Tino Tibalishe
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tino Tibalishe, Health/Beauty, dar es salaam, Dar es Salaam.
18/07/2022
UGONJWA WA HOMA YA INI
HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV - HEPATITIS B VIRUSES.
VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano MATE au JASHO.
UGONJWA huu k**a haujatibiwa hutengeneza UVIMBE katika INI na kusababisha KANSA ya INI na baadaye KIFO.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA.
Katika maeneo hatari zaidi DUNIANI,virusi vya HEPATITIS B ( HBV ) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa MAMA kwenda kwa MTOTO wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa MTU mmoja hadi mwingine hususani nyakati za UTOTONI.
K**a ilivyo kwa UKIMWI virusi vya HOMA ya INI navyo huambukizwa kwa njia ya KUJAMIIANA ,MATE,JASHO, na mwingiliano wowote wa DAMU.
NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI :-
- Kujamiiana bila kinga.
- Kunyonyana NDIMI ( Denda )
- MAMA mwenye Ugonjwa kumwambikiza MTOTO wakati wa kujifungua.
- Kuchangia DAMU isiyo salama.
- Kuchangia vitu vya ncha kali k**a SINDANO ,WEMBE n.k
- Kuchangia MISWAKI .
- Kuchangia TAULO na mwenye Ugonjwa huo.
- Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja JASHO .
Tafiti zinaonesha kuwa VIRUSI hivi ni HATARI kuliko hata vya UKIMWI kwa sababu vinaweza kuishi NJE ya MWILI wa BINADAMU ( yaani nje ya mfumo wa damu ) kwa siku SABA.
VIRUSI vya UKIMWI ( VVU ) havina UWEZO wa kuishi NJE ya mfumo wa DAMU hata kwa DAKIKA moja.
Kutokana na USUGU wa HBV maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye NGOZI,kitaendelea kuwa HAI kwa siku SABA na katika kipindi hicho MTU anaweza kuambukizwa kwa njia ya DAMU au JASHO. Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia MWILINI hupevuka ndani ya SIKU 75.Hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya SIKU 30 hadi SIKU 180.Ndani ya SIKU 30 mpaka SIKU 60, MTU mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.
MTU mwenye HOMA ya INI ana wastani mdogo wa KUISHI kuliko mwenye UKIMWI.
DALILI ZA UGONJWA HUU.
WATU wengi hawaonyeshi DALILI yoyote.
Kwa maana hiyo MTU anaweza kuishi na HBV na kusababisha MAAMBUKIZI kwa WENGINE bila kugundulika.
Hata hivyo WATU wengine husumbuliwa na HOMA KALI na DALILI ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. DALILI hizo ni:-
- Uchovu
- Kichefuchefu
- Mwili kuwa dhaifu
- Homa kali
- Kupoteza hamu ya kula
- Kupungua uzito
- Maumivu makali ya tumbo upande wa INI.
- Macho na ngozi kuwa ya njano.
- Mkojo mweusi.
Kwa WAGONJWA wengine, VIRUSI vya HEPATITIS B hukua hadi kusababisha INI kuharibika kabisa ( Cirrhosis of the liver ) au SARATANI ya INI ( liver cancer ).
KINGA.
- Chanjo
- Kutumia kinga wakati wa Kujamiiana.
- Kuacha Kuchangia vitu vya ncha kali.
- Kutochangia miswaki.
- Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu.
- Kutochangia damu isiyo salama.
Kwa kupata tibalishe ya kukuponya
Full dozi 501,600
Nusu dozi 295,000
Robo dozi 195,000
Kwa maelekezo zaidi na kupata tibalishe/virutubisho vya kukutibu
Call/whatsapp
0716807023
0766031470
17/07/2022
๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐๐
๐๐ฎ๐ฌ๐๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐ฎ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ ๐๐๐๐ ๐ฆ๐ฐ๐ข๐ฅ๐ข๐ง๐ข(detoxification)
K**A UNASUMBULIWA NA TATIZO LA KUTOPATA CHOO KWA WAKATI AU CHOO KIGUMU K**A CHA MBUZI ,TUMIA SHAKE OFF
Hiki ni kinywaji cha asili chenye uwezo kusafisha utumbo wako mpana kwa uwezo mkubwa sana. Ni kinywaji cha afya kilichotengenezwa kwa virutubisho vya asili ambavyo vina uwezo mkubwa wa kusafisha na kuondoa kabisa sumu zote kutoka kwenye utumbo na kuuacha utumbo wako ukiwa safi na wenye Afya Imetengenezwa na virutubisho asilia.
Inapatikana katika ladha mbili ambazo ni Limao, Pandani.
Imetengenezwa kwa kutumia virutubisho vifutavyo
โก Plant Fiber
โก Inulin
โก Roselle โ
โก Oats โ
โก Garcinia Cambogia
๐๐๐
๐ ๐๐๐๐
Matokeo yake ni ya haraka na inafanya kazi ndani ya masaa 6 mpaka 8
Ina ladha nzuri ya limao na pandani
๐
๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐
๐
โ
Kuondoa tatizo la kukosa choo au choo kigumu na kukukinga usipate magonjwa ya saratani,magonjwa ya moyo,kisukari,presha na mishipa kukak**aa.
โ
Inaondoa msongamano wa uchafu kwenye utumbo na sumu kwenye ,Figo,Ini,Kongosho,Mapafu,Utumbo na Mishipa.
โ
Inaondoa cholestrol na kupunguza uzito usiohitajika mwilini.
โ
Inaboresha uzalishaji wa bakteria wazuri kwenye utumbo
โโ
Inazuia kansa ya utumbo mpana โ
โ
Inazuia unene uliopitiliza
โ
Inaondoa lehemu mbaya โ
โ
Inazuia kutokea kwa chunusi ( uzuri unaanzia ndani )
๐๐ฐ๐ ๐ฌ๐ก ๐๐,๐๐๐
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
17/07/2022
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Ni kirutubisho kilichotengenezwa kwa mimea ya baharini ijulikanayo K**a Arthrospira Plant,
kidonge Kimoja cha spirulina ni sawa na mtu aliyekula kilo moja ya matunda na kilo moja ya mboga za majani.
๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
1-Huongeza CD4 kwa wenye HIV
2-Ina control high blood pressure
3-Husaidia kwa watumiaji wa computer na simu kwa muda mrefu.
4-Inaondoa mafuta mwilini.
5-Inalinda mwili kupata Kansa.
6-Inaondoa sumu Kwenye damu.
7-Huondoa ugonjwa wa kusinzia.
8-Ina vitamin B1,B2,B3,B6 na B9 pia ina vitamin C,D,A, na K
9-Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho tumboni.
10-Inasaidia kwa watu wenye aleji ya kitu chochote.
11-inaongeza vichocheo vya oestrogen Homoni (makazi ya mtoto)
12-huongeza hamu ya kula
13-humkinga mtoto na maambukizi akiwa tumboni mwa mamaake
14-Hutibu majeraha ya nje
15-Hutibu vidonda vya Tumbo
16-ina Calcium, zinc, phosphorus, iron, potassium, madini yote muhimu yanayohitajika kwa mama mjamzito.
๐๐ฐ๐ ๐ฌ๐ก ๐๐,๐๐๐
๐๐ข๐ ๐ ๐๐ฎ ๐ฐ๐ก๐๐ญ๐ฌ๐๐ฉ๐ฉ
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
17/07/2022