Jali afya yako

Jali afya yako

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Jali afya yako, Health/Beauty, ilala boma mwalim house, Dar es Salaam.

02/02/2023

# # LA TEZI DUME BILA UPASUAJI
Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume.


+255753767954
Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao

unaweza kuwa wa kawaida au saratani.



Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume:

Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis).
Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH).
Saratani ya tezi dume.

10/01/2023

# # za awali
+255753767954
- Kukojoa mkojo uliochanganyikana na damu
- Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
- Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
- Homa
- Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

b) Dalili za mtu aliyeathirika
- Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
- Miguu kuwa dhaifu
-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
- Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
- Tumbo kuja gesi mara kwa mara

11/12/2022

# la tezi dume bila upasuaji au bila kuekewa mpira ,kumbuka uvimbe wa tezi dume ukikaa mda mrefu unasababisha saratani ya tezi dume ,
Lakini kuna Dalila 0753767954
. Kukojoa mala kwa mala nyakati za usiku
. Kushindwa kuziwiya hamu ya mkojo
.kushindwa kurusha mkojo mbali
.kushidwa kutenda tendo la ndoa
. Etc

11/12/2022

# # Suluhisho la tezi dume bila upasuaji au bila kuekewa mpira ,kumbuka uvimbe wa tezi dume ukikaa mda mrefu unasababisha saratani ya tezi dume ,
Lakini kuna Dalila
. Kukojoa mala kwa mala nyakati za usiku
. Kushindwa kuziwiya hamu ya mkojo
.kushindwa kurusha mkojo mbali
.kushidwa kutenda tendo la ndoa
. Etc +255753767954

11/12/2022

Suluhisho la tezi dume bila upasuaji au bila kuekewa mpira ,kumbuka uvimbe wa tezi dume ukikaa mda mrefu unasababisha saratani ya tezi dume ,
Lakini kuna Dalila
. Kukojoa mala kwa mala nyakati za usiku
. Kushindwa kuziwiya hamu ya mkojo
.kushindwa kurusha mkojo mbali
.kushidwa kutenda tendo la ndoa
. Etc

18/11/2022

# # la tezi dume bila upasuaji au bila kuekewa mpira ,kumbuka uvimbe wa tezi dume ukikaa mda mrefu unasababisha saratani ya tezi dume ,
Lakini kuna Dalila 0753767954
. Kukojoa mala kwa mala nyakati za usiku
. Kushindwa kuziwiya hamu ya mkojo
.kushindwa kurusha mkojo mbali
.kushidwa kutenda tendo la ndoa
. Etc

20/11/2020

[11/13, 15:55] Fadhiri: USIONE AIBU KUTIBU BAWASIRI
Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo la kuota kinyama sehemu ya haja kubwa (bawasiri).

Kutokana na kupata tatizo sehemu hiyo, wengi huona aibu kuelezea au kwenda hospitali kupata tiba.

Bawasiri ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya ndani na nje, sehemu ya haja kubwa.

Wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe.

Ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita Hemorrhoids, ilhali kwa Kiingereza unafahamika kwa jina la Piles.

Tatizo hili huweza kumuathiri mtu yeyote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto.

Inakadiriwa kuwa karibu asilimia 50 ya watu wote wenye umri kati ya 30-50 wako katika hatari ya kupata tatizo hili.

Tiba ya bawasiri

Imezoeleka kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula, hakika njia hiyo siyo nzuri na huwa rahisi kujirudia.

AINA ZA BAWASIRI

Bawasiri ya ndani

Aina hii hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na huwa haina maumivu na wengi huwa hawajitambui k**a wana tatizo hili.

Bawasiri ya ndani hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa ndani ya mfereji wa sehemu ya haja kubwa.

Aina hii imegawanyika katika madaraja manne:-

Daraja la kwanza; hii ni bawasiri ambayo haitokei mahali pale panapohusika.

Daraja la pili; hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia.

Daraja la tatu; hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu huweza kurudisha (kinyama) ndani yeye mwenywe.

Daraja la nne: hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi.

Bawasiri ya nje

Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa sehemu ya haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la haja.

Pia, husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha bawasiri iitwayo Thrombosed Hemorrhoids.

Madhara ya bawasiri

Upungufu wa damu (anemia), kupata tatizo la kutokuweza kuhimili choo, upungua nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa.

Madhara mengine ni kuathirika kisaikolojia hasa kwa wanawake, kukosa ari ya kufanya kazi kutokana na maumivu makali na pia huweza kusababisha kifo.

TIBA BORA ZAIDI YA BAWASIRI
NOVEL DIPILE NA CONSTRELAX
Dawa asilia iliyotengenezwa kwa teknologia ya nano teknology inaondoa tatizo hili bila upasuaji
√Imetengenezwa kwa matunda aina ya CITRUS
√Huondoa maumivu na kutoka kwa damu
√Hutibu kabisa bila upasuaji aibu ya daktari

CONSTRELAX
√Hufanya update choose kilaini kwa wale wanaopata choose kigumu
√Husafisha mfumo wako WA chakula na kuondoa sumu zote mwilini

PIGA NAMBA +255629198515
[11/13, 15:55] Fadhiri: USHUHUDA WA MGONJWA WA BAWASIRI(MGOLO) AMBAE KAPONA KWA KUTUMIA DAWA BILA UPASUAJI [,PIGA AU WATSUP (((( 0753767954)))))

KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA,

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!

~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
√UZAZI-MIMBA NA KIPINDI CHA KUJIFUNGUA

👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

# # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞

√NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS)

√INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,

√HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,

Piga AU WATSUP (((0753767954))>)kupata huduma na ushauri.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

20/11/2020

(0753767954)

Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya (Ankle Joint)

Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO)
Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu

•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo. .
na kuwekewa za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana

MATIBABU




-Huongeza GLUCOSE AMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane
-Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS
-Huwafaa sana watu wanaofanya mazoezi

Kwa mawasiliano( 0753767954)

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma Mwalim House
Dar Es Salaam