Tiba na afya

Tiba na afya

Share

ushauri na tiba lishe

24/11/2022

*KUTOPATA CHOO KWA MUDA MREFU AU KUPATA CHOO KIGUMU - (CONSTIPATION) - SULUHISHO

*"CONSTPATION NI NINI ?

*Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au Kupata Mara Chache
*Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu

*CHANZO CHA CONSTIPATION NI NINI ?

*Constipation inasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula
*Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika , Kwenye Utumbo huo kuna Villars , hivi ni k**a vidole ambavyo muda Wote huwa vinachezacheza ili kumeng'enya chakula

*Tatizo hili la Constipation hupelekea Watu kupata Magonjwa Mengi na Kusababisha Vifo*

*K**a Unapata Choo Mara Moja(1) Kwa SIKU Na Unakula Mara Tatu (3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo

*~Kansa ya Utumbo
*~Uzito uliozidi
*~Bawasiri (Vinyama sehemu ya haja kubwa).
*~Maumivu ya Kiuno , Mgongo' Mabega , Kichwa , Misuli
*~Kukosa usingizi(Insomnia)
*~Kukosa hamu ya kula (Loss of appetite)
*~Tumbo kujaa gesi*
*~Vidonda vya tumbo (Ulcers)

24/11/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mlimani City
Dar Es Salaam