Meela health care
Mtaalam na mshauri wa afya ya viungo na mifupa
Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi 👉 0657622727. / 0687613105 Get a quality product and service
JIPATIE CHUPA YA MAJI YA ALKALINE- KWA AFYA BORA NA MWILI IMARA
Kunywa maji ni muhimu kwa afya yako, lakini
unajua kuwa unaweza kuboresha zaidi kwa kutumia maji ya alkaline?
Chupa yetu ya maji ya alkaline inakuwezesha kupata faida zote za maji yenye pH bora kwa mwili wako!
Faida za Maji ya Alkaline:
Inaimarisha kinga ya mwili: Maji ya alkaline yanaweza kusaidia kuboresha mfumo wa kinga ya mwili wako.
Inapunguza asidi mwilini: Inasaidia kudhibiti viwango vya asidi na alkalini mwilini, hivyo kuboresha usawa wa mwili.
Huongeza nguvu na ustawi:
Inakupa nguvu za ziada na kukusaidia kuishi maisha yenye afya na nguvu.
Inaboresha mmeng'enyo wa chakula:
Inasaidia katika mmeng'enyo mzuri wa chakula na kupunguza kiungulia.
Kwa Nini Utumie Chupa Yetu ya Maji ya Alkaline?
Urahisi wa kutumia:
Unajaza maji yako ya kawaida na kuyabadilisha kuwa alkaline kwa urahisi na haraka.
Imebuniwa kwa ustadi:
Imetengenezwa kwa kutumia teknolojia ya kisasa na vifaa bora, kuhakikisha unapata ubora wa juu.
Inadumu kwa muda mrefu:
Inadumu kwa muda mrefu na ni rafiki kwa mazingira.Inabebeka:
Rahisi kubeba popote,
iwe kazini, nyumbani au wakati wa safari.Usikubali afya yako iendelee kuwa ya wastani, jivunie maisha bora kwa kutumia chupa ya maji ya alkaline.
Nunua yako leo na uanze safari ya kuelekea afya bora!
Ni muhimu sana Kwa watu wote wanaotaka kujikinga na walioathirika na maradhi k**a
✓Acid na SUMU nyingi mwilini
✓Mifupa Na Mfumo wa Nerva
✓ vidonda tumbo na Reflux acid
✓misuli ya shingo kukaza
✓Kupoteza kumbukumbu na mwili kuchoka
✓Saratani
✓Cholesterol
✓Gauti
✓Kiharusi
✓Kukosa USINGIZI
✓Uzito
Acid na SUMU ni kati ya vyanzo vikubwa vya maradhi sugu mwilini kwani
Huharibu utendajikazi wa SELI mwilini hivyo
Kwa kufanya mwili wako uwe katika hali ya Alikaline zaidi inasaidia sana kutibu na KUZUIA seli na magonjwa sugu mwilini
Ni vizuri Kila familia kuwa na chupa hii ili kuboresha afya na kujikinga na maradhi mbalimbali
Sasa unaweza kuipata Kwa OFFER KUBWA YA 155,000/ badala ya 250,000/
Okoa Tshs 95,000
Kwa order yako piga 0687613105
Meela Health Care tunaijali na kuipenda afya yako
Kwa wote ambao wanaoteseka na maumivu ya viungo
Ikiwa Bado umeendelea kulipia Pesa nyingi kupata tiba ya maumivu uliyo nayo lakini Bado hujapata suluhisho lako Basi
Sisi tunaweza kukusaidia Kwa ukaribu sana kuweza kuhakikisha unapata tiba makini na ushauri mzuri wa vyakula kuhakikisha maradhi yako yanaondoka kabisa
Tupigie sasa hivi tuweze kukusaidi
Mawasiliano 0687613105
06/06/2024
Kwa wanaotaka kuondokana na maumivu ya viungo KARIBU tutakusaidia
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 06:00 |
| Tuesday | 09:00 - 23:00 |
| Wednesday | 09:00 - 00:00 |
| Thursday | 07:00 - 12:00 |
| Friday | 06:30 - 00:00 |
| Saturday | 06:25 - 11:00 |
| Sunday | 11:00 - 22:00 |
06/06/2024
06/06/2024
06/06/2024
31/05/2024
31/05/2024