Brandeyez Pure Coconut Oil

Brandeyez Pure Coconut Oil

Share

TUNAZALISHA NA KUUZA MAFUTA YA N**I YASIYO NA KEMIKALI. Instagram @Brandeyez_organicproducts

07/12/2022

Mtoto wako anatumia mafuta gani?

Mafuta yetu ya n**i ni mazuri sana kwa watoto na hata watu wazima.
Yanapatikana katika ujazo wa Mls 100 hadi โ€œlita 5

Ukihitaji wasiliana nasi kwa simu namba 0745363937
๐Ÿ“Tunapatikana Makumbusho stand opposite na Viva supermarket

02/11/2022

Brandeyez Pure Coconut oil ni mafuta ya n**i halisi yasiyokua na kemikali
Mazuri kwa watoto na hata watu wazima.

Yanapatikana kwa ujanzo kuanzia 250mls- lita 5.
Karibuni!!

31/05/2022

๐‘ฉ๐’“๐’‚๐’๐’…๐’†๐’š๐’†๐’› ๐’—๐’Š๐’“๐’ˆ๐’Š๐’ ๐’„๐’๐’„๐’๐’๐’–๐’• ๐’๐’Š๐’
ใ€‹Ni mafuta mwali ya n**i ambayo yametengenezwa bila kuongezwa kemikali ya aina yoyote na bila kupitishwa kwenye moto.
ใ€‹Yanafaa kwa watoto wachanga na hata watu wazima.
ใ€‹Ni mazuri kwa nywele na wenye ngozi kavu ili kuipa ngozi unyevu
ใ€‹Yanafaa kwa kupikia kwa kua hayana kemikali yoyote.

๐“๐ฎ๐ง๐š๐ฎ๐ณ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐›๐ž๐ข ๐ฒ๐š ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐ฅ๐š ๐ง๐š ๐ซ๐ž๐ฃ๐š๐ซ๐ž๐ฃ๐š
Bei zetu rejareja ni:
Mls 100@ Tsh 5000
Mls 250@ Tsh 10,000
Mls 500@ Tsh 20,000
1ltr@ Tsh 40,000

Tunapatikana Makumbusho bus stand Na sinza kumekucha kituoni

Huduma ya kuletewa mahali popote inapatikana Dar na mikoani
๐Ÿ“ž +255 745363937

06/05/2022

Sababu kubwa ya nywele kukosa afya na kukatika ni kuwa kavu kupita kawaida.
Mafuta ya n**i husaidia kuzipa nywele pamoja na ngozi unyevu(moisture) hivyo kuzuia nywele zisikatike na ngozi isipauke.

Kwa order piga 0783311007

โฃโฃโฃโฃโฃโฃ

12/04/2022

10,000/=

07/04/2022

Happy Karume Day Fam!

26/02/2022

Ambao tuna nywele natural tunakutana na changamoto nyingi sana kwenye swala la utunzaji wa nywele zetu.
Kuanzia mafuta, shampoo, conditioner na vitu mbalimbali.

Mafuta ya n**i yana nafasi kubwa sana kwenye kusaidia nywele zetu kustawi. Iwe umeyatumia yenyewe ama kwa kuchanganya na mafuta mengine.

Jipatie chupa yako kwetu kwa gharama ya kuanzia 5000 tu.
Tupigie ๐Ÿ“ž0783311007

18/02/2022

Our virgin coconut oil do not undergo any chemical process.

14/02/2022
11/02/2022

Mafuta hayazipi nywele unyevu.
Kazi yake kubwa ni kutunza unyevu kwenye nywele.
Ikiwa una nywele kavu halafu ukapakaa mafuta kwa juu ujue unahifadhi ukavu na sio kuondoa.

Tumia moisturizers k**a vile maji kabla ya kupaka mafuta kwa matokeo sahihi.

09/02/2022

Hello, mafutq yetu ya n**i yanapatikana katika ujazo tofauti kuanzia 100mls mpaka 5ltr kwa bei nafuu.

07/02/2022

MAFUTA HALISI! BEI NAFUU!

JALI AFYA YAKO KWA KUTUMIA MAFUTA YA N**I HALISI YASIYOONGEZEWA KEMIKALI

Tunapatikana Dar es salaam Sinza Mori na Makumbusho bus stand
Kwa maelezo wasiliana nasi +255 783311007

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Sinza Mori
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00