Stella Na Afya Bora

Stella Na Afya Bora

Share

NASAIDIA KULEJESHA AFYA ZA WATU KWA KUTUMIA VIRUTUHISHO LISHE VYA ASILI VISIVYO NA KEMILI KUTO

24/11/2021

Je Wewe Ni mhanga wa UTI Au nduguyo Ni mhanga wa UTI usipite bila kusoma hapa

UTI ( Urinary Tract Infection) Ni Ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo.

Dalili za mtu mwenye Ugonjwa wa UTI
1.Kukojoa Mara kwa Mara na maumivu makali wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia Tena
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na kubadilika rangi na kuwa mweusi
5.Maumivu ya misuli na tumbo
6.Maumivu ya mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
7.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
8.Damu katika mkojo
9.Kusikia baridi
10.Kusikia kichefuchefu na kutapika
11.Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume

MADHARA YA UGONJWA WA UTI
1.Uti inaathiri Urethra kibofu Cha mkojo na Figo
2.Kupata uharibifu wa Figo wa kudumu na kuhitaji tiba maalumu ya kutibu figo
3.Kutokea kuzaa watoto wenye uzito mdogo au wanaozaliwa njiti

MADHARA YA UTI KWA WANAUME
1.Wanaume wanaougua UTI Mara kwa Mara wanakuwa kwenye hatari ya Kupata madhara kwenye tezi dume (Prostatitis)
2.Uvimbe huweza kutokea kwenye tezi dume na kusababisha maumivu Wakati wa haha ndogo au kutoa shahawa
3.Sumu katika damu.Mara chache huweza ikatokea kuwa bacteria wakasambaa kutoka ndani ya Figo na kuingia kwenye mfumo wa damu

Kwa ushauri na tiba 0762180088

24/11/2021

Je Wewe Ni mhanga wa UTI Au nduguyo Ni mhanga wa UTI usipite bila kusoma hapa

UTI ( Urinary Tract Infection) Ni Ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo.

Dalili za mtu mwenye Ugonjwa wa UTI
1.Kukojoa Mara kwa Mara na maumivu makali wakati wa kukojoa
2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia Tena
3.Maumivu ya misuli na tumbo
4.Mkojo kuwa na harufu mbaya na kubadilika rangi na kuwa mweusi
5.Maumivu ya misuli na tumbo
6.Maumivu ya mgongoni au kwenye mbavu pia kichefuchefu na kutapika
7.Kushikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
8.Damu katika mkojo
9.Kusikia baridi
10.Kusikia kichefuchefu na kutapika
11.Maumivu ya sehemu za nyuma kwa wanaume

MADHARA YA UGONJWA WA UTI
1.Uti inaathiri Urethra kibofu Cha mkojo na Figo
2.Kupata uharibifu wa Figo wa kudumu na kuhitaji tiba maalumu ya kutibu figo
3.Kutokea kuzaa watoto wenye uzito mdogo au wanaozaliwa njiti

MADHARA YA UTI KWA WANAUME
1.Wanaume wanaougua UTI Mara kwa Mara wanakuwa kwenye hatari ya Kupata madhara kwenye tezi dume (Prostatitis)
2.Uvimbe huweza kutokea kwenye tezi dume na kusababisha maumivu Wakati wa haha ndogo au kutoa shahawa
3.Sumu katika damu.Mara chache huweza ikatokea kuwa bacteria wakasambaa kutoka ndani ya Figo na kuingia kwenye mfumo wa damu

Kwa ushauri na tiba wasiliana nami kwa namba 0762180088

24/11/2021

HIZI NDIZO DALILI ZA MTU ALIYE PUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME NA TIBA
Mwanaume aliyepungukiwa nguvu za kiume huwa na dalili zifuatazo.
1. Uume kusinyaa na kuwa k**a wa mtoto
2. Uume kurudi ndani
3. Uume kusimama ukiwa legelege
4. Kufika kileleni haraka wakati wa tendo la ndoa.
5. Kushindwa kurudia raundi nyingine kwa uharaka baada ya raundi ya kwanza.
TIBA KWA MTU ALIYEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME:

Hii ni tiba bora na ya uhakika kabisa kwa mtu aliye athiriwa na punyeto na ulaji mbaya wa vyakula visivojenga afya ya mwili. Tiba hii hufanya mambo yafuatayo:
A) Kuimarisha mishipa na misuli ya uume ulio
legea na hivyo kuurejeshea uwezo wake wa asili
B) Hutibu tatizo la uume kurudi ndani na kuwa k**a wa mtoto mdogo
C) Humaliza tatizo la kusimama kwa uume
ukiwa legelege
D) Hutibu na kuponya kabisa tatizo la kufika
kieleleni haraka.
E) Huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa hata baada ya raundi ya kwanza.
f)kuunga tendo baada yakufika kileleni

ili upate tiba hii ya ukweli na uhakika iliyokwisha saidia wengi wenye tatizo hili.
Kumbuka kuwa tiba hii inatolewa kwa wahitaji
NB: Usikae kimya ndugu,
Karibu uondoe stress na aibu hiyo ya kudhalilika mbele ya mke/mpenzi wako mwisho leo
Call +255 62180088

24/11/2021

SULUHISHO LA AFYA
+255762180088

1. *FANGASI UKENI*
2. *U.T.I & P.I.D SUGU*
3. *HARUFU MBAYA UKENI*
4. *KUTOKWA NA UCHAFU UKENI*
5. *TEZI DUME(Bila upasuaji)*
6. *UVIMBE AINA ZOTE BILA UPASUAJI (FIBROIDS)*
7. *KISUKARI (AINA ZOTE MBILI*
8. *PRESHA AINA ZOTE*
9. *BAWASIRI/MGOLO(hemorroid)
10. *MATATIZO YA VIDONDA VYA TUMBO(ulcers)*
11. *MATATIZO YA MACHO*
12. *TATIZO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME*
13. *MIFUPA NA VIUNGO*
14. *KUONGEZA KINGA YA MWILI(CD4)*
15. *MIGUU KUVIMBA NA KUWAKA MOTO*
16. *CHANGO YA UZAZI (maumivu chini ya kitovu)*
17. *MAGONJWA YA NGOZI*
18. *UZITO ULIOKITHIRI*
19. *MVURUGIKO WA HOMONI...N.K*
20.*KANSA AINA ZOTE
21.*KAMA UMEWAHI KUFANYIWA UPASUAJI AINA YOYOTE/X-RAY/UTRASOUND
V *USHAURI,TIBA NA KINGA

WhatsApp +255762180088

24/11/2021

UFAHAMU UGONJWA WA TEZI DUME NA MADHARA YAKE

Tezi dume inapatikana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume katika shingo ya kibofu cha mkojo.

Kazi yake kubwa nikutengeneza majimaji ya uzazi wa mwanaume (shahawa), ambayo husaidia kurutubisha mbegu za kiume zilizo tengenezwa kutoka kwenye Korodani na husaidia mbegu za kiume kubaki hai kwa muda unaostahili.

Tatizo linakuja kiungo hiki kinapoanza kutanuka. Kiungo hiki kinatanuka taratibu taratibu mno. Hili ni tatizo linalo wakumba wanaume wengi

Tatizo hili kwa sasa linawapata wanaume kuanzia umri wa miaka 25 na kuendelea, tofauti na awali lilikuwa miaka zaidi ya 50

mtu 1 kati ya watu 6 analo hili tatizo; 3% (1 kati 33) wanakufa kwasababu ya Saratani ya Tezi Dume.

Saratani hii inaua mwanaume mmoja kila baada ya dakika 13

II. VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA

- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini

- Uwepo wa sumu nyingi mwilini

- Kutokufanya mazoezi

- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara

- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi
- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance)

- Msongo wa mawazo ( Stress )

- Magonjwa ya zinaa

- Umri mkubwa

- Upasuwaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja,

- Historia ya Familia (Kurithi)

- Sababu za kimazingira (Ethnicity)

III. DALILI ZA KUTANUKA KWA TEZI DUME

Mtu mwenye tatizo katika tezi huanza kwa dalili ndogo ndogo sana,

Mpaka mtu apate saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer), ujue amekaa na tatizo hilo kwa muda mrefu, si chini ya miaka isiyopungua 10

a) Dalili za awali

- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu

- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu

- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo

- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa

- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.

- Homa

- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b) Dalili za mtu aliyeathirika

- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu

- Miguu kuwa dhaifu

- Kushindwa kumudu tendo la ndoa , au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa

- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa

- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji

- Tumbo kuja gesi mara kwa mara

Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana nami +255762180088

24/11/2021

UGOJWA WA P.I.D NA TIBA YAKE

Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo-:

👉 Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi . Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua . Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe .

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣ Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣ Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣ Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣ Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣ Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣ Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣ Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣ Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟 Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
• Ugumba
• Kansa ya shingo ya kizazi
• Mirija ya uzazi kuziba
• Majeraha kwenye mirija ya uzazi

Wahi sasa tiba yipo iliyoandaliwa kitalamu zaidi Virutubisho lishe wasiliana nami .
Piga /Whatsap +255762180088

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam