Brandeyez Pure Coconut Oil
TUNAZALISHA NA KUUZA MAFUTA YA N**I YASIYO NA KEMIKALI. Instagram @Brandeyez_organicproducts
07/12/2022
Mtoto wako anatumia mafuta gani?
Mafuta yetu ya n**i ni mazuri sana kwa watoto na hata watu wazima.
Yanapatikana katika ujazo wa Mls 100 hadi โlita 5
Ukihitaji wasiliana nasi kwa simu namba 0745363937
๐Tunapatikana Makumbusho stand opposite na Viva supermarket
02/11/2022
Brandeyez Pure Coconut oil ni mafuta ya n**i halisi yasiyokua na kemikali
Mazuri kwa watoto na hata watu wazima.
Yanapatikana kwa ujanzo kuanzia 250mls- lita 5.
Karibuni!!
31/05/2022
๐ฉ๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐
ใNi mafuta mwali ya n**i ambayo yametengenezwa bila kuongezwa kemikali ya aina yoyote na bila kupitishwa kwenye moto.
ใYanafaa kwa watoto wachanga na hata watu wazima.
ใNi mazuri kwa nywele na wenye ngozi kavu ili kuipa ngozi unyevu
ใYanafaa kwa kupikia kwa kua hayana kemikali yoyote.
๐๐ฎ๐ง๐๐ฎ๐ณ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ข ๐ฒ๐ ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐ฅ๐ ๐ง๐ ๐ซ๐๐ฃ๐๐ซ๐๐ฃ๐
Bei zetu rejareja ni:
Mls 100@ Tsh 5000
Mls 250@ Tsh 10,000
Mls 500@ Tsh 20,000
1ltr@ Tsh 40,000
Tunapatikana Makumbusho bus stand Na sinza kumekucha kituoni
Huduma ya kuletewa mahali popote inapatikana Dar na mikoani
๐ +255 745363937
06/05/2022
Sababu kubwa ya nywele kukosa afya na kukatika ni kuwa kavu kupita kawaida.
Mafuta ya n**i husaidia kuzipa nywele pamoja na ngozi unyevu(moisture) hivyo kuzuia nywele zisikatike na ngozi isipauke.
Kwa order piga 0783311007
โฃโฃโฃโฃโฃโฃ
12/04/2022
10,000/=
07/04/2022
Happy Karume Day Fam!
26/02/2022
Ambao tuna nywele natural tunakutana na changamoto nyingi sana kwenye swala la utunzaji wa nywele zetu.
Kuanzia mafuta, shampoo, conditioner na vitu mbalimbali.
Mafuta ya n**i yana nafasi kubwa sana kwenye kusaidia nywele zetu kustawi. Iwe umeyatumia yenyewe ama kwa kuchanganya na mafuta mengine.
Jipatie chupa yako kwetu kwa gharama ya kuanzia 5000 tu.
Tupigie ๐0783311007
Our virgin coconut oil do not undergo any chemical process.
14/02/2022
11/02/2022
Mafuta hayazipi nywele unyevu.
Kazi yake kubwa ni kutunza unyevu kwenye nywele.
Ikiwa una nywele kavu halafu ukapakaa mafuta kwa juu ujue unahifadhi ukavu na sio kuondoa.
Tumia moisturizers k**a vile maji kabla ya kupaka mafuta kwa matokeo sahihi.
09/02/2022
Hello, mafutq yetu ya n**i yanapatikana katika ujazo tofauti kuanzia 100mls mpaka 5ltr kwa bei nafuu.
07/02/2022
MAFUTA HALISI! BEI NAFUU!
JALI AFYA YAKO KWA KUTUMIA MAFUTA YA N**I HALISI YASIYOONGEZEWA KEMIKALI
Tunapatikana Dar es salaam Sinza Mori na Makumbusho bus stand
Kwa maelezo wasiliana nasi +255 783311007
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Sinza Mori
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |