Skinessence_tz

Skinessence_tz

Share

we are here to make your skin healthy

Photos from Skinessence_tz's post 12/06/2023

Bondi Sands Face Sunscreen Lotion Spf 50+

Hii husaidia kulinda ngozi dhidi ya miale ya jua.

Price. Tsh. 50,000/=
Whatsap/Call. 0712998830

Gusa link iliyopo kwenye Bio, itakuleta moja kwa moja whatsapp

05/06/2023

Beauty Formula Glowing Serum

Vitamin C nzuri sana na zipo affordable, zinaondoa rough skin na ngozi inakuwa nyororo and clear.

Inafaa kwa aina zote za ngozi

Price. Tsh. 25,000/=
Whatsap/call. 0712998830

Gusa link iliyopo kwenye Bio, itakuleta moja kwa moja whatsapp

04/06/2023

Byoma Creamy Jelly Cleanser

Hii cleanser ni nzuri nzuri sana kwani inaondoa uchafu wote na kuacha ngozi ikiwa hydrated.

Kupata glowing skin invest kwenye cleanser yenye ingredients nzuri na hii ni moja wapo.
Narudia tena guys hii cleanser ni 🔥🔥🔥

Ni alcohol free and suitable for all skin type.

Photos from Skinessence_tz's post 02/06/2023

Salee ❗️Sale❗️ Sale ❗️Sale❗️Sale❗️

Vital proteins Collagen Peptides Powder with Hyaluronic Acid and Vitamin C

Collagen ndo protein nyingi iliyopo mwilini mwako na husaidia kuconnect tissue zilizopo kwenye nywele, mifupa na ngozi.

Kadri umri unavyozidi kwenda uzalishwaji wa hii collagen hupungua ndo maana ni muhimu kuongeza collagen mwilini kwa daily routine kwa kutumia supplements k**a hizi.

Hii Collagen ni unflavoured so ni rahisi kuinywa na vinywaji vingi baridi au moto pia unaweza kuchanganya kwenye chakula.

Hii collagen ina mchanganyiko wa Hyaluronic Acid na Vitamin C ili kuifanya Ngozi kuwa laini, unyevu na yenye mvuto pia nywele, kucha na joint care.

Enjoy benefits of collagen in your body na ukiwa na ngozi nzuri, joint na mifupa yenye afya.

❗️WAS Tsh. 180,000/= 567gm❗️
❣️NOW Tsh. 150,000/=

❗️WAS Tsh.120,000/= 284gm❗️
❣️NOW TSh. 100,000/=

Gusa link iliyopo kwenye Bio, itakuleta moja kwa moja whatsapp

30/05/2023

Vital proteins Collagen Peptides Powder with Hyaluronic Acid and Vitamin C

Collagen ndo protein nyingi iliyopo mwilini mwako na husaidia kuconnect tissue zilizopo kwenye nywele, mifupa na ngozi.

Kadri umri unavyozidi kwenda uzalishwaji wa hii collagen hupungua ndo maana ni muhimu kuongeza collagen mwilini kwa daily routine kwa kutumia supplements k**a hizi.

Hii Collagen ni unflavoured so ni rahisi kuinywa na vinywaji vingi baridi au moto pia unaweza kuchanganya kwenye chakula.

Hii collagen ina mchanganyiko wa Hyaluronic Acid na Vitamin C ili kuifanya Ngozi kuwa laini, unyevu na yenye mvuto pia nywele, kucha na joint care.

Enjoy benefits of collagen in your body na ukiwa na ngozi nzuri, joint na mifupa yenye afya.

Price. Tsh. 180,000/= kubwa 567gm
Tsh.120,000/= ndogo 284gm

Gusa link iliyopo kwenye Bio, itakuleta moja kwa moja whatsapp

Photos from Skinessence_tz's post 30/05/2023

One of the best toner yaani inajieleza yenyewe inafanya vizuri sana kwa USA kwa sasa.

Hii ni toner inakupa health glow & tighten your pores.

Inafaa kwa ngozi aina zote

Chonde chonde hakikisha hukosi hii toner kwa routine yako utanishukuru .

30/05/2023

Vitamin C Daily Brightening Moisturiser

Imetengenezwa kwa mchanganyiko wa vitamin C na hyaluronic acid

05/05/2023

Vital proteins Collagen Peptides Powder with Hyaluronic Acid and Vitamin C

Collagen ndo protein nyingi iliyopo mwilini mwako na husaidia kuconnect tissue zilizopo kwenye nywele, mifupa na ngozi.

Kadri umri unavyozidi kwenda uzalishwaji wa hii collagen hupungua ndo maana ni muhimu kuongeza collagen mwilini kwa daily routine kwa kutumia supplements k**a hizi.

Hii Collagen ni unflavoured so ni rahisi kuinywa na vinywaji vingi baridi au moto pia unaweza kuchanganya kwenye chakula.

Hii collagen ina mchanganyiko wa Hyaluronic Acid na Vitamin C ili kuifanya Ngozi kuwa laini, unyevu na yenye mvuto pia nywele, kucha na joint care.

Enjoy benefits of collagen in your body na ukiwa na ngozi nzuri, joint na mifupa yenye afya.

05/05/2023

Super Facialist Vitamin C + Brighten Skin Renew Cleansing Oil

Hii lightweight cleansing oil inaondoa uchafu wote na kuacha ngozi ikiwa fresh.

Tumia as part of a double cleanse routine ikifatiwa na facial cleanser.

Photos from Skinessence_tz's post 05/05/2023

Super Facialist Vitamin c+ Brighten Gentle Daily Micro Polish Wash.

Katika hatua muhimu za kutunza ngozi ni kuwekeza kwenye cleanser nzuri.

Hii cleanser ni 🔥 yaani inamaliza uchafu wote na kuacha ngozi yako ikiwa na unyevu. Yaani ngozi haikak**ai.

15/04/2023

So Totally Clean Deep Pore Cleanser {Acne Treatment}

Hii ni one of the best cleanser kwa ngozi zenye chunusi na madoa sugu. Inasafisha uso na kuondoa uchafu wote, inaondoa madoa, chunusi zilizoshindikana kwani ina wingi wa salicylic acid.
Tumia hii toner chunusi za kujirudia utazisikia kwa jirani 😊

Photos from Skinessence_tz's post 31/03/2023

ROSEHIP OIL

Rosehip Oil is known for its multiple benefits, it contains a combination of Provitamin A, Vitamin E, Vitamin C, with Omega 3, 6, 9 and fatty acids which help in encouraging collagen production and will restore glow and keep your skin soft, smooth and hydrated.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam
78761