Inaua coron tushilikiane kujilnd

Inaua coron tushilikiane  kujilnd

Share

Tujilinde watanzania

Photos 23/08/2020

“Kwenye michango tuliyochangisha hapa Kanisani kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti Chamwino, Dodoma tumepata jumla ya Tsh.Million 48 na Elfu 21,mifuko 48 ya cement na Lori 5 za mchanga, Rostam amechanga Mil. 20, Boss wa CRDB Nsekela Milioni 10, pia CAG Kichere, Antony Mavunde, RC Dodoma ni miongoni mwa waliochangia, nawashukuru wote waliochangia”-JPM baada ya kuchangisha pesa za ujenzi wa Msikiti akiwa Kanisani Dodoma

Photos 01/06/2020

"Kikosi kazi mahiri (Jeshi) kimeenda Minneapolis kufanya kazi ambayo Meya wa Democrat ameshindwa kuifanya, k**a tungetumia mbinu hii siku mbili nyuma kusingekuwa na vurugu na uharibifu kiasi hiki, Makao Makuu ya Polisi yasingeharibiwa, Asante” -Rais wa Marekani, Donald Trump

“Asilimia 80 ya waandamanaji wanatokea nje ya Minneapolis, wanaharibu biashara (hasa za Wamarekani weusi wale Wajasiriamali wadogo), wanavunja nyumba, na kuwasumbua wanaotaka amani, hili halikubaliki na sio tu hasira za George, ipo agenda nyingine”-TRUMP

“Kuvuka mipaka iliyowekwa na Serikali na kuendeleza vurugu hadi viunga vya Ikulu ni uhalifu, tuliwaambia Magavana na Mameya wafanye kazi yao wameshindwa, tunaingilia kati na tutafanya kinachopaswa kufanywa, tutatumia nguvu kubwa ya Jeshi letu na wengi watak**atwa”-TRUMP

Photos 31/05/2020

“Tanzania hatukuwahi kuwa na Tausi waliltetwa na Baba wa Taifa, Mama Maria anaifahamu zaidi historia yake, Mzee Mwinyi aliwakuta angeweza kuwachinja na kuwala nyama maana nyama yake tamu kuliko kuku ila aliwatunza, Mzee Mkapa na Kikwete pia wakawatunza”-JPM

“Wakati Mzee Kikwete ananikabidhi Ikulu aliniambia Tausi hawa wanataga mayai vizuri ila hawayalalii yanaliwa na wanyama, kuna mfanyakazi hapa tena msukuma mwenzio kila nikimuambia atafute incubator atotoe mayai hafanyi, nilipoingia yule Msukuma nikamfukuza”-JPM

“Nimeingia Ikulu nikaleta wataalamu wa wanyama tukanunua incubator idadi ya mayai ya Tausi ikaongezeka, nimetoa Tausi 100 kila Mstaafu Tausi 25 ili wakawaburudishe wajione k**a wapo Ikulu, nikajua atakuja mmoja siku moja atawanyang’anya, nimesaini na hati”-JPM

“Tausi hawa ambao kila Rais Mstaafu nimemkabidhi 25 wataanza kuondoka leo hii tumeshaandaa utaratibu kuwasafirisha kwenda Butiama, Msoga nk, ikitokea mmoja akafia njiani tutareplace (zimetolewa pia kilo 100 za chakula cha Tausi cha kuanzia kwa kila mmoja)”-JPM

Photos 24/05/2020

Raia wa Uganda George Muyomba ameiishtaki kampuni aliyokuwa anafanyia kazi baada ya kufukuzwa kazi ya ulinzi kwa kosa la kumkatalia Vijay Kumar, Meneja wa kampuni hiyo kupita getini kwakuwa hakuvaa barakoa>>”nilimzuia Boss getini alivunja maagizo ya Rais, Museveni amesema barakoa ni lazima kwa wote wanapokuwa hadharani haijalishi ni Kiongozi au Mtu wa kawaida”

“Kampuni niliyokuwa naifanyia kazi ya ulinzi ina kiwanda na imepewa tenda na Serikali ya kutengeneza barakoa ambazo Rais Museveni ameagiza zigaiwe bure kwa Watu, nikashangaa kuona Meneja wa kampuni hiyo havai barakoa, nimemzuia getini wamenifukuza kazi”-MUYOMBA

Photos from millard ayo's post 23/05/2020
Photos 23/05/2020

: Watu wawili wameokolewa wakiwa hai na takribani miili 80 imepatikana katika uokoaji eneo ambalo ndege imeangukia Karachi, Pakistan, Ndege hiyo imeanguka jana wakati ikitokea Lahore, ilikuwa imebeba zaidi ya abiria 90 na wahudumu 8 na wengi wanahofiwa kufariki.
(via CGTN)

Photos 22/05/2020

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Dr. Faustine Ndugulile, tayari amekabidhi rasmi ofisi kwa Naibu Waziri mpya wa Afya Dkt. Mollel>>”nampongeza Dkt Mollel kwa kuteuliwa na namshukuru sana Waziri Ummy kwa ushirikiano alionipa, namshukuru JPM kwa imani yake kwangu”

Photos 22/05/2020

“Tuna mashine za kusaidia upumuaji (ventilators) 102 Mulago ambazo zinafanya kazi na ventilators 35 Hospitali za Mikoa, tutanunua ventilators 145 hadi kufikia June, ingawa Wataalamu wetu wanaonya kuwa tusiruhusu wagonjwa waugue hadi kufikia kuhitaji msaada wa ventilators”-Rais Museveni wa Uganda

22/05/2020

Serikali ya Kenya imesema madereva 40 wa malori wamekutwa na maambukizi ya COVID-19 katika mipaka yake, madereva 39 ni Watanzania na mmoja ni raia wa Burundi, ambapo wanatarajiwa kurudishwa katika nchini.

Photos 22/05/2020

Idadi ya maambukizi ya corona Duniani imepindukia Milioni 5 ambapo hadi asubuhi hii maambukizi yamefikia 5,149,669 Duniani kote, vifo vya corona Duniani kote vimefikia 334,552 huku idadi ya wagonjwa waliopona ikipindukia Milioni mbili na kufikia 2,041,317.

Photos 22/05/2020

Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wa corona wameongezeka na kufikia 1109 nchini humo kutoka wagonjwa 1,029, wagonjwa waliopona na kuruhusiwa wamefikia 375 kutoka 366, huku vifo vya corona Kenya vikisalia vilevile 50.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dar Es Salaam