Mwanaume shujaatz

Mwanaume shujaatz

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Mwanaume shujaatz, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.

07/08/2022

Shughuli zinahusisha zaidi kukaa muda mrefu na zile zinazohusisha muonzi mikali passport kupata muda wa kupumzika au kufanya mzoezi hupelekea kupungua uwezo wa kushiriki tendo vyema

Wasiliana nami

0624173802

07/08/2022

Kutopata muda wa mazoezi kuwa bize na kazi, kukaa kwanzia asubuhi hadi jioni hupelekea upungufu mkubwa sana uwezo wa kushiriki tendo vikamilifu

07/08/2022

Ni kweli shughuli za kila siku zina athiri uwezo wa mwanaume hususani kwenye tendo la ndoa

07/08/2022

Wanaume walio na umri wa miaka 50 na zaidi na ambao hujamiana mara kwa mara wana uwezekano mdogo wa kupata saratani ya tezi dume (prostate cancer) hali inayotokana na kusafisha tezi dume mara kwa mara wakati wa kujamiana. Aidha kutoa shahawa wakati wa kujamiana mara 21 au zaidi kwa mwezi kunahusishwa na uwezekano mdogo wa kupata saratani ya tezi dume kwa wanaume wenye umri mkubwa ikilinganishwa na kutoa shahawa mara 4 mpaka 7 kwa mwezi.

6.  Baada ya kujamiana, kiwango cha homoni ya prolactin huongezeka, ambayo hufanya seli za ubongo ( brain stem cells ) kutengeneza seli mpya katika sehemu inayohusika kunusa na kutambua harufu  brain olfactory bulb

7.  Kufanya mapenzi huongeza kasi ya mzunguko wa damu mwilini : Unapojamiana na kufikia kilele, mzunguko wa damu huongezeka maradufu, hivyo kuongeza mzunguko wa hewa aina ya oksijeni kwenda kwenye viungo muhimu k**a moyo, ubongo na figo hivyo kusaidia kuondoa uchafu na sumu mbalimbali mwilini.

8.  Husaidia kuimalisha kinga ya mwili
9.  Husaidia kupunguza uzito na unene kwa sababu ni zoezi tosha
10. Hupunguza uwezekano wa kupata kansa  zisizo eleweka

Kwa mawasiliano zaidi
Piga 0624173802

07/08/2022

FAIDA ZA KUJAMIIANA
1.  Kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako ni jambo zuri sana katika mahusiano. Kuwa katika mahusiano pasipo kufanya mapenzi na mwenza wako ni k**a tu kuwa na rafiki yako. Mahusiano hujawa na uchu, wapenzi hutaka furaha na kuridhika. hivyo kufanya mapenzi na mwenza wako huchochea hisia nzito baina yenu, huburudisha na kuyafanya mahusiano kuwa bora.

2.  kufanya mapenzi husaidia kuondoa mawazo. ufanyapo mapenzi homoni zinazokupa furaha hutengenezwa kwa wingi wilini. Kumbuka unapokuwa na furaha ndivyo unavyoweza kufanya kazi kwa ufanisi.

3.  kufanya mapenzi hukufanya ulale usingizi mzuri. Siyo kwa sababu ya uchovu wa shughuli nzito mliyoifanya. Unapomaliza kufanya mapenzi kemikali iitwayo ‘oxytocin’ huachiwa na mwili. Hii hukufanya kulala usingizi mzuri na wa raha.

Kwa mawasiliano zaidi
Piga 0624173802

07/08/2022

Tendo la ndoa lina faida nyingi sana katika upande wa mwanaume na mwanamke na zaidi linapokuwa linatendwa mara kwa mara

Sambamba na hivyo mwanaume atanufaika na uwezo mkubwa wa kujiamini hasa awapo katika kundi la wanawake

Wanaume ambao hushiriki tendo la ndoa chini ya kiwango au kutosh*tiki kabisa hupoteza uwezo wao wa kujiamini hata mbele ya wanaume wenzao

Jambo kubwa ni kuhakikisha tendo la ndoa unashiriki vizuri ili kuondokqna na matatizo mengine ya kiafya

Kwa mawasiliano zaidi
Piga ; 0624173802

02/08/2022

Wasiliana nami kufahamu chanzo cha tatizo lako upungufu wa nguvu za kiume ili upate suluhisho la kudumu kwa uhakika zaidi

02/08/2022

Piga 0724173802

Kufahamu chanzo cha tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume

02/08/2022

Wasiliana nami kujua chanzo cha tatizo lako la upungufu wa nguvu za kiume

Piga 0624173802

02/08/2022

Usingizi Unaweza Kuongeza Kinga Yako ya Kinga. ...

Kupata Zzz's Inaweza Kusaidia Kuzuia Uzito. ...

Usingizi Unaweza Kuimarisha Moyo Wako. ...

Usingizi Bora = Mood Bora. ...

Kulala Kunaweza Kuongeza Tija. ...

Ukosefu wa Usingizi Unaweza Kuwa Hatari. ...

Usingizi Unaweza Kuongeza Utendaji wa Mazoezi. ...

Usingizi Unaboresha Kumbukumbu.

Kwa mawasiliano
Piga 0624173802

02/08/2022

USILALE CHINI YA MASAA SABA MPAKA NANE na kadri umri unavyozidi kuongezeka ongeza muda wa kulala

02/08/2022

Kutokana na hali za ki.aisha wanau.e wengi sana wanajikuta katika mawazo mengi na kutumia muda wao mwingi kutafuta maisha ambalo ni jambo jema

Lakini kitu kikubwa unachotakiwa kufahamu k**a mwanaume ni kwamba kulala chini ya masaa manane inadhoofisha afya yako na zaidi afya ya uzazi,

Kulala hufanya akili kupumzika na hivyo kukufanya uondokane na changamoto za kiafya k**a *UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

PIGA 0624173802

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam