KKS_Health & Wellness

KKS_Health & Wellness

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from KKS_Health & Wellness, Health/Beauty, Dar es Salaam.

23/04/2022

*UKITUMIA BEDROOM PACKAGE UTAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:*

0713875790

1. UTAKUWA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO VIZURI NA KWA HARAKA ZAIDI.

2. KUONGEZA IDADI YA MBEGU

3. KUWA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME VIZURI.

3. KUWA NA MZUNGUKO MZURI WA DAMU.

4. KUIMARISHA MISULI

5. KUPATA HAMU YA TENDO

6. KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

7. KUWA NA NGUVU NA STAMINA, WAKATI WA TENDO NA BAADA YA KUMALIZA TENDO.

*NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA NI VIRUTUBISHO.*

*FAIDA NYINGINE UTAKAZO ZIPATA UKITUMIA BEDROOM PACKAGE.*

package hii itakusaidia pia katika mambo yafuatayo :

1. Kuimarisha na kuipa nguvu mishipa iliyo legea kwa sababu ya punyeto

2. Hunenepesha uume ulio sinyaa kwa sababu ya punyeto

3. Hurefusha uume ulio dumaa na kurudi ndani kwa sababu ya punyeto.

4. Huimarisha na kuongeza nguvu za kiume

5. Hukupa uwezo wa kurudia tendo bila kuchoka

6. Hukupa uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu.

7. Husaidia kuongeza na kuimarisha nguvu na nishati ya misuli ya uume.

*UNAYO NAFASI YA KUIWEKA VYEMA AFYA YAKO LEO.*

*UNGEPENDA UANZE KUITUMIA PACKAGE YAKO LINI !?*

Photos from KKS_Health & Wellness's post 04/12/2021

*_Habari!_*
*K**a kuna kijana yeyote anayependa kujifunza jinsi ya kufanya biashara kwenye mitandao ya kijamii popote alipo, anicheki inbox
+255713875790

Au 0689655244

*But awe na mtaji usiopungua sh 300,000/= +*

18/08/2021

Tunatoa mafunzo na mwongozo wa jinsi ya kutumia simu yako kufanya Biashara kwenye social media, FB, INSTAGRAM n.k
K**a wewe ni kijana na unataka kujua zaidi njoo WhatsApp 👇👇👇

📞+255713875790

Photos from KKS_Health & Wellness's post 04/08/2021

KWA KAWAIDA MTAANI NI PAGUMU SANA HASA KWA KIJANA AMBAYE HANA [MCHONGO] HANA KAZI AU AJIRA !!!!
BASI KWA UTAKAE PENDA KUJIFUNZA NAMNA YA KUFANYA BIASHARA NA KUTENGENEZA KIPATO KWA MUDA WAKO WOTE AU WA ZIADA TU
MIMI NI KIJANA MHITIMU WA CHUO KIKUU CHA ST. JOHN'S, DODOMA
.
Kwa miaka Takribani 6 sasa nimekuwa nikitafiti juu ya PROJECT moja muhimu kwa VIJANA Kati ya miaka 18-35,
Ni mpango endelevu wa kujenga UCHUMI imara bila kutegemea Ajira ambayo kwa sasa imeonekana Kuwa Moja Kati ya Vitu vigumu TANZANIA.

WALENGWA
1. Wote wenye Elimu na fani mbalimbali
2. Walio ajiriwa wenye muda wa ziada.
3. Walio vyuoni kwa sasa, mwaka wa kwanza, wa pili na kuendelea.
4. Walio hitimu Chuo na Hawana Kitu cha kufanya.
5.Na yeyote aliyetayari kujifunza.
6. Wenye malengo na ndoto kubwa
7. Wanaopenda kusafiri ndani na nje ya Nchi

TUNAHITAJI WATU 20 TU AMBAO WATAKUA NA MTAZAMO SAHIHI, K**A WEWE NI MMOJA WAPO TAFADHARI NIANDIKIE KUPITIA

ANDIKA NENO BIASHARA KWENDA ..!!!!

👉
[email protected] au
👉Tutafute kupitia what's up.

Call/ text / whats up

+255 713875790

+255 689655244


👏 SEE YOU AT THE TOP 👏

AFYA YA TEZI DUME - PROSTATE GLAND 12/07/2021

AFYA YA TEZI DUME - PROSTATE GLAND Kila mwanaume anazaliwa na Tezi dume. Tezi dume siyo ugonjwa bali ni kiungo k**a viungo vingine mwilini. Tezi dume inapatik...

Photos from KKS_Health & Wellness's post 04/06/2021

C9 Ni package inayokusaidia kusafisha mwili ndani na KUONDOSHA UZITO KATI YA kilo 7-10 ndani ya Siku tisa

+255713875790

FAIDA ZAKE NI HIZI ZIFUATAZO
-Utaondosha mafuta mwilini
-Utaboresha mfumo wa mmeng’enyo wa chakula
-Utaboresha kinga za mwili
-Utaboresha mzunguko wa damu
-Itakupatia nidhamu yakula
-Itakusaidia ukiwa na changamoto ya vidonda vya tumbo kwasababu ya hizo juice mbili hapo
-Itakusaidia mwanamke uweze kupata mimba ikiwa ulikua ni mnene na Unamafuta mengi itasaidia kuzibua mirija iliyojaa mafuta
-Utapata ngozi yenye nuru kwa maana ya Ung’aavu
-NA MENGINE MENGI

:KUMBUKA WAKATI UNATUMIA NITAKUONGOZA NA NAMNA YA KULA PIA

PIGA/Whatsap +255713875790

18/05/2021

*KUTOKANA NA CHANGAMOTO YA MAISHA NA MFUMO MZIMA WA ULAJI WATU WENGI WANAKUMBWA NA TATITO LA KUTOFURAHIA TENDO LA NDOA NA KUTO MUDU KUFANYA VYEMA TENDO*.

0713875790

*MULT-MACA - ni mchanganyiko kati ya mmea wa maca na mimea mingine asilia. *"MACA" ni mmea Uliogundulika Miaka 2000 iliyopita nchini *"PERU"* na mizizi yake ilikua ikitumika k**a chakula kikuu kwa mashujaa wa *INCAN* kabla ya kwenda vitani ili kuwapa nguvu, stamina na kuondoa wasi wasi.

Mmea unaushuhuda mwingi ambapo wanawake nchini South Africa wamekuwa wakiutumia kuweka bofy shape nzur na yenye mvuto pia kuleta ute mzito unaofaa wakat wa tendo la ndoa pia kuleta nguvu na hamu kubwa lakini pia kuimarisha muscles na ukuaji wa mifupa.

*FAIDA ZA KUTUMIA MULT-MACCA*
1. Huongeza hamu ya tendo la ndoa kwa kina mama na kina baba kwa asilimia zaidi ya 180 kwani,Huongeza Nguvu na Stamina

2. Inasaidia kuondoa depression (msongo wa Mawazo).

3. Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi - menopause(homoni na kusikia joto kali

4.Inarutubisha mayai kwa mwanamke na Inaongeza idadi ya mbegu za kiume )kwa asilimia 200,na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri ( ili kulifikia yai.

6.Inabalance kiwango cha chuma Kwenye damu, ambacho husaidia utengenezaji wa damu na kuboresha mzunguko wake.

7.Inasaidia kupromote matumizi ya glucose kwenye damu na kubadili mafuta kuwa nguvu.

Nb:
*BIDHAA HII NI VIRUTUBISHO NA SIYO DAWA AMBAVYO VITAKUSAIDIA ,KULIKO KUTUMIA DAWA KALI ZENYE MAKEMIKALI HATARISHI.*

Piga/sms/whatsApp/:+255713875790

16/05/2021

CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME:

Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, hufafanuliwa k**a ni hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo imara wa kusimamisha uume, kuwahi mapema kileleni na pia wengine kutokuwa na uwezo wa kustahimili tendo la ndoa kwa muda mrefu au kutokuwa na uwezo wa kutoa mbegu zenye uwezo wa kurutubisha yai la k**e.

VISABABISHI VYA TATIZO HILI

Vyanzo vya changamoto hii hugawanyika katika makundi mawili.

i. SABABU ZA MAZINGIRA / MFUMO WA MAISHA

ii. SABABU ZA KISAIKOLOJIA

A. SABABU ZA MAZINGIRA / MFUMO WA MAISHA

• Sababu za mazingira huhusiana zaidi na upungufu wa uwezo wa mishipa ya arteries katika kusukuma damu ambayo husaidia katika utendaji kazi wa uume.

Upungufu wa utendaji wa mishipa hii mara nyingi husababishwa na uwepo wa kiwango kikubwa cha lehemu katika mishipa hiyo (Cholesterol) na kiwango kikubwa cha sukari au tatizo la kisukari (Diabetes) ambayo huzuia ufanisi wa mishipa hii ya arteries katika kufikisha damu katika uume kwa usahihi.

Ikumbukwe msukumo mzuri wa damu katika uume husaidia kuimarisha misuli na kuupa uwezo wa kusimama katika uimara sahihi

• Upungufu wa virutubisho lishe ambavyo vina madini ya Zinc, Vitamin E, na vitamin nyingine ambazo husaidia neva za mwili kufanya kazi vyema k**a Vitamini B1, B5, B6 na B12.
Vitamin E na Madini ya Zinc ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu za kiume.
Madini ya Zinc hupatikana kwa wingi zaidi kwa baadhi ya vyakula vya baharini. ( Seafoods)

B: SABABU ZA KISAIKOLOJIA

Matatizo ya kisaikolojia huchangia kwa kiwango kikubwa sana pia katika kuathiri uwezo wa nguvu za kiume.

Matatizo haya huwa k**a vile; Stress, matatizo ya Kisaikolojia hasa katika kipindi cha ukuaji, Kutojiamini wakati wa tendo kutokana na mapungufu fulani, mabadiliko katika balehe k**a vile, Kujichua n.k.

Stress, Msongo wa mawazo huzalisha homoni ambazo huharibu uwezo wa mwanaume hasa katika uwezo wa kusimamisha.

HUDUMA YA KWANZA NA SULUHISHO LA CHANGAMOTO HIZI

i: SABABU ZA MAZINGIRA / MFUMO WA MAISHA

Matumizi ya virutubisho muhimu husaidia sana katika changamoto hii. Virutubisho hivi huongeza uwezo wa uzalishaji homoni na kuimarisha misuli.

Matumizi ya Vitamins C, E na Zinc huongeza kiwango cha uzalishaji wa Semen.
Semen ni muhimu sana katika uzalishaji wa mbegu na katika kuboresha utendaji kazi wa Tezi ya Kiume (Tezi Dume)
Amino Acid Arganine ambayo hupatikana katika matunda jamii ya berries na Aloevera husaidia sana katika uzalishaji wa mbegu,hamu na kuongeza uwezo wa mzunguko wa damu na hivyo kusimamisha vyema uume wakati wa tendo.
Tyrosine, Amino Acid ni ambavyo hupatikana katika Aloevera Gel yetu pia ni muhimu sana katika kuondoa madhara yatokanayo na Stress.

ii: SABABU ZA KISAIKOLOJIA NA UBONGO

Mara nyingi huwa na uhusiano mkubwa na ubongo ambayo huwa ni madhara ya ujana au kipindi cha balehe, Madhara ya kifamilia , Madhara ya Kimahusiano ambayo athari zake huwa moja kwa moja katika ubongo au Saikolojia.

Sasa kwa changamoto hii Matumizi ya Vitamins B1, B5, B6 na B12 virutubisho hupatikana kwa wingi katika kirutubisho chetu cha Royal Jelly na Vito Men.

Matumizi ya Vitamins hizi licha ya kuongeza uwezo katika tendo la ndoa pia husaidia katika kuongeza hamu ya tendo, huongeza uwezo wa mtu kufikiri (Concentration and Imagination)

Lakini ufanyaji wa mazoezi ya mara kwa mara husaidia ubongo kupunguza baadhi ya homoni ambazo zikiwemo katika mwili hupunguza uwezo wa ubongo kuwaza vyema na kufanya kazi vizuri.

JE UNAPATA CHANGAMOTO KATIKA TENDO LA NDOA !?

NJOO UPATE SULUHISHO SAHIHI LISILO NA KEMIKALI HATARISHI.

MAWASILIANO: 0713875790

14/05/2021

0713875790

Hpoactive Sexual Desire Disorder" ( HSDD), ni hali ya athiriko la mtu kuwa na ashiki ndogo au kukosa kabisa ashiki katika shughuli zote za mapenzi. Mwanaume au mwanamke anaweza kupoteza hamu ya mapenzi kabisa, au kupoteza hamu dhidi ya mwenza wake wa sasa au kupoteza hamu ya kiwanaume mapenzi kwa mwenza wake wa sasa ila akawa na uwezo wa kuwa na hamu na mpenzi mpya. Hali hii inaweza kuathiriwa kutokana na kushuka kwa viwango homoni, umri mkubwa au athari za kimsongo mawazo na migogoro ya kihisia. Uwiano mkubwa wa tatizo hili huzidi zaidi kwa wanawake kuliko .

0713875790

08/05/2021

Najua inawezekana Unakosa hamu ya tendo, unawahi kumaliza, Kushindwa kurudia au kuchoka tu!!.
0713875790
Tatizo hili kuna visababishi vyake ambavyo Ni vingi Sana K**a vile; kujichua, magonjwa mbalimbali k**a vile sukari, tezi dume, msongo wa mawazo, uzito mkubwa n.k.

Inawezekana umehangaika sana kutatua changamoto hiyo au haujaanza kabisa kuitafutia suluhisho

Inawezekana umehangaika Sana mpaka umekata tamaa kabisa, Basi ondoa Shaka, Tutakusaidia kukurudishia furaha na amani ya nyumba yako.

Tutumie UJUMBE WhatsApp au tupigie simu kwa namba hizo hapo chini

+255713875790

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam