Afya mtaji

Afya mtaji

Share

Your good health is my happiness

21/02/2023

Chaji mtindo wako bora wa maisha kwa mchanganyiko wa mwisho wa mboga mboga.

Mchanganyiko unaofaa zaidi ya matunda ishirini, mboga mboga na aloe

Inasaidia usawa wa pH na kinga

Inasaidia viwango vya nishati asilia na kimetaboliki

Kiasi kikubwa cha vitamini C na E

Mboga na mboga za kirafiki

Isiyo na gluteni

Forever Supergreens ina zaidi ya matunda na mboga ishirini yenye vitamini C, E na magnesiamu ili kusaidia kuufanya mwili wako uwe na nguvu kamili kwa utendaji bora zaidi*.

*Vitamini C huchangia katika utendaji kazi wa kawaida wa mfumo wa kinga mwilini. Vitamini E inachangia ulinzi wa seli kutoka kwa mkazo wa oksidi. Magnésiamu inachangia kimetaboliki ya kawaida ya kutoa nishati, kupunguza uchovu na uchovu, usawa wa electrolyte na kazi ya kisaikolojia.
Nipigie au whatsapp +255777722086 upatevya kwako....karibu..

04/02/2023

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA TIBA YAKE
Kwa mawasiliano zaidi '+255777722086

Kuishiwa nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi. Ni kushindwa kwa uume kudumu kusimama barabara kwa ajili ya tendo la ndoa, au kuwahi kufika kileleni.
Tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka siku had I siku. Tafiti mbalimbali zinasema wanaume wengi wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea ndio wanaosumbuliwa na tatizo hili kwa kiasi kikubwa.

Wanaume wenye elimu ndogo juu ya utendaji kazi wa mwili na afya ndio wanaokabiliwa sana na tatizo hili. Hii ni kutokana na kwamba wengi wao wanakuwa hawaelewi aina ya vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume na za mwili kwa ujumla, namna wanavyotakiwa kuishi ili kupunguza janga hilo, wanakunywa pombe na hawajishughulishi na mazoezi ya viungo. Mazoezi ya viungo hupunguza tatizo la kuishiwa nguvu za kiume kwa asilimia kubwa sana.

Kupungukiwa nguvu za kiume kunaweza pia kuwa kumetokana na mambo ya kihisia, kwa kiingereza ‘emotional causes’. Vitu vingine vinavyoweza kusababisha kupungua kwa nguvu za kiume ni pamoja na magonjwa k**a vile ugonjwa wa Kisukari na Shinikizo la juu la damu.

Asilimia 51 mpaka 61 ya wanaume wanaosumbuliwa na kisukari wanapatwa na tatizo la uume kushindwa kusimama vizuri. Kadharika wagonjwa wa kiharusi na wale waliotekwa na ulevi nao ni miongoni mwa watu wanaoweza kupatwa kirahisi na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Walevi wengi wa pombe kwa mfano wanakabiliwa na tatizo la uzalishaji mchache wa mbegu za kiume (manii).

Wengine wenye hatari ya kupatwa na tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni pamoja na wanaume wenye shinikizo la juu la damu, wenye matatizo ya tezi, waliowahi kufanya upasuaji katika viungo vya uzazi wakabaki na majeraha, watu wanaotumia dawa zenye kemikali kiholela bila kushauriwa na wataalamu na wale wanaougua maradhi yanayodhoofisha msukumo wa damu kwenda katika mishipa ya uume.
Pamoja na hayo, tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaweza kutibika kwa watu wa rika zote.

* Nini Sababu ya uume kushindwa kusimama?

Kushindwa kwa uume kusimama pia hutambulika k**a kuishiwa nguvu za kiume. Ni kitendo cha mtu kushindwa kusimamisha uume au kudumisha usimamaji wa uume kwa muda wa kutosha kufanya tendo la tendo na mwenza wake. Pamoja na ukweli kuwa mara zote Mwanaume lazima atafika kileleni, hali huweza kuwa tofauti kwa upande wa pili kwani mwanamke anahitaji mwanaume akawie zaidi ili na yeye (mwanamke) aweze kutosheka.
Mkeo hupendelea ukawie na ikiwezekana ukawie zaidi. K**a utakuwa unawahi kumaliza, basi mkeo anakuwa hapati raha kamili.

Ingawa, k**a una tatizo la kuwahi kufika kileleni hauko peke yako. Asilimia 30 hadi 40 ya wanaume wa rika zote wanakabiliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni au kupungukiwa kwa nguvu za kiume. Hata hivyo kutambuwa tu kwamba wanaume wengine pia wana tatizo k**a lako siyo sababu ya wewe kukaa tu bila kutafuta suluhisho la tatizo lako.
Habari njema ni kuwa zipo njia zinazoweza kuleta matokeo mazuri na hatimaye kulimaliza tatizo hili bila madhara mabaya hapo baadaye.

Wakati mwingine uume kushindwa kusimama inaweza kuwa si tatizo, lakiini jambo hilo linapojitokeza kila mara na kwa kipindi kirefu inaweza kuleta msongo wa mawazo kwa mume na hata kwa mke. Sababu nyingine amabzo zinaweza kupelekea uume usisimame vizuri ni pamoja na matatizo ya mhemko k**a;
- Wasiwasi
- Hasira
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Huzuni
- Hofu na mashaka
- Kukosa hamu ya tendo la ndoa n.k

Ili uume usimame vizuri ni lazima:
Mfumo wako wa neva uwe na afya nzuri inayopelekea mpwito neva (nerve impulses) katika ubongo, uti wa mgongo na uume.
Mishipa ya ateri iliyo na afya ya ndani na iliyo karibu na corpora cavernosa
Misuli laini yenye afya na tishu za ufumwele (fibrous tissues) ndani ya corpora cavernosa
Kiwango sahihi cha oksidi nitriki (nitric oxide) ndani ya uume.

Uume kshindwa kusimama vizuri kunaweza kusababishwa pia k**a kipengele kimojawapo hapo juu hakifanyi kazi vizuri. Mambo mengine yanayopelekea kupunguwa kwa nguvu za kiume, uume kushindwa kusima

04/02/2023

FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL.
- Ina Amino acids Zaidi ya 18, ambapo 7 kati ya hizo ni muhimu sana katika ukuwaji wa chembe chembe za uhai katika mwili wa binadamu...
- Inasaidia mwili wa mwanadamu kupambana na matatizo mbalimbali katika mwili
• Matatizo ya mmengenyo wa chakula...
• Acid kuzidi tumboni.
• Kurutubisha ngozi, kwa kuondoa seli zilizokufa na kutengeneza mpya..
• Kuondoa vimbe mbali mbali ndani na nje ya mwili.
• Kuongezea mwili nguvu ya kinga
• Kusafisha sumu zinazotokana na vyakula, madawa, pombe, sigara, msongo wa mawazo (stress) n.k.
• Huimarisha mzunguko wa damu, mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda
• Ni lishe tosha katika mwili wa mwanadamu...
Inasaidia kuondokana na maradhi mwilini...kwasababu vijidudu vibaya viletavyo maradhi hupendelea mazingira yenye ACID Tindikali..katika mwili...na Aloe vera yenyewe ina leta hali ya u- ALKALINITY mwilini na kusababisha vimelea viharibifu visiweze kustawi na kusabisha maradhi...
Kwa maelekezo Zaid piga Simu 0777722086

04/02/2023

Katika kitu ambacho hutakiwi kufanyia mas,hara basi ni afya yako unapoina haiko sawa tafuta suluhu mapema.....

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam