Mwanamke na afya
health professional
08/01/2025
Matumizi ya p2 Ni hatari kwa afya yako ya Uzazi
07/01/2025
Uvimbe Unatesa Sana Sasa Suluhisho lipo wasiliana Nasi Sasa 0627939505
07/01/2025
Suluhisho limepatikana Sasa Wasiliana Nasi Sasa 0627939505
22/08/2024
*❗K**a Unasikia PID Na Huijui Basi Iko Hivi......*👇
*PID* Ama Pelvic Inflammatory Disease ( PID).
Hii inamaanisha kuwa ni maambukizi katika via vya uzazi.
Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:- .
👉Matumizi ya antibiotics Kwa wingi,
kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
👉Kadhalika ujauzito kuharibika ikiwa ni pamoja na kujifungua na kuachwa bila kusafishwa
👉 Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms( kwa baadhi ya watu) na kufanya ngono zembe.
👉 Pia hormonal imbalance ni chanzo moja wapo baada ya kusababisha uvimbe
*Utaona Dalili Zipi Kujua Una PID...*
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri .
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Madha Gani Unaweza Kupata Ukiwa Na PID...*
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
•Kuondolewa kizazi
PID inatibika na kupona Kwa haraka Ukifuata dose sahihi
Ila PID huwa ngumu sana kutibika usipofuata dose sahihi na utajichukia kwa kuhisi unadanganywa na watu
Pia ni mhimu sana kutumia vitu vyenye vitamin C za kutosha
.....
18/08/2024
JE! UNASUMBULIWA NA TATIZO LA PID LICHA YA KUTUMIA KILA AINA YA DAWA....?
*Dalili(ishara) 9 Za Tatizo Hili Mara Nyingi Huwa ni.*
➡️•1-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au k**a maziwa
➡️*•2- Kuwashwa sehemu za siri
➡️•3- Uke kutoa harufu inayonuka k**a yai viza au samaki aliyeoza
➡️*•4-Maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
➡️*•5-Maumivu wakati wa tendo la ndoa mda mwingine mpaka damu kutoka
➡️*•6-Kuvurugika Kwa hedhi
➡️•7-Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi mpaka yanachafua chupi
➡️•8-Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
➡️*•9-Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*Madhara Yake Makubwa huwa ni.*
➡️• Ugumba au mimba kuharibika kabla ya miezi 3
➡️• Kansa ya shingo ya kizazi
➡️*• Mirija ya uzazi kuziba au kuoza
➡️• Kupata hedhi yenye harufu kali
Wasiliana Nami upate suluhisho la kudumu kwa virutubisho lishe kuondoa sumu mwilini … 👇🏻👇🏻 👇🏻
*0627939505*
16/08/2024
*Je, utokwaji wa uchafu katika via vya uzazi vya mwanamke ni kiashiria cha matatizo au magonjwa gani?*
✍️Utokwaji wa uchafu katika via vya uzazi vya mwanamke ni kiashiria cha magonjwa yafuatayo:
✍️Kuvimba kwa mirija ya uzazi (salpingitis). Tatizo hili likichelewa kutibiwa, basi mirija huziba na hivyo mwanamke hupoteza uwezo wa kushika ujauzito.
✍️Mrundikano wa vivimbe vidogo vingi kwenye vifuko vya mayai ya uzazi (polycystic ovarian syndrome).
✍️ Asilimia 75 ya wenye tatizo hili hupoteza uwezo wao wa kushika ujauzito.
✍️Kuwa na uvimbe kwenye vifuko vya mayai ya uzazi upande mmoja au pande zote mbili, kushoto na kulia (ovarian cyst).
✍️K**a utokwaji wa uchafu utaambatana na matatizo ya kukosa hedhi au hedhi kupishanapishana ni kiashiria tosha cha tatizo hili.
✍️Kujaa maji kwa mirija ya uzazi (hydrosalpinx). Tatizo hili pia husababisha mirija kuziba lisipotibiwa mapema.
✍️Kushambuliwa na fangasi aina ya candida albicans kwenye njia ya uzazi (vaginal candidiasis).
Kuvimba kwa kuta za uke, tatizo linaloitwa vaginitis.
Wasiliana nami Kupitiaa namba 0627939505 WhatsApp number
07/08/2024
*PID INASABABISHA UGUMBA NAMNA HII👇👇*
PID ni ugonjwa unao sababishwa na bacteria, waitwao Chlamyadia na Gonnorea,
Hawa bacteria wanapo ingia kwenye uke mpka kwenye mlango wa kizazi,(Cervix)
Moja kwa moja huingia kwenye kizazi, mirija ya uzazi mpka kwenye mayai na kuathiri sehem hizo,
Maambukizi ya PID huathiri mirija ya uzazi na kusababisha majeraha,
Nje na majeharaha huweza kuziba mirija hiyo kwa uchafu kufuatana na Maambukizi hayo,
Baadae yai likipevushwa husindwa kupita kwenye hiyo mirija mpka kwenye mfuko wa uzazi,
Pia hata mbegu hushindwa kusafiri kupita kwenye mirija kutokana na kuziba huko,
Endapo mbegu ya mwanAume imepita kwenye mirija ya uzazi na kuweza kurutubisha yai
Basi yai hushindwa kushuka kupitia kwenye mirija hiyo kinachotokea hapo ni mimba Kutungwa Nje ya mfuko wa uzazi( *Ectopic pregnancy)*
Na wanawake wenye PID wanao weza kubeba UJAUZITO Ni 1 TU, Kati ya idadi ya wanawake 10,
Hapo utaweza kujua Ni namna ipi unaweza kuhangaika sehem mbali mbali kisa hujapata mtoto kumbe una PID na hujaitibu mpka Sasa,
Unategemea kupata mtoto hiyo Ni ndoto ambayo unaiota na haiwezi kutimia,
K**a una PID cha kufanya hapo Ni kitibu PID mapema kabla haijawa sugu zaidi,
*HUWEZI KUTIBU UVIMBE UKAISHA BILA KUTIBU TATIZO LA HORMONAL IMBALANCE,*
Tatizo la Uvimbe na hormonal imbalance haya Ni matatizo mawili yanayo tegemeana,
Asilimia kubwa watu wenye uvimbe kwenye kizazi hutokana na Hormonal imbalance,
Kwanini kwa sababu ukiwa na Tatizo la Hormonal imbalance kipind cha kupata hedhi
Kuta za uzazi (uterus) huweza kukwanguliwa sana na Mwisho wa siku
Sehemu ya ile mishpa huweza kuvimba na mwishowe Uvimbe huanza kuota,
Na ndio maana ukienda hospital ukafanyiwa upasuaji Bado Uvimbe hujirudia Tena ,
Ni kwasababu Tatizo la hormonal imbalance linakuwa Bado lipo,
Na hakuna dawa za viwandani zenye kusawazisha hormone mwilin,
Na ndio maana Mimi ninafanikiwa kutatua haya matatizo yote mawili kwa program moja tu na wengi wamepata matokeo,
K**a una tatizo la hormonal imbalance na uvimbe kwenye kizazi,
Usikate tamaa Tiba ipo wahi mapema Afya yako ndio ndio maisha yako,
Dr Barnaba
0627939505 WhatsApp number
Tumia Virutubisho Lishe Kuondoa Uvimbe Kwenye Kizazi, PID Sugu n.k WhatsApp number 0627939505
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam