Madam B cosmetics

Madam B cosmetics

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Madam B cosmetics, Beauty, cosmetic & personal care, Kimara, Dar es Salaam.

12/01/2024

SKIN LITE CREAM
Unahitaji sana hii kwa chunusi na hyperpigmentation
Tretinoin is the best ingredient that fight against hyperpigmentation and acne scar’s
Alama za jua k**a malesma basiii this is the best treatment because Inapeel dead skin yote na kukuacha na ngoziii nzuri kabisa
Tretinoin inasaidiaaa kustimulate uzalishajiii wa collagen kwenye ngoziiii na kufanya kuwa na ngoziii ya kitoto
Makinika unapotumia hii uwe na mosturizer pia kwasababu inafanya ngozi kuwa kavu kwa unatumia mosturizer ili kumaintain unyevunyevu kwenye ngoziii yako isiwe kavuuu
Tumia usiku tu na mchana ni lazima upake sunscreen kwa matokeo Mazuriiii zaidi
Bei Tsh 35,000/-

12/01/2024

Kw wale wanaopenda kuwa soft na kung'aa bila kujichubua,,wanaosumbuliwa na rashes,michiriz,makovu,chunusi ,miwasho mwilin
Jipatie set ya Pro White
Oil 25,000
Body cream 25,000
Serum 25,000
Soap 15000
Face cream 25000

26/11/2023

White Now Triple Action Oil and lotion with Beta Carotene, Vitamin E, Fruit Acid. 💧Inasaidia sana kuondoa weusi, madoa na uchafu kwenye ngozi. 💧Inasaidia kulainisha ngozi na kuonfoa ukavu 💧Ni triple Action hvy usaidia ngozi kungaa na kurepair. 💧Inasaidia kuondoa blackheads, mikunjo na kufanya ngozi kuwa very healthy na majibu unayapata ndani ya siku 3 💧Unaweza kuchanganya na cream au lotion unayoitumia. 💧All skin type price

26/11/2023

PURE INDIAN WHITE FACE CREAM Hii face cream nzur sana inang'arisha haswaa wapenda rangi ya mtume hii inawahusu Imetengenezwa na glutathione 150g kwa ajili ya kung'arisha ngozi k**a tunavyojua kazi ya gluta ni kuleta uang'avu kwenye ngozi Indoa madoa na makovu 💯 mabaka ya chunus yote kwisha hiii ndo mwisho wa habar ni nzuuur mnoo Inafanya ngozi kuwa laini, ni ant aging pia vile vile ukiipaka uso haukauki unakuwa nyevnyev muda wote Watu wenye pigment na discoloration inawafaaa pia zinaisha zootee Hii ni night cream mchana unaendelea na routine yako k**a kawaida Bei yake 35,000

26/11/2023

AMERICAN DREAM COCOA BUTTER LEMON BODY OIL❗️ Skin brightening body oil With kojic acid & liquorice Body oil nzuri saana unaweza kuitumia ukiwa unaoga au ukaipaka baada ya kuoga wakati ngozi ikiwa na unyevu Hii body oil ina target kuondoa Hyperpigmentation, Blemishes na Dark spots mwilini Ina pe*****te kwenye ngozi haraka na kuacha ngozi ikiwa moisturized vizuri saana Wapenzi ukitaka ngozi yako ya mwili iglow lazima uwe na body oil zinalainisha ngozi vizuri pamoja na kusaidia kuondoa weusi mwilini k**a vile kwenye mapaja na sehem zingine ✔️ Ni oil nzuri saana kwa kuondoa makovu ✔️ Kwa wenye shida stretchmark ✔️ Uneven skin tone ✔️ For body moisterizing ✔️ brightens skin

26/11/2023

PRO WHITE VITAMIN C OIL . K**a mnavyojua vitaminc ni kiungo kiziri sana mwiling vitamin c kwanza ninafanya ngozi iglow ukiwa unatumia vitamin c tegemea ngozi iglow. 🌸Mafuta mazuri yanangarisha ngozi (glowing ) 🌸Yananyoosha ngozi za mwili zilizkunjamana 🌸Yanafanya ngozi inakuwa unyevu 🌸yanamaliza alama nyeusi mwilini. zinazosababishwa na uzee 🌸yanafanya ngozi ionekana ya ujana .(anti aging) 🌸Yanamaliza michiziri iliyosababishwa na ngozi kuwa kavu au matumizi ya vipodozi vikali (strech macks ). 🌸Yanamaliza chunusi na mapele. 🌸Yanamaliza alama zilizoachwa na chunusi au mapele 🌸Yanatumiwa na wanaume na wanawake. 🌸yanama weusi mapajana na Mikononi na sehem zamikunjo 🌸Ni mafuta mazuri kwa kufanya ngozi ingae. 🌸wale wenye vidot vyeupe mwilin na miguuni inamaliza hii oil 25,000

26/11/2023

Dr.Rashel Green tea skin care set inasaidia ngozi kuwa soft ,pia inasaidia kutoa mafuta kwa wale wenye ngozi za mafuta, pia inasaidia kutoa chunusi 45,000

26/11/2023

Original 55+H paris cristaline fine glycerine

🎈oil yetu pendwa 🔥🔥🔥n oil pia glycerin
🎈hii watumiaji mnaelewa Ni inalainisha ngozi vile hujawah kuona
🎈Inang’arisha ngozi vzuri bila kuchubua
🎈inaondoa madoa na kila aina ya kovu mwilini
🎈paka oil hii mwilini unakuwa 👌
🎈ukivua nguo ukatazama rangi ya ngozi yako mwenyewe unaenjoy
🎈unapaka kwenye mapaja ,makalio,makwapani no
🎈hutokuja kuona weusi wa aina yoyote mwilini n nzuri nzuri nzuri
🎈ngoz inakuwa very soft n smooth
🎈mweusi mweupe anatumia
🎈inafanya ngozi isikauke
🎈mnaoish sehem zenye barid upepo hii inawafaa
🎈una ngoz kavu hii inakufaa
🎈n kubwa unakaa nayo muda mrefu ina save Kwakweli

15/11/2023

🌼Hiinaitwa dead skin yani ngozi iliyo kufa. : kwann tunasisitiza kufanya scrub kila week. Mara 2 au mara 1 ni sbabu unatakiwa hii ngozi iliyo kufa itoke ibaki ngizi mpya uchafu wa ngozi utoke ngoxi ipumue vizuri. Usipo fanya scrub kwa muda mrefu ngozi huwa hivi k**a nyoka vile mana yake hilo gamba unahitaji ulivue. Na k**a ww ni muhanga wa kupauka ngozi basi hakilisha unapata mafuta ya watu wenye ngozi kavu ili ikusaidia ngozi yako kuwa sawa

15/11/2023

Palmer's Cocoa Butter Formula Body Lotion with Vitamin E. 💧Tulizo la Ngozi hii lotion ni nzuri kwa wanawake na wanaume. 💧Inaondoa rough skin, dullness, ngozi kavu, mikunjo na makunyazi kwenye ngozi 💧Inarepair ngozi na kuongeza moisture itakayosaidia ngozi kupata natural healthy skin 💧24hrs ngozi inakuwa salama na yenye unyevu wa kutosha 💧Haichubui na kwa ngozi aina zote. Tsh 25000

15/11/2023

PALMER HEALS SOFTENS MADE IN USA with Vitamin E. 💧48hrs moisture kwa wenye ngozi kavu na wanaishi sehemu zenye kipupwe na baridi hii body creme inawafaa zaidi. 💧Inasaidia wenye eczema-prone skin 💧Free of parabens, phthalates 💧Inatumiwa na wanawake na wanaume 💧Inasaidia sana kuondoa michirizi yote mwilin 💧Inarepair ngozi na kuondoa rough skin 💧Wasiopenda kujichubua wanapenda natural & Glowing skin.. Tsh 25,000

15/11/2023

DR DAVEY COCOA BUTTER BODY OIL 100% pure cocoa butter 💧Hii body oil ni nzuri sana kwa ngozi inakaa zaidi kwa 72hrs 💧Inaondoa ukavu na kuongeza unyevu kwenye ngozi 💧Hayachubui bali yanalainisha na kuongeza nuru kwenye ngozi 💧Kwa Wanawake na wanaume 💧Yanasaidia kuondoa mikunjo na kusinyaa kwa ngozi 💧All skin type . Tsh 20000

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Kimara
Dar Es Salaam