Tanlink Medical Tourism Agency
Tunakusaidia Kupata Daktari na Hospitali sahihi Ndani na Nje ya Tanzania k**a India,Turkey,South Afr.
TANLINK MEDICAL TOURISM AGENCY NI TAASISI YA KITANZANIA INAYOJIHUSISHA NA KURATIBU NA KUSIMAMIA MATIBABU YA BINADAMU NDANI NA NJEA YA NCHI.
HUDUMA ZITOLEWAZO NA TANLINK MEDICAL TOURI AGENCY KWA WAGONJWA WANAOHITAJI KUPATA MATIBABU NJE YA NCHI NI PAMOJA NA:-
1. KUKUTAFUTIA HOSPITALI ILIYOBOBEA KWENYE UTATUZI WA CHANGAMOTO K**A YAKO.
2. KUKUTAFUTIA DAKTARI MWENYE UBOBEZI NA UZOEFU WA KUTOSHA WA KUTATUA CHANGAMOTO K**A YAKO.
3.HUDUMA YA KUPATA MAKADILIO YA GHARAMA ZA MATIBABU YA CHANGAMOTO YAKO KABLA YA KUKASAFIRI.
4.HUDUMA YA KUPATA MAONI MBADALA KUTOKA KWA MADAKTARI MBALIMBALI DUNIANI JUU YA CHANGAMOTO YAKO.
5.KUHAKIKISHA UNAPATA NYARAKA ZOTE MUHIMU ZITAKAZO KUSAIDI KUSAFIRI KENDA KWENYE MATIBABU,Mfano.Passport,VISA.M,Ticket...nk.
6.KUSIMAMIA MATIBABU YAKO UTAKAPOFIKA HOSPITALI KUANZIA HATUA YA KWANZA HADI YA MWISHO.
7.HUDUMA YA KUSIMAMIA MATIBABU KWA WATU MASHUHURI NA VIONGOZI YAANI VIP KWA KUFUATA PROTOKALI INAPATIKANA.
8.NA ZAIDI YA HAPO NI KURATIBU MCHAKATO MZIMA WA KUREJEA NYUMBANI BAADA YA KUMAIZA MATIBABU.
9.KUFUATILIA MAENDELEO YAKO BAADA YA MATIABABU NA KUTOA MREJESHO KWA DAKTARI WAKO HADI UTAKAPOPONA KABISA.
ILI KUPATA HUDUMA HIZI USISITE KUWASILIANA NA TANLINK MEDICAL TOURISM AGENCYKWA NUMBER:
0742 126 534
0785 514 411
0785 638 185
0769 992 028
01/01/2023
inakutakia kheri na Fanaka ya Mwakampya.
TANLINK MEDICAL TOURISM AGENCY NI TAASISI YA KITANZANIA INAYOJIHUSISHA NA KURATIBU NA KUSIMAMIA MATIBABU YA BINADAMU NDANI NA NJEA YA NCHI.
HUDUMA ZITOLEWAZO NA TANLINK MEDICAL TOURI AGENCY KWA WAGONJWA WANAOHITAJI KUPATA MATIBABU NJE YA NCHI NI PAMOJA NA:-
1. KUKUTAFUTIA HOSPITALI ILIYOBOBEA KWENYE UTATUZI WA CHANGAMOTO K**A YAKO.
2. KUKUTAFUTIA DAKTARI MWENYE UBOBEZI NA UZOEFU WA KUTOSHA WA KUTATUA CHANGAMOTO K**A YAKO.
3.HUDUMA YA KUPATA MAKADILIO YA GHARAMA ZA MATIBABU YA CHANGAMOTO YAKO KABLA YA KUKASAFIRI.
4.HUDUMA YA KUPATA MAONI MBADALA KUTOKA KWA MADAKTARI MBALIMBALI DUNIANI JUU YA CHANGAMOTO YAKO.
5.KUHAKIKISHA UNAPATA NYARAKA ZOTE MUHIMU ZITAKAZO KUSAIDI KUSAFIRI KENDA KWENYE MATIBABU,Mfano.Passport,VISA.M,Ticket...nk.
6.KUSIMAMIA MATIBABU YAKO UTAKAPOFIKA HOSPITALI KUANZIA HATUA YA KWANZA HADI YA MWISHO.
7.HUDUMA YA KUSIMAMIA MATIBABU KWA WATU MASHUHURI NA VIONGOZI YAANI VIP KWA KUFUATA PROTOKALI INAPATIKANA.
8.NA ZAIDI YA HAPO NI KURATIBU MCHAKATO MZIMA WA KUREJEA NYUMBANI BAADA YA KUMAIZA MATIBABU.
9.KUFUATILIA MAENDELEO YAKO BAADA YA MATIABABU NA KUTOA MREJESHO KWA DAKTARI WAKO HADI UTAKAPOPONA KABISA.
ILI KUPATA HUDUMA HIZI USISITE KUWASILIANA NA TANLINK MEDICAL TOURISM AGENCYKWA NUMBER:
0742 126 534
0785 514 411
0785 638 185
28/12/2022
WAZIRI WA AFYA MH.UMMY MWALIMU,Akipokea kero za wananchi Akiwa katika ziara kwenye Hospitali ya rufaa ya Temeke.
Cred:
28/12/2022
WAZIRI WA AFYA MH.UMMY MWALIMU,Akiwa katika ziara kwenye Hospitali ya rufaa ya Temeke.
Cred:
28/12/2022
HUDUMA YA KUKUTAFUTIA MATIBABU NJE YA NCHI INAPATIKA.
Iwapo unahitaji kupata matibabu Nje ya Tanzania, tuna huduma ya kusimamia na kuratibu zoezi zima la matibabu yako kuanzia mwanzo hadi mwisho.
NCHI UNAZOWEZA KWENDA KUTIBIWA NI:-
1.KENYA
2.INDIA
3.TURKEY
4.SOUTJ AFRICA
5.THAILAND
6.SOUTJ KOREA.....NK.
HUDUMA ZETU NI:-
MAWASILIANO
+255(0) 742 126 534
+255(0) 785 514 411
27/12/2022
MATIBABU YA KUWEKA JICHO BANDIA NA KUBORESHA MUONEKANO WAKO SASA YANAPATIKANA KUPITIA
IWAPO UNA NDUGU,JAMAA AU RAFIKI ANA TATIZO LOLOTE LA MACHO USISITE KUMUUNGANISHA NA KWA UFUMBUZI WA HARAKA NA UHAKIKA NA KWA GHARAMA NAFUU.
MAWASILIANO
27/12/2022
MATIBABU YA KISASA YA TATIZO LA KUTOKUSIKIA
(Cochlear Implantation)
Sasa Technology inasaidia kuhakikisha watu wenye Tatizo la usikivu kupata matibabu na Kusikia kabisa.
Tiba hii sasa inapatikana kupitia .
MAWASILIANO
27/12/2022
MALUNION CORRECTION
Malunion ni tatizo la Mfupa uliovunjika kuunga vibaya na kupelekea kiungo kupinda.
Matibabu ya Mfupa uliounga vibaya na Kupinda sasa yanapatikana kupitia
MAWASILIANO
27/12/2022
HERNIA
Ni ugonjwa hatari sana ambao hutokea iwapo kunakuwa na udhaifu kwenye Misuli hivyo kuruhusu viungo vya ndani k**a utumbo kupenyeza kwenye eneo lenye udhaifu na hivyo kusababisha Uvimbe na maumivu makali.
Kuna aina Nyingi za Hernia mfano:-
1.Hiatus Hernia:
Tumbo kuingia kifuani.
2.Epigastric Hernia:
Uvimbe katikati ya Kitovu na kifua.
3.Incisional Hernia:
Utumbo kupenya kwenye mshino wa upasuaji.
4.Umbilical Hernia:
Utumbo kuingia kwenye tundu la kitovuni.
5.Sphelian Hernia:
Uvimbe maeneo ya tumboni.
6.Inguinal Hernia:
Uvimbe kati ya Paja na kiuno.
7.Scrotal Hernia:
Uvimbe kwenye Korodani
8.Femora hernia:
Uvimbe kati ya Paja na Kinena.
Iwapo una Uvimbe maeneo yoyote ya mwili,usisite kiwasiliana na kwa uchunguzi na Ufumbuzi wa haraka,Uhakika na Gharama nafuu.
MAWASILIANO
24/12/2022
LAPAROSCOPIC CHOLECYSTECTOMY
Ni matibabu ya kisasa ya Kutibu tatizo la MAWE KWENYE MFUKO WA NYONGO bila kuchana eneo la tumboni hivyo Kutokuacha kidonda kikubwa na Kupona na kurudi kwenye majukumu ya kila siku mapema.
Ili kupata matibabu haya usisite kuwasiliana na kwa ufumbuzi wa haraka,Uhakika na Gharama nafuu.
MAWASILIANO
+255(0) 742 126 534
+255(0) 785 514 411
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Haidery Plaza Building, Ground Floor, Posta Mpya, Kisutu/India Street
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 16:00 |
| Tuesday | 09:00 - 16:00 |
| Wednesday | 09:00 - 16:00 |
| Thursday | 09:00 - 16:00 |
| Friday | 09:00 - 16:00 |
| Saturday | 09:00 - 13:00 |