Afya ya tezi dume

Afya ya tezi dume

Share

Elimu na ushaur kuhusu tezi dume

09/08/2023

*MADHARA YA TEZI DUME*
Yafuatayo ni madhara ya tezi dume iliyotanuka ambayo ni pamoja na👇

a) Kibofu cha mkojo kuuma; hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharubu figo na ini n.k

b) Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa.

c) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).

d) Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika).

e) Ugumba (infertility, frigidity for men).

f) Kutokea kwa majipu sehemu ya tezi dume.

g) Kifo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam