Elimu ya afya kwa wote

Elimu ya afya kwa wote

Share

Karibu sana ndugu, tunatatua changamoto za upungufu wa nguvu za kiume na uzito mkubwa

12/01/2023

Jifunze kuhusu ganzi, chanzo na dalili zake.

Ganzi ni moja ya matatizo yanayowakumba watu wengi na huu udhaifu hutokea Katika sehemu nyingi za mili yetu. Hapa hisia za fahamu hukosekana kwasababu hakuna damu na neva za mahali ambapo pamekumbwa na ganzi hukosa taarifa na mawasiliano ya moja kwa moja kutoka kwenye ubongo. Ni jambo linalowapata watu wengi Katika kipindi cha hivi Karibuni.

CHANZO CHA GANZI
¶Matumizi ya dawa za kisukari, kifua kikuu na ukimwi kwa mdaa mrefu.

¶Uvutaji wa sigara na bangi ukiambatanisha na unywaji wa pombe kupitiliza.

¶Kupunguwa kwa virutubisho mwilini hasa mkusanyiko wa vitamini B12, vitamini B complex, potassium, kalsiamu na sodium.

¶Umri kuwa mkubwa na matibabu ya mionzi.

¶Uzito mkubwa wa mwili na shinikizo la damu

¶Ugonjwa wa kisukari.

¶Ajali kwenye neva.

DALILI ZA TATIZO LA GANZI.
¶Mtu kuhisi ganzi.

¶Kushindwa kushika au kunyanyua vitu na kuchoka kwa misuli.

¶Maumivu na kuwaka moto maeneo yanayokufa ganzi.

Tuma ujumbe AFYA WhatsApp kupitia 0747817278

12/01/2023

HEDHI

Hedhi ni kipindi ambacho wanawake hutokwa na damu ukeni na wengi hupata hedhi zao baada ya siku 28.
Badhi ya wanawake hedhi hutokea baada ya siku chache zaidi au nyingi zaidi na Umri wa kupevuka hutofautiana baina ya mtu na mtu. Wengine huanza Katika Umri mkubwa na wengine Katika Umri mdogo zaidi lakini moderate (Kawaida) huwa ni miaka 12.
Mzunguko wa hedhi hutokea kwasababu ya mabadiliko mwilini ya hormone.

MAUMIVU WAKATI WA HEDHI
Maumivu wakati wa hedhi ni maumivu yanayojitokeza sehemu ya chini ya tumbo au kiunoni wakati mwanamke anapoanza kupata siku zake au kabla ya hapo. Maumivu haya huweza kuwa madogo au wastani huku baadhi ya wanawake wakipata maumivu makali sana
Maumivu haya huanza pale tuu yai linapoanza kutoka kwenye mirija(fallopian tube) na kuteremka chini ya mrija huo wakati wa ovulation.

Maumivu haya huusishwa na kushuka kwa madini ya zinc, calcium, na magnesium na ongezeko la uzalishaji wa homoni ya prolactin huwa juu sanaa.
Changamoto hii ya maumivu makali wakati wa hedhi intatuliwa na kutumia virutubisho vitakavyokusaidia wewe kuongeza hayo madini ya zinc, calcium na magnesium yaliyoshuka mwilini na kuendesha uzalishaji wa homoni ya prolactin kwa kiwango husika.

FAIDA UTAKAZOZIPATA BAADA YA KUTUMIA VIRUTUBISHO
¶¶Kumaliza kabisa maumivu makali wakati wa hedhi.
¶¶Kuimarisha mood yako wakati wa hedhi.
¶¶Kuifanya kalenda yako kuwa stable na yenye kueleweka
¶¶Pia husaidia kuzuia na kupambana na dalili zote za magonjwa mengi ya mifumo ya uzazi kwa mwanamke mfano, saratani ya kizazi, saratani ya shingo ya kizazi, uvimbe kwenye mji wa uzazi na magonjwa ya zinaa k**a PID

Tuma ujumbe AFYA WhatsApp kupitia 0747817278

11/01/2023

Warembo mpo!baadae saa moja nkuja na somo la hedhi na maumivu yake

11/01/2023

Toka asbhi umekunywa nini cha kuongeza afya mwilini mwako?

11/01/2023

Unelewa nini ukusikia "Afya ya uzazi wa mwanaume"?

Hii ni hali au uwezo unaomfanya mwanaume kuwa na nguvu za kiume zinazo kufanya uweze kufanya yafatayo:
1.Tendo la ndoa kwa ufanisi.

2.Kusimamisha uume vizuri na kwa mdaa
mrefu.

3.Kumwaga mbegu nyingi zenye afya.

4.Kuwa na hamu ya kufanya tendo

Ili mwanaume aweze kufanya hayo mambo manne niliyoyataja kwa ufanisi lazima awe na afya Katika mifumo mbalimbali ya mwili wake, mifumo hii huusisha ubongo, mfumo wa hewa, mfumo wa usambazaji wa damu kwenye mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume.

Changamoto gani anazo kutana nazo mwanaume pale mfumo wake wa uzazi unakua mbovu?

×Kukosa au kupungukiwa nguvu za kiume
ambazo hupelekea kutofanya tendo la ndoa
Kw ufanisi.

×Uume kushindwa kusimama imara.

×Kukosa kabisa hamu ya kufanya tendo la
ndoa.

×Kushindwa kutungisha mimba kwa sababu
ya mbegu hafifu anzozizalisha na zisizo
kuwa na afya.

Tuma neno AFYA WhatsApp kwenda number 0747817278 kwa Msaada na elimu zaidi.

11/01/2023

"Asante kipenzi changu, baba wa wanangu nimeenjoy mpaka siwezi elewa, umeipaka nini Leo utamu umezidi! Hadi njskia kukupenda upya"
Mwanaume mara ya mwisho kusifiwa na mkeo baada ya mechi ni lini?

Tuma ujumbe AFYA WhatsApp kupitia 0747817278 kwa darasa zaidi

11/01/2023

Umekula au umekulakula?

10/01/2023

Ngoja nikupe nondo 4 zitakazo kupa kujiamini na kuwa na amani kwamba status yangu ya afya ya uzazi iko vizuri.

1.Mwanaume mwenye afya nzuri ya uzazi lazima awe na hamu ya tendo. Na hili lazima litokee automatically pale unpokutana na mwenza wako ukiona unaanza kusema bby nibusti bro tafta virutubisho uikimbie hiyo aibu.

2 Mwanaume mwenye afya nzuri ya uzazi lazima asimamishe kuelekea juu. Napo sema kusimamisha nmnisha ngoma lazima iende juu k**a mnara ukiona haifanyi hivyo kuna kitu hakiko sawa kimbilia virutubisho haraka.

3. Mwanaume mwenye afya nzuri ya uzazi lazima aweze kumwanga shahawa. Navyo sema kumwaga nmanisha zitoke kwa speed yani ziruke afu ziwe nyingi kuna faida yake. Bro ukiona baada ya dakika 5 unamwaga vitone vya shahawa tafta suluhisho aibu yako iko malangoni kwako.

4.Mwanaume mwenye afya nzuri ya uzazi lazima afike kileleni. Acha kufanya tendo na stress, mara na maharaka relax fanya taratibu kwa hisia na mapenzi ya hali ya juu niamini mimi huwezi toa boko lazima raha uipate na kileleni ufike.

Kwa elimu zaidi Tuma neno AFYA WhatsApp kupitia 0747817278

10/01/2023

Baada ya kushindwa kuumiliki uwanja ndani ya dakika 90 kuna kitu unaweza waambia washabiki zako wakakuelewa?

Vivyo ivyo na kwenye chakula cha usiku ukishindwa kula vizuri chakula chako hakuna kitu utasema ukaeleweka.

Usihofu! Tuma neno AFYA WhatsApp kupitia 0747817278

10/01/2023

Kwann utumie virutubisho(supplements)?

❗usaidia kuupa mwili nguvu na kuufanya usichoke wala kuzeeka mapema.

❗Huuipa ngozi nuru na kuilinda isiharibiwe na harara ya aina yoyote.

❗Huimarisha mifumo yote ya mwili wa mwanadamu na kusaidia Katika utendaji kazi wa mifumo hiyo.

Piga/text 0747817278

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam