Furaha Ya Ndoa Ni AFYA BORA
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Furaha Ya Ndoa Ni AFYA BORA, Health/Beauty, TANZANITE TOWER 3RD FLOOR, Dar es Salaam.
MWANAUME USIPITE BILA KUANGALIA VIDEO HII.Ikiwa unachangamoto hii nitumie SMS & WhatsApp "Furaha ya Ndoa" 0778054128
15/01/2023
⚠️👩❤️👨Kwa wanandoa k**a mmekaa kwa muda usiopungua miezi 12 na katika kipindi hicho mmekuwa mnashiriki tendo la ndoa mara kwa mara lakini haujafanikiwa kupata mimba, nendeni hosipitali mfanye uchunguzi wa kina na pamoja hata k**a mwanaume ana watoto nnje ya ndoa ni vizuri akafanya vipimo, mwili wa binadamu unaweza kupata mabadiliko makubwa sana ndani ya miezi 6 mpaka mwaka.
📌📌Wanawake wengi anaweza kukuambia amezunguka hospital
akikutajia vipimo alivyofanyiwa unaona kabisa hajafanya uchunguzi wa kutosha wa tatizo lake au mume wake hajafanya vipimo vyovyote.
⭕Pia nimekutana na wanawake wengine ambao wanauliza, Je, wafanye vipimo gani vya uzazi ili kujua wana changamozo gani.
😃Kama umehangaika Sana na changamoto za uzazi usikose SOMO HILI
Follow this link to join my WhatsApp community: https://chat.whatsapp.com/CX0RYnHt7Gn67S4L74em0I
07/01/2023
Aisee!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
TANZANITE TOWER 3RD FLOOR
Dar Es Salaam