ijue afya na pastory
karibu katika page hii upate elimu juu ya magonjwa mbalimbali hasa yasiyo ambukizwa.
USHAURI JUU TEZI DUME NA TIBA YAKE ASILIA ✆+255759623217
ZIFUATAZO NI DALILI ZATEZI DUME.
1.Kukojoa mara nyingi wakati wa usiku Mara Tatu au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE UNA TEZI DUME ILIYOVIMBA.
ipo TIBA ASILIA
asili Inayo TIBU na inayokinga tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.waweza wasiliana nasi kwa namba +255759623217
28/11/2022
TATIZO LA MIGUU KUWAKA MOTO,NINI CHANZO NA MATIBABU YAKE? (+255759623217)
Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wengi kulalamika miguu kuwaka moto
Fuatana namimi katika somo hili👇👇👇👇👇
Miguu kuwaka moto ni ile hali ya kuhisi sehemu ya chini ya miguu inawaka moto au kuuma ambayo huweza kupelekea hali ya kukosa usingizi usiku ambayo mara nyingi hueza kuambatana na hali ya miguu kufa ganzi.
CHANZO CHAKE:
Zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha kuhisi miguu kuwaka moto/ kuuma ambazo hizi huashiria kuathirika kwa mfumo wa nevu ( nerve damage) ama kuathirika kwa mishipa ya damu inayoelekea miguuni.
Sababu hizi ni k**a vile:
▪️Ujauzito
▪️Kukoma kwa hedhi ( menopause)
▪️Matumizi ya pombe kupita kiasi
▪️Magonjwa k**a vile kisukari
▪️Matumizi ya dawa mbalimbali k**a dawa za saratani (Chemotherapy), dawa za kisukari (hasa metformin)
▪️Maambukizi ya virusi vya ukimwi
▪️Upungufu wa vitamini B12 na vitamin B6 kwa uchache
▪️Matatizo ya figo
▪️Kuwa na fangasi wa miguuni (athletes foot)
▪️Kutembea/ kusimama muda mrefu
*MATIBABU YAKE:*
Kitu cha muhimu cha kufanya ni kuhakikisha kutibu chanzo cha tatizo husika linapolekea miguu kuwaka moto, kufa ganzi au kuuma k**a vilivo orodheshwa hapo juu.
Matumizi ya dawa za saratani au kisukari kuweza kusababisha miguu kuwaka moto/ kufa ganzi k**a madhara kwa kuwa huzuia kufyonzwa kwa vitamin B12 ambayo hasa husaidia katika kuhakikisha nevu (nerve) zinafanya kazi vizuri.
*pamoja vya vyanzo vingine zifuatazo ni njia za kutibu tatizo hili:
*
🔹Tumia kwa wingi vyakula vyenye vitamin B12 kwa wingi k**a vile Nyama, samaki, maziwa , mayai au vidonge (supplements) vyenye vitamin B12 kwa wingi.
🔹Tumia dawa za kupunguza maumivu na dawa ya kupunguza kuhisi ganzi kutokana na tatizo la kuathirika kwa nevu, hakikisha umepata ushauri kutoka kwa Mfamasia au Daktari kabla ya matumizi ya dawa hizi.
🔹Loweka miguu yako katika maji ya baridi kwa muda kiasi kila jioni au asubuhi.
🔹Massage miguu mara kwa mara, hii husaidia kuhakikisha mzunguko wa damu kwenda miguuni unakuwa k**a unavotakiwa hivyo kupunguza maumivu na hisia za ganzi/ kuwaka moto.
🔹 Vaa viatu visivyokubana na kuwa na tabia ya kubadilisha viatu unavovaa mara kwa mara, badilisha soksi mara kwa mara na pia vaa viatu vya wazi katika kipindi cha joto hii yote ni ili kuruhusu miguu kupata hewa ya kutosha.
*TIBA YA KUDUMU*
Tumia Micro²cyle ambayo hufanya kazi zifuatazo
▪️Husaidia kuondoa ganzi mikononi , miguuni,na kuwaka moto miguuni
▪️Husaidia watu wenye pressure( shinikzo la damu)
▪️Husaidia katika mzunguko wa damu
2. Zaminocal plus
Ina madini ya calcium na zinc Hivyo n nzur mno kwa watu wenye matatzo haya! Piah waweza wasiliana nami kwa uhduma ama ushauri kwa namba (+255759623217
28/11/2022
*** MIGUUNI,MIKONONI AU KWENYE VIDOLE
*** MIGUU KUWAKA MOTO *+255759623217)
Karibu tena msomaji wa makala zangu za afya siku ya leo nmependa ujifunze zaidi juu ya tatizo ambalo limekuwa likionekana ni la kawaida katika jamii nyingi.
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.
Matatizo haya ya kiafya (miguu/mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.
Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo
1.Mtu kuhisi ganzi
2. kushindwa kushika au kunyanyua kitu, kuchoka kwa misuli na kadhalika.
3.maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni/mikononi.
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo:
1.Kupungua kwa virutubisho mwilini,hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex) na calcium.
2.Matumizi ya dawa, mfano dawa za kutibu MAUMIVU
3.Uzito mkubwa wa mwili (obesity).
4.Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).
5.Shinikizo la damu(PRESSURE),
6. Mafuta mengi mwilini (cholesterol).
7. Saa nyingine huweza kuashiria tatizo kwenye ini.
WATU WENGI SAANA HUKAA NA TATIZO HILI WAKIJUA HALITIBIKI
TATIZO HILI SASA LIMEPATA SULUHISHO NA LINAONDOKA.
SHARE TAARIFA HII ili kuwasaidia NDUGU,JAMAA NA MARAFIKI,wahanga ni Wengi.
KWA MATIBABU na USHAURI usisite kuwasiliana nami kupitia namba +255759623217
28/11/2022
NGUVU ZA KIUME & CHANGAMOTO ZINAZOHUSIANA NA MFUMO WA UZAZZI KWA UJUMLA ☎ ☎+255759623217
�Je, wewe ni mwanamume unayepata changamoto kufanya tendo la ndoa? 👉Je, wewe ni mwanamume unayewahi/ kumaliza haraka tendo ndani ya muda mfupi na kuchukua muda mrefu tena kupata hisia?
👉Je, wewe ni mwanaume unayeshindwa kurudia tendo la ndoa kabisa?
👉Je, unafahamu kuwa ukuaji wa tezi dume inaathiri nguvu za kiumme kwa wanamume wengi kuanzia miaka 35 na pia kuwafanya wawe kwenye hatari ya kupata kansa ya korodani?
Matatizo haya:
♻Yawezekana ni kwa sababu ya athari zitokanazo na kujichua,
♻️Inawezekana ni kutokana na mkubwa, k**a vile kisukari na pressure, na uliokithiri,
♻️Inawezekana ni kutokana na athari za dawa, kula vyakula visivyo na virutubisho ya kutosha, na pia
♻️Inawezekana ni kutokana na ubusy uliopitiliza, kazi ngumu za kila siku na msongo wa mawazo.
Nini cha kufanya!!!
Wengi huhitaji kutatua changamoto zao zinazohusiana na nguvu za kiumme na mfumo wa uzazi kwa ujumla...matokeo yake hujikuta wakiangukia kwenye tiba zisizofaa na madawa hatari ambayo hua ni suluhisho la muda na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa pamoja na kujutia.
Suluhisho la shida za namna hii ni kula vizuri na kutumia virutubisho hasa pale tatizo linapokua katika hali ya usugu. Kwa wale tayari wana changamoto, vipo virutubisho (supplements) ambavyo ni salama na mkombozi wa wenye kutaka kuondokana na changamoto za mfumo wa uzazi. Virutubisho hivyo ni k**a;
POWER PLUS
POWER COFFEE
2 CYCLE
☎+255759623217
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Ilala
Dar Es Salaam