Afya Njema 120
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Njema 120, Health/Beauty, Dar es Salaam.
NAASAIDIA WATU KUTATUA CHANGAMOTO ZA KIAFYA K**A TEZI DUME , BAWASILI,PID FANGASI SUGU, UTI , KULIKA KWA VIUNGO NYAMA PUANI KWA NJIA SALAMA SANA BILA KIFANYIWA UPASUAJI
#0747146785
30/08/2022
0658021710
28/08/2022
11/06/2022
Ewe mwanamke kua mrembo kwa kutumia derma kirutubisho cha ngozi kisichokua na kemic . Kwa maelezo na ushauri piga 0744801321
09/03/2022
Karibu tukuhudumie kwa ushauri zaidi piga 0744801321
JE, UNAJUA BAWASIRI NI NINI????!!
#0744801321
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni Ă·
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
Piga #0744801321 kupata huduma
Share na wengine pia like page yetu@ *Afya Njema 120*
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam