Afyayako120

Afyayako120

Share

tunatatua changamoto zote za kiafya kwa tiba asilia,uzazi,nguvu za kiume,vidonda vya tumbo,bawasiri n.k

06/10/2021

#752026120
KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI

1️⃣Bawasiri ya nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

2️⃣Bawasiri ya ndani:
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
•Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Bawasiri inatibika bila upasuaji
Tupigie tuweze kukusaidia Kwa tiba mbadala
:
:
:
:
:
:
:
:
'enyowachakula #

06/10/2021

#0752026120
KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI

1️⃣Bawasiri ya nje:
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huweza kuambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.

2️⃣Bawasiri ya ndani:
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu na wengi huwa hawatambui kuwa wanatatizo hili.

Aina hii imegawanyika katika mainisho yafuatayo:
•Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya tukio hilo.
•Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya tukio hilo.
Bawasiri inatibika bila upasuaji
Tupigie tuweze kukusaidia Kwa tiba mbadala.

:
:
:
:
:
:
:
:
'enyowachakula #

10/08/2021

na ili kujua k**a unatezi dume ni muhimu kufanya vipimo vifuatavyo:-


Unaweza kupona saratani ya tezi dume bila kufanyiwa upasuaji Kwa kutumia njia mbadala ili kulikausha tezi hilo.
Endapo tezi dume itatibiwa kwa haraka, utakuwa umejiaepusha na magonjwa makubwa k**a vile saratani ya tezi dume.
K**a mgonjwa atakuwa hatua ya mwisho kumlazimu kupasuliwa Kwa kuhofia saratani kusambaa ni vyema kwake kutumia prostatrelax pamoja na pure and broken

TIBA YA TEZI DUME BILA UPASUAJI

Ni vyema kuchagua tiba sahihi itakayo kuweka huru.

ni kirutubisho maalumu ambacho kimetengenezwa na mimea asili uitwao PROSTAEB-I (US Patent) Kwa ajili ya kulikausha tezi lililovimba katika mfumo wa uzazi wa mwanaume. Faida za mmea huu ni kuwa, hulikausha tezi lililovimba, husaidia wanaume wenye shida ya mkojo.

Vilevile ni vizuri k**a itatumiwa Kwa wenye umri kuanzia miaka 45, Ikiwa ni pamoja na kujikinga usipate shida ya tezi Kwa miaka ya baadae.

Kwa mawasiliano namna ya kutibu tezi dume piga namba #0752026120 au #0655789375
inatibika bila upasuaji

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam