Afya stemcell

Afya stemcell

Share

stemcell ambassador international

14/12/2022

UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)

Inakadiriwa Kwamba 75% Ya Wanawake Hupata Tatizo La Fibroids Katika Kipindi Flani Cha Maisha Yao wengi ufanyiwa Upasuaji Wa Kuondoa Kizazi Chote (Hysterectomy)

Fibroids Ni Uvimbe Usio Wa Saratani Ambao Hujitokeza Kwenye Kuta Za Mfuko Wa Mimba (Uterusi). ubadilisha Shape Na Size Ya Kizazi Na Pia Dalili Zingine Mbaya.

DALILI ZA FIBROIDS

01. Kupata Hedhi Ya Siku Nyingi Mfano Siku Saba (Damu Nyingi Na Nzito Na K**a Vinyama Nyama)
Na maumivu Makali Sana

02. Tumbo Kujaa Mara Kwa mars
03. Maumivu Ya Nyonga, Chini Ya Mgongo Na Kwenye Miguu
04. Kupata Mkojo Mara Kwa Mara Na Kushindwa Kutoa Mkojo Wote Kwenye Kibofu.
05. Kukosa Choo na Kupata Choo Kigumu
06. Kupata Maumivu Wakati Watendo La Ndoa
07. Madhara Ya Uzazi K**a Ugumba Na Mimba Kuharibika
08. Kupungukiwa Damu Mara Kwa Mara

AINA ZA FIBROIDS

INTRAMURAL FIBROIDS
Hii Hukua Na Kumea Kwenye Misuli Ya Ukuta Wa Uterus. Husababisha Kupanuka/Kuvutika Kwa Kizazi

SUBSEROSAL FIBROIDS
Fibroids Hukua Nje Ya Ukuta Wa Mfuko Wa Mimba na Kibofu Cha Mkojo.

SUBMUCOSAL FIBROIDS
Fibroid Hukua Karibu Na Ukuta Wa Kizazi. Inaweza Kusababisha Bleed Ya Muda Mrefu Na Shida Kwenye Kushika Ujauzito.

CERVICAL FIBROIDS
Hizi Hukua Kwenye Tishu Za Mlango Wa Kizazi.

ViHATARISHI VINAVYOCHOCHEA KUTOKEA KWA FIBROIDS

✓KURITHI
✓UMRI
✓LISHE
✓UZITO MKUBWA NA KITAMBI.
✓SHINIKIZO LA DAMU
✓KUPEVUKA MAPEMA
✓MATATIZO YA TEZI YA THAIRODI

STEMCELL NI SULUHISHO SAHIHI KWA FIBROIDS

01. Huondoa Seli Mfu Na Msambaratiko
02. Huzuia Ukuaji Wa Seli Zisizo Za Lazima
03. Hurekebisha Vichocheo Mwilini, Kuzuia Na Kutibu Tatizo La Hormones Imbalance
04. Huyeyusha Vimbe (Za Saratani Na Zisizo Za Saratani) Kwa Kurekebisha Vichocheo Vya Posterogen na Estrogen
05. Huondoa Sumu Mwilini Na Kusafisha Damu
06. Husaidia Kuzaliwa Kwa Seli Mpya Kwenye Kizazi, Ambazo Ni Salama Ili Kutibu Majeraha Kwenye Kizazi Na Kuimarisha Kizazi Na Kutibu Tatizo La Ugumba Na Mimba Kuharibika
07. Kurekebisha Kiwango Cha DamuKwa Haraka Na Kinga Za Mwili

Kwa taarifa Zaidi
Instagram:Afya.stemcell
Call/WhatsApp 0764122753
0764122753 .

10/12/2022
09/12/2022

NAMNA YA KUTUMIA STEMCELL ZA PHYTOSCIENCE

Kabla Ya Maelekezo Nipende Kukufahamisha Kuwa

01.Bidhaa Yetu Pendwa Ya STEMCELL Iko Katika Mfumo Wa Unga-unga (Powder Form)

02.Radha Yake Ni Tamu, Japo Utamu Huo Hautokani Na Sukari (Kwani Bidhaa Hii Ni Tiba Pia Kwa Kisukari)

03. Inapotumiwa Inaenda Moja Kwa Moja Kuanza Kazi, Kwa sababu Haipitii Mchakato Wa Mmeng'enyo Wa Chakula Tumboni.

➡️Fungua Box, Kisha Chukua Packet Moja, Ifungue

➡️ Nyanyua Ulimi Kisha Mimina Unga Wa Stemcell Chini Ya Ulimi (Kwenye Uvungu Wa Ulimi) K**a Picha Invyoelekeza.

➡️ Rudisha Ulimi Chini Kisha Subiri Iyeyuke Mpaka Iishe Yenyewe. Huchukua Sekunde 60 Mpaka Sekunde 90 Kuyeyuka Na Kuisha Kabisa.

➡️Anza Kunywa Maji, Yakiwa Ya kawaida Lakini Yasiwe Ya Baridi.

➡️Hakikisha Unakunywa Maji Mengi Siku yako yote Kwa matokeo mazuri zaidi ( Throughout The Day For Optimal Results.)

➡️Tumia Mara Mbili Kwa Siku, Asubuhi Kabla Ya Kupata Chakula Chochote na Usiku lisaa limoja Kabla Ya Dinner.

KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU STEMCELLS
Tafadhali Soma Posts Zetu Za Nyuma🙏

Hii ndio suluhisho kwa matatizo ya kisukari, presha, saratani, kiharusi, matatizo ya moyo, uzazi, ngozi, figo, ini, vidonda vya tumbo n.k

STEMCELLS ZINAPATIKANA KWA PACKAGES
BIDHAA ZETU NI

DOUBLE STEMCELL, CRYSTALCELL, SNOWPHILLFORTY

Kupona Ni Miezi Mitatu Mpaka Sita

Kwa taarifa Zaidi
Instagram: afya.stemcell
Call/WhatsApp 0764122753
0764122753

08/12/2022

NAMNA YA KUTUMIA STEMCELL ZA PHYTOSCIENCE

Kabla Ya Maelekezo Nipende Kukufahamisha Kuwa

01.Bidhaa Yetu Pendwa Ya STEMCELL Iko Katika Mfumo Wa Unga-unga (Powder Form)

02.Radha Yake Ni Tamu, Japo Utamu Huo Hautokani Na Sukari (Kwani Bidhaa Hii Ni Tiba Pia Kwa Kisukari)

03. Inapotumiwa Inaenda Moja Kwa Moja Kuanza Kazi, Kwa sababu Haipitii Mchakato Wa Mmeng'enyo Wa Chakula Tumboni.

➡️Fungua Box, Kisha Chukua Packet Moja, Ifungue

➡️ Nyanyua Ulimi Kisha Mimina Unga Wa Stemcell Chini Ya Ulimi (Kwenye Uvungu Wa Ulimi) K**a Picha Invyoelekeza.

➡️ Rudisha Ulimi Chini Kisha Subiri Iyeyuke Mpaka Iishe Yenyewe. Huchukua Sekunde 60 Mpaka Sekunde 90 Kuyeyuka Na Kuisha Kabisa.

➡️Anza Kunywa Maji, Yakiwa Ya kawaida Lakini Yasiwe Ya Baridi.

➡️Hakikisha Unakunywa Maji Mengi Siku yako yote Kwa matokeo mazuri zaidi ( Throughout The Day For Optimal Results.)

➡️Tumia Mara Mbili Kwa Siku, Asubuhi Kabla Ya Kupata Chakula Chochote na Usiku lisaa limoja Kabla Ya Dinner.

KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU STEMCELLS
Tafadhali Soma Posts Zetu Za Nyuma🙏

Hii ndio suluhisho kwa matatizo ya kisukari, presha, saratani, kiharusi, matatizo ya moyo, uzazi, ngozi, figo, ini, vidonda vya tumbo n.k

STEMCELLS ZINAPATIKANA KWA PACKAGES
BIDHAA ZETU NI

DOUBLE STEMCELL, CRYSTALCELL, SNOWPHILLFORTY

Kupona Ni Miezi Mitatu Mpaka Sita

Kwa taarifa Zaidi
Instagram Afya.stem cell
Call/WhatsApp 0764122753

07/12/2022

MAUMIVU YA KICHWA
Mara Nyingi Chanzo Huwa Msongo Wa Mawazo Uchovu Na Wasiwasi.

MSONGO (TENSION)
Watu Wazima Wengi Hupata Maumivu Haya Ya Kichwa.Huathiri Zaidi Ya 1/3 Ya Wanaume Wote Na Zaidi Ya 1/2 Wanawake Wote.

Maumivu ni k**a Mkanda Unaobana Paji La Uso,Kuzunguka Kichwa,Yanaenea Kwenye Shingo Na Mabega.

SINUS
Hutokea Wakati Wa Baridi. Kichwa Kinachojaa Kuzunguka Macho Na Pua. Hua Makali Zaidi Kichwa Kikiguswa Mbele Au Wakati Wa Kulala.

MIGRAINE
Ni Mara 3 Zaidi Kwa Wanawake. Hupiga Upande Mmoja, Huleta Kichefuchefu, Kutapika, Mbaya Zaidi Kwenye Mwanga Mkali Na Kelele.

CLUSTER HEADACHE
Huathiri Zaidi Wanaume.Hutokea Kati Ya Umri Wa Miaka 20 Na 40.
Maumivu Upande Mmoja Karibu Na Jicho.

MAUMIVU YA KICHWA YA HOMONI
Wanawake Wengi Ikiwa Ni Pamoja Na Kipandauso pale Homoni Hubadilika-Badilika, karibu Wakati Wa Hedhii,Ovulation kila mwezi

TENDO LA NDOA
Maumivu kutokana Na Mazoezi, Michezo Au Shughuli Za Ngono. Hutokea Kabla, Baada Ya Kilele;Inaweza Kuwa Kali Kudumu Kwa Dakika Kadhaa Hadi Saa Kadhaa.

MAUMIVU MENGINE YA KICHWA
Pressure
Tatizo La Nerves
Mfano Trigeminal Nerve Neuralgia
Matatizo Ya Jicho, Sikio, Sinus, Meno Na Taya
Kuvimba Ateri (Arteritis Ya Muda)
Jeraha La Kichwa
Hangover Kutokana Na Pombe Kupita Kiasi

Stemcells Ndio Sahihi Ya Maumivu ya Kichwa Na Vyanzo Vyake

Kwa taarifa
Call/WhatsApp 0764122753
0764122753

07/12/2022

TAFADHARI USISOME: na haya ndio makosa watu wengi wanafanya

Kwa nini suluhisho na utatuzi wa Stem Cell ni bora kuliko Tiba nyingine na virutubisho vya vyakula?
Stemcell ni seli huru yenye uwezo wa kujigawa na kutengeneza aina mbalimbali ya seli mwilini. Kwa nini tunahitaji StemCell!?

Stem cell inaweza Kuzuia na kushughulikia shida nyingi za kiafya kwa wakati Mmoja.
Kwa sababu tu miili yetu imeundwa na SELI na sio madawa.

Kabla ya matibabu ya stem kugundulika Maisha ya kila binadamu yalianza k**a SELI moja (KIJUSI) ambayo iliendelea kuongezeka na kutoa SELI, TISHU, na viungo vingine vyote vinavyounda mwili wa binadamu.

Mwili ni mkusanyiko wa SELI. K**a mtu ni mgonjwa maana yake SELI ni dhaifu au hazifanyi kazi vizuri. Kuanzia umri wa 0 hadi 20 STEM CELL huzalisha SELI lakini uanza kuharibika umri wa miaka 21 kwenda juu kutokana na: Kiwango Cha seli kinapungua mwilini umri unavyoenda, pia seli zinachoka ama kuharibika, ama kufa kutokana na matumizi ya Vyakula, Vinywaji, Madawa, Mazingira n.k

Dawa utibu dalili na kushukulikia shida moja kwa wakati pia kusababisha shida nyingine za kiafya kwa sababu ya sumu kujilimbikiza mwilini.

TIBA YA STEM CELL inashughulikia matatizo ya kiafya kwenye chanzo chake, katika kiwango cha seli
STEM CELL (seli shina/ kiini mama) hufanya kazi kwa kawida ya ......

1 Hurekebisah seli zilizoharibika.
2. Hurejesha seli zilizokufa.
3. Hutengeneza seli upya
4. Ukinga seli vizuri.
5. Kufufua seli zilizozeeka.
5. Urejesha utendajikazi wa seli vyema

Hivyo basi stem cell inapambana na kujikinga na
magonjwa k**a:

Kisukari
Magonjwa ya figo
Saratani au Kansa
Kiharusi au Stroke
Vidonda vya tumbo
Mangonjwa ya ini
Magonjwa ya moyo
Magonjwa ya mapafu
Matatizo ya uzazi
Siko seli
Kupoteza kumbukumbu
Asthma/Allergies(Pumu)
Matatizo ya mgongo
Uvimbe wa tumboni
Matatizo ya macho
Tezi dume
Matatizo ya misuli
Na mengine mengi

Kabla mgonjwa hajapewa gharama ya dozi ni vema tukafahamu tatizo lake na lina muda gani

UKITUMIA STEM CELL NDANI YA SIKU 42 NA USIPATE MATOKEO, UTARUDISHIWA GHARAMA ZAKO ZOTE

Tafadhali wasiliana ⏩ Kwa taarifa Zaidi
Facebook: PhytoScience Tanzania
Inst :
Call/WhatsApp 0764122753

07/12/2022

BORESHA KINGA ZA MWILI KWA NJIA BORA, YA HARAKA NA RAHISI ZAIDI

JE, NITAJUAJE K**A KINGA YA MWILI WANGU IMESHUKA?

Watu Wengi Huwa Wanaamini Kuwa Mtu Ambaye Kinga Ya Mwili Wake Imeshuka Ni Mgonjwa Au Muathirika UKIMWI, Hii Dhana Siyo Ya Kweli Kabisa, Leo Kupitia Somo Hili Utajua Mtu Ambaye Kinga Yake Ya Mwili Imeshuka Anakuwaje.

Ukiwa Na Matatizo Au Dalili Zifuatazo Basi Tambua Kabisa Kuwa Kinga Yako Ya Mwili Imeshuka Na Unaweza Kuchukua Tahadhari Mapema.

1. Kuugua Mara Kwa Mara, Hata K**a Ni Mafua, Au Kikohozi Na Homa Ndogo Ndogo. Au Magonjwa Nyemelezi.
2. Mwili Kuwa Na Uchovu Au Kujisikia Kuchoka Mara Kwa Mara.
3. Maumivu Ya Kiuno Na Mgongo Mara Kwa Mara.
4. Kukosa Usingizi Hata K**a Umechoka Na Uko Tayari Kupumzika.

5. Kuwa Na Magonjwa Yanayoathiri Mzunguko Wa Damu Mfano Wa Kisukari, Pressure, Kiharusi. Mgonjwa Yeyote Wa Kisukari Kinga Yake Ya Huwa Ipo Chini Na Ndo Maana Mtu Yeyote Mwenye Tatizo Hili Huweza Kuandamwa Na Magonjwa Mengi Sana.

6. Mtu Mwenye Maradhi Yanayoambukizwa na Virusi Mfano HIV/ AIDS, Hepatitis B Nk.

7. Kujihisi Mgonjwa Lakini Hospital Vipimo Visioneshe Tatizo Lolote.

8. Mgonjwa Aliyeugua Muda Mrefu Sana

➡️Na Matatizo Mengi Yanayoambatana Na Hayo Ikiwemo Wanaume Wengi Kuishiwa Nguvu Za Kiume, Wanawake Kutokuwa Na Hamu Ya Tendo La Ndoa, Wanawake/Wasichana Wengi Kuugua Magonjwa Ya Njia Za Mkojo Kwa Muda Mrefu(uti Sugu).

Mtu Anayepata Matatizo K**a Haya Na Mengine Yanayofanana Nayo Yuko Katika Kundi La Watu Ambao Kinga Za Mwili Zimeshuka Na Anahitaji Usaidizi Wa KIAFYA.

TUMIA BIDHAA STEMCELL KUTIBU TATIZO LA KINGA ZA MWILI NA KUONGEZA CD4 KWA HARAKA.

BIDHAA HII HAIONGEZI KINGA TU, BALI PIA HUZUIA NA KUTIBU MARADHI ZAIDI YA 280 MWILI KWA WAKATI MMOJA.

KUFAHAMU ZAIDI KUHUSU BIDHAA HII, TAFADHALI SOMA ZAIDI POSTS ZETU ZINGINE KWENYE UKURASA WETU PhytoScience Tanzania

Kupona Ni Miezi Mitatu Mpaka Sita
Dose Ya Mwezi Mmoja

Kwa taarifa Zaidi
Instagram:
Call/WhatsAp
+0764122753






USHAURI NA TIBA
Call/WhatsApp 0764122753

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Bamaga, Mwenge
Dar Es Salaam
255764122753