matatizo ya magoti tunakupatia dawa ambayo ni kirutubisho tiba
Je wajua harufu mbaya mdomoni ni Tatizo kitaalam tunaita ( Halitosis) sababu kubwa ya tatizo hili ni kuoza kwa fizi, mashimo ndani ya meno , kuoza kwa mizizi ya meno na kutunga usaha , unashauriwa kutunza kinywa na kuepuka kutumia vitu vyenye sukari nyingi kwa ushauri zaidi na cancelling. Wasiliana na Dr Mpepo 0621631129
Je wajua maumivu sehemu ya kiuno huwapata hasa wanawake , kitaalam wanaita Lubango , Je wajua sababu za matatizo haya . Matatizo katika mfumo wa uyeyushaji chakula( indegestoion) , uzito mkubwa wa mwili , matatizo katika kipindi Cha hedhi , kutokuwa na mazoezi , kukosa kwenda choo ( constipation ) kukaa isivyo stahili kwa mda mrefu , Ndugu zangu hasa akina mama jiepusheni na magonjwa yasiyo stahili usile chakula Cha mafuta na kusababisha cholesterol na kupunguza hisia katika tendo Ia ndoa fanya mazoezi na kunywa maji yenye vitamin C kwa wingi Asanteni
Je Wajua Tanzania Tupo katika pambano zidi ya Janga la Dunia yaani Corona virus ) CoviD -19 Je umesha fanya uchunguz ni kwel Virus ni vikali na vinashambulia mwili kwa haraka. Kwa wale wenye Kinga ya mwili ndogo ndio hupoteza maisha kwa haraka Kaka , Dada , Mama , Mzee, na Bibi , Epuka kutumia vyakula vya mafuta mengi , karibu Mpepo Natural Product Ujipatie virutubisho vya kukinga na kuongeza muhemuko wa mwili Jipatie Mchicha Nafaka kitaalam Grain Amaranth wenye nguvu katika kujenga mwili na kuleta vitamin hasa vitamin C Tupo Arusha Epuka matapeli na Popote unatumiwa Jali Afya kwa maendeleo Binafsi mawasiliano 0621631129
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Temeke
Dar Es Salaam