Afya Bora ni mali
🌹ᶠᵒᵒᵗʷᵉᵃʳ ᶠᵃˢʰⁱᵒⁿ 🩴🥰
🌹ᴳᵒⁱⁿᵍ ʷⁱᵗʰ ᶠᵃˢʰⁱᵒⁿ ⁱˢ ᵉᵛᵉʳʸᵗʰⁱⁿᵍ 🥰💥
🌹ᴵᶠ ʸᵒᵘ ˡᵒᵒᵏˢ ᶠᵒʳ ᵃᵐᵃᶻⁱⁿᵍ ᶠᵃˢʰⁱᵒⁿ ᶜʰᵉᶜᵏ ᵒⁿ👇 🌹🌹ᵂʰˢᵃᵖ⁺²⁵⁵⁶⁷⁶³²⁴⁰¹⁹
26/02/2022
WATAALAMU WATHIBITISHA WASIOKUNYWA KAHAWA kuwa kwenye hatari ya kuwa na stress nyingi na maumivu ya kichwa .
Ndiyo naamini itkuwa kushangaza na kukush*tua kwni ni jambo pengine haujawahi kulisikia ila wataalumu wekuja kutoa faida za kunywa liven coffee na wameenda mbali zaidi kuzungumzia faida za kahawa kwa afya ya binadamu kwa ujumla ,Hivyo zijue faida na utamu wa kunywa kahawa kwa afya yako👇🔥🤳
1. Kwanza ukiqchana na kuondoa stress na maumivu ya kichwa pia Inakukinga usipate cancer ya aina yoyote ile.
2. Pia Inakukinga usipate tezi dume kwa wanaume kwa mwanaume yeyote.
3. Vilevile Inafanya damu izunguke vizuri kwenye viungo vyote vya mwili
4. Inaimarisha tendo la ndoa kwa wanaume wanaowahi kumaliza mechi k**a ni mtu wa dakika 5 basi kwa kunywa hii kahawa utaenda mpaka dakika 15.
5. Hata hivyo Inaondoa sumu mwilini baada ya kula vyakula vyenye kemikali nyingi.
6. Ni nzuri kwa kina Dada wanaosumbuliwa na tumbo LA bleed.yaan tumbo la hedhi.kabla na baada ya hedhi.
7.Vile vile Inakupatie nguvu k**a umechoka hasa kwa wafanya kazi wa maofisini. Ukitumia hii inakupa energy ya kuendelea kufanya kazi bila kuchoka haraka.
8. Ni nzuri sana kwa watu wenye matatizo ya moyo na kisukari
9. Na pia kwa mambo yetu yale Ni nzuri pia kwa wanawake wanakosa hamu ya kufanya tendo LA ndoa.
10. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na ulcers yaan vidonda vya tumbo maana ina alkaline inayofanya kazi ya kunutralize acidic tumboni.
11. Ni nzuri sana kwa wanaosumbuliwa na UTI sugu.
13. Inaondoa hangover kwa wanaokunywa pombe kwa wanaopenda pombe unaweza kunywa hii kahawa hasa ahsubuhi na kukufanya uwe na nguvu .
14. Inatibu pia magonjwa ya aina yoyote.
16. Ni nzuri pia kwa watu wenye hormonal imbalances.
Kahawa hizi ni tamu na ina harufu nzuri sana ipo flavour tofauti latte, cappuccino, original na sugarfree box nzima ina packet 20 K**a umependezwa na ujumbe huu toa like na comments ili upate elimu ya dawa asilia bure🌷🌷🤳🤳🤳
21/01/2022
BREAKING NEWS: Kwanini Tatizo la wanawake kuhisi maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa limeongezeka kwa kasi saana mwka huu 2022 👇👇 aTafadhari share huu ujumbe utakusidiaMaumivu haya hutokea pale mwanamke anapoanza kukutana kimwili na mwanaume na mara nyingi hutokana na uke kuwa mkavu.
Hii inaweza kusababishwa na maandalizi hafifu ya kabla ya tendo lenyewe na matatizo katika mfumo wa homoni au kupoteza msisimko wa hamu ya tendo hilo. Kubana kwa misuli ya uke pia nako kunachangia sana ingawa tatizo hili zaidi ni la kisaikolojia kutokana na mwanamke kuwa na woga wakati wa tendo kutokana na kumbukumbu mbaya za nyuma.
Kuwa na makovu ukeni kutokana na athari za kukeketwa, uwepo wa michubuko na vidonda au maambukizi ukeni mfano k**a fangasi za muda mrefu na maambukizi mengine hasa magonjwa ya ngono nayo husababisha.
Uvimbe ukeni au uwepo wa jipu na vipele, kuumia kwa kufanyiwa vipimo au baada ya kuzaa kwa njia ya kawaida endapo hukupona vizuri pia huchangia.kwahyo kwa ujumla hili tatizo limekuwa kwa kasi kwa sababu ya wanawake wengi wanakuwa na historia mbaya katika mapenzi na hii ndo inawajengea hofu ya kushiriki tendo la ndoa mbapo hali hii hufanya uke kuwa mkava kuongeza msuguano mkubwa saana wkti wa tendo lenyewe.
Na ndo maana wengi wanahangaika kutafuta tiba lakini inakuwa ngumu kwa sababu wamesahau wenyewe ndo chanzo chake na historia mbaya katika mapenzi.
Kwahyo suruhu yake ni kwamba jaribu tu kujiuliza je kwanini unapata maumivu? Je ulishawahi kunyanyaswa kimapenzi jambo ambalo linakupa hofu hutkaki tena kushiriki au unamaambukizi ya fangasi ya mda mrefu? Au shida nini? Hpo utgundua kuwa kiakili na kisaikolojia usipo kuwa sawa inaweza kuwa ndiyo chanzo kikuu zaidi na k**a utafanikiwa kuondokana nazo unaweza kupona bila hata dawa na ukaendelea kufurahia mapenzi yenu bila shida.🙏🙏🤳🤳 K**a ungependa kupata mafunzo mengine zaidi na pia k**a umependezwa na huu ujumbe nisidie kushare na wengine na weka comment yako tuendelee kuelimishana 🙏🙏🤳🤳
23/12/2021
IFAHAMU SIRI YA KUONDOKANA NA AIBU YA KUWA NA UKE ULIOLEGEA
Hallow ivi ulishawahi kujiuliza je unawezaje kulejesha uke katika uchanga au k**a ilivyo kuwa awali aidha baada ya kujifungua au baada ya umri kuwa mkubwa au baada ya kufanya tendo la ndoa?
Leo nimekuletea siri ambayo itakusaidia kuondokana na hiyo aibu ambayo wakati mwingine ukikutan mwenza wako anakuwa anakuambia umalegea saana chini hivyo anashindwa kuinjoy penzi lenu na wakati mwingine anatamani kukuacha kabisa ? Basi soma ujumb
Njia asili kabisa ya kuhakikisha kuwa uke wako ni freshi na mchanga kwa wakati mrefu ni kufanya mazoezi ya misuli ya pelviki. Unaweza fanya hivi kwa njia tofauti sana.
🌹Tiba ya mwili ya misuli ya pelvic vile vile Kulingana na jukumu la misuli yako ya pelviki, mtaalum wa tiba ya mwili anaweza tengeneza ratiba ya mazoezi. Ratiba hii inalingana na mahitaji maalum na hali ya uke wako. Kwa mfano, iwapo umejifungua tu, ratiba ya mazoezi yako itakua mepesi kwanza kisha yazidi hapo baadaye.
🌹Vile vile jua Jinsi ya kubana uke kwa kutumia mazoezi ya kegel
Hizi ni maarufu sana na huenda ukawa umezisikia ama kusoma kuzihusu. Haya ni mazoezi yanayo husu hatua ambazo zinapunguka na kutuliza misuli ya pelviki. Kabla ya kuanza, utahitajika kuenda msalani. Kaza misuli yako ya pelviki na uishikilie kwa hesabu ya nane hadi kumi, wachilia kisha urudie. Utagundua tofauti kubwa ukifanya hivi mara kwa mara.
YOGA NA PILATES
🌹Pia Mazoezi ya yoga na pilates pia inasaidia na kukaza uke. Mazoezi haya yote hunyoosha mwili na kuufanya uwe na uwezo wa kunyooka na kurudi hali yake asili. Na hii ni kweli kwa misuli yako ya pelviki pia. Baadhi ya mazoezi ya yoga ni bora zaidi kwa jambo hili. Kwa mazoezi ya pilates, husisha ‘bridge’ kwenye ratiba yako na itakusaidia sana.
🌹Pia unaweza jaribu mashine za kukaza sehemu yako ya pelviki. Unaweza husisha bidhaa muhimu k**a vile ‘pelvic floor stimulator, Kegel exerciser, pelvic floor muscle toner ama pelvic toner, pelvic floor toner, na piapelvic floor exerciser. Daktari wako huenda pia akakushauri kutumia barbells, vaginal weights ama cones zilizo tengenezwa hasa kushikwa ndani ya uke wako.
🌹Pia unaweza kukaza uke wako kwa Kula chakula chenye afya mfano Lazima ule lishe yenye afya wakati wote. Imedhibitiwa kuwa chakula kinacho faa kinaweza saidia uke wako kuwa na afya, furaha na mbali na maambukizi yoyote.
Kwa mfano, iwapo ungependa uke wako ukose maambukizi yoyote, unapaswa kunywa chai ya kijani na kuhakikisha kuwa haikosi kwenye ratiba yako.
18/11/2021
JINSI GANI NILIJIGUNDUA NINA UVIMBE KWENYE OVARI YAAN OVARIAN CYST
Hallow habar ndugu mama ,dada natumai u mzima na unaendelea na majukumu ,leo ningependa kukujuza siri iliyonisaidia kutambua kwamba nina uvimbe kwenye ovari yaan ovarian cyst na kunisaidia kuchukua matibabu haraka kabla uvimbe haujawa na madhara makubwa katika mfumo wangu wa uzazi hasa ugumba jambo ambalo liliniogopesha saana ,Hivyo kwanza huu uvimbe nibmkusanyiko wa majimaji yanayojikunya ndani ya ovari na kutengeneza uvimbe k**a mchoro wake unavyoonyesha
Hivyo nimeona nikuletee na ww ujue je ni kiashiria gani itakutambulisha kwamba unauvimbe kwenye ovari na utajitambua vipi?
🌹Kwanza mimi nilikuwa nikihisi Maumivu makali, ambayo hayana mwanzo maalum na yanayochoma. Maumivu hayo yanaweza yakawa yanakuja na kupotea au yakawepo moja kwa moja.
🌹Pia wakati mwingine nilihisi tumbo kuwa zito, kujaa au kuvimba, maumivu kwenye matiti na hedhi isiyokuwa na mpangilio maalum na maumivu ya muda mrefu kwenye nyonga wakati wa hedhi na ambayo huweza kuhisiwa sehemu ya chini mgongoni. Maumivu haya yanaweza kuanza muda mfupi tu baada ya kuanza hedhi, wakati wa hedhi au mwisho wa hedhi.
🌹Na mbaya zaidi nilikuwa nikisumbuliwa na Maumivu ya nyonga kila baada ya kufanya kazi ngumu, mazoezi au baada ya kukutana kimwili na mwenzangu,
🌹Mara pengine kuhisi kichefuchefu, kutapika na kutokwa na matone ya damu ukeni.
🌹Jambo jingine ambalo hasa lilinipa hofu hali ya kutopata mimba yaani kuanza kuwa na dalili za ugumba
🌹Vilevile nikiamka ahsubuhi nakuwa nahisi uchovu mabadiliko ya haja ndogo yaani kukojoa mara kwa mara, kujikojolea au kushindwa kutoa mkojo wote kutoka kwenye kibofu cha mkojo wakati wa kupata haja ndogo.kwahyo yote haya yakanifanya nikajigundua kwamba na uvimbe kwenye ovari ndipo nikachukua hatua mapema kwenda kutibiwa.
Na mpka leo hii sina la kusema zaidi kumshukuru Mungu na daktari aliyenisidia dawa na sahvi sisumbuliwi tena na huo uvimbe na hivo k**a na ww ungependa kupata ushauri na elimu bure namna ya kukabiliana na changamoto hii toa comment hapo chini au ukipenda tunaweza kuchat WhatsApp privately Ahsante 🙏🙏
23/10/2021
WATAALAMU WATOA SIRI NA TAHADHARI ZA MAUMIVU YA TUMBO KATIKA MIEZI MITATU YA MWANZO
Hallow habar mama ,dada na wote mama kijacho,Leo wataalamu wamekuletea siri kwanini mjamzito hupata maumivu ya tumbo wakati miezi mitatu ya mwanzo na namna yanavyotokea na chanzo chake.
Hivyo k**a na ww hukuzijua soma ujumbe huu mpaka mwisho alafu toa comment yako ili upate ushauri na elimu bure kupunguza madhara ya kumdhuru mtoto tumboni siri zipo chini hapa👇👇
🌹KWANZA NIMIMBA NJE YA MFUKO
Mgonjwa ambaye mimba imetunga nje ya mfuko wa kizazi kipimo cha Ultra-Sound ni lazima kitumike na kitaonesha mambo mengi, ikiwa ni pamoja na majimaji na uchafu ndani ya mfuko huo.
Mimba iliyotunga nje ya mfuko wa uzazi ni tatizo linaloongoza kusababisha maumivu kwa akina mama wengi. Tatizo hilo linaweza kubainika kwa kutumia Ultra-Sound na kipimo cha homoni kiitwacho HCG.
Hata hivyo, tatizo hili linatibika k**a dharura kwa mama kufanyiwa upasuaji.
🌹PILI NI KIINITETE KUJIPANDIKIZA
Kiinitete kinapojipandikiza kwenye kuta za ndani za mfuko wa uzazi kinaweza kusababisha maumivu makali ya tumbo kwa mjamzito. Maumivu haya huchukua siku moja hadi mbili. Lakini pia pamoja na tatizo hilo, kiasi kidogo cha damu kinakuwa kinatoka ukeni.
Mara nyingi damu hiyo hutokea kati ya siku sita hadi 12 baada ya tarehe inayohisiwa mimba kutungwa. Mara nyingi kipindi hiki hukaribiana na siku ambayo mwanamke anatarajiwa kuingia katika siku zake.
Hivyo, wagonjwa mara nyingi hufanya makosa kwa kufikiri kuwa wameingia katika siku zao k**a kawaida.
🌹TATU NIMFUKO WA UZAZI KUTANUKA
Mfuko wa uzazi unapotanuka wakati mtoto anakua tumboni, unaweza kusukuma viungo vingine kando ndani ya tumbo na kusababisha maumivu. Hapo pia kunaweza kujitokeza upungufu wa damu na kitu kinachoitwa kitaalam Leukocytosis, mambo ambayo ni kawaida kwa mjamzito na vikawa siyo viashiria vya upungufu wa damu au maradhi.
🌹NNE NI KINACHOSHIKILIA MFUKO WA UZAZI
Sababu nyingine ya maumivu husababishwa na kitu kinachoitwa kitaalam Round Ligament.
Ligament ndiyo inayoshikilia mfuko wa uzazi. Mfuko wa uzazi unavyozidi kukua, ligament huvutika na kusababisha maumivu makali kwa mama mjamzito. Mara nyingi daktari hutoa dawa za maumivu kwa mama mjamzito kumpunguzia maumivu.
🌹TANO NI KUTOKA KWA MIMBA
Sababu nyingine ni kutoka kwa mimba. Mimba inaweza kutoka yenyewe au kutolewa kwa makusudi. Tatizo hili huambatana na maumivu na kuvuja damu. Hata hivyo, utoaji mimba usiokuwa salama unaongoza kusababisha vifo vya akina mama katika nchi
Hivyo
NI SIRI GANI ILIYOPO KWENYE UVIMBE KWENYE OVARI NA KWA VIPI UNAWEZA JIGUNDUA K**A UNAUVIMBE KWENYE OVARI?
Hello ,Je ni siri gani ya kuvimba kwa au kutokea kwa uvimbe kwenye ovari?
Ni kwa jinsi gani mwanamke anaweza kujigundua k**a ana uvimbe kwenye ovari ? K**a haujawahi kupata siri yake soma huu ujumbe mpaka mwisho kwani naamini kwa namna moja au nyingine ukisoma huu ujumbe utakusaidia saana.
Je kwanini upate uvimbe kwenye ovari na nini kiashiria cha kuwa ww tayari unauvimbe kwenye ovari?
Ewee mama ,Dada na wanawake wote hili tatizo limekuwa changamoto kubwa saana kwa miaka ya hivi karibuni kwani Limekuwa likiwatokea wanawake wengi bila kutambua wala kujua na hivyo limekuwa likiwatafuna kimyakimya ambapo mwisho wa siku wanakuja kustuka wanakuta wamechelewa na limekuwa na madhara makubwa saana kwa afya ya viungo vya uzazi kwa mwanamke hasa ovari zake.
Huu uvimbe ni uvimbe unaotokea kwenye ovari unaozunguka na tishu nyembamba na uliojaa maji ndani yake unaotokana na sababu nyingi k**a yai kutofanyika kwa ovulation au urutubishaji wa yai kwa mbegu za mwanaume na nyinginezo ,Ila leo nimekuletea viashiria vya kujigundua k**a huu uvimbe kwenye ovari ambazo ni k**a zifuatazo👇👇👇
🌹Kiashiria cha kuwa una uvimbe kwenye mayai ni
Maumivu makali ya tumbo, ambayo hayana mwanzo maalum na yanayochoma, ambapo maumivu hayo yanaweza yakawa yanakuja na kupotea au yakawepo moja kwa moja.
🌹Kiashiria kingine ni Kuhisi tumbo kuwa zito, kujaa au kuvimba
🌹Maumivu kwenye matiti na hedhi isiyokuwa na mpangilio maalum
🌹Maumivu ya muda mrefu kwenye nyonga wakati wa hedhi na ambayo huweza kuhisiwa sehemu ya chini mgongoni, maumivu haya yanaweza kuanza muda mfupi tu baada ya kuanza hedhi, wakati wa hedhi au mwisho wa hedhi.
Maumivu ya nyonga baada ya kufanya kazi ngumu, mazoezi au baada ya tendo la ndoa
Kuhisi kichefuchefu, kutapika na kutokwa na matone ya damu ukeni.
🌹Kiashiria kingine ni ugumba na kuhisi uchovu, mabadiliko ya haja ndogo yaani kukojoa mara kwa mara, kujikojolea au kushindwa kutoa mkojo wote kutoka kwenye kibofu cha mkojo wakati wa kupata haja ndogo.
Hizi ndizo ishara hatarishi za kujigundua k**a unauvimbe kwevye ovari ,hivyo k**a na ww unaishara moja kati ya hizi toa comment yako hapo chini ili upate ushauri na elimu bure pamoja na dawa ya kutumia kulingana na ukubwa wa huo uvimbe na karibu si tunajari afya yako 🙏💅💅🤳💪
28/09/2021
ISHARA NA SIRI YA KUTOA UCHAFU UKENI KIPINDI CHA UJAUZITO.
Chanzo cha uchafu kutoka ukeni kipindi cha ujauzito ni nini?
Kwanini utokwe na uchafu kipindi cha ujauzito? Na huashiria nini kwa mjamzito?
Soma ujumbe huu mpaka mwisho ili ujue chanzo chake.👇👇
Ujauzito unaweza kukuchanganya kadiri unavyoendelea kukua, sio rahisi kujua mabadiliko yapi ni kawaida na yapi yanahitaji uharaka wa kuwasiliana na mkunga wako au kutembelea kituo cha afya kwa uchunguzi zaidi. Mojawapo ya mabadiliko haya ni kutokwa uchafu ukeni, ambao unabadilika katika muda wa kutokea,mara ngapi unatokea,muonekano, kiasi,na uzito wake kipindi cha ujauzito.
Moja ya ishara za awali za ujauzito ni ongezeko la uchafu unaotoka ukeni, hali hii inaendelea kipindi chote cha ujauzito. Kwa kawaida uchafu unaotoka ukeni (leukorrhea) ni mwembamba, unaonekana vizuri (clear) au una rangi ya maziwa meupe na unatoa harufu kidogo.
Mabadiliko ya viwango vya homoni mara baada ya kuwa mjamzito yanasababisha mabadiliko ya uchafu unaotoka ukeni. Mabadiliko ya mlango wa uzazi kipindi cha ujauzito yanachangia kuathiri uchafu unaotoka ukeni. Kulainika kwa mlango wa uzazi na ukuta ndani ya uke, kunasababisha mwili kutoa uchafu zaidi ili kujikinga na maambukizi. Unapokaribia mwisho wa ujauzito kichwa cha mwanao kinaweza kuleta mgandamizo katika mlango wa uzazi na kupelekea ongezeko la uchafu unaotoka ukeni.
Kipindi chote cha ujauzito inategemewa mama mjamzito kupitia dalili k**a mkojo kuvuja, kutoka uchafu, kuwashwa, na kuona damu katika nguo za ndani.
Katika makala hii utaweza kujua aina gani ya uchafu unaotoka ukeni ni kawaida na upi una ashiria tatizo linalohitaji kumuona daktari. Ili kujua aina gani ya uchafu unaotoka ukeni wakati wa ujauzito ni kawaida, tujifunze zaidi kuhusu vyanzo vyake:
Uchafu wa kawaida ukeni
Matone ya damu katika nguo zako za ndani
Hakuna kitu kinacho ogopesha k**a kutokwa damu bila kutarajia. Wanawake wengi wanaona damu kidogo katika nguo zao za ndani katika kipindi cha miezi mitatu ya awali baada ya kufanya tendo la ndoa au uchunguzi wa mfumo wao wa uzazi inaweza kuashiria hali fulani katika mabadiliko yake ya ujauzito ,Hivyo k**a unachangamoto yoyote wakati wa ujauzito toa comments yako hapo chini upate elimu bure na namna ya kuondoa changamoto yako karibu saàna.
20/09/2021
JE NI UTE GANI MZURI UNAWEZA KUMSAIDIA MWANAMKE KUPATA MIMBA KWA UHARAKA?
Nimekuletea ujumbe wa Kumsaidia Mwanamke Kupata Mimbasoma sasa mpaka mwisho ili ujue ni ute ya utakusaidia kupata mimba kwa urahisi kwa mwanamke.
katika mlango wa uzazi hubadilika kulingana na siku mwanamke yupo katika mfumo wake wa uzazi (reproductive system circle),
Hii hufanyika ili kuweza kuruhusu mbegu za mwanaume ziweze kwenda kwa kasi na kulifikia yai la mwanamke hivyo kurahisisha mwanamke kupata mimba.
Hivyo basi ni muhimu kujua hili k**a mwanamke kwa ajili ya kujilinda dhidi ya mimba usiyoitarajia au siku maalum za kulenga ili upate mimba k**a unatafuta mtoto
HALI/ MAZINGIRA YA UTE.
UTE UKIWA MKAVU AU UNANATA;
aina ya ute k**a huu hauruhusu mbegu za kiume kusafiri na kuingia katika kizazi cha mwanamke hivyo mimba haiwezi kutungwa hapa, Huu ute huwepo mwanamke akiwa hayupo katika kipindi cha joto au kipindi ambacho yai yake bado halijapevuka.
UTE UKIWA NA RANGI YA KRIMU (Cream)
hapo mwanamke anakaribia kuingia katika kipindi cha joto pia yai linakaribia kupevuka bado hawezi kupata mimba.
UTE UKIWA MAJIMAJI AU YENYE UNYEVU UNYEVU;
huu unaweza kusafirisha mbegu ya mwanaume hadi kizazi cha mwanamke na k**a imebaki siku mbili au tatu yai kupevuka ukifanya tendo la ndoa hapa kuna uwezo utashika mimba kwa sababu yai likipevuka litakutana na mbegu ya mwanaume ndani ya kizazi kuna uwezo mimba itatungwa.
Mwanamke hupata hisia za kufanya mapenzi lakini siyo sana
UTE UKIWA NA RANGI NYEUPE K**A YAI BICHI;
ute ukiwa katika hali hii ndiyo mzuri kabisaa kwa kusafirisha mbegu za kiume, pia hapa mwanamke ameshafika katika kipindi cha joto hapa tendo la ndoa likifanyika mimba inapatikana kwa asilimia zote k**a hakuna vizuizi kutoka Mungu muumba na vizuizi vingine vya afya vinavyozuia mimba kutunga.
Hapa hisia za mwanamke za kufanya tendo la ndoa huwa juu sana na hutamani kufanya mapenzi kila mara especially yai likikaribia kushuka na likishuka.
Ni muhimu sana mwanamke aangalie ute (vaginal mucus) katika kuzifahamu siku zake za kuweza kushika mimba na kutoshika mimba kuliko kutumia calendar ya damu ya mwezi.
Siku za ute ni siku 30 kinyume na siku za damu ya mwezi na pia ni muhimu sana mwanamke kushika ule
12/09/2021
FAHAMU MAAJABU YA KULA BAMIA KWA MWANAMKE.
JAPOKUWA bamia huchukuliwa na wengi kuwa ni chakula rahisi kinachotumiwa zaidi na kundi la watu wenye uchumi wa chini na kati, ukweli kwamba aina hiyo ya mboga ina maajabu ya aina yake mwilini.
Walaji wa bamia hunufaika kwa kupata utitiri wa viinilishe vilivyomo kwenye zao hilo, ambavyo humpatia mlaji faida za kiafya takribani 20.
Mojawapo ya faida za ulaji wa bamia ni kuwasaidia wanawake kuepukana na changamoto za kiafya zinazojitokeza kwa baadhi yao ambao huwa na siku zisizotabirika za mizunguko yao ya kila mwezi.
Wapo wanawake wanaosumbuliwa na hedhi za mara kwa mara, ulaji wa bamia utawasaidia kuondokana na tatizo hili.
Faida nyingine ya ulaji wa bamia ni kuondoa vimelea vya sumu kwenye ngozi ya mwanadamu.
Ulaji wa bamia husaidia pia kukabili ugonjwa wa pumu. Huongeza kinga ya mwili na mtu akiwa na kinga ya mwili, hawezi kushambuliwa na maradhi mara kwa mara.
Faida nyingine ya ulaji wa bamia ni kupata virutubisho aina ya nyuzinyuzi ambavyo husaidia katika kusaga chakula tumboni.
Aidha bamia ni protini ambazo husaidia kujenga mwili.
Ulaji wa bamia husaidia pia kuimarisha afya ya nywele, kupambana na tatizo la uchovu wa mwili na pia msongo wa mawazo.
Kwa wale wenye tatizo la kupata choo kigumu, ulaji wa bamia husaidia kuondokana na tatizo hilo kwani husaidia kulainisha utumbo mkubwa (large intestines) kutokana na kazi yake ya kulainisha choo.
Bamia hutumika kwa kutibu vidonda vya tumbo, inasaidia kusawazisha asidi.
Fahamu kuwa bamia inaweza kukutoa katika hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari kwa sababu ya uwezo wake wa kusaidia kuyeyusha au kumeng’enya sukari.
Pia, huweka sawa mfumo wa sukari mwilini.
Bamia ni aina ya chakula chenye utajiri wa makapimlo ambayo ni muhimu sana katika mwili hasa katika usagaji wa chakula.
Mojawapo ya faida ambayo ni muhimu ni kusaidia kumeng’enya sukari mwili au kuweka sawa mfumo wa sukari mwilini na pia tatizo la kukosa choo ni tatizo la kawaida kwa wagonjwa wa Kisukari.
Bamia ikiliwa mara kwa mara inasaidia kurekebisha mfumo wa umeng’enya chakula na sukari mwilini.
Angalizo kwa wagonjwa wa kisukari, msiache dawa zenu na kuanza kutumia bamia k**a dawa.
Majimaji yanayotoka katika bamia yana uwezo wa kuondoa lehemu katika mishipa ya damu kwenye mwili.
Tumia bamia mara kwa mara k**a tunda mboga linalosaidia kumeng’enya sukari mwilini na kuimarisha kinga ya mwili wako.
Tukiachana na kisukari, bamia huongeza na huboresha kinga ya mwili hasa kwa watu ambao kinga vvu
10/09/2021
SIRI YA UKE KUJAMBA WAKATI WA TENDO LA NDOA na tiba yake
Ewe mwanamke ,dada ivi ulishawahi kujiuliza kwanini uke ujambe wakati wa tendo la ndoa? Yaan nini kinasababisha mpka mwanamke ajambe wakti wa tendo la ndoa?
Sasa k**a hujui hii siri nimekuletea ujumbe ili ujue chanzo chake na namna ya kuondokana na tatizo hili 👉 Soma mpaka mwisho👇👇
Hili ni tatizo linalowakumba wanawake wengi sana tena sana na wanashindwa wafanye nini kulitatua tatizo hilo na pia wengi hawajui ni kitu gani husababisha hali hiyo,,,,,,na tatizo hili hutokea zaidi lake unapofanya mapenzi hasa ile style maarufu mbuzi kagoma kwenda,,,,,sababu mwanamke anakuwa ameinamisha kichwa chini kiuno juu hivyo huruhusu hewa hiyo kutokea ukeni,,,hali hii hukosesha raha na kutojiamini kabisa na saa nyingine hukufanya usitake kuwa na mwenzio,,,,,vile vile ni aibu haswa kwa wale wenye ndoa mpya utatamani ardhi ipasuke utumbikie,,,lakini haki hii tunaisababisha wenyewe tena kwa uvivu tu tunaoufanya wenyewe,,
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAMBA UKENI NA TIBA YAKE
KUTOJUA KUJISAFISHA UKENI
Kwa wale wanawake wasiojua kujisafisha vizuri ukeni tatizo hili lazima litakukuta,,,kwa hali hiyo basi uke unatakiwa kuusafisha vizuri na kwa makini na inavyotakiwa kuwa pia hakikisha baada ya kuusafisha unafuta na kitaulo maalumu cha kufutia sio unafuta na kanga ulioshindia kwenye mavumbi,,,
UTUMIAJI MAJI MOTO;ukiwa unapenda kutumia maji moto kuosha uke tatizo hili lazima likukumbe maana maji ya moto hulegeza uke na kuufanya uwe unatoa harufu chafu wakati wa kufanya tendo la ndoa na baada,,unachotakiwa kufanya ni kutumia maji baridi kusafisha uke,,,haya husaidia kubana misuli ya uke pamoja na kuwalinda bacteria ambao ni walinzi wa uke kwa ujumla,
KULEGEA KWA MISULI YA UKE;misuli ya uke ikiwa imelegea husababisha vijambo kwenye uke kutokana na uke kuwa wazi,
ULALAJI NA SHAHAWA UKENI;kwa wale wanawake wasiojisafisha baada ya tendo la ndoa hali hii lazima itakukuta,,,hutakiwi kulala na shahawa ukeni kwasababu zinalegeza uke na kupunguza joto asili la uke,,,vile vile kulala na shahawa husababisha uke ktoa harufu saana na kufanya uke kuwa tepetepe na mwishowe wakati wa tendo la ndoa unajikuta unajamba bila kutegemea,Hivyo k**a na ww unachangamoto hii toa comment yako hapo chini uweze kupata elimu bure pamoja na tiba yake ,Tunatoa ofa kwa watu wawili wa kwanza watapewa kipa umbele na kupendelewa kupata huduma bora kwa punguzo ,Hivyo wahi uchukue ofa inaisha baada ya cku mbili tu karibu saàna🙏🙏
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mikocheni(Dar-es-salaam)
Dar Es Salaam