Dondoo za afya

Dondoo za afya

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dondoo za afya, Beauty, cosmetic & personal care, makumbusho, Dar es Salaam.

10/06/2022

Wasiliana nami kwa namba 0766376315 kwa Muongozo na elimu zaidi.

07/06/2022

Wasiliana nami kwa Muongozo zaidi kupitia 0629515089

07/06/2022

Vyakula vitano vinavyoua nguvu zako za kiume bila wewe kujuwa;

1. Vilevi

Glasi moja ya mvinyo mwekundu kwa siku inaweza kukusaidia kuimarisha nguvu zako za kiume. Kumbuka nimesema glasi moja kwa siku.

Mwanzoni unapoanza kuwa mlevi unaweza kuhisi k**a vile nguvu zako zinaongezeka au unakuwa imara Zaidi lakini kadri unavyoendelea kuwa mlevi ndivyo utakavyopoteza nguvu zako na hamu yako ya kutaka kuhiriki tendo la ndoa.

Pombe inaweza kukuondolea aibu ya kutongoza na ukajikuta umetongoza yoyote hasa wauza bar (bar meds).

Lakini kunywa pombe kupita kiasi kunahusishwa na kushuka kwa homoni ya testosterone na kuiondoa hii homoni kwenye mzunguko wako wa damu na hata kushusha kiwango chake cha uzalishwaji katika mwili.

Pombe pia ikitumika kupita kiasi na kila siku inao uwezo mkubwa wa kulidhuru ini lako.

Ini ni ogani mhimu ili kuondoa sumu mwilini na linapochakaa hivi sababu ya pombe ni vigumu wewe kuendelea kuwa na nguvu za kiume.

Ini pia linahusika na kuziweka sawa homoni mwilini hasa homoni ya estrogen na homoni nyingine iitwayo phytoestrogens ambayo ni estrogen itokanayo na mimea imo kwenye vitu vinavyotumika kutengeneza bia.

Sigara na bangi ni vilevi vingine vinavyoweza kukuletea upungufu wa nguvu za kiume.

Moshi wa sigara na bangi huziba mishipa yako ya damu na kukusababishia mtiririko mbovu wa damu.

Moshi wa sigara na bangi ni sumu katika mwili.

Sumu yoyote lazima ikuletee kushuka kwa nguvu za kiume.

06/06/2022

WEWE UNADHANI WANAWAKE UWA WANAPENDAGA NINI KUTOKA KWA WANAUME

JE WEWE PIA UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ?

Tupigie upate suluhisho la uhakika :

Kwa ushauli, Elimu, Miongozo, Suluhisho sahihi kwa upande wa afya ya uzazi tupigie sasa hivi au tuma ujumbe whatsapp andika "BORESHA afya " 0629515089 Utapata kuhudumiwa haraka

♥️Like
💬Comment
🚀Share kwenye story
🗄️Save usome siku nyingine

💯Follow .wellness kwa Dondoo za afya ya wanaume

🔔Turn on post notification uwe wa kwanza kuona nikipost madini ya

afyayamwili
afyajamiitz 🇰🇪 🇷🇼

31/05/2022

Wanaume wengi wanaamini tendo la ndowa linahusu viungo tu hivyo Basi hujikuta wanaangaika Sana kwenye swala la maumbile ,

MWANAUME unachotakiwa kujuwa tendo huanzia KICHWANI KWAKO .

Mambo ya kuzingatia wakati wa ufanyaji wa tendo la ndowa

1.jifunze kutokuwa na msongamano wa mawazo KICHWANI KWAKO wakati wakufanya tendo ,mawazo huchangia Sana mwanaume kualibu tendo na kujiona K**a Hana nguvu .

2.ondowa HOFU ,,,wanaume wengi huwa wanakuwa na hofu kubwa na hii huwapelekea kualibu tendo mwanzoni tu mwa tendo .

3. Vyakula ni muhimu sana ,wanaume wengi huzani vyakula vya wanga (ugari,Dona,mohogo nk.) Ndiyo vyakula sahihi kumbe hapana

28/05/2022

Kuna chanzo chanzo ndio unatakiwa kuifaham . Wengi wanakunywa madawa bila kujua shida iko wap , Ni sawa na kupiga na adui usiemfaham

Wasiliana nami kupitia Whatsapp kwa namba 0629515089.

27/05/2022

Faida za mjamzito kushiriki tendo la ndoa

1. hukuandaa na uchungu; Ukishiriki ndoa wakati wa tarehe zilizokadiriwa zimefika unapata homoni moja kutoka kwenye mbegu za mwanaume kwa jina la prostglandin, homoni hii huivisha mlango wa uzazi na kuanza kufunguka taratibu kujiandaa na uchungu.

2. hutibu tatizo la kukosa usingizi; Wanawake wengi wajawazito hua na dalili mbalimbali za maumivu na kuumwa sehemu tofauti za mwili na msongo wa mawazo, hii huweza kuwakosesha usingizi kabisa..tendo la ndoa huweza kuwapa usingizi mzuri.
3. hupunguza presha ya damu; Kipindi cha tendo la ndoa presha ya damu hushuka kwenye kiwango kizuri sana, hii ni muhimu sana kwa wanawake wenye hatari ya kupata kifafa cha mimba k**a wanene sana, wenye kisukari au wenye historia za ugonjwa wa presha kwenye koo zao.

4. Huzuia uwezekano wa kupata kifafa cha mimba; Tafiti zinaonyesha kwamba aina ya protini inayopatikana kwenye mbegu za mwanaume huongeza kinga ya mwili na kuzuia uwezekano wa kupata kifafa cha mimba ambacho kinaua wanawake wengi sana.

5. Hutibu tatizo la kufika kileleni kwa shida; Kipindi cha ujauzito chuchu za mwanamke na kinembe chake huvimba na kuongezeka hisia mara dufu huku kiwango cha homoni za oestrogen kikiwa juu sana, hii humfanya kufika kileleni kirahisi sana kuliko mwanzoni.

6. Huwapa uwezo wa kujiamini; Kipindi cha ujauzito mwanamke hua anapata hofu sana na kutojiamini na mwili wake, hua na wasiwasi kwamba mwili wake unaharibika hivyo kitendo cha mwanaume wake kuendelea kushiriki naye tendo la ndoa humpa kujiamini kwamba mwili wake bado uko kwenye hali nzuri na anapendwa.

7. hupunguza msongo wa mawazo; Kipindi cha ujauzito wanawake wengi huwaza sana kuhusu kesho yao…je swala la uchumi litakuaje? mwili wangu utakuaje? je ntapata jinsia nayotegemea? na kadhalika.. tendo la ndoa hutoa homoni ya upendo kwa jina la oxytocin, homoni hii hupunguza mawazo na kumpa amani mjamzito.

mwisho; Hakikisha unatumia staili za tendo la ndoa ambazo hazimuumizi mtoto na mama yaani hakikisha haulilalii tumbo hasa mimba ikiwa kubwa, kuna staili muhimu kipindi hiki k**a kuangalia upande mmoja, mwanamke kuja juu, au mwanamke kuinama

27/05/2022

Kwa mawasiliano na Muongozo wasiliana nami kwa namba 0629515089

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam