hop_ngozi
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from hop_ngozi, Health/Beauty, Mwenge, Dar es Salaam.
08/08/2023
📌Kuwa na ngozi yenye afya, mng'ao na isiyo na makunyazi ya uzee kunahitaji jitihada. Kwa bahati nzuri hizo jitihada sio ngumu k**a watu wengi wanavyodhani kwani zinahusisha utaratibu wa kawaida sana na pengine tunafanya kila siku.
📌Na k**a utazingatia na kuzifanyia kazi sheria hizo basi hakuna kitakachokuzuia kuwa na ngozi nzuri yenye afya na utasahau lini ulikuwa na chunusi .......
Call/WhatsApp +255764341232
Follow
08/08/2023
Kufanya scrubbing (au ku-exfoliate) kwa ngozi kwa kutumia bidhaa za kusafisha k**a vile exfoliating scrubs au brushes kuna faida, lakini pia kuna hatari za kuwa makini nazo. Hapa kuna baadhi ya hasara za kufanya scrubbing kwa kiasi kikubwa au kwa njia isiyo sahihi:
1. **Kuathiri Kinga ya Ngozi:** Kufanya scrubbing mara kwa mara au kwa nguvu sana kunaweza kusababisha kuondoa tabaka za kinga za ngozi, kuifanya iwe dhaifu na kusababisha hisia za unyevu au hisia zisizo za kawaida.
2. **Kuumiza Ngozi:** Kufanya scrubbing kwa nguvu sana au kutumia viungo vyenye chembechembe kubwa kunaweza kusababisha kuumia ngozi, hasa kwa ngozi nyeti. Hii inaweza kusababisha kutokea kwa upele, joto kali, au hata kuvuja damu.
3. **Kuongeza Uzalishaji wa Mafuta:** Kufanya scrubbing mara kwa mara inaweza kusababisha ngozi kuathiriwa na kuwa kavu sana, na hii inaweza kusababisha uzalishaji wa mafuta kuongezeka kwa jitihada za ngozi kujilinda.
4. **Kusababisha Machovu:** Kufanya scrubbing mara kwa mara au kwa nguvu sana inaweza kusababisha kuvunjika kwa mishipa midogo ya damu chini ya ngozi, kusababisha kuonekana kwa machovu.
5. **Kuongeza Athari za Jua:** Baada ya scrubbing, ngozi inaweza kuwa nyeti zaidi kwa mionzi ya jua. Hii inaweza kusababisha kuongezeka kwa hatari ya kuchomwa na jua au madhara mengine ya mionzi ya jua.
Ili kuepuka hasara hizi, ni muhimu kufuata miongozo sahihi ya kufanya scrubbing na kuepuka kufanya hivyo kwa kiasi kikubwa au kwa nguvu sana. Kwa ngozi nyeti au matatizo ya ngozi, ni vizuri kushauriana na mtaalamu wa ngozi kabla ya kufanya scrubbing au kutumia bidhaa za kusafisha zenye kemikali ngumu.
02/08/2023
💥Ushawahi kusikia kuhusu vipodozi asilia (Organic skin products/nutrients)???...
💥Najua jibu ni NDIYO.....kwani kila aliyopo kwenye kwenye ulimwengu wa urembo na uzuri lazima atasikia kuhusu vipodozi asilia na k**a haujawahi ndio umeashasikia hivyo...
🔥SWALI......Unajua maana yake??
❤️Kwa haraka haraka utasema ni vipodozi visivyokuwa na kemikali yaani viambata sumu.....
,....,............Ni kweli wala hujakosea...
⚠️Balaa ni kwamba kila anayekuja na kipodozi chake anakuambia ni natural yaani kimetengenezwa na vitu asilia ambavyo havina sumu kabisa na kuna wengine hadi wana kula 😃😃😃kukuaminisha...
😇Sasa unachanganyikiwa umuamini nani???
💥Leo nmekuelezea Njia sita (6) za kuweza kugundua vipodozi asilia, soma kwenye post yangu hapo juu na usave
📌Pia usisahau kupitia na kushare post ya orodha ya KEMIKALI SUMU KWENYE VIPODOZI Imeandikwa HARMFUL CHEMICALS IN BEAUTY PRODUCTS.
02/08/2023
💥Ushawahi kusikia kuhusu vipodozi asilia (Organic skin products/nutrients)???...
💥Najua jibu ni NDIYO.....kwani kila aliyopo kwenye kwenye ulimwengu wa urembo na uzuri lazima atasikia kuhusu vipodozi asilia na k**a haujawahi ndio umeashasikia hivyo...
🔥SWALI......Unajua maana yake??
❤️Kwa haraka haraka utasema ni vipodozi visivyokuwa na kemikali yaani viambata sumu.....
,....,............Ni kweli wala hujakosea...
⚠️Balaa ni kwamba kila anayekuja na kipodozi chake anakuambia ni natural yaani kimetengenezwa na vitu asilia ambavyo havina sumu kabisa na kuna wengine hadi wana kula 😃😃😃kukuaminisha...
😇Sasa unachanganyikiwa umuamini nani???
💥Leo nmekuelezea Njia sita (6) za kuweza kugundua vipodozi asilia, soma kwenye post yangu hapo juu na usave
📌Pia usisahau kupitia na kushare post ya orodha ya KEMIKALI SUMU KWENYE VIPODOZI Imeandikwa HARMFUL CHEMICALS IN BEAUTY PRODUCTS.
02/08/2023
📌Watu wengi sana huwa tunakutana na hii changamoto ya kwamba nitumie nini ili niweze kupata suluhisho la kudumu ya ngozi yangu.......
🔥Hususani huku mjini Instagram, sasa nikwambie cha msingi haswa ni nini???
💥Tumia bidhaa za ngozi za asili (organic skin products) badala ya bidhaa za ngozi zisizo za asili (Inorganic skin products)...
Kutumia organic skin products kuna faida nyingi k**a:-
1. Hakuna kemikali hatari: bidhaa za kutunza ngozi za Kikaboni (organic) mara nyingi hazina kemikali hatari za kusababisha madhara k**a madoa, upele au madhara mengine kwenye ngozi.
2. Urahisi kwa ngozi nyeti: Viungo asili vinavyopatikana kwenye bidhaa za Kikaboni kawaida ni nafuu kwa ngozi hivyo ni chaguo zuri kwa watu wenye ngozi nyeti (sensitive skin).
3. Nguvu ya Antioxidant: bidhaa za ngozi zina virutubisho vingi na muhimu na Antioxidant ambayo husaidia kupambana na oksijeni ya bure na kuweka ngozi kubwa na afya.
4. Kulinda mazingira: bidhaa za Kikaboni kawaida hutengenezwa kutokana na viungo vya kilimo hai, ambavyo vinahimiza kilimo endelevu na kuongeza juhudi za kulinda mazingira.
5. Uwekezaji wa muda mrefu kwa afya ya ngozi: kutumia bidhaa za Kikaboni kunaweza kusaidia kudumisha afya ya ngozi kwa mda mrefu na kuzuia madhara yanayosababishwa na kemikali hatari.
01/08/2023
📌Vitiligo no hali ya ngozi inayosababisha kupungua au kutoweka kwa melanin (pigment inayoipa ngozi rangi yake) katika maeneo fulani ya ngozi.
📌Kusababisha kuwepo kwa madoa meupe au mabaka usoni, mikononi, miguuni na we maeneo mengine ya mwili.
MAMBO YANAYOWEZA KUCHANGIA KUWA NA VITILIGO :-
1. Sababu za kijenetiki (Urithi)
2. Matokeo ya mfumo wa kinga ya mwili kushambuliwa na kuangamiza melanocytes (seli za kuzalisha melanin) kwa makosa.
3. Sababu za mazingira k**a Mionzi ya jua.
4. Sababu za kihomoni.
27/07/2023
📌K**a nilivyosema mwanzo, hakuna uchawi wala njia ya haraka k**a baruti au risasi kuwa na ngozi bora.
📌Tumia bidhaa sahihina fuata hizo sheria kila siku ndio njia pekee ya kuwa na ngozi bora na yenye afya.
📌Usisahau muendelezo wa ulichokianza ndio ufunguo, kwa kufanya kitu kimoja kizuri leo ndio safari ya kuelekea kwenye matokeo makubwa kesho.
THE RULES ARE NON-NEGOTIABLE.....
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
27/07/2023
K**a unasumbuliwa sana na chunusi, anza kula vyakula vyenye OMEGA-3 fatty acids kwani vinasaidia pia kwenye kuzuia na kutibu chunusi.
Picha hapo juu☝️☝️inaonesha baadhi ya vyakula vyenye OMEGA-3 fatty acid.
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
27/07/2023
📌OMEGA-3 fatty acid ni essential fatty acid yaani haiwezi kutengenezwa na miili yetu, bali kwa njia ya kula vyakula.
📌Kuna aina kuu 3 za OMEGA -3 fatty acids ambazo ni:-
1.ALA (Alpha-linoleic acid)
2. EPA ( Eicosapentaenoic acid)
3. DHA (Docosahexaenoic acid)
📌EPA na DHA ni muhimu sana kwenye kutibu na kuzuia chunusi.
EPA na DHA vinapatikana kwenye baadhi ya samaki wanaopatikana kwenye maji Badiri. Mfano salmon, tuna, swordfish n.k. DHA pia inapatikana kwenye Algae..
UMUHIMU:
1. Ina uwezo wa kupambana na bakteria wanaosababisha chunusi.
2. Inapunguza hali ya uvimbe.
3. Inaongeza kasi ya kuponesha vidonda vinavyosababishwa na chunusi.
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
26/07/2023
📌Hivi nahitajika kuelezea hili kitu kweli!!!!, Anyway k**a tunavyojua ngozi ni kiungo tata na chenye kufanya kazi nyingi sana kwenye miili yetu k**a ilivyo ubongo....
📌Labda nikuulize swali k**a ungekuwa unaufikia ubongo hivi ungeusugua k**a njia ya kuusafisha???.......Najua jibu ni HAPANA, basi ichukulie ngozi yako k**a inavyochukuliwa ubongo wako.
📌Ngozi ni kiongo kinachoishi, kinapumua na kiko active kwa ufanyaji kazi yake na sio sio k**a bahasha au funiko la juu la viungo vingine.
📌 Kwa namna yoyote ile Ngozi inafanya kazi ya kuondoa takamwili yaanza vitu au uchafu usiohitajika ndani ya mwili, na unafanya hivi kwa masaa 24 ndani ya siku 7 za wiki kupitia matundu yake. Sasa kwanini unaisafisha kwa kuisugua wakati yenyewe inajisafisha.???!!!
📌Pengine inaweza kuonekana chafu, imefubaa au ina mafuta mengi, sawa safisha ila sio kwa kusugua maana huitakatishi bali unaojaribu....
NO SCRUBBING ❗❗❗❗
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
26/07/2023
"Baada ya kutumia OMEGA-3 fatty acids kwa wiki 10, madoa, makovu na vidonda vyote vya chunusi vilipungua kwa kasi kubwa sana".....
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
25/07/2023
SUNZUA ni vijinyama au vidoti vinavyoota kwenye ngozi ya binadamu, vijinyama hivyo vinaweza kuwa vyeusi au vilafanana na rangi ya ngozi yako.
Kiujumla SUNZUA hazina madhara ila tuu vinaharibu kabisa muonekano wako, kwa wale ambao wanajali sana muonekano wa ngozi yao nafikiri wananielewa hususani ya uso.
Zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazochangia SUNZUA:-
1. SUNZUA huota watu wenye umri mkubwa yaani watu wanaondelea kuzeeka.
2. Kwa kurithi, na mwanaume na mwanamke huathirika sawasawa.
3. Watu wanene sana wako kwenye nafasi kubwa sana ya kupata SUNZUA kwasababu wanakuwa na ngozi iliyojikunja sana.......Lakini kuna sababu nyingine, ukiwa mnene sana unakuwa kwenye hatari ya kupata kisukari (type 2 diabetes) na utafiti unaonyesha mtu mwenye aina hiyo ya kisukari huwa anaota vinyama vingi kwenye ngozi yake. Kwa hiyo kuna uhusiano kati ya kuota vinyama kwenye ngozi (SUNZUA) na Insulin inayodhibiti kiwango cha sukari kwenye damu........Watu wanene wenye kisukari wanakuwa na SUNZUA nyingi kutokana na kiwango kikubwa cha Insulin.
Insulin inachochea ukuaji na kusababisha seli za ngozi kubadilika na kufanya vinyama kuendelea kuongezeka.
ILA UNAWEZA KUVIONDO...
Call/WhatsApp. +255764341232
Follow
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Mwenge
Dar Es Salaam
0673341232
Opening Hours
| Monday | 07:00 - 20:00 |
| Tuesday | 07:00 - 20:00 |
| Wednesday | 07:00 - 20:00 |
| Thursday | 07:00 - 20:00 |
| Friday | 07:00 - 20:00 |
| Saturday | 07:00 - 20:00 |