Afya ya tezi dume
Elimu na ushaur kuhusu tezi dume
09/08/2023
*MADHARA YA TEZI DUME*
Yafuatayo ni madhara ya tezi dume iliyotanuka ambayo ni pamoja na👇
a) Kibofu cha mkojo kuuma; hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharubu figo na ini n.k
b) Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa.
c) Figo kushindwa kufanya kazi (kidney failure).
d) Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika).
e) Ugumba (infertility, frigidity for men).
f) Kutokea kwa majipu sehemu ya tezi dume.
g) Kifo
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam